×

Habari

Rais Samia Kuzungumza na Wanawake Dodoma

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Samia Suluhu Hassan anatarajia kuzungumza na wanawake zaidi ya 10,000 mkoani Dodoma...

READ MORE

Injinia: Yanga Tunafanya Usajili Mkubwa

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umetamba kuwa, upo kwenye mipango mizito ya kukisuka upya kikosi chao kitakachofanya vizuri na kuandika...

READ MORE

Watu 138 Wauwawa

KATIBU mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres amesikitishwa na mauwaji ya raia kaskazini mwa Burkina Faso, maafisa wa Burkina...

READ MORE

Kampuni ya vifaa vya umeme wa jua ya DLight yafungua duka mjini Moshi

Mstahiki Meya wa Manispaa ya Moshi, Juma Raibu (wa pili toka kushoto) akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa duka la...

READ MORE

TB Joshua Afariki Dunia – Video

MHUBIRI maarufu nchini Nigeria, Barani Afrika na Duniani kote, Nabii Temitope Balogun Joshua maarufu kama TB Joshua ambahe ni mwanzilishi...

READ MORE

Wanahisa wa NMB Waidhinisha Gawio la Bil 68.5 Kwa Mwaka 2020

  Katika Mkutano Mkuu wa Mwaka wa 21 uliofanyika Juni 4, 2021, wanahisa wa benki ya NMB, waliidhinisha gawio la...

READ MORE

Serikali Yaibukia ‘Sabuni za Sumu Bongo’

JAMANI kumekucha! Ile skendo ya mjasiriamali, Andrew Mpambazi kuwa anatengeneza na kusambaza sababu za sumu imezidi kuwa nzito.   Taarifa...

READ MORE

Wasichana Watatu Wagonganishwa Mtandaoni

KWANI mitandao ya kijamii nayo imekuwa gurio la ngono? Ukibisha utakuwa hujui kubisha. Jamaa mmoja ametumia mtandao wa Twitter kutongoza...

READ MORE

Getere: Mabucha ya Nyama ya Ngedere Yafunguliwe

Mbunge wa Bunda Vijini Mwita Getere, ameiomba Wizara ya Maliasili na Utalii itoe kibali na ifungue mabucha ya nyama ya...

READ MORE

Anaswa Live Akipakua Asali ya Jirani Yake Aamrishwa Achangie Mahari

JAMAA mmoja kutoka eneo la Seme, Kisumu nchini Kenya amejikuta pabaya na kulazimishwa kuchangia mahari baada ya kunaswa peupe akipakua...

READ MORE

Miradi Yote Aliyoiacha Magufuli Inatekelezwa – Video

  SERIKALI imesema miradi yote ya kimkakati iliyoachwa na hayati Dkt. John Magufuli inaendelea kutekelezwa katika chini Rais Samia Suluhu....

READ MORE

Video: Tandale Kama Ulaya, Magufuli Atakumbukwa, Watu Wafunguka

 Kipindi cha Mtaa kwa Mtaa hii leo kimefanyika Tandale kwa Mtogole Jijini Dar es salaam ambapo Wananchi wamefunguka juu...

READ MORE

Mwanafunzi Aliyevaa Mabango Akigomea Kuchaguliwa ECA, Ataka PCM

Mwanafunzi Josephat John aliyekuwa anasoma kidato cha nne shule ya Sekondari Kom iliyopo kwenye Manispaa ya Shinyanga alizua taharuki baada...

READ MORE

Guardiola Ashinda Tuzo ya Kocha Bora wa Epl

KOCHA wa Manchester City Pep Guardiola ametwaa tuzo ya kocha bora wa msimu wa 2020/21, baada ya kuiwezesha timu hiyo...

READ MORE

Serikali Haijatoa Maamuzi Kuhusu Chanjo ya Corona – Video

SERIKALI imesema maamuzi kuhusu chanjo ya virusi vya corona hapa nchini hayajafikiwa kama baadhi ya watu wanavyodai kutokana na kauli...

READ MORE

Mafuriko Jangwani Mwisho 2022

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Ummy Mwalimu amemuagiza Msimami wa Mradi...

READ MORE

Benki ya Exim Yaibika Kinara Uhifadhi Mazingira

Benki ya Exim imeibuka kinara wa kutunza na kuhifadhi mazingira miongoni mwa taasisi za kifedha jijini Dar es Salaam na...

READ MORE

Mchezaji wa PSG Atua Serengeti

MSHAMBULIAJI  wa Klabu ya PSG na timu ya Taifa ya Argentina Mauro Icardi na mke wake Wanda Nara Icardi wametembelea...

READ MORE

Barabara ya Chato Kujengwa Upya

TAASISI ya Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Geita imemrejesha kujenga upya barabara ya Makurugusi kwenda Musasa wilayani Chato yenye...

READ MORE

Panya Magawa Mtegua Mabomu Astaafu

PANYA dume kutoka Tanzania, maarufu kwa jina la Magawa ambaye mwaka jana alitunukiwa nishani ya kimataifa ya dhahabu kutokana na...

READ MORE

Video: Dkt Mpango Aongoza Maadhimisho ya Siku ya Mazingira

MAKAMU wa Rais, Dk Philip Mpango amewataka wafanyabiashara hasa wa gesi ya kupikia majumbani kubuni mbinu za kuwasaidia wananchi wenye...

READ MORE

Mbunge Ataka Bunge Kujadili Mauaji ya Wivu wa Mapenzi

MBUNGE wa Viti Maalum (CCM), Munde Tambwe ameomba mwongozo wa Spika wa Bunge akitaka chombo hicho cha kutunga sheria kujadili...

READ MORE

Gambo: Twambieni Hifadhi ya Burigi Chato Imeingiza Kiasi Gani? – Video

  MBUNGE wa Arusha Mjini, Mrisho Mashaka gambo ameitaka Serikali kupitia Wizara ya Maliasili na Utalii kufanya ukaguzi wa Hifadhi...

READ MORE

IGP Sirro Apangua Tena Makamanda, Magiligimba Apelekwa Ilala

Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania IGP Simon Sirro leo Juni 4,2021 amefanya mabadiliko ya Makamanda watatu wa Polisi wa...

READ MORE

Chanjo ya Covid-19 Yaruhusiwa Kuingizwa Nchini

Rais Samia Suluhu Hassan amesema leo Juni 4, 2021, balozi na taasisi za kimataifa zimeruhusiwa kuleta chanjo za #COVID19 nchini...

READ MORE

Rais Samia Apokea Mapendekezo Ya Kamati ya COVID-19 

  Rais Samia Suluhu Hassan leo Juni 4, 2021 amekutana na kupokea mapendekezo kutoka kwa Kamati ya COVID-19  Ikulu, Chamwino...

READ MORE

Mali Zote za Sabaya Kufaishwa? – Video

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ambaye alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, amesomewa...

READ MORE

Rais Samia Amwaga Mil. 500

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameidhinisha kuingizwa kwa shilingi milioni 500 katika kila Jimbo ili...

READ MORE

Rais Samia Aagana na Aliyekuwa Balozi wa China Nchini

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo Juni 4, 2021 amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi...

READ MORE

Breaking: Sabaya Ashtakiwa kwa Ujambazi – Video

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya ambaye alifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, amesomewa...

READ MORE

Ajibu Awavuruga Yanga

MAPEMA tu kabla hata dirisha la usajili halijafunguliwa, tayari Kamati ya Usajili ya Yanga, inayoongozwa na kaimu wake, Eng. Hersi...

READ MORE

Breaking: Ole Sabaya Afikishwa Mahakamani – Video

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha akiwa na...

READ MORE

Watoto 136 Watekwa Shuleni

MAOFISA wa Serikali katika Jimbo la Kaskakazini mwa Nigeria, wamethibisha kutekwa nyara kwa watoto 136 na kwamba wameanzisha mawasiliano na...

READ MORE

Waliochaguliwa Kidato Cha Tano 2021 Hawa Hapa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Ummy Mwalimu leo Jumanne Juni Mosi,...

READ MORE

Jamaa Aliyewahi Kumshtaki Mungu Mahakamani, Yupo Hai

Seneta Ernie Chambers wa jimbo la Nebraska, Marekani mwaka 2008 alimshitaki Mungu akiiomba Mahakama itoe zuio la kudumu dhidi ya...

READ MORE

Gumzo Laibuka Nigeria Kutaka Kubadili Jina

WAJUMBE wa Baraza la Wawakilishi wa Nigeria kwa wiki mbili, wamekuwa wakikusanya mapendekezo ya kubadili Katiba ambapo mmoja wa raia...

READ MORE

Lori Nusura Liue Watu Ubungo – Video

LORI la mizigo aina ya Scania lenye namba za usajili T 106 DKD nusura liue watu baada ya kutokea ajali...

READ MORE

Mechi za Kimataifa za Kirafiki Kupigika Wikiendi Hii

Ukweli ni kwamba kujipima nguvu kabla ya mechi kubwa ni muhimu! Wikiendi hii inaweza kukupa ushindi mkubwa sana endapo ukifuata...

READ MORE

Hali Mbaya Kariakoo, Barabara Hazipitiki – Video

Wananchi na wafanyabiashara nyuma ya kituo cha mabasi yaendayo kasi- Gerezani, wameiomba serikali kuwasaidia kufanya maboresho ya barabara katika eneo...

READ MORE

Mwanafunzi Chuo Kikuu Anyongwa na Mpenziwe Kisa Mapenzi

​​​​​​​MWANAFUNZI wa mwaka wa kwanza wa Chuo Kikuu cha Iringa, Petronel Mwanisawa (22) amefariki dunia kwa kunyongwa na mpenzi wake...

READ MORE