×

Habari

Mkurugenzi Mkuu wa NSSF Aongoza Kampeni ya Utoaji Elimu na Uandikishaji Wanachama Soko la Mabibo

Dar es Salaam. Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) umeendelea kutoa elimu ya hifadhi ya jamii na kuandikisha...

READ MORE

Mkutano Wa Wazee Kuimarisha Haki Umoja Na Amani Kwa Watanzania Yatoka Na Maadhimio Haya

Wito umetolewa  kwa Watanzania Kuwajibika na kuwawajibisha wasiowajibika kwa mujibu wa Katiba, Sheria na Kanuni ziongozazo.ili Kuweka maslahi ya Taifa...

READ MORE

Mali Zetu Zilikuwa Zinataka Kupigwa Mnada na Benki, Mwisho Tukaponea Kwenye Tundu la Sindano

Miaka michache iliyopita, mke wangu na mimi tulikabiliana na tatizo kubwa sana la kifedha. Deni la Sh. 3 Milioni lilikuwa...

READ MORE

Waziri Mkuu Asisitiza Huduma Zote za Serikali Kutolewa Dodoma

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Serikali inataka kazi zote zifanyike makao makuu ya nchi ili kusogeza huduma karibu...

READ MORE

TAKUKURU Yawatafuta Alex Msama na Benny Mwita kwa Tuhuma za Uhujumu Uchumi – Video

Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) inawatafuta Alex Msama Mwita na Benny Mwita Sammoh kwa tuhuma za uhujumu...

READ MORE

Israel Yaua Waandishi wa Habari Gaza – Video

Waandishi watatu wa habari wa Kipalestina wameuawa kufuatia shambulio la anga la Israel katikati mwa Ukanda wa Gaza, kwa mujibu...

READ MORE

TRA na Sudan Kusini Kuanzisha Ushirikiano Wa Pamoja Kudhibiti Mianya ya Ukwepaji Kodi

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) na Mamlaka ya Mapato Sudan Kusini (SSRA) zinatarajia kuanzisha ushirikiano katika masuala mbalimbali ya kodi...

READ MORE

Maelfu ya Wananchi Ikungi Mashariki Wakusanyika Kumpokea Kenani Kihongosi

Maelfu ya wananchi wa Ikungi Mashariki, hususan katika eneo la Puma, wamejitokeza kwa wingi leo kumpokea Katibu wa NEC Itikadi,...

READ MORE

Trump Afungua Njia ya Makubaliano Kuhusu Greenland

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa serikali yake inachunguza uwezekano wa kufikia makubaliano kuhusu Greenland, kufuatia mazungumzo aliyofanya na...

READ MORE

Waziri Mkuu Aongoza Mkutano Kazi Wa Mawaziri, Manaibu Mawaziri

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameongoza mkutano kazi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu na Viongozi Waandamizi wa Serikali uliofanyika Januari 21,...

READ MORE

Mbowe Atangaza Ratiba ya Mazishi ya Muasisi wa Chadema, Mzee Edwin Mtei – Video

Mwenyekiti mstaafu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, ametangaza rasmi ratiba ya mazishi ya muasisi wa chama...

READ MORE

Bobi Wine Aeleza Hatari Anayokabili Baada ya Uchaguzi Tata Uganda

Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Uganda, Robert Kyagulanyi maarufu kama Bobi Wine, amethibitisha kuwa kwa sasa yuko mafichoni akihofia usalama...

READ MORE

Victor Mhagama Aongoza Kura za Maoni CCM Jimbo la Peramiho

Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Songea Vijijini, jana Januari 21, 2026 kiliendesha zoezi la upigaji wa kura za maoni...

READ MORE

Prof. Shemdoe; Tumetekeleza Vizuri Mkataba wa Lishe 2024/25

 Tathmini ya utekelezaji wa Mkataba wa Lishe kwa mwaka wa fedha 2024/25 imeonesha mafanikio makubwa, ambapo rangi ya kijani imetawala...

READ MORE

Kaka Wa Lissu Msibani Kwa Mtei – Aeleza Alikwenda Kumuona Lissu Akanyimwa Faragha- Video

Wakili Alute Mughwai, kaka wa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, ni miongoni mwa waombolezaji waliofika...

READ MORE

Mitaa ya Italia Yakumbwa na Mafuriko Ghafla Kama ya Sunami – Video

  Watu nchini Italia walilazimika kukimbia kuokoa maisha yao baada ya mawimbi makubwa ya bahari yanayofanana na tsunami kuvamia mitaa...

READ MORE

Viongozi Chauma Wapata Ajali Ya Gari – Subaru Lagonga Prado, Magari 3 Yaharibika, Majeruhi 1 – Video

Viongozi wawili wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu na Moza Ally, wamepata ajali baada ya gari walilokuwa...

READ MORE

Mawazo Adaiwa Kumuua Mwenzake na Kupora Pikipiki – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linamshikilia Mawazo Msangawale, Miaka 24, Mkazi wa Mlowo Wilayani Mbozi Mkoa wa Songwe kwa...

READ MORE

CCM Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Kufungiwa kwa CHADEMA, Yakanusha Kuhusika

Chama cha Mapinduzi (CCM) kimetoa ufafanuzi wa baadhi ya hoja zilizotolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mwalimu Nyerere...

READ MORE

Aziz Ki Aondoka Wydad AC, Ajiunga Al Ittihad ya Libya

Kiungo mahiri Stéphane Aziz Ki amejiunga rasmi na Al Ittihad ya Libya akitokea Wydad Athletic Club ya Morocco, baada ya...

READ MORE

Mabalozi wa Mashina ni Nguzo ya Kukipambania Chama – Dkt. Migiro

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt Asha-Rose Migiro, amesema Mabalozi wa Mashina ndiyo nguzo ya kukipambania Chama, kwa...

READ MORE

Waziri Wa Ulinzi Na Jeshi La Kujenga Taifa Atembelea Makao Makuu Ya Ulinzi Wa Taifa 

Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa Mh. Rhimo Simeon Nyansaho, Leo  tarehe 20 amefanya ziara katika  Makao Makuu...

READ MORE

Macho Yote Ulaya Leo: Juventus, Liverpool na Barca Kupambana

Kupiga pesa ni rahisi sana ndani ya UEFA endapo utaamua kubashiri mechi zote hapa leo. Wakali wa ubashiri wanakwambia kuwa...

READ MORE

Putin Aalikwa Kujiunga na Bodi ya Amani ya Trump kwa Ajili ya Kuijenga Upya Gaza

Rais wa Urusi, Vladimir Putin, amealikwa kujiunga na Bodi ya Amani iliyoanzishwa na Rais wa Marekani, Donald Trump, kamati itakayokuwa...

READ MORE

Alimuacha Mpenzi Wake Na Kuolewa Na Tajiri, ANgalia Kilichokuja Kilichomtokea

Nilipokuwa nikipenda, nilihisi maisha yangu yamejaa mwanga na matumaini. Nilikuwa na mpenzi ambaye nilidhani atakuwa wangu milele, mtu ambaye aliniahidi...

READ MORE

Sekhukhune United Yatuma Maombi ya kumtaka Cesestine Ecue wa Yanga

Klabu ya Sekhukhune United ya Afrika Kusini imetuma rasmi maombi ya kumtaka winga wa Yanga SC, Cesestine Ecue, kwa mkopo...

READ MORE

Aviator ya Meridianbet Yapanua Ushindi kwa Zawadi ya Samsung A26

Meridianbet imeendelea kuthibitisha kuwa ubashiri wa kisasa hauhusiani tena na ushindi wa kifedha pekee. Kupitia kampeni maalum ya mchezo wa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 21, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Waziri Makonda Afanya Mazungumzo na Rais wa FIFA Gianni Infantino Morocco

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda amekutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Shirikisho la Kandanda Duniani...

READ MORE

NMB Yaweka Historia kwa Kuwa Benki ya Kwanza Tanzania Kuzindua NMB TAP Wearables

  BENKI ya NMB imedhihirisha kiwango cha juu cha ubunifu, baada ya kuwa ya kwanza nchini kuzindua Teknolojia Mpya, ya...

READ MORE

Mabalozi wa Mashina Ndiyo Nguzo ya Kukipambania Chama – Katibu Mkuu CCM

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) amesema Mabalozi wa Mashina ndiyo nguzo ya kukipambania Chama,Kwani ndiyo macho, masikio na...

READ MORE

CCTV Camera Zilivyonasa Jamaa Akipigana na Askari Polisi – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya linapenda kutoa ufafanuzi kuhusu picha mjongeo inayosambazwa katika mitandao ya kijamii ikionesha Askari...

READ MORE

Polisi Watoa Ufafanuzi Kuhusu Video ya Askari Kupambana na Mtuhumiwa Benki

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Tarime/Rorya limetoa ufafanuzi kuhusiana na video inayosambaa kwenye mitandao ya kijamii ikimuonesha Askari wa...

READ MORE

Waziri Mkuu Afanya Mazungumzo na Waziri wa Nchi Muungano na Mazingira Dodoma

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 20,2026 amefanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais –...

READ MORE

Mzee Edwin Mtei Kuzikwa Januari 24 Arumeru Arusha

Mashinda Mtei, mtoto wa tatu wa aliyekuwa Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BOT), Waziri wa zamani wa...

READ MORE

Mume Aliyemn’gata, Kumpiga Sufuria Mkewe Apandishwa Mahakamani – Video

Hamza Omary (38), fundi Selemala na mkazi wa Luchelele, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo ya Mkuyuni, Wilaya ya Nyamagana...

READ MORE

Mkuu wa Jeshi Uganda Atishia Maisha ya Bobi Wine – Video

Mvutano wa kisiasa nchini Uganda umeongezeka zaidi baada ya mkuu wa jeshi la nchi hiyo, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, kutoa vitisho...

READ MORE

Waziri Kapinga Awashukuru Wananchi, Ahaidi Kutatua Changamoto

Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini na Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Salvio Kapinga, ametembelea Kata za Mkako na...

READ MORE

Rais Samia Atuma Salamu za Pole Kifo cha Mzee Mtei – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mzee Edwin...

READ MORE

Mwanzilishi wa CHADEMA na GAVANA wa Kwanza BOT Afariki Dunia

Gavana wa kwanza wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) na mwasisi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edwin Mtei...

READ MORE