×

Habari

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) Lazuia Matokeo ya Watahiniwa 540 la Saba

  Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) limezuia matokeo ya watahiniwa 540 kutoka vituo sita vya mitihani ndani ya jiji...

READ MORE

Necta Yazifungia Shule 24 kwa Kufanya Udanganyifu Mtihani la Saba …Ipo Rweikiza ya Bukoba, Al-hikma Dar

  Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) leo Desemba 1, 2022 limevifungia vituo vya mitihani 24 sawa na asilimia 0.13 ya...

READ MORE

Hospitali ya Taifa Muhimbili, Aga Khan Wafanya Operesheni 23 Kuboresha Maumbile

HOSPITALI ya Aga Khan, kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Reconstruction Woman International (RWI) na Hospital ya Taifa ya...

READ MORE

H-Baba Alia Akiongelea Mikataba ya Harmonize Amkataa Diamond Aruka na Kiba – Video

MSANII mkongwe wa muziki wa Kizazi Kipya nchini Tanzania, H Baba ameshindwa kujizuia na kujikuta akimwaga chozi wakati akizungumzia mikataba...

READ MORE

PSSSF Yatwaa Tuzo ya Umahiri Katika Uwasilishaji Taarifa za Mahesabu Kwa Mwaka 2021

    MFUKO wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) umetwaa Tuzo ya Umahiri katika Uwasilishaji  wa Taarifa...

READ MORE

Mwimbaji wa Marekani Jake Flint Afariki Saa Chache Baada ya Harusi

Hali ya sintofahamu inaendelea kutanda kuhusu kifo cha mwanamuziki wa taarabu nchini Marekani, Jake Flint, saa chache baada ya harusi...

READ MORE

UNDP na Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) Wazindua Jukwaa la Kwanza la Uwekezaji wa Malengo ya Maendeleo Endelevu

    Dar es Salaam, Novemba 30, 2022: Jukwaa la kwanza kuwahi kutokea Tanzania la Uwekezaji wa Malengo ya Maendeleo...

READ MORE

Kampuni ya Barron Yatoa Msaada Wa Viatu Kwa Watoto Wenye Maambukizi ya Ukimwi

Katika kuadhimisha siku ya UKIMWI Duniani leo tarehe 1 Disemba 2022 Kampuni ya Barron ambao ni wazalishaji na wauzaji wa...

READ MORE

GGML Yaweka Rekodi Mapambano Dhidi ya VVU/ UKIMWI

WAKATI leo ikiwa ni kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Ukimwi duniani, Kampuni ya Geita Gold Mining Limited (GGML), imesema...

READ MORE

Rais Samia Atunukiwa Shahada ya Udaktari wa Falsafa Katika Mahafali ya Chuo Kikuu cha Dar (Picha +Video)

  MKUU wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Rais Mstaafu wa Awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtunuku...

READ MORE

Mwanamitindo Maarufu Nchini Fahyvanny Adaiwa Kwenda Uturuki Kusti Shepu?

MWANAMITINDO maarufu nchini, Fahyma ‘Fahyvanny’ na mzazi mwenza wa mwanamuziki wa Bongo Fleva na C.E.O wa Next Level Raymond Mwakyusa...

READ MORE

CCM Yasikitishwa na Kulaani Kitendo cha Udhalilishaji Dhidi ya Mzee Mkoani Mara

Chama cha Mapinduzi (CCM), kimesikitishwa na kulaani kitendo cha udhalilishaji na ukiukaji wa haki ya msingi ya Mtanzania kuwa huru...

READ MORE

Mkuu wa Polisi wa Nigeria Ahukumiwa Kifungo cha Miezi Mitatu Jela

Mahakama kuu nchini Nigeria imemhukumu mkuu wa polisi nchini humo kifungo cha miezi mitatu jela kwa kutotii amri ya mahakama....

READ MORE

Ekima Consultants Waandaa Tamasha la Kuwakwamua Kiuchumi Wanawake

  WAKATI dunia ikiadhimisha Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia Duniani, kampuni ya Ekima Consultants na wadau wa maendeleo...

READ MORE

Waziri Mkuu Atoa Wito kwa DAWASA Kuendelea Kutafuta Vyanzo Vipya vya Maji

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ametoa wito kwa Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) kuendelea kutafuta vyanzo vipya...

READ MORE

Majaliwa: Uwekezaji Nchini Hautakwama, Serikali Itawaunga Mkono Wawekezaji

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali ya awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan itaendelea kuwaunga mkono...

READ MORE

Mzee wa Squid Game Ashtakiwa kwa Tuhuma za Unyanyasaji wa Kingono

Mwigizaji wa tamthilia ya Squid Game, O Yeong-su mwenye umri wa miaka 78, amefunguliwa mashtaka ya unyanyasaji wa kingono, ambapo...

READ MORE

Wananchi Kibiti Wamshukuru Rais Samia Ujenzi Daraja la Mbuchi

WAKAZI wa Kata za Mbuchi na Mbwera Kibiti Mkoani Pwani wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu...

READ MORE

Mzozo wa DRC: Matumaini Mapya Baada ya Mazungumzo ya Amani ya DR Congo Kuanza Nchini Kenya

Rais wa Rwanda Paul Kagame ameelezea matumaini yake kuwa mzozo wa mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo unaweza kutatuliwa...

READ MORE

Anne Makinda Kutunuku Wahitimu 291 Chuo Cha HKMU

  SPIKA Mstaafu ambaye ni Mkuu wa Chuo Kikuu cha  Hubert Kairuki (HKMU), Anne Makinda anatarajiwa kuwatunuku wahitimu 291 wa...

READ MORE

Wizara ya Elimu Yasema Mageuzi ya Elimu Yanayokuja Kuhakikisha Elimu Ujuzi Inapatikana

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema mageuzi ya elimu yanayokuja yanakwenda sambamba na kuandaa mazingira ya...

READ MORE

Sitasahau Jinsi Mpenzi Wangu Alivyonisingizia Nimembaka Mdogo Wake!

    Jina langu ni Jamal kutokea Kakamega, katika maisha yangu nimejifunza kuwa mtu ambaye unamuamini sana ndiye anaweza kukufanyia...

READ MORE

Mashabiki Qatar Watumia Picha za Mesut Ozil Kuwakashifu Wajerumani

  Mashabiki wa soka wa Qatar, wametumia picha za mchezaji mkubwa wa Ujerumani aliyestaafu kuichezea timu ya taifa, Mesut Ozil...

READ MORE

Kituo cha Uwekezaji Nchini (TIC), UNDP na Wizara ya Uwekezaji Waandaa Kongamano

  28 Novemba 2022: KITUO cha Uwekezaji Tanzania (TIC) kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Taifa linaloshughulikia maendeleo la...

READ MORE

Mohamed Ali Mohammed Mwenyekiti Mpya UVCCM Taifa Ashinda Kwa Kishindo

Wajumbe wa mkutano mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wamemchagua Mohamed Ali Mohammed (Kawaida) kuwa mwenyekiti...

READ MORE

Women in Mining: How GGML Elevates Women in the Mining Industry and Continues to Support Them

The struggle for gender equality is ongoing, although in recent years there has been a closer parity in the opportunities...

READ MORE

Rais Samia Afungua Mkutano Mkuu Wa 10 Chama Cha Taaluma Ya Menejimenti – Video

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan leo Novemba 27, 2022 amefungua Mkutano Mkuu wa Kumi...

READ MORE

Maandamano Makubwa Yazuka China, 10 Wafa kwa moto, Wataka Rais Xi Jinping Ajiuzulu

Maandamano dhidi ya masharti Covid nchini China yanaonekana kushamiri kufuati moto ulioua watu 10 katika jengo la ghorofa huko Urumqi....

READ MORE

Dc Nyangasa: Igeni Mfano Wa Meridianbet Aongoza Zoezi La Usafi Kigamboni, Dar

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Fatma Nyangasa ametoa wito kwa makampuni mbalimbali kuiga mfano wa Kampuni ya Meridianbet Tanzania, Ameyasema...

READ MORE

Mfanyabiashara Wa Madini Amuua Kwa Risasi Mtoza Ushuru, Kisa Deni La Elfu 7 – ”Alimpiga Kifuani”-Video

 Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia EZEKIA EMMANUEL LUHWESHA (31) Mchimbaji na Mnunuzi wa Madini, Mkazi wa Matundasi...

READ MORE

SBL Yatumia Bia ya Guinness Kuhamasisha Sanaa ya Uchoraji Nchini

Novemba 26, 2022, Dar es Salaam, Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeendelea kuhamasisha sanaa ya uchoraji kwa Watanzania kupitia...

READ MORE

Sekondari ya John The Baptist Yafanya Mahafali ya 15 ya Kidato cha Nne 2022

  SEKONDARI ya wasichana, John The Baptist iliyopo jijini Dar es Salaam, imefanya mahafali ya kumi na tano ya wanafunzi wanaomaliza...

READ MORE

BAKITA Kufanya Uhariri wa Mashairi Bure kwa Wanamuziki wa Dansi

BARAZA la Kiswahi Tanzania (BAKITA) limeamua kuongeza nguvu katika kuunganisha muziki wa dansi hapa nchini kwa kuwakaribisha wanamuziki wote kwa...

READ MORE

Fursa kwa Vijana: Kampuni ya Inalipa Yazindua Programu ya Uza Kukuza Ujasiriamali

    Kampuni ya biashara mtandaoni ya Inalipa (https://www.inalipainc.com) leo imezindua programu mpya ya kibunifu ya uza ambayo inatazamiwa kuwa...

READ MORE

Namna Unavyoweza Kushinda Kesi za Kudhulumiwa Mashamba au Viwanja

HAKUNA jambo ambalo linachelewasha maendeleo ya watu kama migogoro ya mashamba na viwanja, mtu anaweza kununua eneo lake sehemu ili...

READ MORE

Makamu wa Rais wa Malawi Saulos Chilima Akamatwa kwa Tuhuma za Rushwa

Makamu wa Rais wa Malawi Saulos Chilima amekamatwa kwa tuhuma za rushwa. Ofisi ya kupambana na rushwa nchini humo inasema...

READ MORE

Kanye West Kugombea urais 2024, Amtaka Trump Kuwa Mgombea Mwenza

Rapa Kanye West amesema ana nia ya kugombea urais wa Marekani mwaka 2024, licha ya kukabiliwa na kashfa kadhaa kutokana...

READ MORE

Kampuni ya  GF Yajivunia Mafanikio ya Miaka 15, Kuwa ya kwanza Kuteneneza Magari Nchini

  Kampuni ya Gf Trucks & Equipment’s Ltd  inajivunia mafanikio iliyoyapata kwa kipindi  cha miaka 15  katika sekta ya uuzaji ...

READ MORE