×

Habari

Chongolo Azitaka Mamlaka za Usimamizi Miradi ya Serikali Morogoro Kuwa Makini

  Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amezitaka mamlaka za usimamizi za serikali Mkoa wa Morogoro kusimamia...

READ MORE

Tishio la Dunia Kukumbwa na Janga la Njaa Lina Maana Gani kwa Tanzania?

  DUNIA inatarajiwa kukumbwa na janga la njaa kwa mwaka 2023 huku ikitajwa kuwa ni janga mbaya zaidi la njaa...

READ MORE

Meridianbet Wanatoa Odds Bomba Mechi za Wikiendi Mambo ni Moto!

Wikiendi hii ni ya kibabe Zaidi ikisindikizwa na Odds bomba na kubwa kutoka Meridianbet, ni FA Cup, Serie A, La...

READ MORE

Msanii wa Muziki wa kizazi kipya Hamis Juma Mbizo (H Mbizo) Afariki Dunia

Msanii wa muziki wa kizazi kipya aliyewahi kutamba na ngoma yake ya Nilonge Nisilonge miaka kadhaa iliyopita, Hamis Juma Mbizo...

READ MORE

Nimefunga Ndoa na Mama Mwenye Nyumba Wangu, Mapenzi Yamenoga

KAMA kijana wa kiume unajua kuna mambo yanaweza kukutokea hadi wewe mwenyewe ukawa unashangaa maana yake ni ipi hasa, ndicho...

READ MORE

SBL Inaendelea Kukuza Kilimo Kupitia Programu Ya Kilimo Viwanda

Januari 24, 2023: Kilimo kinaendelea kuimarika kama moja ya sekta kuu za kiuchumi nchini Tanzania; sekta hiyo inaajiri mamilioni ya...

READ MORE

Kuelekea ‘Grand finale ‘ NMB Kupitia Kampeni yake Ya ‘MastaBataKoteKote’ Yakabidhi Pikipiki

Ikiwa zimesalia siku 3 tu kuelekea ‘Grand finale ‘ ambapo tutashuhudia wateja 8 wakijishindia safari ya kwenda Dubai kwa siku...

READ MORE

Baraza la Ulamaa Watoa Tamko Ndoa Dk. Mwaka na Mkewe Queenie Haijavunjika

BARAZA la Ulamaa, limefutilia mbali uamuzi wa “kuvunja ndoa,” uliyofanywa na sheikh wa BAKWATA mkoani Dar es Salaam, Alhadj Mussa...

READ MORE

Dubai Yatajwa Kama Sehemu Maarufu Zaidi Ya Kutembelewa Duniani

  Kwa mujibu wa tuzo za mtandao mkubwa zaidi wa masuala ya usafiri duniani Trip Advisor zinazoitwa Travellers’s choice Awards,...

READ MORE

Serikali Yaipa Mtaji Kampuni Ya Mbolea Nchini(Tfc),Yaanza Usambazaji Wa Mbolea Nchini

Ikiwa ni sehemu ya mkakati wa kuhakikisha mbolea sahihi na bora zinawafikia wakulima wote kwa wakati na kwa bei nafuu,...

READ MORE

Magaya, Gwajima, Mkenda Wasaka Dawa Dhidi Ya Ukatili

KUKITHIRI kwa vitendo vya ukatili kwa Watoto nchini, Jumuiya ya Wazazi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imekutana na Waziri wa...

READ MORE

Video: Mwili Wa Mtanzania Aliyefia Ukraine Waagwa Nyumbani Kwao Dar, Umati Wajitokeza

MWILI wa Raia wa Tanzania, Nemes Tarimo aliyefia vitani Ukraine umewasili nchini asubuhi ya leo Januari 27, 2022 ukitokea Urusi...

READ MORE

Jeshi la Marekani lamua Kiongozi wa Islamic State (ISIS) nchini Somalia

US MILITARY OPERATION-SOMALIA Jeshi la Marekani liliendesha operesheni ambayo ilimua afisa kiongozi wa kundi la Islamic State kaskazini mwa Somalia,...

READ MORE

Breaking: Mwili Wa Mtanzania Aliyefia Vitani Ukraine Wawasili Dar Ukitokea Urusi -Video

MWILI wa Raia wa Tanzania, Nemes Tarimo aliyefia vitani Ukraine wawasili nchini asubuhi ya leo Januari 27, 2022 ukitokea Urusi....

READ MORE

Meridianbet Yamwaga Ajira Temeke, Zaidi ya Watanzania 142 Wanufaika

ZAIDI ya watanzania 142 wamenufaika na ajira kupitia Meridianbet Tanzania, ikiwa ni moja ya ndoto ya kampuni hiyo inayotoa huduma...

READ MORE

Msanii Peter Msechu Awekewa Puto Tumboni katika Hospitali ya Mloganzila, Dar

MSANII Peter Msechu amekuwa miongoni mwa watu waliopatiwa matibabu ya kuwekewa puto tumboni (intragastric balloon) katika hospitali ya Mloganzila, Dar...

READ MORE

Dk Mwaka Afunguka – “Ndoa Yangu Haijavunjwa, Mufti Naomba Toa Tamko”- Video

Baada ya sakata la mke wa Dokta Mwaka kudai talaka kuchukua sura mpya hapo jana, Januari 25, 2023 na uamuzi...

READ MORE

Wapalestina Tisa Wauawa katika Uvamizi wa Israel huko Jenin

Wapalestina tisa, akiwemo mwanamke mzee, wameuawa katika uvamizi wa kijeshi wa Israel katika ukingo wa Magharibi unaokaliwa kwa mabavu, maafisa...

READ MORE

Meli ya Tanzania Yapinduka katika Bandari ya Assaluyeh Kusini mwa Iran

Meli ya mizigo ya Tanzania iitwayo Anil imepinduka katika bandari ya Assaluyeh Kusini mwa Iran Siku ya Jumanne, Januari 24...

READ MORE

Marekani Kutuma vifaru 31 aina ya M1 Abrahams nchini Ukraine

Marekani imetangaza kuwa itatuma vifaru 31 aina ya M1 Abrahams nchini Ukraine, vinavyoelezewa na maafisa wa Marekani kuwa “bora zaidi...

READ MORE

Staa wa PSG Kylian Mbappe Aweka Rekodi Ya Kipee Atupia Mabao Matano

STAA wa PSG, Kylian Mbappe juzi aliteuliwa kwa nahodha wa Paris Saint-Germain kwa mara ya kwanza kwenye mchezo Coupe de...

READ MORE

Mama wa Mwanafunzi Aliyechapwa Kinyama na Mwalimu Mkuu Afunguka – Video

 Tukio ni la kweli limetokea,tarehe 10.01.2023, ambapo Mwalimu huyo alipiga viboko wanafunzi zaidi ya mmoja, upigaji wake ndio ulioleta...

READ MORE

Kila Mwanaume Aliyekuwa Akinichumbia, Alikuwa Ananiacha Kwenye Mataa

    Jina langu ni Melinda, naishi jijini Mwanza, ni mama wa mtoto mmoja ambaye niliolewa Machi mwaka jana nikiwa...

READ MORE

Uhakiki Laini za Simu Mwisho Februari 13, 2023 Waziri Nape Afunguka – Video

SERIKALI imeongeza siku 14 kwa Watanzania waliosajili laini zao za simu kuhakiki laini hizo kabla ya kufikia tarehe 13 Februari,...

READ MORE

Ripoti ya Mo Ibrahim Yasema Sehemu kubwa ya Afrika sio Salama

Ripoti ya taasisi yake iliyataja mapinduzi nane yaliyofanikiwa tangu mwaka 2019. Mali na nchi jirani ya Burkina Faso zimeshuhudia mawili...

READ MORE

Mshindi wa “Ndinga la Kishua” Kutoka Kahama, Akabidhiwa Gari Lake

Dar es Salaam, 26 Januari 2023:  Kampeni ya Ndinga la Kishua iliyoendeshwa na kuratibiwa na kampuni ya mawasiliano Tigo, leo imekabidhi...

READ MORE

Mamia Wampokea Tundu Lissu Uwanja wa Ndege Dar, Polisi Waweka Ulinzi Mkali – Video

MAKAMU Mwenyekiti wa Chadema-Bara, Tundu Lissu amewasili leo Januari 25, 2023 katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere...

READ MORE

Rais Samia Afanya Uteuzi wa Wakuu wa Wilaya 37 Wapya, Wengine Awahamisha

Rais Samia Suluhu Hassan, amefanya uteuzi wa Wakuu wa Wilaya Wapya 37, kuwahamisha vituo vya kazi wakuu wa wilaya 48...

READ MORE

Waziri Mkuu Majaliwa Awakabidhi Tuzo Washindi Wa Kiswahili Safal-Cornell Ya Fasihi Ya Afrika

Washindi wa Tuzo ya Kiswahili ya Safal-Cornell ya Fasihi ya Afrika kwa mwaka 2022 walituzwa na Mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa,...

READ MORE

Waziri Dkt. Dorothy Gwajima Atembelea Benki ya Nmb, Ateta na Uongozi

  Benki ya NMB imepata nafasi ya kutembelewa na Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na wenye Mahitaji Maalum...

READ MORE

Rais Samia Atengua Uteuzi wa Viongozi Watano kwa Mpigo

Taarifa iliyotolewa leo Januari 24, 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu, Zuhura Yunus, imewataja waliotenguliwa kuwa ni Reuben...

READ MORE

Vita vya Ukraine: Poland Yaiomba Ujerumani Ruhusa Kusafirisha vifaru hadi Ukraine

Poland imeiomba rasmi Ujerumani ruhusa ya kusafirisha vifaru vingi vya vita aina ya Leopard 2 kwenda Ukraine hatua ambayo inaibua...

READ MORE

Bima Ya Afya Kwa Wote, Waziri Ummy Afunguka Watanzania Watakavyonufaika-Video

Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu amesema lengo la Bima ya Afya kwa Wote ni kuchangiana kwa gharama za matibabu kwa...

READ MORE

Waziri Ahukumiwa Kifungo cha Miaka Mitano kwa Ufisadi, Wakili wake Afunguka

Mahakama kuu mjini Kigali imemhukumu aliyekuwa waziri wa utamaduni wa Rwanda kifungo cha miaka mitano jela kwa madai ya rushwa....

READ MORE

Utafiti Stadi za Maisha Na Maadili Kwa Vijana Kuzinduliwa Januari 26, Dar

  UTAFITI uliofanywa na Mradi wa ALiVE-Tanzania kupima stadi za maisha na maadili kwa vijana nchini Tanzania umebaini kuwa vijana wengi...

READ MORE

Afisa wa FBI Akamatwa kwa Kumfanyia Kazi kwa Siri tajiri wa Russia

AFISA mstaafu wa Idara ya uchunguzi ya Marekani (FBI) amekamatwa na kufunguliwa mashtaka mjini New York na Washington kwa tuhuma...

READ MORE

Kenya: Odinga Aendelea Kudai yeye Ndiye Mshindi halali wa Uchaguzi wa rais wa Agosti mwaka jana

Kinara wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga Jumatatu alisisitiza kuwa yeye ndiye mshindi halali wa uchaguzi wa mwaka jana, na...

READ MORE

Waziri wa Mambo ya nje wa Urusi Kuanza Ziara yake Afrika Kusini leo

Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Sergei Lavrov anafanya ziara ya kwanza nje ya nchi tangu Urusi ilipoivamia Ukraine...

READ MORE

Nilikuja Jijini Dar es Salaam Kama Kibarua, Sasa Hivi Namiliki Hoteli Nzuri

  Jina langu ni Bakari Bekason, naishi jijini Dar es Salaam, ila nimezaliwa Kigoma. Baada ya kufikisha umri wa miaka...

READ MORE

Juhudi za Serikali Zazidi Kuungwa Mkono, Nmb Yatoa Msaada Vifaa Tiba Wilaya ya Arusha

  Sekta ya afya ni sekta muhimu kwa maendeleo ya jamii zetu na kwa kulitambua hilio, Benki ya NMB imeshirikiana...

READ MORE