×

Habari

Absa Yashinda Tuzo ya Benki Inayopendekezwa na Kufikiwa Zaidi Mashariki na Kusini mwa Afrika

Benki ya Absa imeshinda Tuzo ya Benki Inayopendekezwa na Kufikiwa zaidi Mashariki na Kusini mwa Afrika katika hafla ya utoaji...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yakabidhi Vifaa Kwa Wanafunzi Wenye Mahitaji Maalum

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mh Lela Mohamed Mussa (Katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Afisa...

READ MORE

Benki Ya Exim Yaanza Kampeni Ya Malipo Bila Kutumia Fedha Taslimu Wakati Wa Sikukuu Na Zawadi Nono Kutolewa Kwa Watumiaji Wote Wa Kadi

Exim Bank Tanzania imezindua rasmi kampeni yake ya miezi miwili ya matumizi ya kadi msimu wa sikukuu, iitwayo ‘Chanja Kijanja,...

READ MORE

CBE Yashika Nafasi ya Nane Ubora Vyuo Elimu ya Juu

  CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE),kimesema kimeendelea kufanya vizuri kitaaluma ambapo utafiti uliofanyika mwaka jana ulikiweka kwenye nafsi ya...

READ MORE

Tenga Aeleza Umuhimu wa Ubia Sekta ya Umma na Binafsi

Mkurugenzi wa Huduma za Sheria waPPP Centre, Flora Tenga, amesisitiza umuhimu wa kuimarisha Ubia kati ya sekta ya umma na...

READ MORE

Benki ya Azania Yaja na Huduma Muhimu Kuwanufaisha Wanavyuo na Waajiriwa

Dar es Salaam, 2 Desemba 2025: Katika kuendeleza juhudi za serikali katika kubotesha Sekta ya elimu na kutoa unafuu kwa...

READ MORE

Oryx Gas Yakabidhi Zawadi kwa Wateja Waliojishindia Kampeni ya ‘Gesi Yente’

Hafidhi Madunda ambaye ni mkazi wa Chanika Jijini Dar es Salaam akiwa na pikipiki ambayo amekabidhiwa na baada ya kutangazwa...

READ MORE

Mixx Yazindua Kampeni Kubwa ya Mwisho wa Mwaka

Leo, Mixx, imezindua kampeni kubwa ya mwisho wa mwaka – Magift ya Mixx Pesa- ikiwa ni shukrani kwa wateja wanaoendelea...

READ MORE

SGA Security Yashinda Tuzo ya Chaguo la Mtumiaji 2025

  Kampuni ya Ulinzi ya SGA Security kwa mara nyingine imetajwa kuwa mtoa huduma za usalama anayeaminika zaidi barani Afrika,...

READ MORE

Vodacom Yagawa Makapu Ya Sikukuu Kwa Wateja Wake Mkoani Mbeya

Kampuni ya Vodacom Tanzania Plc imeendelea na zoezi lake la kugawa makapu ya sikukuu kwa wateja wake katika maeneo mbalimbali...

READ MORE

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Akagua Uharibifu Kwenye Kituo cha Polisi Kikatiti Arusha

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, leo Novemba 30, 2025, amekagua Kituo cha Polisi Kikatiti ambacho kiliharibiwa kutokana na vurugu zilizotokea...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Awasili KIA Kukagua Madhara ya Vurugu za Arusha

WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amewasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) ambapo atakagua uharibifu uliosababishwa na...

READ MORE

Waziri Ulega Akutana na RC Makalla Kujadili Kasi ya Miradi ya Miundombinu Jijini Arusha

Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega amekutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, CPA Amos Makalla katika Ofisi...

READ MORE

PUMA Energy Tanzania Yapata Tuzo Mbili Kwenye Consumer Choice Awards

Dar es Salaam, 30 Novemba 2025:  Dhamira ya PUMA Energy Tanzania ya kutoa ubora, ubunifu na huduma yenye kujikita kwa...

READ MORE

Exim Inajivunia Kuwa Sehemu Ya Msimu Wa Nne Wa Korosho

Exim inajivunia kuwa sehemu ya msimu wa nne wa Korosho Marathon mkoani Mtwara, kama mdhamini mkuu wa mbio za Kilomita...

READ MORE

Afrika Kusini Yalaani Hatua ya Trump Kutaka Kuiweka Kando Kutoka G20 2026

Afrika Kusini imelaani nia ya rais wa Marekani Donald Trump ya kuizuia nchi hiyo kuhudhuria Mkutano wa Kundi la 20...

READ MORE

Samia Aongoza Kikao Maalumu cha Kamati Kuu ya CCM Zanzibar, Wagombea wa Umeya na Uenyekiti Wateuliwa

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiongoza...

READ MORE

Exim, Simba Developers Waingia Makubaliano Kurahisisha Umiliki wa Nyumba Tanzania

Benki ya Exim Tanzania na Simba Developers Limited wametia sahihi ya makubaliano ya kimkakati yanayolenga kurahisisha upatikanaji wa makazi kwa...

READ MORE

Benki Ya Absa Yakabidhi Msaada Wa Mahitaji Muhimu Katika Kituo Cha Kulelea Watoto Yatima

Mahitaji hayo ni pamoja na  Vyakula, Sabuni, Vinywaji Na Cherehani Kwa ajili ya  Watoto Yatima Na Wanaoishi Katika Mazingira Magumu...

READ MORE

Shinda Simu Mpya Kabisa ya Samsung Galaxy A26 na Meridianbet

Je, uko tayari kwa burudani na zawadi kemkem? Meridianbet inakuletea sababu ya kubashiri kupitia promosheni kabambe. Watumiaji wote walio jisajili...

READ MORE

TPSF Kuongoza Uwekezaji Utakaozalisha Maelfu ya Ajira

Shirikisho la Sekta Binafsi Tanzania TPSF limepanga kuhamasisha uwekezaji kwa kiwango kikubwa ili kupanua biashara zao kwa lengo la kuongeza...

READ MORE

Waziri Kikwete Asisitiza Uweledi na Uwajibikaji kwa Wahitimu wa Chuo cha Utumishi wa Umma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete ameielekeza Bodi ya Ushauri...

READ MORE

Juhudi za Kimataifa Hazitasimama Sudan Hadi Vita Iishe

Licha ya jeshi lililoko Port Sudan kusisitiza kuendeleza vita ya Sudan, juhudi za kimataifa zinaendelea kusukuma mbele mipango ya kumaliza...

READ MORE

Mfahamu Azzan Zungu Spika wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Mussa Azzan Zungu ndiye Spika mpya wa Bunge la 13 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mwaka 2025 mpaka...

READ MORE

Hakutekwa! Polisi Wathibitisha Winfrida Malembeka Kukamatwa kwa Tuhuma za Uchochezi – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Rufiji limesema mwanamke anayesambazwa mitandaoni akidaiwa kutekwa na watu wanaodaiwa kujitambulisha kama askari wa...

READ MORE

Nafasi 14 za Ajira Zafunguliwa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara, Mwisho wa maombi Disemba 03

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mtwara anawatangazia Watanzania wenye sifa kuomba nafasi kumi na nne (14) za ajira baada...

READ MORE

Kizazi cha Gen-Z Chatajwa na Kagame Kama Changamoto Mpya kwa Serikali Afrika

Rais wa Rwanda, Paul Kagame, amesema kuwa Bara la Afrika linaweza kushuhudia wimbi jipya la mapinduzi endapo viongozi wake hawatashughulikia...

READ MORE

Tanzania Kuendeleza Ushirikiano wa Kidiplomasia na Jumuiya ya Kimataifa

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb.) Waziri wa Mambo ya Nje...

READ MORE

DART Yarejesha Huduma Za Mabasi Yaendao Haraka Awamu Ya Kwanza

WAKALA wa Mabasi yaendayo Haraka Dar es salaam (DART) imerejesha huduma za usafiri wa umma katika awamu ya kwanza, kuanzia...

READ MORE

Nmb Yatoa 500Mil Kusaidia Matibabu ya Moyo ya Watoto 125 Nchini

Benki ya NMB tayari imetoa nusu ya TZS bilioni 1 ilizoahidi mwaka jana kwa ajili ya kuiwezesha Taasisi ya Moyo...

READ MORE

Waziri Kombo Apokea Magari Mawili kutoka Qatar

Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki imepokea magari mawili aina ya Land Cruiser Prado kutoka Taifa...

READ MORE

Mahakama Kuu Yatupilia Mbali Kesi dhidi ya Viongozi wa CHADEMA – Video

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala ndogo ya Dar es Salaam kesi ya kudharau amri ya Mahakama iliyokuwa imefunguliwa na aliyewahi...

READ MORE

Dkt. Migiro Aongoza Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro akiongoza Kikao cha Sekreterieti ya Halmashauri Kuu ya CCM...

READ MORE

BoT yauza dola milioni 20 katika Soko la Jumla la Fedha za Kigeni

Benki Kuu imeuza Dola za Marekani milioni 20.00 kupitia mnada wa ushindani kwa kiwango cha wastani cha kubadilisha fedha za...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Awataka Wakuu wa Mikoa Kuimarisha Utekelezaji wa Majukumu Nchini

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, Novemba 27, 2025 ameongoza kikao kazi maalum kilichowakutanisha Wakuu...

READ MORE

Mkama: Mazingira Wezeshi Yachochea Rekodi Mpya ya Uuzaji wa Hisa Tanzania

  Ofisa Mtendaji Mkuu wa CMSA, CPA Nicodemus Mkama, amesema Kampuni ya Saruji Tanga imeweka rekodi ya kuwa kampuni ya...

READ MORE

Maswali 7 magumu kwa Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba kuhusu vurugu za Oktoba 29 Tanzania

Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba Novemba 25, 2025 alikutana na wahariri wa vyombo vya habari jijini Dar es Salaam, na maswali...

READ MORE

Puma Yatangaza Mshindi Wa Drop ya Vilainishi, Atwaa Elite Card ya SH Million 5

Puma Energy imemtangaza mshindi wa droo ya vilainishi, ambapo Boaz Aywayo ameibuka na Elite Card yenye thamani ya shilingi milioni...

READ MORE

Sanlam Allianz Yaendelea Kuwashukuru Mawakala Wake.

Kampuni ya Bima ya SanlamAllianz imewashukuru mawakala wao kwa kufanya kazi nao Akizungumza wakati wa halfa ambayo imefanyika Novemba, 28,2925...

READ MORE

Dkt. Homera Aridhishwa RITA Kuwajengea Uwezo Wadhamini Katika taasisi ili kuepusha migogoro

Waziri wa Katiba na Sheria Dkt.Juma Zuberi Homera afungua Mkutano WA wajumbe amefurahishwa na mpango wa Wakala wa Usajili Ufilisi...

READ MORE