Dar es Salaam, 26 Januari 2023: Kampeni ya Ndinga la Kishua iliyoendeshwa na kuratibiwa na kampuni ya mawasiliano Tigo, leo imekabidhi...
READ MOREMAKAMU Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amewasili leo Januari 25, 2023 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...
READ MORERais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya Wapya 37, kuwahamisha vituo vya kazi wakuu wa wilaya 48...
READ MOREWashindi wa Tuzo ya Kiswahili ya Safal-Cornell ya Fasihi ya Afrika kwa mwaka 2022 walituzwa na Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa,...
READ MOREBenki ya NMB imepata nafasi ya kutembelewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalum...
READ MORETaarifa iliyotolewa leo Januari 24, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imewataja waliotenguliwa kuwa ni Reuben...
READ MOREPoland imeiomba rasmi Ujerumani ruhusa ya kusafirisha vifaru vingi vya vita aina ya Leopard 2 kwenda Ukraine hatua ambayo inaibua...
READ MOREWaziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema lengo la Bima ya Afya kwa Wote ni kuchangiana kwa gharama za matibabu kwa...
READ MOREMahakama kuu mjini Kigali imemhukumu aliyekuwa waziri wa utamaduni wa Rwanda kifungo cha miaka mitano jela kwa madai ya rushwa....
READ MOREUTAFITI uliofanywa na Mradi wa ALiVE-Tanzania kupima stadi za maisha na maadili kwa vijana nchini Tanzania umebaini kuwa vijana wengi...
READ MOREAFISA mstaafu wa Idara ya uchunguzi ya Marekani (FBI) amekamatwa na kufunguliwa mashtaka mjini New York na Washington kwa tuhuma...
READ MOREKinara wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga Jumatatu alisisitiza kuwa yeye ndiye mshindi halali wa uchaguzi wa mwaka jana, na...
READ MOREWaziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov anafanya ziara ya kwanza nje ya nchi tangu Urusi ilipoivamia Ukraine...
READ MOREJina langu ni Bakari Bekason, naishi jijini Dar es Salaam, ila nimezaliwa Kigoma. Baada ya kufikisha umri wa miaka...
READ MORESekta ya afya ni sekta muhimu kwa maendeleo ya jamii zetu na kwa kulitambua hilio, Benki ya NMB imeshirikiana...
READ MOREBenki ya NMB imeingia makubaliano na Mamlaka ya Hifadhi Mji Mkongwe, chini ya usimamizi wa Wizara ya Utalii na Mambo...
READ MOREMakamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango ametoa rai kwa Mahakama na Wadau...
READ MOREKamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam ACP. Muliro J. Muliro amewatunuku vyeti vya pongezi Askari Polisi 78...
READ MOREMsemaji wa Sunak amesema Waziri Mkuu huyo ameomba msamaha kwa kosa lake na anamsihi kila mtu kufunga mkanda wa kiti...
READ MOREMwezi huu wa Januari ukiachana na tabu ndogo ndogo za kimaisha pale Meridianbet wakali wa odds bomba na kubwa, unaambiwa...
READ MOREWachunguzi wa Idara ya Haki ya Marekani (DoJ) wamepata hati sita zaidi za siri wakati wa upekuzi wa saa 13...
READ MOREMaafisa wa Marekani wanasema ukosefu wa usalama wa chakula barani Afrika utakuwa mbaya zaidi mwaka huu kwasababu ya mabadiliko ya...
READ MOREMWENYEKITI wa Chadema, Freeman Mbowe amesema anatambua kuwa ni vigumu kuwaeleza Watanzania na dunia kwamba anampongeza Rais Samia Suluhu Hassan...
READ MOREMshindi wa shindano la NMB MastaBata KoteKote linaloendeshwa na Benki ya NMB Emmanuel Marumbo kutoka Mkoani Tabora amekabidhiwa rasmi Pikipiki...
READ MOREDar es Salaam 21 Januari 2023: Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi inayoongoza hapa nchini Vodacom imehitimisha kampeni yake...
READ MOREDar es Salaam, 21 Januari 2023: Kampuni ya Bima ya Afya ya Jubilee imewakumbuka wazee na watoto kwa kuwatengenezea vifurushi...
READ MORETaarifa za kifo cha Raia wa Tanzania, Nemes Tarimo, zilisambaa pamoja na video ikionesha akiwa anaagwa kwa heshima na vikosi...
READ MOREChura mkubwa zaidi ambaye maofisa wa wanyama-pori walifikiri ni bandia amepatikana katika msitu wa mvua kaskazini mwa Australia. Chura huyo...
READ MORETanzania Commercial Bank (TCB) Imeendelea kushiriki zoezi endelevu la ujenzi wa kipande cha nne cha ujenzi wa reli ya...
READ MOREMasomo yanayohusisha hesabu yamekuwa yakiwaangusha watahiniwa wanaofanya mitihani ya bodi ya wataalam wa ununuzi na ugavi (PSPTB). Akizungumza na waandishi...
READ MOREDar es salaam, 19 Januari 2023: Jukwaa la Biashara la Tanzania na India (TBIF) limedhamiria kukuza mahusiano ya kibishara baina...
READ MOREKatika kufanikisha miradi mbalimbali ya kimkakati Benki ya Taifa Biashara ya Taifa (NBC) imetoa ahadi ya kuwa mstari wa mbele...
READ MORERAIS wa Mexico, Andres Manuel Lopez Obrador amesema atazingatia ombi la mlanguzi wa dawa za kulevya Joaquin ‘El Chapo’ Guzman,...
READ MOREKUPITIA VOA Kiongozi nguli wa upinzani na Makamu Mwenyekiti wa Chadema, Tundu Lisu amezungumza katika mahojiano maalum ambapo ameeleza hali...
READ MOREWanajeshi wa Umoja wa mataifa wamegundua miili 50 ya raia ndani ya makaburi yaliyozikwa watu wengi kwa pamoja mashariki mwa...
READ MORERais Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Kansela wa Ujerumani, Olaf Scholz, Davos nchini Uswizi. Rais Samia amekutana na...
READ MOREJINA langu ni Baba Sele kutokea Madale jijini Dar es Salaam. Baada ya mke wangu kuanza tabia ya kuninyima...
READ MOREDar es Salaam 19 Januari 2023: Kampuni ya mtandao wa simu za mkononi ya Tigo hatimaye jana imempata mshindi wa...
READ MOREMbio maarufu za Tigo Kili Half Marathon zikiwa ni mbio ambazo zipo ndani ya Kilimanjaro Marathon 2023 zimezinduliwa rasmi kimkoa...
READ MORE