×

Habari

GGML Yaahidi Kuendelea Kushirikiana na Serikali, Yachangia 40% Mapato ya Dhahabu

KAMPUNI ya Geita Gold Mining Limited (GGML) imeeleza kuridhishwa na juhudi za Rais Samia Suluhu Hassan kuvutia wawekezaji na kuboresha...

READ MORE

SBL Yakabidhi Pikipiki Na Zawadi Kadhaa Kwa Washindi Wa Kampeni ya Pilsner Mikoa Mitatu

Dar es Salaam, Jumamosi Machi 04th, 2023: Serengeti Breweries Limited (SBL) kupitia kampeniya  bia yake ya Pilsner lager iliyopewa jina la...

READ MORE

Rais wa Ufaransa Azungumza Na Kagame, Tshisekedi, Asifu “Makubaliano Ya Kusitisha Mapigano DRC Kuanzia”

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron, akiwa nchini DRC, kituo cha mwisho cha ziara yake barani Afrika, amesema kuwa pande zote...

READ MORE

Video: Chapride Kampuni Ya Kitanzania, Madereva Wamwagiwa Mikopo, Abiria Ni Mserereko…

Chapride imesambaa kila kona jijini Dar es Salaam na wikiendi hii, ofa ya usafiri BURE inaendelea kama kawaida. Kama wewe...

READ MORE

Lema Awajibu Viongozi Wa Bodaboda – “Najua Gambo Yupo Nyuma Yao, Umaskini Ni Laana, Zifutwe Kote”- Video

MWANASIASA maarufu nchini Tanzania, Godbless Lema ameendelea kusimamia msimamo wake juu ya madereva wa bodaboda…

READ MORE

Joe Biden Aondolewa Uvimbe Kwenye Ngozi Wenye Saratani, White House Yafunguka

Rais wa Marekani Joe Biden ameondolewa uvimbe wa kwenye ngozi wenye saratani mwezi uliopita wakati wa uchunguzi wa kawaida wa...

READ MORE

Kampuni 3 Bunifu Za Kiteknolojia Zaibuka Washindi Wa Vodacom Digital Accelerator

Dar es Salaam – March 3, 2023. Kampuni 3 bunifu chipukizi kwenye masuala ya kiteknolojia zimeibuka washindi wa programu ya msimu wa pili ya Vodacom Digital Accelerator. Washindi hawa walipatikana baada ya mchuano mkali na kuwasilisha shughuli za kampuni zao mbele ya majaji wabobevu na kupitia mchakato wa kupigiwa kura, ambapo watazawadiwa zaidi ya Shilingi milioni 200 za Kitanzania, zikiwa ni katika...

READ MORE

Upinzani Nigeria Kupinga Matokeo ya Uchaguzi Mahakama Kuu

Majimbo sita yanayoongozwa na upinzani nchini Nigeria yameiomba mahakama ya juu kutupilia mbali matokeo ya uchaguzi wa rais uliofanyika mwishoni...

READ MORE

Mchumba Wangu Amepewa Ujauzito na Mwanaume Mwingine Wakati Bado Nampenda

Jina langu ni Abel, nakumbuka nilikuwa na mpenzi wangu ambaye nilimpenda sana, nilimgharamia kila kitu kwa lengo la kuja kumuoa...

READ MORE

Kocha Baraza aipa ubingwa Yanga

Aliyekuwa Kocha mkuu wa timu za Biashara United na Kagera Sugar  Francis Baraza ambaye kwa sasa ni kocha mkuu wa...

READ MORE

RC Malima Ampongeza Mkurugenzi Kuongeza Mapato Buchosa

Mkuu wa mkoa wa Mwanza Adamu Malima amemwagia sifa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Buchosa  Mwita Waryoba   kwa kuisimamia vyema...

READ MORE

ACT-Wazalendo Yapata Pigo Zanzibar… Habib Ali Mohamed Afariki Dunia

MWAKILISHI wa Jimbo la Mtambwe, visiwani Zanzibar, kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Habib Ali Mohamed, amefariki dunia, wakati akipatiwa matibabu katika...

READ MORE

Mapinduzi FC yaifuata Azam kibabe

Wakati mchezo wa kombe la Azam Confederation Cup hatua ya 16 baina ya Azam fc dhidi ya Mapinduzi fc ya...

READ MORE

Bonge la Ofa: Safiri Bure na Chapride Kila Wikiendi Jumamosi na Jumapili Ndani Dar

Wikiendi ishafika si ndiyo? Kwa nini sasa umekaa kinyonge? Chapride inakupa bonge la ofa itakayoifanya wikiendi yako iwe burudani! Unataka...

READ MORE

Khalid Aucho: Nipo Fiti, Nawataka Real Bamako Uwanja wa Mkapa, Dar

KIUNGO mkabaji wa Yanga, Mganda, Khalid Aucho, ameshusha presha kwa mashabiki wa timu hiyo, baada ya kusema kwamba, yupo fiti...

READ MORE

WHO Yaomba Msaada Wa Kimataifa, Kukabiliana Na Mlipuko Wa Kipindupindu, Africa

Afisa mmoja wa shirika la Afya Duniani WHO, barani Afrika ameomba misaada zaidi kwa mataifa yanayokabiliwa na mlipuko wa kipindupindu,...

READ MORE

Wizara ya sheria Marekani yasema Rais wa zamani Donald Trump anaweza kushtakiwa

Wizara ya sheria ya Marekani imesema Rais wa zamani Donald Trump anaweza kushtakiwa na maafisa wa Polisi wa bungeni waliojeruhiwa...

READ MORE

Boomplay Yaingia Makubaliano na Halotel Kurahisisha Usikilizaji wa Muziki Kidijitali

  Boomplay, App namba moja ya kusikiliza na kupakua muziki barani Afrika, Boomplay imeshirikiana na Kampuni ya Mawasiliano ya simu,...

READ MORE

Rais Ruto: Kenya Kamwe Haiwezi Kuruhusu Ndoa za Wapenzi wa Jinsia Moja

Rais wa Kenya William Ruto na kiongozi wa Upinzani Raila Odinga wameungana katika ukosoaji wao wa uamuzi wa mahakama ya...

READ MORE

CRDB Yatwaa Tuzo ya Benki Bora Katika Utoaji Huduma Kwa Wajasiriamali

BENKI ya CRDB imetwaa tuzo ya Benki Bora inayohudumia wafanyabiashara wadogo na wa kati Tanzania inayotolewa na Jarida maarufu la...

READ MORE

Sinza Mpo? Meridianbet Imewaletea Duka La Kubetia Njooni Kwa Wingi Mbashiri

Je wewe ni mkazi wa Sinza? Wanapopatikana Watu Wajanja? Na unapenda kubashiri kwenye maduka?. Basi Meridianbet leo hii wamekuzindulia duka...

READ MORE

Wakulima Iramba Wamshukuru Rais Samia kwa Kuwapa Mbolea ya Ruzuku

WAKULIMA wilayani Iramba mkoani Singida wamemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan na Chama cha Mapinduzi (CCM), kwa kutoa ruzuku ya mbolea...

READ MORE

Walioguswa Na Mradi Wa Bomba La Mafuta Nkomelo Wakabidhiwa Nyumba Za Kisasa

Ilikuwa ni furaha na tabasamu kwa wanakijiji 10 wa Nkomelo wilayani Muleba mkoani Kagera baada ya kukabidhiwa nyumba zao mpya...

READ MORE

Sera Nzuri za Rais Samia Kuhusu Uwekezaji Zachangia Ongezeko Kubwa La Waajiri Kujisajili WCF: Dk. Mduma

KUMEKUWA na ongezeko kubwa la waajiri kujisajili na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) katika kipindi cha Serikali ya Awamu...

READ MORE

Harry na Meghan Waambiwa Wahame Makazi Yao ya Uingereza

  Mwanamfalme Harry na mke wake Meghan Markel wameombwa kuondoka katika makao yao Frogmore Cottage nchini Uingereza, msemaji wa wanandoa...

READ MORE

Shemeji Yangu Alinisingizia Nimejaribu Kumbaka Ili Niachane na Mke Wangu

Kamwe siwezi kusahau miaka kama sita iliyopita ambapo shemeji yangu alinifungulia kesi mahakamani kuwa nilitaka kumbaka jambo ambalo sio la...

READ MORE

Ajali ya Treni ya abiria Ugiriki Yaua watu 36 na Kujeruhi 85 – Video

Idadi ya watu waliofariki katika ajali iliyotokea Jumanne kati ya treni ya abiria na treni ya mizigo, kaskazini mwa Ugiriki...

READ MORE

Marekani Yaipongeza Nigeria Kwa Uchaguzi Mkuu Na Kutoa Wito Wa Utulivu

Marekani imeipongeza Nigeria kwa kuchaguliwa kwa mgombea urais wa chama tawala Bola Tinubu, huku ikitoa wito wa utulivu huku kukiwa...

READ MORE

Hatimaye Godbless Lema Awasili Tanzania, Akabidhiwa Biblia na Wazee wa Chadema – Video ya Mapokezi Ipo Hapa

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Kanda ya Kaskazini na aliyekuwa Mbunge wa Arusha mjini, Godbless Lema, leo...

READ MORE

Biashara United Mara Yaingizwa Sokoni

Klabu ya soka ya Biashara United ya mkoani Mara iliyokuwa ikimilikiwa na wanachama, kwa sasa imepata mmiliki mpya ambaye ni...

READ MORE

Bei za Mafuta Dar Zaongezeka Kutumia Kunzia leo Jumatano Machi 1, 2023

MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imetangaza bei mpya za mafuta zitakazotumika kuanzia leo Jumatano Machi...

READ MORE

Elon Musk Arejea kuwa Tajiri Namba Moja Duniani Baada ya Kupoteza kwa Muda Mfupi

  ELON Musk amerejea katika nafasi ya kuwa mtu tajiri zaidi duniani, baada ya kupoteza kwa muda mfupi taji kwa...

READ MORE

Matokeo ya uchaguzi wa Nigeria 2023: Kiongozi wa Chama Tawala Bola Tinubu Atangazwa Mshindi

Mgombea wa chama tawala, Bola Tinubu ametangazwa mshindi wa uchaguzi wa urais uliokumbwa na utata nchini Nigeria. Mwanasiasa huyo mkongwe...

READ MORE

Freeman Mbowe Apongeza Jeshi la Polisi kwa Kuendelea Kulinda Mikutano Yao

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, amelipongeza Jeshi la Polisi kwa kuendelea kulinda mikutano ya hadhara...

READ MORE

Waziri Mkuu: Bunge Litambue Mchango Wa Asasi Za Kiraia Katika Kazi Zao

  WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewataka viongozi wa Kamati za Kudumu za Bunge watambue mchango wa Asasi za kiraia katika...

READ MORE

Washindi Wa NMB “MastabataKotekote” WakabidhiwaTiketi za Kwenda Dubai

  Mshindi wa droo ya “MastaBatakotekote”iliyokuwa ikiendeshwa  na Benki  ya NMb Ndugu,John Lubisha ameishukuru Benki hiyo kwa kuweka shindano hilo...

READ MORE

GGML Yashinda Tuzo ya Kimataifa ya Usalama kwa Mwaka wa 4 Mfululizo

MISINGI imara ya udhibiti wa hali ya usalama katika utendaji kazi ndani na nje ya Mgodi wa Geita Gold Mining...

READ MORE

Kampuni Tatu Kutangazwa Washindi Wa Program Ya Vodacom Digital Accelerator

Dar es Salaam – Machi 1, 2023. Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC inatarajia kutangaza kampuni bunifu chipukizi tatu zilizoibuka washindi...

READ MORE

Chongolo Aipa Tanesco Mwezi Mmoja Kufikisha Umeme kwa Mwekezaji Singida

    KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),Daniel Chongolo ,ametoa mwezi mmoja kwa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),mkoani Singida...

READ MORE