×

Habari

Kagera Yaongoza kwa Matukio ya Mauaji, Kujinyonga na Kujeruhi kwa kipindi cha Mwaka

Kaimu kamanda wa polisi wa mkoa wa Kagera Maketi Msangi amesema mkoa huo unaendelea kuongoza kwa matukio ya mauaji, kujinyonga...

READ MORE

Rais Samia Amteua Dkt. Said Ally Mohamed kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (NECTA)

Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Said Ally Mohamed kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani la...

READ MORE

Uchaguzi wa Nigeria 2023: Upinzani Wasusia Matokeo Yaliyoanza Kutangazwa

Vyama vya upinzani vimetoka nje ya ukumbi ambapo matokeo ya uchaguzi wa rais wa Nigeria wenye upinzani mkali yanatangazwa. Chama...

READ MORE

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron Kufanya ziara nchi Tano Afrika

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron atazuru Afrika wiki hii katika ziara ya kukabiliana na ushawishi wa Russia unaotishia kuvuruga mikakati...

READ MORE

Nimemfumania Mume Wangu na Rafiki Yangu, Tena Katika Kitanda Changu

  Waswahili hawakukosea kusema kikulacho kiko nguoni mwako, nasema hivyo kutokana na tukio lilonikuta maisha mwangu, kamwe siwezi kusahau na...

READ MORE

Tahadhari Dhidi Ya Utapeli Wa Fursa Za Ajira Kampuni Ya Bia ya Serengeti (SBL)

Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imembaini mtu asiye mwaminifu anayewalaghai wananchi kwa ujumla ili wamlipe fedha ili kupata fursa...

READ MORE

Serikali Yatangaza Tenda Ujenzi wa Barabara za Jiji la Arusha, Stendi na Masoko Vinakuja – Video

Serikali kupitia Wizara ya Rais TAMISEMI imetangaza rasmi tenda ya ujenzi wa barabara tatu za Jiji la Arusha kwa kiwango...

READ MORE

Kampuni za Kibiashara Kuwania Tuzo SDGs, Shayo Hakuna Atakayebaki Nyuma

  Shirika la UN Global Compact Network Tanzania limezindua mchakato wa kutafuta mshindi wa tuzo zitakazokuwa zinatolewa kila mwaka kwa...

READ MORE

Aweso: Watendaji Msizoee Shida za Wananchi

Waziri wa maji, Mhe Jumaa Aweso (Mb) amewataka watendaji kutozoea shida za Wananchi na kuhimiza uwajibikaji utakaoleta tija kwa Wananchi...

READ MORE

TCDC Yaja na Mkakati wa Kukuza Biashara Kidijitali kwenye Vyama vya Ushirika

  Kamisheni ya Maendeleo ya Ushirika hapa nchini (TCDC) imeanza kutekeleza mpango ya kubadili namna ya kuendesha vyama vya ushirika...

READ MORE

ORAIMO Wazindua Earbuds Mpya, FREEPOD 4, Slide Into Your World

Brand ya oraimo inayodeal na kuuza accessories nchini Tanzania, inatarajia kufanya uzinduzi wa bidhaa yake mpya FREEPOD 4, ambayo ni...

READ MORE

Watuhumiwa 2,000 wa Ujambazi wa Kutumia Silaha Wahamishwa Kwenda Gereza Jipya

  Serikali ya Salvador, imewahamisha watuhumiwa wa ujambazi wapatao 2,000 kwenda katika gereza jipya na kubwa lenye uwezo wa kuchukua...

READ MORE

Ajali ya Boti Italia: Wahamiaji 59 Wafariki katika Pwani ya Crotone Eneo la Calabria

Takriban wahamiaji 59, wakiwemo watoto 12, wamefariki dunia na makumi ya wengine wanahofiwa kutoweka baada ya boti yao kuzama kwenye...

READ MORE

Watatu Wafariki na Wengine Wanane Wajeruhiwa Katika Ajali ya Helikopta Somalia

Watu watatu walifariki dunia na wengine wanane kujeruhiwa wakati helikopta iliyokuwa ikiendeshwa na kikosi cha kulinda amani cha Umoja wa...

READ MORE

Mume Wangu Hamtaki Mtoto Wetu Akidai Siyo Wake, Majibu ya DNA Hayataki

  NAITWA Mama Jimmy, mimi na mume wangu tulianza kugombana pindi nilipojifungua mtoto wangu wa tatu, mume wangu alionekana kutokuwa...

READ MORE

NMB Yapata Ufadhili Wa Bilioni 572 Kutoka Jumuiya Ya Ulaya

Benki ya NMB imepata mikopo miwili ya muda mrefu na dhamana ya kukopesha kutoka taasisi tatu za fedha za Jumuiya...

READ MORE

GGML Yang’ara Tuzo za ATE, Majaliwa Aahidi Makubwa

  JITIHADA za Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) kuwajengea uwezo wahitimu wa vyuo vikuu kwa kuwapatia mafunzo kazini...

READ MORE

Washindi Wa Droo ya Pili Ya ‘Kapu La Wana’ Wapatikana

Meneja wa bia ya Pilsner Lager kutoka kampuni ya bia ya Serengeti Breweries Wankyo Marando (kulia) akizungumza kwa njia ya...

READ MORE

Ukraine Yatoa Stempu Za Posta Yenye Picha Za Putin Akishiriki Mchezo Wa Mieleka Wa Judo

Ukraine imetoa stempu za posta zilizo na mchoro wa msanii maarufu wa graffiti wa Uingereza Banksy kuadhimisha mwaka wa kwanza...

READ MORE

Mwana FA Ateuliwa Kuwa Naibu Waziri wa Utamaduni Sanaa na Michezo

Rais wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Mbunge wa Muheza Hamis Mohamed Mwinjuma maarufu Mwana FA kuwa Naibu Waziri...

READ MORE

Breaking: Rais Samia Afanya Uteuzi Mpya Mawaziri, Uhamisho wa Wakuu wa Mikoa

Rais Samia Suluhu Hassani amefanya uteuzi na uhamisho wa wakuu wa mikoa mitatu ya Shinyanga, Tanga na Songwe. Katika taarifa...

READ MORE

Watu 13 Wafariki kwenye ajali ya barabarani Pakistan, 14 Wajeruhiwa

Maafisa wa Pakistan wamesema kwamba takriban watu 13 wameuwawa na wengine 14 kujeruhiwa katika ajali iliyotokea kwenye barabara kuu ya...

READ MORE

El Salvador Yawahamisha Wafungwa 2,000 Kwenye Jela Mpya ili Kudhibiti Magenge

Takriban wafungwa 2,000 wengi wao wakiwa washukiwa kutoka kwenye magenge wamehamishiwa kwenye jela mpya yenye uwezo wa kuwashikilia wafungwa 40,000...

READ MORE

Watanzania Waibuka Na Ushindi Wa Kishindo Mbio Za Kimataifa Za Kilomita 21 maarufu Tigo Kili International Half Marathon

WANARIADHA wa Tanzania wameng’ara kwa kwa kuibuka na ushindi wa kishindo katika Mbio za Kimataifa za Kilomita 21 maarufu kama...

READ MORE

Chapride Gumzo Kila Kona -“Hii Imekuja Kuwa Mkombozi Wetu” Madereva – (Picha +Video)

Jana Jumamosi Februari 25,2023, timu ya masoko ya Chapride, kampuni mpya ya usafiri mtandaoni inayotoa ofa kibao, imeendelea kutoa elimu...

READ MORE

Watanzania Wang’ara Kilimanjaro International Marathon

KILIMANJARO 26 FEBRUARI 2023: Wanariadha wa kitanzania wameng’ara katika mbio za 21 za Kilimanjaro Premium Lager International Marathon, baada ya...

READ MORE

NACTVET Yatoa Tuzo Kwa Wanaotoa Nafasi Kuendeleza Ujuzi

  BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTIVET) kwa kushirikiana na Chama cha Waajiri nchini (ATE), wamewapa tuzo kampuni...

READ MORE

Kada Hamis wa CCM Ajitolea Kuchangia Ujenzi wa Ofisi ya Chama Muheza

    Hamisi Sadiki Rajabu ambaye ni Mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi na Mwananchi wa Wilaya ya Muheza ameendelea kufanya...

READ MORE

Ajali Yaua Watu Wawili Iringa, Mwili wa Mwanamke Wakutwa Umeungua Moto-Video

  Watu wawili ambao bado hawajafahamika majina yao wamepoteza maisha katika ajali iliyohusisha magari wawili aina Semitela Faw moja lenye...

READ MORE

Mwanaume Niliyezaa Naye Anadai Mtoto Wakati Aliyelea Ujauzito ni Mwanajeshi

  Jina langu naitwa Judith, miaka kama minne iliyopita nilikutana na kijana mmoja anayetokea familia ya kitajiri, tulipendana sana na...

READ MORE

Bolt Kuwekeza Zaidi ya Euro Mil 500 Afrika Kwa Miaka Miwili Ijayo Huku Ikiongeza Vyombo Vya Usafiri

Nairobi, Februari 2023–Kampuni inayoongoza kwahuduma za usafiri kwa mtandao barani AfrikaBolt, imetangaza mpango wa kuwekeza Euro milioni 500 katika shughuli...

READ MORE

Rais Ruto Aweka Jiwe la Msingi Kiwanda cha Usambazaji Taifa Gesi Mombasa

      Leo Februari 24, 2023 Rais wa Jamuhuri ya Kenya Dk William Ruto amezindua ujenzi wa Kiwanda cha...

READ MORE

Meridianbet Yatoa Bodaboda na TV USSD & Kasino ya Mtandaoni

Meridianbet hatimaye imewatangaza washindi wake wa Promosheni kabambe ya Bashiri bila bando na kasino, Huku Said akijinyakulia Bodaboda yake mpyaa....

READ MORE

Rais Samia Ateua Tena, Ampeleka Mchechu Hazina, Hamad Apelekwa NHC

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amemteua Nehemia Kyando Mchechu kuwa Msajili wa Hazina kabla ya...

READ MORE

Mwanajeshi Wa JWTZ Aliyemsukuma Trafiki Kwa Gari Afikishwa Mahakamani Kwa Shitaka Hili…

Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ ) namba MT 89487 CPL Hamis Ramadhan (36) jana amepandishwa kizimbani katika Mahakama...

READ MORE

Jill Biden Asifu Namibia Kwa Juhudi Zake Kwelekea Usawa Wa Kijinsia

Mke wa rais wa Marekani Jill Biden, ambaye yuko ziarani nchini Namibia, amesifu utawala wa Rais wa nchi hiyo, Hage...

READ MORE

Mwanamuziki wa Marekani R.Kelly Afungwa Miaka 30 Gerezani

Jaji wa mahakama ya Serikali kuu nchini Marekani imempa mwanamuziki R. Kelly kifungo cha miaka 20 jela, baada ya kupatikana...

READ MORE

Umoja wa Mataifa wapitisha azimio la kuitaka Russia kuondoa wanajeshi wake Ukraine

Umoja wa Mataifa Alhamisi umeitenga Russia kwa kura nyingi, wakati ikiadhimishwa mwaka mmoja tangu Moscow iivamie Ukraine kwa kutoa wito...

READ MORE

Naibu Waziri Mavunde Azindua Rasmi Program Ya ‘Kijanisha Maisha’

Dar esalaam 24 Februari 2023: Serikali imeendelea kuchukua hatua mbalimbali katika kufanya mageuzi yanayolenga kuongeza tija katika uzalishaji kwa kuboresha...

READ MORE