×

Habari

Polisi Yakiri: Tunamshikilia Mbowe, Anahojiwa

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mwanza limethibitisha kumshikilia Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe kwa mahojiano....

READ MORE

Gomes Ahamishia Hasira Kwa Yanga

LICHA ya kuchukua ubingwa wa Ligi Kuu Bara, lakini Kocha Mkuu wa Simba Mfaransa Didier Gomes, bado anawawaza watani wake...

READ MORE

Jiko la Mkaa Laua Wawili Njombe

Watu wawili wamepoteza maisha mkoani Njombe baada ya kuingia na jiko la mkaa ndani ya chumba cha kulala kwa lengo...

READ MORE

Kirusi Delta Chaua Waliochanjwa Corona

WATU 259 wamefariki dunia nchini Uingereza kutokana na aina mpya ya kirusi cha corona kiitwacho DELTA. Kwa mujibu wa @DW_Kiswahili, watu...

READ MORE

Mwalimu Benki Yajivunia Mafanikio Ya Miaka Mitano

Benki ya Mwalimu (Mwalimu Commercial Bank Plc) inajivunia kutimiza miaka mitano ya mafanikio tangu kuanzia kwake Julai 22, 2016 na...

READ MORE

Kirusi Kipya cha Corona “Delta” Chaua 116 Waliochanjwa

WATU 259 wamefariki dunia nchini Uingereza kutokana na aina mpya ya kirusi cha corona kiitwacho DELTA. Kwa mujibu wa @DW_Kiswahili,...

READ MORE

Sengerema, Buchosa Kuondokana na Changamoto za Maji

MRADI wa uanzishwaji wa Kituo kitakachosaidia kuondoa changamoto zinazoikabili jamii nchini hususan maeneo ya vijijini, umetambulishwa kwa wananchi wilayani Sengerema...

READ MORE

Tofauti Ya Eid Ul-Fitr Na Eid Ul-Adha

LEO (Julai 21) Waislamu kote nchini wameungana na wenzao duniani kusherehekea Sikukuu ya Eid ul-Adha ambayo kwa wengine huiita Idd...

READ MORE

🔴#LIVE: Simanzi Mazishi ya Gift Aliyeuawa kwa Risasi

MWILI wa marehemu Gift Mushi aliyepigwa risasi na Alex Korosso katika baa ya New Lemax, Sinza jijini Dar. Mwili wa...

READ MORE

Majaliwa Aongeza Siku Uchunguzi Soko la Kariakoo – Video

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ameongeza siku saba kwa Tume aliyoiunda kuchunguza kuungua kwa soko la Kariakoo hadi Julai 25, mwaka...

READ MORE

Polisi Watapakaa Mwanza, Hivi Ndivyo Halio Ilivyo

JESHI la Polisi waliojihami kwa silaha za moto na mabomu ya machozi wamezingira na kufunga njia za kuingia na kutoka...

READ MORE

TFF Yakiri Kudaiwa Milioni 76

Shirikisho la Soka nchini TFF limesikitishwa na utaratibu uliotumiwa na Uongozi wa Shule ya Gilbert Bayi wa kudai stahiki zake...

READ MORE

Waliovamia Bunge la Marekani Wahukumiwa

KWA mara ya kwanza hukumu ya kifungo cha gerezani imetolewa kwa mtu aliyehusika na uvamizi wa jengo la bunge na...

READ MORE

Majaliwa: Tuchukue Tahadhari ya Corona, Tupige Nyungu

WAZIRI Mkuu, Kassimu Majaliwa amewasisitiza Watanzania kuendelea kuchukua tahadhari dhidi ya maambukizi ya virusi vya corona. Amewataka waendelee kuzingatia mambo...

READ MORE

Kongamano la Katiba! Mbowe, Wenzake Wakamatwa Mwanza

KIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake zaidi ya 10, wanadaiwa kukamatwa na Jeshi la...

READ MORE

Watuhumiwa 5,429 Wakamatwa

JESHI la Polisi nchini Tanzania, linawashikilia watu 275 kwa tuhuma za mauaji, yaliyotokea nchi nzima kuanzia Mei hadi Julai 2021....

READ MORE

Rais Ashambuliwa kwa Kisu Msikitini

Rais wa Mali, Kanali Assimi Goïta yuko salama baada ya mshambuliaji aliyekuwa amejihami kwa kisu kumshambulia katika msikiti wa Bamako-Grande...

READ MORE

Mahakama Yamwachia Kulthum Mansoor Wa TAKUKURU

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuachia kwa dhamana aliyekuwa Mkurugenzi wa Mipango wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa...

READ MORE

Mikusanyiko Yapigwa Marufuku Mwanza

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Mhandisi Robert Gabriel amepiga marufuku mikusanyiko yoyote ambayo sio ya lazima mkoani humo katika jitihada...

READ MORE

Tanzia: Mwenyekiti TCU Afariki Dunia

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Vyuo Vikuu tanzania (TCU), Prof Mayunga Nkunya, amefariki dunia leo Jumanne, Julai 20, 2021 katika...

READ MORE

Wanafunzi 11 Wakamatwa kwa Kuchoma Moto Shule

Jeshi la Polisi mkoani Geita linawashikilia wanafunzi 11 akiwemo msichana mmoja kwa tuhuma za kuchoma moto Shule ya Sekondari Geita...

READ MORE

Hii Ndiyo Silaha Iliyotumika Mauaji Lemax Sinza

Miongoni mwa matukio ya kutisha wikiendi iliyopita ni lile la mfanyabishara Alex Korosso almaarufu Simba kumuua mwenzake, Gift na yeye...

READ MORE

Waziri Mkenda Atinga Bandarini Dar, Atoa kauli Hii

  Waziri wa Kilimo Mhe Prof. Adolf Mkenda amewasili nchini akitokea nchini Morocco ambapo pamoja na mambo mengine katika ziara...

READ MORE

Video: Shahidi Kesi Ya Sabaya Ashindwa Kumalizia Ushahidi Wake

 Shahidi namba mbili katika kesi inayomkabili Lengai ole Sabaya na Wenzake Numan Jusin ameshindwa leo kufika mahakamani. ⚫️ Kwa...

READ MORE

Auawa kwa Kupigwa na Sururu

MTU mmoja ambae jina lake halijatambulika amefariki dunia kwenye vurugu zilizo tokea baada ya mtu huyo kufika na chuma cha...

READ MORE

Dar: Jambazi Auawa Akipora Simu

JESHI la Polisi Mkoa wa Kinondoni limemuua mtu mmoja anaedaiwa kuwa ni jambazi baada ya kumpora simu mama aliyekuwa akitembea...

READ MORE

Usajili Wafanyika Kampeni ya Raise The Bar ya SBL

Mmoja kati ya wateja waliofika katika banda lililowekwa kwa ajili ya kuwaelekeza wenye mabaa namna ya kujisajili katika mpango wa...

READ MORE

Rais Dkt. Hussein Mwinyi Avutia Washiriki wa Mbio za Zanzibar International Marathon

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameongoza mamia ya wakimbiaji walioshiriki mbio...

READ MORE

Jinsi Bolt Iboresha Maisha Kupitia Usafiri wa Mtandao

“Nilivutiwa kujiunga na Bolt baada ya kuona marafiki zangu wakifanikiwa na huduma hiyo. Sijutii uamuzi huo. Katika miaka mine  ambayo...

READ MORE

Shahidi Akana Kutapeliwa na Sabaya “Simtambui” – Video

Shahidi Mohammed Saadi kwenye kesi ya unyang’anyi kutumia silaha inayomkabili aliekuwa DC wa Hai Lengai Sabaya ameseme aliwaona tu kwa...

READ MORE

Shahidi Afunguka Alivyojificha Msikitini Kisa Sabaya – Video

Kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai ole Sabaya na wenzake wawili leo imeanza kusikilizwa...

READ MORE

Dar: Watumishi Watatu wa Serikali Wakutwa na Dawa za Kulevya

TAARIFA YA KAMISHNA JENERALI WA MAMLAKA YA KUDHIBITI NA KUPAMBANA NA DAWA ZA KULEVYA GERALD MUSABILA KUSAYA KWA WANAHABARI TAREHE...

READ MORE

Kamanda Muliro Ang’aka Ataja Wanaopaswa Kumiliki Bastola

Kamanda wa polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Muliro Jumanne amesema kuwa sio sifa kumiliki silaha endapo huna vigezo...

READ MORE

Mbowe Ataka Chanjo ya Corona Iwe Lazima kwa Watanzania Wote

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe leo Jumatatu, Julai 19, 2021 ameongea na Waandishi wa Habari...

READ MORE

Ukimbizi, Uasi Hadi Mke wa Rais

SAFARI ya maisha ya mke wa Rais wa Burundi, Evariste Ndayishimiye; Angeline Ndayubaha Ndayishimiye ni ndefu, baada ya kuzaliwa Juni 18,...

READ MORE

Sabaya Kortini Tena, Kesi Yake Kusikilizwa Siku 14

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili, Silivester Nyegu na Daniel Mbula, leo wamepandishwa kwa...

READ MORE

Tanki la Mafuta Laua Watu 13

Watu wapatao 13 wamefariki dunia baada ya tangi la mafuta ya petroli kulipuka huko magharibi mwa Kenya, usiku wa kuamkia...

READ MORE

Kalemani Atoa Siku 90 Maisome Kupata Umeme wa Tenesco, Ashusha Bei

WAZIRI wa Nishati, Dkt. Medard Kalemani ametoa siku 90 kwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na wakala wa umeme vijijini...

READ MORE

Mashuhuda Waanika Tukio la Aliyeua Kisha Kujiua kwa Risasi

MASHUHUDA wamesimulia kuwa Gift Mushi aliyepigwa risasi jana alikumbwa na tukio hilo, baada ya kumshauri Alex Korosso aache tabia ya...

READ MORE

Achana na Tozo ya Miamala, Tozo Mpya ya Laini za Simu Kuanza Agosti

  WAKATI kelele za tozo ya miamala ya simu zikiendelea kuanzia Agosti mwaka huu, watumiaji wa simu nchini wataanza kuchangia...

READ MORE