×

Habari

Trump Aendeleza Mvutano na Ilhan Omar, Atupa Madai Mapya Yenye Utata

Rais wa Marekani wa zamani, Donald Trump, ameendelea kumkosoa Mbunge wa Bunge la Marekani, Ilhan Omar, ambaye ni raia wa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 11, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Wazalishaji Bidhaa za Batiki Dar Wanufaika na Mafunzo ya OSHA

Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Rahma Kisuo akifungua mafunzo ya wazalishaji...

READ MORE

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Awaonya Wanaopanga Vurugu

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Makalla, leo Jumatano Desemba 10, 2025, amewapongeza wananchi kwa kuyakataa maandamano ya Desemba...

READ MORE

Airtel Yapanua Wigo wa Huduma za Mawasiliano kwa Kuongeza Minara

Morogoro & Kilimanjaro, 11 Disemba, 2025. Wananchi wa maeneo mbalimbali nchini watanufaika na minara mipya ya mawasiliano iliyojengwa na Airtel...

READ MORE

Zelenskyy Asema Yuko Tayari Kuandaa Uchaguzi wa Rais Hata Wakati wa Vita

‎ Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelenskyy, amesema yuko tayari kuandaa uchaguzi wa urais ndani ya siku 60 hadi 90 endapo...

READ MORE

Ndege Yaangukia Gari Ikitua Kwa Dharura barabarani

Nchini Marekani, ndege ndogo imeanguka ghafla na kugonga gari kwenye barabara kuu ya I-95 huko Cocoa, Florida, siku ya Jumatatu...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yaendelea Kugawa makapu Ya Zawadi Msimu Wa Sikukuu

Mkuu wa Kanda ya Kaskazini, Vodacom Tanzania Plc, George Venanty (kushoto) akikabidhi kapu la Voda kwa moja ya mteja wa...

READ MORE

Video: Polisi Yatoa Onyo Kuhusu Maandamano Yasiyo na Kikomo

Jeshi la Polisi nchini Tanzania kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama nchini wamewahakikishia wananchi kuwa wataendelea kulinda...

READ MORE

Trump Atoa Shinikizo Kwa Zelensky Kuhusu Makubaliano ya Amani

Rais wa zamani wa Marekani, Donald Trump, amewakosoa vikali viongozi wa Ulaya akiwaita “dhaifu” na kuashiria kuwa Marekani inaweza kupunguza...

READ MORE

Washindi Wa Droo Ya Kwanza Wa Kampeni Ya Chanja Kijanja Kutoka Exim Benki 

  Mkuu wa kitengo cha Mifumo Mbadala ya Kidijitali wa Benki ya Exim Bw. Silas Matoi, akizungumza na mmoja wa...

READ MORE

Masta Wa Miamala  Ya Stanbic Yatoa Zawadi Za Msimu Wa Sikukuu

Meneja Mwandamizi  wa Mauzo Benki ya Stanbic Tanzania, Priscus Kavishe (mwenye koti) na Meneja wa Uimarishaji wa mahusiano ya wateja,...

READ MORE

Polisi Watoa Taarifa Kuhusu Hali ya Usalama Asubuhi ya Leo – Video

Jeshi la Polisi limetoa taarifa rasmi kwa umma leo Jumatano, Desemba 10, 2025, likielezea hali ya ulinzi na usalama nchini...

READ MORE

Waziri Simbachawene Awapongeza Askari kwa Kulinda Amani Kufuatia Fununu za Maandamano – Video

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, ametoa pongezi kwa askari wa vikosi vya ulinzi na usalama kwa...

READ MORE

Benki Ya Absa Yaipongeza Black Swan Kwa Ushindi Wa Bara Afrika, Yathibitisha Dhamira Ya Kukuza Safari Ya Ubunifu Wa Teknolojia Ya Kifedha (FinTech) Tanzania

Benki ya Absa Tanzania imeipongeza  Black Swan kwa kuibuka mshindi wa jumla wa Absa–MEST Africa Challenge 2025, shindano la ubunifu...

READ MORE

Chalamila: Msipotoshwe, Hali ya Usalama Iko Vizuri Jijini Dar – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amezungumza na Global TV akitoa tathmini ya hali ya ulinzi na...

READ MORE

Waziri Kairuki Aipongeza Airtel kwa Kuchochea Ujumuishwaji Watu Kidijitali

Dar es Salaam, 10 Desemba 2025. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Angelina Kairuki, ameipongeza Airtel Tanzania...

READ MORE

Chuo Kikuu cha Mzumbe Chatangaza Nafasi za Kazi 21, Habari Njema kwa Wahitimu

Chuo Kikuu cha Mzumbe (MU) kupitia Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kinakaribisha maombi kutoka kwa Watanzania wenye sifa stahiki...

READ MORE

Watoto 100 wa Shule Watachiliwa Huru Jimbo la Niger, Nigeria

Serikali ya Nigeria imefanikisha kuachiliwa huru watoto 100 wa shule waliotekwa nyara mwezi uliopita katika Jimbo la Niger. Hayo ni...

READ MORE

MDH Yaibuka Mshindi wa Pili Tuzo za NBAA 2024

MDH imeibuka mshindi wa pili katika Tuzo za NBAA za mwaka 2024 kwa kundi la Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs),...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Kaimu Balozi wa Marekani Kuhusu Ushirikiano wa Maendeleo

Dodoma, Desemba 8, 2025 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kuzungumza na...

READ MORE

Simbachawene: Hakuna Tishio la Kuzimwa Internet Tanzania, Hali ya Usalama Ni Shwari – Video

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amesema kuwa hatua ya kuzima mtandao wa intaneti nchini ni chaguo...

READ MORE

Simbachawene Awapa Polisi Maagizo Mapya ya Kukamata Watuhumiwa – Video

George Simbachawene Waziri wa mambo ya ndani ya Nchi, ameagiza jeshi la polisi kuhakikisha kuwa taratibu za ukamataji watuhumiwa zinafanyika...

READ MORE

Video: PM Mwigulu Awasilisha Ujumbe wa Rais Samia Kuhusu Sikukuu ya Uhuru

Waziri Mkuu wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasilisha rasmi ujumbe wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kuelekea maadhimisho ya miaka...

READ MORE

Airtel Divas Wasaidia Wagonjwa wa Saratani ya Matiti

Dar es Salaam, Tanzania. AirtelTanzania, kupitia kikundi cha wafanyakazi wawanawake kinachojulikana kama Airtel Divas, kimetoa msaada muhimu kwa wagonjwa wa...

READ MORE

Fahamu Maajabu ya Mbuga ya Taifa ya Serengeti, Tanzania

Mbuga ya Taifa ya Serengeti ni moja ya vivutio vya kitalii vinavyotambulika kimataifa, si tu kwa wanyama wake wa porini...

READ MORE

Mbunge Mstaafu na Naibu Waziri Benedict Ole Nangoro Afariki Dunia

  Aliyewahi kuwa Naibu Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi katika Serikali ya Awamu ya Nne, na Mbunge mstaafu...

READ MORE

Sheikh Mkuu wa Tanzania Awataka Watanzania Kuendeleza Uchumi Bila Kuvuruga Amani – Video

Sheikh Mkuu wa Tanzania, Dkt. Abubakar Bin Zubeir, amewataka Watanzania wanaoishi nje ya nchi kutumia fursa zilizopo kwa ajili ya...

READ MORE

Vodacom Tanzania Imefika Soko La Machinga Kuwapatia Wateja Wao Zawadi Ya Sikukuu

Katika muendelezo wa kusambaza Kapu la Vodacom kwenye maeneo mbalimbali nchini, timu ya Vodacom Tanzania Plc imefika Soko la Machinga...

READ MORE

Mashirika ya Umma Yasiyofanya Vizuri Kufutwa au Kuunganishwa

Serikali imetoa onyo kwa taasisi na mashirika ya umma yasiyoonesha ufanisi, ikisema yako hatarini kufutwa au kuunganishwa endapo hayatachukua hatua...

READ MORE

CCM Yaonya Watumishi wa Umma Kuhusu Uwajibikaji na Utoaji Huduma kwa Wananchi – Video

Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Ndugu Kenani Kihongosi, ametoa wito kwa watumishi wa umma kutekeleza...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yagawa Kapu La Sikukuu Kwa Wateja Wao Jijini Mwanza

Timu ya Vodacom Tanzania Plc  kanda ya Ziwa, wakijiandaa kugawa kapu la Vodacom kwa wateja na wakazi wa Mwanza kwenye...

READ MORE

Mambo ya Kuepuka Kwa Wagonjwa wa Kisukari kwa Udhibiti Bora wa Sukari

Ingawa vyakula vingine vinaweza kusaidia kudhibiti ugonjwa wa kisukari, vingine vinaweza kuharibu usawa wa sukari ya damu na kuongeza hatari...

READ MORE

TRA Yataka Wanachama wa SACCOS Kuhamasisha Ulipaji Kodi na Matumizi Sahihi ya Mikopo

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Yusuph Mwenda akizungumza na wanachama wa TRA SACCOS LTD  wakati akifungua  Mkutano...

READ MORE

Jaji Mkuu, George Masaju Awaasa Mawakili Wapya Kudumisha Uadilifu, Utawala Wa Sheria

Jaji Mkuu wa Mahakama ya Tanzania, George Masaju amewaasa Mawakili wapya kuwiwa kuona haki ikitendeka, huku wao wakiwa mstari wa...

READ MORE

TANESCO yazindua mita janja kupunguza changamoto za token

Waziri wa Nishati Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya manunuzi...

READ MORE

Serikali Yatoa Majibu Juu ya Hoja za Jumuiya ya Kimataifa Kuhusu Vurugu za Uchaguzi

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imesema imepokea na kuzingatia taarifa na maoni ya umma yaliyotolewa kwa nyakati tofauti...

READ MORE

Waziri Mkuu: Dkt. Samia Ni Rais Wa Vitendo, Ametoa Ajira mpya 12,000

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema kuwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Rais wa vitendo na amethibitisha hayo katika kipindi...

READ MORE

Video: Chalamila Aitaka TANESCO Kuchunguza Kauli ya Padri Kitima

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, ameielekeza TANESCO kuchukua hatua na kuchunguza kwa kina kauli iliyotolewa na...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Akagua Uharibifu Kiwanda Cha Magodoro Cha Banco

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 05, 2025 amekagua Kiwanda cha Magodoro cha Banco kilichopo mkoani Mwanza ambacho kilichoharibiwa...

READ MORE