×

Habari

Watatu Wakamatwa na Shehena ya Risasi, Silaha za Kivita

JESHI la Polisi mkoani Rukwa linawashikilia watu watatu kwa tuhuma za kupatikana na risasi 1,493 za silaha za kivita wilayani...

READ MORE

Jeshi la Mapinduzi Guinea Laagiza Benki Zote Kufunga Akaunti za Serikali

Mamlaka ya kijeshi ya Guinea, imeamuru benki kufungia akaunti zote zinazohusiana na serikali ili “kupata mali za serikali”.   Jeshi...

READ MORE

Kauli ya Serikali Kuhusu Bei ya Mafuta – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imeunda timu maalumu ili kuchunguza kupanda kwa bei ya mafuta kwa kuwa kitendo hicho...

READ MORE

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Mwinyi afanya uteuzi Mpya

Rais wa Zanzibar Dk.Hussein Mwinyi afanya uteuzi wa viongozi mbalimbali katika Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa, Serikali za Mitaa...

READ MORE

Sakata la Malori 200 ya Tanzania Kuzuiliwa Zambia Liko Hivi

Serikali nchini Zambia imejibu tuhuma zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu kuyazuia malori 200 ya mizigo ya nchini Tanzania kuingia...

READ MORE

DED Aliyenusurika Mbele ya JPM, Asimamishwa kwa Tuhuma za Wizi wa Mabati

Waziri wa Tamisemi, Ummy Mwalimu leo Septemba 10,2021, amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Gairo, Mkoa wa Morogoro,...

READ MORE

Cherehani Apitishwa Kugombea Ubunge Jimbo la Ushetu

KAMATI Kuu ya CCM Taifa iliyoketi mjini Dodoma chini ya Mwenyekiti na Rais Samia leo Septemba 10, 2021 imempitisha Emmanuel...

READ MORE

Mbowe na Wenzake Wasomewa Mashtaka Upya

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na wenzake watatu wasomewa upya mashtaka yao sita mbele ya...

READ MORE

Mwenyekiti wa CCM na Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameongoza kikao cha Kamati...

READ MORE

Mbunge Aliyeteuliwa na Rais Samia Aapishwa

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai leo Septemba 10, 2021 amemuapisha Dkt. Stergomena Tax kuwa...

READ MORE

Shigongo Bungeni: Tariff za Kodi Wafanyabiashara Wanaumia – Video

MBUNGE wa Buchosa, Eric Shigongo ameiomba Serikali kufanya mapitio ya baadhi ya tariff za kodi ambazo zimekuwa mwiba kwa wafanyabiashara...

READ MORE

Rais Samia Amteua Bosi wa SADC Kuwa Mbunge

Rais Samia Suluhu Hassan amemteua Dkt. Stergomena Tax kuwa Mbunge wa Bunge la Tanzania. Kabla ya uteuzi huo, Dk Stergomena...

READ MORE

Ahifadhi Mwili wa Mamake kwa Mwaka Mzima Ili Apewe Pensheni

MWANAUME aliweka maiti ya mama yake ndani ya chumba cha chini kwa zaidi ya mwaka mmoja wakati akiendelea kupokea malipo...

READ MORE

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa Mgeni Rasmi Nmb Marathon

  Waziri mkuu Kassim Majaliwa anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mbio za hisani zilizoandaliwa na Benki ya NMB. Mbio hizo...

READ MORE

Bei Imeshuka! Mnada Mkubwa wa Bajaji Kutikisa Dar Jumamosi Hii – Video

KAMPUNI ya SEPCO DEBT COLLECTION AND AUCTIONEERING COMPANY LIMITED inawatangazia mnada wa hadhara. Kwa idhini tuliyopewa na kampuni ya SUNBEAM...

READ MORE

Washindi wa Tusua Mapene ya Vodacom Waeleza Furaha Yao

      Mwezi wa saba mwaka huu, shindano la Vodacom Tanzania la “Tusua Mapene” lilitangaza ushindi wake mkubwa katika...

READ MORE

Rais Samia Aielezea Royal Tour

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, ameeleza kuwa Royal Tour ni kipindi maarufu duniani kitakachotumika kurusha...

READ MORE

Mabasi ya Mwendokasi Yasitisha Safari Mbezi, Mwenge, Kawe

Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Mabasi yaendayo haraka (Udart), John Nguya amesema wameamua kusitisha safari za Shekilango – Mwenge na...

READ MORE

Waliobebana Mshkaki Wafariki kwa Kugongwa na Fuso

WATU watatu waliokuwa wamebebana kwenye pikipiki (Mshikaki) wamefariki dunia papo hapo baada ya kugongwa na fuso lenye namba za usajili...

READ MORE

Walimu Ruksa Kuhama Mijini Kwende Vijijini

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali Mhe Ummy Mwalimu amesema walimu wanaotaka kuhama kutoka mijini...

READ MORE

Basi la Mwendokasi Lagonga Pikipiki, Laua Wawili

WATU wawili wamefariki dunia kwa ajali iliyohusisha basi la mwendokasi na pikipiki. Kwa mujibu wa Kamanda wa polisi Kanda Maalum...

READ MORE

Mbeya: Mtoto Mbaroni kwa Kubaka Mtoto na Kumuua

JESHI la Polisi Mkoa wa Mbeya limemkamata Hamisi Ibrahim (15) akituhumiwa kumbaka na kumuua mtoto mwenye umri wa miaka sita....

READ MORE

Yafahamu Matukio 5 Ambayo Marekani Hawatayasahau

MAREKANI ni taifa kubwa kiuchumi linalotajwa kuwa taifa namba moja duniani lenye nguvu ya ushawishi kwenye maeneo mengi ikiwemo kijeshi,...

READ MORE

Tanzia: Hillary Ngonyani Afariki Dunia

MWENYEKITI Mstaafu wa Halmashauri ya Mji Korogwe mkoani Tanga, Hillary Ngonyani amefariki dunia. Ngonyani amefariki dunia leo Septemba 9, 2021...

READ MORE

RC Makalla Apiga Marufuku Biashara Barabarani, Atoa Siku 7

  Dar es Salaam. Mkuu wa Mkoa wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla ametoa wiki moja kwa wafanyabiashara...

READ MORE

Mapacha Waoa Mke Mmoja, Wampa Mimba

IMEZOELEKA kuwa mara nyingi mapacha hupenda kuoa/kuolewa na mapacha wenzao lakini mambo yamekuwa tofauti kwa mapacha hawa ambao wamewaacha watu...

READ MORE

Gomes Ampa Sakho DK 270 tu Simba SC

KOCHA Mkuu wa Simba, Mfaransa, Didier Gomes, ameomba mastaa wake awapime kwa kucheza mechi tatu za kirafiki ambazo ni sawa...

READ MORE

Sabaya Kortini Tena kwa Madai ya Kuchukua Mil 90 za Mfanyabiashara

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai Lengai Ole Sabaya na wenzake sita wamesomewa shtaka la uhujumu uchumi lenye makosa matano...

READ MORE

Sakata la Polepole, Gwajima, Silaa Latua kwa Majaliwa

KAMATI ya wabunge wa CCM imekabidhi ripoti ya mahojiano ya wabunge watatu kwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambapo wawili wanatuhumiwa...

READ MORE

Tanzia: Muigizaji Maarufu Mzee Mathiokore Afariki Dunia

ALIYEKUWA muigizaji nguli  na maarufu katika kipindi cha Gumbaru School kilichokuwa kipeperushwa kwenye Runinga ya K24 ya nchini Kenya, Mzee...

READ MORE

Fisi Aua Mtoto

MTOTO mwenye umri wa miaka mitano ambaye ni mkazi wa Kijiji cha Zawa, Kata ya Sengerema wilayani Maswa mkoani Simiyu...

READ MORE

Rais Awaomba Radhi Wananchi kwa Kukimbia Nchi

ALIYEKUWA Rais wa Afghanistan kabla ya Taliban kuichukua, Ashraf Ghani, amewaomba msamaha watu wa nchi hiyo baada ya kukimbilia nchi...

READ MORE

Guinea Yaondolewa ECOWAS

Viongozi wa Jumuiya ya Kiuchumi ya Mataifa ya Afrika Magharibi ECOWAS wameiondoa Guinea kutoka jumuiya hio kufuatia mapinduzi ya kijeshi...

READ MORE

Akutwa Amefariki Katika Gesti ya Uwoya

MWANAUME mmoja anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 42 amekutwa amefariki katika nyumba ya kulala wageni (gesti) ya Uyowa katika...

READ MORE

Auawa Baada ya Kufumaniwa Akichepuka na Mke wa Mtu

KIJANA aliyejulikana kwa jina la Michael Jackson (25) mkazi wa Kijiji cha Magara wilayani Babati mkoani Manyara ameuawa kwa kukatwa...

READ MORE

Theresa Ntare, Huyu Ndo Chifu wa Kwanza Mwanamke Tanzania

HAPO zamani za kale jamii nyingi za Kiafrika zilitajwa kuwaweka nyuma wanawake, ni wanawake wachache tu wanapatikana katika kurasa muhimu...

READ MORE

Spika Ndugai Ashangazwa na Tozo Mpya

SPIKA wa Bunge, Job Ndugai ameeleza kushtushwa kupitishwa kwa sheria inayomtaka mkulipa kulima ushuru wa bidhaa wa asilimia mbili kwa...

READ MORE

Rais Samia Amteua Mjema Kuwa Rc Shinyanga

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Sofia Mjema kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.  ...

READ MORE

NMB Yanogesha Mashindano ya Gofu  ya Lugalo

  Benki ya NMB imetoa Sh. 60 Milioni kwa ajili ya kudhamini Mashindano Maalumu ya mchezo wa Gofu ya Mkuu...

READ MORE