×

Habari

Tetemeko la Ardhi Uturuki na Syria: Idadi ya Waliofariki ni Zaidi ya 8,700

Zaidi ya watu 8,700 wanadaiwa kufariki nchini Uturuki na Syria kufuatia tetemeko la ardhi la Jumatatu. Idadi ya vifo nchini...

READ MORE

Tetemeko Uturuki: Golikipa wa Malatyaspor Ahmet Turkaslan Afariki Dunia

Mlinda mlango wa Uturuki Ahmet Eyup Turkaslan amefariki dunia kufuatia tetemeko la ardhi lililotokea Jumatatu nchini kwao, klabu yake ya...

READ MORE

Fursa hii hapa… Je, wewe ni Mwalimu wa Shule ya Msingi au Sekondari Unayeishi Dar?

Ukijiunga na Chapride Tanzania, kampuni ya usafirishaji abiria na huduma nyingine kwa njia ya mtandao, utapata fursa ya KUPATA MKOPO...

READ MORE

Baada ya Kuhangaika Sana, Hivi Ndivyo Nilivyofanikiwa Kupata Mchumba na Kumuoa

Vijana wengi huwa tunapitia changamoto mbalimbali katika kipindi cha kutafuta wenzi (mke au mume) maisha kutokea na baadhi ya wenzetu...

READ MORE

Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana Kuendesha Mafunzo Maalum ya Leseni Jijini Dar

  Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana Nchini (CMSA), kwa kushirikiana na Taasisi ya Charted Institute for Security and...

READ MORE

Watu Saba Kusepa Dubai Kula Raha, Ni Kupitia Kampeni ya NMB MastaBata ‘Kote Kote’

  Kampeni ya kuhamasisha matumizi ya NMB mastercard na QR Code ‘Lipa Mkononi’ iitwayo NMB MastaBata ‘Kote Kote’, imefikia ukomo...

READ MORE

Wahandisi GGML Wafanya Ziara ya Mafunzo Daraja la Kigongo – Busisi

      KUNDI la wahandisi 40 kutoka kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML) wametembelea daraja la Kigongo-Busisi linalounganisha...

READ MORE

Airtel Kutoa Gawio La Faida Ya Tzs 1.6 Bilioni Kwa Wateja Na Mawakala Wa Airtel Money

Dar es Salaam, Jumatano 8 Februari 2023:  Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo imetangaza kutoa faida ya...

READ MORE

Sheikh Alhad Mussa Alivyokabidhi Ofisi Kwa Sheikh Mkuu Mpya Wa Dar – Video

Aliyekuwa Sheikh wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa leo amekutana uso kwa uso na Sheikh Mpya wa Dar...

READ MORE

Mbatia Akwaa Kigingi, Mahakama Yawatambua Wajumbe Wapya wa Bodi NCCR-Mageuzi

MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, Februari 6, 2023 imetoa uamuzi wa kuwatambua wajumbe wapya wa Bodi ya...

READ MORE

TBA Yadaiwa Kubadili Bei Za Nyumba Magomeni Kota, Wakazi 644 Wagomea Mkataba Mpya

Wakazi 644 wanaoishi Magomeni Kota wamegoma kusaini Mkataba wa Manunuzi ya Nyumba hizo kwa madai bei mpya walizopewa ni kubwa...

READ MORE

Tetemeko la Ardhi Uturuki: Mvua Kubwa Yakatiza Juhudi za Uokoaji huku Watu zaidi ya 4000 Wamefariki

Waokoaji wanapambana na mvua kubwa na theluji huku wakipambana na muda kutafuta manusura wa tetemeko kubwa la ardhi lililotokea kusini-mashariki...

READ MORE

GGML Yakabidhi Madarasa 2 kwa Shule ya Msingi Kiziba

KATIKA kuunga mkono juhudi za serikali za kuboresha elimu na kulea kizazi kijacho ambacho kitasaidia Taifa kufikia malengo ya kiuchumi...

READ MORE

Mwanadada Tems Ang’ara Tuzo za Grammy, Burna Boy Aambulia Patupu

  Msanii mrembo kutoka nchini Nigeria, Temilade Openiyi almaarufu Tems, usiku wa kuamkia leo ameshinda tuzo ya Grammy katika kipengele...

READ MORE

Ushangiliaji wa Mashabiki wa Soka Morocco, Pambo la World Cup

UTAMADUNI wa ushangiliaji katika soka uko tofauti karibu kila ukanda, na unaweza kutofautiana kwa bara moja zaidi ya sehemu nne...

READ MORE

Mamia ya Watu Wafariki Dunia Kwa Tetemeko Kubwa Uturuki na Syria

  Zaidi ya watu 100 wamefariki dunia nchini Uturuki na wengine 230 nchini Syria kufuatia tetemeko kubwa lilizoipiga nchi hizo,...

READ MORE

Program Ya CPS STEM Inavyosaidia Wanawake Wa Kitanzania Katika Sekta Ya Uhandisi

Fumba Town – Mradi wa maendeleo ya majengo yanayouzwa kwa kasi zaidi nchini Tanzania CPS umezindua STEM – programu yenye...

READ MORE

Mawakala Wa Utalii Waanza Kumiminika Nchini Kuangalia Vivutio Vya Utalii Na Kwenda Kuvitangaza

Katibu Mkuu  Wizara ya Maliasili na Utalii Prof. Eliamani Sedoyeka jana aliongoza mapokezi ya Mawakala hao kutoka katika masoko ya...

READ MORE

Nimemfuma Mume Wangu Akichepuka na Dada wa Kazi Chumbani Kwangu

    Jina langu ni Ruth, mkazi wa Majani Mapana, Tanga. Nimeolewa na nimekuwa nikiishi na mume wangu kwa miaka...

READ MORE

Adrar Uwanja Bora Ndani ya Mtwara ya Morocco Unaingiza Watazamaji 45,480

    KAMA Morocco ingepata nafasi ya kuandaa Kombe la Dunia mwaka 2010, Uwanja wa Adrar ulipangwa kutumika kwenye moja...

READ MORE

Haya Hapa Majina 12 ya Familia Moja Waliofariki Kwenye Ajali Tanga

MAJINA 12 kati ya 17 ya waliofariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia  Jumamosi Februari 4, 2023...

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Mkutano Maalum Wa 20 Wa Wakuu Wa Nchi Jumuiya Ya Afrika Mashariki Nchini Burundi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameshiriki Mkutano Maalum wa 20 wa Wakuu wa Nchi za...

READ MORE

Puto Lasitisha Ziara ya Waziri Blinken China

Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken ameahirisha safari yake ya kwenda China kwa mazungumzo na waziri wa...

READ MORE

Kombe la Dunia Morocco Ahly na Nguvu ya Wamorocco

  UNAWEZA kusema upepo umebadilika na huenda ndio kilikuwa kitu kilichowashangaza watu wengi baada ya mashabiki wa Morocco kuamua kuishangilia...

READ MORE

Costa Iliyobeba Mwili wa Marehemu Yaua Watu 17 na Kujeruhi 12

Watu 17 wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia leo Jumamosi Februari 4,...

READ MORE

Vijana ACT-Wazalendo Dar Wampa Tano Rais Samia

NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, kimempongeza Rais Samia Suluhu Hassan, kwa kuunda tume ya kuangalia namna ya kuboresha...

READ MORE

Sadiki: Najifunza Mengi kwa Madiwani na Viongozi wa CCM Wilayani Muheza

  Kada maarufu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Muheza, Sadiki Rajabu amesema madiwani wa Wilaya ya Muheza mkoani...

READ MORE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Afanya Uteuzi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:- (1) Amemteua Bi Janet Zebedayo Mbene...

READ MORE

Pilsner Ya SBL Yarudi Na Kapu La Wana, Kanda ya Ziwa, Kaskazini Na Kusini

Dar es Salaam, Februari 2, 2023: Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) kupitia bia yake ya Pilsner Lager imetenga jumla...

READ MORE

Chongolo Awataka Wazazi Kuachana na Imani za Kishirikina

Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndugu Daniel Chongolo, akiwa Jimbo la Morogoro Kusini amewataka wakazi wa Kikola kuacha...

READ MORE

Hatimaye Wembe Uliosahaulika Tumboni Kwa Miaka 11 Watolewa

Madaktari nchini Kenya wamemfanyia upasuaji Bi. Felister Namfua (36) na kutoa wembe wa upasuaji uliosahaulika ndani ya tumbo kwa muda...

READ MORE

Waliopata Division one St. Anne Marie Academy, Kutembelea Mbuga za Wanyama

WANAFUNZI wa shule ya St. Anne Marie Academy waliofanya vizuri kwenye matokeo ya kidato cha nne wanaandaliwa ziara ya kutembelea...

READ MORE

Breaking: Ndege Ya Precision Air Yapata Hitilafu Ikiruka Dar Kwenda Dodoma, Nyingine Yatua Kwa Dharura

Ndege mbili za Shirika la Ndege la Precision Air zimeshindwa kufanya safari zake kama kawaida baada ya ndege moja kupata...

READ MORE

Polisi Ahukumiwa Adhabu ya Kifo kwa Mauaji ya Wakili nchini Kenya

Mahakama nchini Kenya imemhukumu adhabu ya kifo polisi kwa mauaji ya wakili maarufu wa masuala ya haki za binadamu na...

READ MORE

Meridianbet Wanakupatia Odds Nono Wikiendi Hii

Wiki imeisha kwa michezo mbalimbali Carabao, FA, Coppa Italia lakini sasa wikiendi hii ligi zinaendelea kuanzia leo Ijumaa, EPL na...

READ MORE

Rais wa Russia Putin adai Ukraine inaingia katika mtego wa kipindi cha Unazi

Rais wa Russia, Vladimir Putin, aliamsha ari ya jeshi la Sovieti ambalo lilivishinda vikosi vya Wanazi wa Ujerumani huko Stalingrad...

READ MORE

Kada NCCR-Mageuzi Aliyepotea Aokotwa Porini Akiwa Taabani, Hajitambua

MWENYEKITI wa Jumuiya ya Vijana ya Chama cha NCCR-Mageuzi, Jovine Clinton, aliyepotea tangu tarehe 24 Januari 2023, amepatikana akiwa hajitambui...

READ MORE

Huyu Ndiye Dk Bashiru: Msomi Na Mfuasi ‘Mtata’ Wa Mwalimu Nyerere – Matamshi Yake Yazua Maneno Mengi-Video

Machi 31, 2021, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk Samia Suluhu Hassan alifanya mabadiliko ya safu ya utawala...

READ MORE

Sheikh Mkuu Wa Dar Alhad Mussa Atumbuliwa, Mufti Amteua Sheikh Omar Kukaimu – Video

BARAZA la Ulamaa la Bakwata katika kikao kilichofanyika tarehe 1 Februari 2023 chini Mwenyekiti Mufti Abubakar Zubeir limetengeua uteuzi wa...

READ MORE

TRA na Assad Associates Waendesha Semina Juu Ya Mfumo Wa Kodi Wa Kielektroniki Ulioboreshwa-Video

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na ASSAD Associates wameboresha mfumo wa walipakodi kujihudumia wao wenyewe kupitia mfumo wa...

READ MORE