×

Habari

Pinga Ukatili wa Kijinsia kwa Wanawake na Meridianbet!

Hauko peke yako – Meridianbet ina ujumbe mzito kwa wanawake wahanga wa matukio ya ukatili wa kijinsia. Popote ulipo, mtaani,...

READ MORE

Rais wa Zamani Marekani Donald Trump Ashtakiwa kwa Ubakaji New York

Mwandishi E Jean Carroll amemshtaki Donald Trump katika jimbo la New York Marekani kwa madai ya kumbaka katika miaka ya...

READ MORE

Busara Yaendelea Utatuzi wa Mgogoro Barabara Kigamboni

  SIKU chache baada ya Halmashauri ya Manispaa ya Kigamboni kuweka wazi mchakato wa kumlipa fidia mwekezaji kampuni ya  ASM...

READ MORE

Bora RX Medicina Yatumia Sh Milioni 46 Kukarabati na Vifaa vya Kituo cha Afya Gerezani

  IJUMAA, Novemba 24, 2022 DAR ES SALAAM — Kampuni ya Bora Rx Medicina imetoa msaada wa vifaa vya kisasa...

READ MORE

Aleka Holdings Yatoa Msaada wa Vifaa Tiba kwa Hospitali ya Ocean Road

  Kampuni ya utengenezaji na usambazaji ya vifaa tiba ya Aleka Holdings leo imetoa msaada wa barakoa za upasuaji kwa...

READ MORE

Ripoti Ya Waziri Mbarawa Ajali Ya Precision – ”Muhudumu Ndiye Alifungua Mlango” -Video

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema mlango wa ndege ya shirika la ndege la Precision Air iliyopata...

READ MORE

Mashabiki wa Japan Wasafisha Uwanja Baada ya Kuishinda Ujerumani Kombe la Dunia

MASHABIKI wa timu ya Japan Novemba 23, 2022 wamewashangaza wengi baada ya kuanza kuokota taka uwanjani mara baada ya mchezo...

READ MORE

Siri ya Nmb Kunyakua Tuzo 18 Yatajwa, Uongozi Thabiti wa Afisa Mtendaji Watajwa..

  Benki ya NMB imedhibitisha uongozi na sifa yake ya kuwa taasisi kinara wa huduma za kifedha nchini na isiyo...

READ MORE

Harmonize Kama Diamond Tu! Wachambuzi wa muziki Wafunguka Utunzi wa Mashairi

MSANII wa miondoko ya Bongo Fleva Harmonize ‘Harmo’, anabaki kuwa mmoja wa wanamuziki bora kwa utunzi wa mashairi na ni...

READ MORE

Dada Zangu Waliokuwa Wamezamia Mjini Wakifanya Maovu, Wamerejea Nyumbani

JINA langu ni Samson kutokea Mara mkoani Tanzania, katika ukoo wetu kuna kitu ambacho kilikuwa kinamtokea kila mtu. Mwanzo nilikuwa...

READ MORE

Kombe la Dunia 2022: Ufahamu Uwanja Uliojengwa kwa Makontena 974 Qatar, Kutolewa Bure Kwa Nchi Masikini

UWANJA huu umepewa jina la 974 ambayo ni idadi ya makontena ya kusafirishia mizigo yaliyotumika kuujenga na kuufanya kuwa uwanja...

READ MORE

Mahakama ya Juu Marekani yaidhinisha kutolewa kwa hati za kodi za Trump

Mahakama ya Juu ya Marekani Jumanne iliidhinisha kutolewa kwa nyaraka za kodi za rais wa zamani Donald Trump, kwa kamati...

READ MORE

NBC Yaungana na Jubilee Kutumia Mtandao wa Mawakala wa Bima NBC Kuuza Bidhaa za Bima

  DAR ES SALAAM – Novemba 22, 2022. Ikiwa ni sehemu ya juhudi zake za kuimarisha utoaji wa huduma za...

READ MORE

Wakishua Kutoka Tigo Kuwazawadia Wateja Gari Jipya, Pesa na Vifaa Kutoka Hisense

  Dar es Salaam 23 Novemba 2022, Kampuni inayoongoza katika kuhakikisha Mtanzania anaishi maisha ya kidijitali, Tigo Tanzania, Leo imetangaza...

READ MORE

Kiwanda Cha Mafuta Chaungua Moto Shinyanga, Majeruhi 4 Wakimbizwa Hospitalini

MOTO umezuka na kuteketeza sehemu ya kiwanda cha kuchakata mafuta ya kupikia yatokanayo na mbegu za pamba cha Jielong kilichopo...

READ MORE

Dkt Kigwangalla Adai Dhambi Aliyoifanya Dkt Bashiru Haistahili Huruma

MBUNGE wa Nzega Vijijini na aliyewahi kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt Hamisi Kigwangalla ameibuka na kudai kuwa dhambi...

READ MORE

Kundi la Wanaharakati Marekani Kupinga nia ya Trump Kugombea Urais

Kufuatia tangazao la rais wa zamani wa Marekani Donald Trump wiki iliyopita kwamba atawania tena kiti cha rais kwenye uchaguzi...

READ MORE

Waziri Kigahe Azindua Upanuzi Mkubwa wa Kiwanda cha Bia cha SBL Mjini Moshi

  Moshi, Novemba 22, 2022: Serikali ya Tanzania na Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) wameshiriki katika uzinduzi wa upanuzi...

READ MORE

Watu Sita Akiwemo Aliyekuwa Kocha wa Makipa Klabu ya Simba Wafikishwa Mahakamani

  Watu sita akiwemo aliyekuwa kocha wa makipa wa timu ya klabu ya Simba, Muharami Sultan (40) wamefikishwa katika mahakama...

READ MORE

Maadhimisho ya Siku ya Mtoto Njiti Duniani Yafanyika Hifadhi ya Serengeti

Taasisi ya Doris Mollel Foundation imeadhimisha Siku ya Mtoto Njiti Duniani ambayo kwa kawaida huadhimishwa mnamo tarehe 17 Novemba kila...

READ MORE

Mwanaume Mmoja Akutwa Amefariki Katika Bwawa Dogo Mjini Njombe

MWANAUME mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 30 mpaka 35 amekutwa amefariki katika Bwawa dogo lililopo katika Msitu wa...

READ MORE

Kutana na Mshindi wa Samsung Z Flip 4 Kutoka Meridianbet!

    Wikiendi hii Meridianbet imeshuhudia bingwa na mshindi wa simu mpya aina ya Samsung Z Flip 4, ambaye ameibuka...

READ MORE

Piga Utoboe na Infinix Kama Feisal Salum na Aishi Manula

HABARI njema kwa vijana wapenda soka na wateja wa simu kali za Infinix.Kampuni ya simu Infinix imewatambulisha Rasmi Feisal Salum...

READ MORE

Je, Wewe ni Daktari au Muuguzi? Jiongezee Kipato cha Ziada Kupitia ChapRide

  Je, wewe ni daktari au muuguzi na unavyo vigezo vilivyoelekezwa na serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania? Ungana...

READ MORE

Nyota wa Manchester United Amuwakia Rais wa FIFA, Amtaka Ajisafishe

NYOTA wa zamani wa klabu ya Manchester United Gary Neville ameibuka na kumtaka Rais wa FIFA Gian Infantino kujisafisha kutokana...

READ MORE

SGA Yapokea Tuzo kwa Ulipaji Kodi Bora

  KAMPUNI ya SGA Security ambayo, ndio kampuni kongwe binafsi ya ulinzi nchini, imepokea tuzo kutoka kwa Mamlaka ya Kodi...

READ MORE

Waziri Mkenda, Waziri Lela Mohammed Waongoza Kikao Cha Mapitio ya Sera na Mitaala

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe Prf Adolf Mkenda (Mb) pamoja na Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali...

READ MORE

Rais Samia Akabidhiwa Tuzo ya Uongozi wa Kimageuzi Afrika (African Leadership Award 2022)

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, hatimaye amekabidhiwa Tuzo ya Uongozi wa Kimageuzi Afrika (African...

READ MORE

Elon Musk Amrejesha Donald Trump Twitter Baada Ya Kufungiwa Miezi 22

Akaunti ya mtandao wa kijamii wa Twitter ya Rais Mstaafu wa Marekani, Donald Trump imerejea kwenye mtandao huo, zikiwa ni...

READ MORE

Dk. Rose Rwakatare  Mwenyekiti Mpya Jumuiya ya Wazazi Morogoro

Dk. Rose Rwakatare ameibuka na ushindi wa kishindo kwenye nafasi ya Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi ya CCM Mkoa wa…

READ MORE

Ofisi ya DC Jokate Yagawa Vifaa Tiba Kwa Wajawazito 200, Mpango Unaendelea

  19 Novemba 2022: Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo imegawa vifaa tiba kwa kinamama wajawazito zaidi...

READ MORE

NCBA Yatoa Tuzo Kubwa za Washindi wa Kampeni ya Mpawa

  DAR ES SALAAM, tarehe 19 Novemba. Benki ya NCBA kwa mara nyingine tena, na kwa raundi ya mwisho katika...

READ MORE

Mafanikio Yambeba Mndolwa, Atajwa Kutetea Uenyekiti Jumuiya ya Wazazi CCM

  HIVI karibuni Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilitangaza majina nane (8) ya makada wake walioteuliwa kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa...

READ MORE

Wanawake Wananigombania Kila Kukicha Kila Mmoja Akitaka Nifunge Naye Ndoa

Katika tamaduni za Kiafrika, mwanaume ndiye anamfuata (kumtongoza) mwanamke wakati anamuhitaji kuwa naye katika mahusiano ya kimapenzi.   Kitendo cha...

READ MORE

Ushindi Mezani na Kasino ya Mtandaoni ya MeridianBet

  Mchezo wa Titan Roulette       Kama iliivyo ada,  Meridianbet inakuletea michezo ya aina mbalimbali, Ofa, Odds kubwa na Bonasi kibao....

READ MORE

Rais Samia Anashiriki Jubilei ya Miaka 50 ya Utume na Huduma kwa Waadventista Wasabato-Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amehudhuria na kushiriki Jubilei ya miaka 50 ya Utume na...

READ MORE

Makamu wa Rais Akabidhi Tuzo za PMAYA, Ataka Viwanda Viongeze Uzalishaji

  MAKAMU wa Rais, Dk. Phillip Mpango amekabidhi tuzo kwa washindi wa Tuzo za Rais kwa Mzalishaji Bora wa Mwaka...

READ MORE

Mkazi wa Songea Ajishindia Bodaboda Kupitia Nmb Mastabata Kotekote, Wengine Waondoka na Mil 7

  Benki ya NMB imepata mshindi wa pili wa bodaboda, Charles Erasto Mbwilo  kutoka Songea Mkoani Ruvuma kupitia droo ya ...

READ MORE