×

Habari

Machinga, Bodaboda Wapata Ufadhili Kutoka Nmb,Kupata Mafunzo Nchini Rwanda

BENKI ya NMB imefadhili ziara ya siku nne ya mafunzo kwa Viongozi wa Vyama na Mashirikisho ya Wafanyabiashara Wadogo (Machinga)...

READ MORE

Wizara ya Sanaa Yaja na Tatu Kubwa za 2023, Kupokea Ripoti ya Kamati Kuhusu Vazi la Taifa

Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo kesho Ijumaa, Februari 03, 2023, inakwenda kuweka historia ya fungua mwaka kwa kufanya mambo...

READ MORE

DRC: Papa Francis Awasihi Waliodhulumiwa Kusamehe, Awataka Wamuige Yesu

Papa Francis amewasihi watu wa Kongo kuwasamehe wale walio wadhuru, alisema hayo alipokuwa akiongoza misa iliyohudhuriwa na watu takriban milioni...

READ MORE

FBI Haijakuta Nyaraka Mpya za siri katika Makazi ya Rais wa Marekani, Joe Biden

Maafisa wa idara ya upelelezi ya Marekani, FBI hawakupata nyaraka mpya za siri katika operesheni yake ya Jumatano. Oparesheni hiyo...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Awaalika Bungeni Wanafunzi Walioiwakilisha Nchi Uswizi Kuunda Roboti

MWALIKO BUNGENI: Waziri Mkuu wa Tanzania Mh. Kassim Majaliwa amewaalika  timu ya wanafunzi kutoka shule mbalimbali  Bungeni-Dodoma wanafunzi waliowakilisha Tanzania...

READ MORE

Baada ya Kuhangaika Sana, Hivi Ndivyo Nilivyofanikiwa Kupata Mchumba wa Kumuoa

  Vijana wengi huwa tunapitia changamoto mbalimbali katika kipindi cha kutafuta wenzi (mke au mume) maisha kutokea na baadhi ya...

READ MORE

DC Aipongeza Mahakama Utoaji Elimu kwa Wananchi

Mkuu wa Wilaya ya Ludewa, Victoria Mwanziva ameipongeza Mahakama ya Wilaya ya Ludewa kwa kutoa elimu ya Sheria kwa wananchi...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Watanzania Kuadhimisha Siku Ya Sheria

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 1 Februari, 2023 amewaongoza Watanzania...

READ MORE

Chongolo Awaagiza Tanroads Kukamilisha Haraka Barabara ya Malinyi- Namtumbo

  KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo ameuagiza wakala wa barabara Tanzania TANROADS kuhakikisha ndani ya mwaka...

READ MORE

Kumbe Scorpion Aliyemtoboa Macho Said Siye Aliyefungwa? Samjet Atoka Gerezani, Afunguka -Video

Salum Njwete ambaye mitaa imembatiza jina la Scorpion, ametoka gerezani baada ya kutumikia kifungo cha miaka saba, akidaiwa kumtoboa macho...

READ MORE

Waziri Nape na Mafanikio Aliyoyapata Kwenye Mwaka Mmoja wa Kuaminiwa

Mwaka Mmoja umepita tangu Rais Samia Suluhu Hassan, alipomteua Nape Nnauye kuwa Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari....

READ MORE

Mbrazil Atua na Mikwara Mizito Simba Awapa Makavu Wachezaji Wake

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbrazil, Roberto Oliveira  ‘Robertinho’  amefunguka kuwa anataka kuona wachezaji wa timu hiyo  wanacheza kwa kujituma na...

READ MORE

Boomplay Kusherehekea Wasanii wa Afrika Waliochaguliwa Kwenye Tuzo Za Grammy

Sekta ya muziki duniani inajitayarisha kwaajili ya usiku mkubwa wa mwaka kupitia tuzo za 65 za Grammy. Huku wasanii wa...

READ MORE

Wanandoa Wahukumiwa Kifungo Cha Miaka 10 Jela Kwa Kusakata Densi Hadharani – Video

Wanandoa wa Iran walio na umri wa miaka 20 wamehukumiwa kifungo cha miaka 10 jela baada ya kuchapisha video yao...

READ MORE

Nmb Yashiriki Kilele Cha Wiki ya Sheria Dodoma

  Benki ya NMB imeshiriki kilele cha wiki ya Sheria nchini iliyomalizika leo jijini Dodoma ambapo katika kilele hicho kimehitimishwa...

READ MORE

DCB Yaingia Kwenye Mizania ya Kati, Yajiimarisha Kuendelea Kupata Faida Zaidi 2022

Benki ya Biashara ya DCB imepata faida kwa kiwango kikubwa kwa mwaka wa fedha wa 2022 ukilinganisha na faida iliyopatikana...

READ MORE

GGML Kuwapatia Mafunzo Kazi Wahitimu 50 wa Vyuo Vikuu

  JUMLA ya wahitimu 50 wa vyuo vikuu nchini wamepata fursa ya kupata mafunzo yanayotolewa na Kampuni ya Geita Gold...

READ MORE

Kampuni Kutoka China, HAIER Yaidhamini Yanga Mashindano ya CAF, Yatoa Bil 1.5

  Kampuni mpya Tanzania ya bidhaa za umeme itokeayo China iitwayo HAIER imesaini mkataba na KLABU ya Yanga kuwa mdhamini...

READ MORE

Mo Dewji Atangazwa Kuwa Bilionea wa 13 Afrika, Apanda kwa Nafasi Mbili

  Bilionea na mfanyabiashara maarufu Tanzania na Afrika kwa ujumla, Mohammed Dewji, anazidi kupaa kwa utajiri duniani baada ya hivi...

READ MORE

Chongolo Ataka Kiwanda cha Kilombero Kitoe Elimu kwa Wakulima wa Miwa

  KATIBU Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amemuagiza Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Fatuma Mwassa kukutana na...

READ MORE

Matokeo ya Kidato cha Nne 2022 Yatazame Hapa

  Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) leo Januari 29, 2023 limetangaza matokeo ya mitihani ya kidato cha nne mwaka 2022...

READ MORE

Papa Francis Aelekea Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo kwa ziara ya Kihistoria

Papa Francis leo anatarajiwa kutua katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, nyumbani kwa jumuiya kubwa zaidi ya wakatoliki wa Roma...

READ MORE

Rais wa Liberia George Weah Kuwania Muhula wa pili Mwezi Oktoba

Rais wa Liberia na mchezaji nyota wa zamani wa soka ya kimataifa George Weah Jumatatu ametangaza kwamba atawania muhula wa...

READ MORE

NALA Yaungana na Vodacom M-Pesa Kuleta Urahisi wa Kutuma, Kupokea Pesa Nchi za Ulaya

Kampuni ya kimataifa iliyozaliwa Tanzania (NALA), inayoshughulika na mfumo wa malipo, duniani na kampuni ya Teknolojia na Mawasiliano ya Vodacom...

READ MORE

Sheikh Mkuu Dar : Awachana Baraza La Maulamaa… ”Unamtetea Muhuni Kwa Kutaka Mke Ambaye Hamtaki?” – Video

Sheikh Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum amezungumzia juu ya sakata linaloendelea kuhusiana na talaka ya...

READ MORE

Vita vya Ukraine: Joe Biden Afutilia mbali Uwezekano wa Kuipa Ukraine Ndege za Kivita za F-16

Rais wa Marekani Joe Biden amefutilia mbali uwezekano wa kutuma ndege za kivita za F-16 nchini Ukraine, licha ya wito...

READ MORE

Baada ya Kusota Kazini Na Mshahara Mdogo, Hatimaye Nimepandishwa Cheo

  Hakuna ubishi kuwa ni ndoto ya kila mfanyakazi kupanda daraja, cheo na mshahara katika kazi yake, kufanyika hilo hupelekea...

READ MORE

Nmb Yazindua Kampeni ya Umebima 2023, Elimu Zaidi Yatolewa

Katika azma yake ya kuchangia ujumuishi wa kifedha nchini kupitia huduma za bima, Benki ya NMB Jumatatu wiki hii imezindua...

READ MORE

Wentworth Gas Ltd Yasaidia Wasichana wa Shule Za Kitanzania Kwenye Sekta ya Elimu

27 Januari 2023, Mtwara. Kampuni ya Wentworth Gas Ltd, kupitia Taasisi ya Wentworth Africa Foundation Tanzania imetoa taulo 1,500 zenye...

READ MORE

Vigogo Chama cha Walimu (CWT) Wamegomea Uteuzi wa Rais Samia?

  Siku chache zilizopita, Rais Samia Suluhu Hassan, aliwateua viongozi wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), kuwa miongoni mwa wakuu...

READ MORE

Meridianbet Yamwaga Vifaa vya Michezo Africa Media

  Kampuni ya Habari ya Africa Media inayomilika vituo vya utangazaji Channel 10 na Magic FM, ambacho ni kituo cha...

READ MORE

Boris Johnson: Putin Alitishia Kuniua Nilipomuonya Kuhusu Kuivamia Ukraine

  Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson amefichua kwamba Rais wa Urusi, Vladmir Putin alitishia kumuua endapo angeendelea na...

READ MORE

Mke Wangu Amerejea Nyumbani Baada ya Kuniacha kwa Muda wa Miaka Miwili Sababu

  Katika miaka 21 niliyoishi kwenye ndoa, nimehitimisha kwa kusema kuwa; ndoa inahitaji uvumilivu mkubwa sana, ndoa inahitaji kuwa na...

READ MORE

Chongolo Awanyooshea Kidole Watendaji wa Serikali, Akemea Migororo ya Ardhi

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Daniel Chongolo amewanyooshea kidole watendaji wa serikali kwa kuwa na tamaa za...

READ MORE

Jumuiya Ya Wazazi CCM, Dar Ilivyoazimisha Miaka 46 Ya CCM

Dar es Salaam 29 Januari 2023: Katika kuadhimisha miaka 46 ya kuzaliwa kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) jana Jumamosi Jumuiya...

READ MORE

Papa Francis Kutembelea DRC na Sudan Kusini siku ya Jumanne

Papa anatembelea nchi hizo mbili ambako miaka mingi ya mizozo imewalemaza wengi na bado ni miongoni mwa maeneo magumu zaidi...

READ MORE

Shambulio la Sinagogi Jerusalem: Saba Wauawa katika Shambulio la Risasi

Watu saba wamepigwa risasi na kufa katika sinagogi lililopo mashariki mwa mji wa Jerusalem, ikiwa ni idadi kubwa ya watu...

READ MORE

Mazishi ya Mtanzania Nemes Tarimo Aliyeuawa Vitani Ukraine Yafanyika Kijijini Kwao -(Picha +Video)

MAZISHI ya Raia wa Tanzania, Nemes Tarimo aliyefia vitani Ukraine yamefanyika kijijini kwao katika wilaya ya Tukuyu Nyada za juu...

READ MORE

DCI Ramadhani Kingai Atembelea Ocean Road,”Polisi nao Ni Wanajamii”

Askari Polisi alijiunga na Jeshi la Polisi na kuhudhuria mafunzo ya awali mwaka 2000/2001 leo wametembelea Taasisi ya Saratani Ocean...

READ MORE