×

Habari

Video: Polisi Yapiga Marufuku Maandamano ya Desemba 9, Yasifanyike Nchi Nzima

Jeshi la Polisi Tanzania limepiga marufuku “maandamano ya amani yasiyo na kikomo,” yaliyotangazwa kufanyika Desemba 9, 2025, likisema yamekosa sifa...

READ MORE

Urusi Yapiga Hodi India Wakati Marekani Ikiongeza Ushuru wa Biashara

Rais wa Urusi, Vladimir Putin, anaanza ziara ya siku mbili nchini India katika juhudi za kuimarisha ushirikiano, hususan katika sekta...

READ MORE

TRA Yaibuka Kidedea Tuzo ya Uandaaji Hesabu Kwa Viwango vya Kimataifa

MAMLAKA ya Mapato tanzania (TRA), imeibuka Mshindi wa kwanza wa jumla katika tuzo ya Uandaaji wa Hesabu za Kifedha zinazozingatia...

READ MORE

Benki Ya Absa Tanzania Yang’ara Tuzo Za NBAA 

Naibu Waziri wa Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Laurent Luswetila ( kulia), akikabidhi tuzo ya mshindi wa pili wa...

READ MORE

Spika Zungu Aonana na Mabalozi wa EU, Mazungumzo Yalenga Kuimarisha Ushirikiano wa Kibunge

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mussa Azzan Zungu, amekutana na kufanya mazungumzo na baadhi ya Mabalozi...

READ MORE

Watanzania Washauriwa Kuendeleza Utamaduni Kutumia Njia Ya Mazungumzo Wanapokutana Na Changamoto Za Kisiasa, Kijamii Na Kiuchumi 

WATANZANIA wameshauriwa kuendeleza utamaduni kutumia njia ya mazungumzo pale wanapokutana na changamoto za kisiasa, kijamii na kiuchumi. Ushauri huo umetolewa...

READ MORE

RC Arusha Awakilisha Tanzania Katika Maandalizi ya Mkutano wa Mabunge Duniani

Mkuu wa Mkoa wa Arusha CPA. Amos Gabriel Makalla mapema leo Alhamisi Disemba 04, 2025 ameupokea na kuzungumza na Ujumbe...

READ MORE

Shetta Achaguliwa Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam

Diwani wa Kata ya Mchikichini, Nurdin Bilal maarufu Shetta, amechaguliwa kuwa Mstahiki Meya wa Jiji la Dar es Salaam. Uchaguzi...

READ MORE

Super Unleaded vs Unleaded: Ni Mafuta Gani Yanayofaa gari lako? Soma Hapa

  Katika dunia ya leo ambapo teknolojia ya magari inazidi kukua, madereva wengi wamekuwa wakijiuliza ni mafuta yapi yanafaa zaidi...

READ MORE

Kesi ya Mange Kimambi Yaaahirishwa Hadi Januari 2026 – Sababu Ni Upelelezi Haujakamilika

Kesi ya Uhujumu Uchumi namba 000021172 ya mwaka 2025, inayomkabili Mwanaharakati Mange Kimambi imeahirishwa mpaka Januari 28, 2026 baada ya...

READ MORE

Polisi Morogoro Wafuatilia Kutoweka kwa Mtawa Silianus Korongo – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema linafuatilia taarifa za kutoweka kwa Mtawa aliyetambulika kwa jina la Silianus Korongo (49)...

READ MORE

Polisi Tarime Rorya Wakanusha Taarifa za Kutekwa kwa Mkazi wa Gwitiryo

Jeshi la Polisi Mkoa wa Tarime Rorya limekanusha taarifa zinazosambaa mitandaoni kuhusu kutekwa kwa Fredrick Mang’era Kemange maarufu British, mkazi...

READ MORE

Bobi Wine Asema Maisha Yake Yako Hatarini, Avaa Koti la Kuzuia Risasi Katika Kampeni

Mgombea Urais wa Uganda, kupitia Chama pinzani cha National Unity Platform (NUP), Robert Kyagulanyi Ssentamu, maarufu kama Bobi Wine, amesema...

READ MORE

Simu Mpya Inakusubiri! Piga *149*10# Jumatano Hii na Uwe Mshindi!

Je unajua kuwa ukipiga *149*10# unaweza ukajishindia Samsung A26?. Mechi kibao za kukupatia pesa zipo hapa huku nafasi ya kushinda...

READ MORE

Airtel Imetangaza Kuendeleza Ushirikiano na UCSAF

Desemba 5, 2025 — Airtel Tanzania imetangaza kuendelea kwa ushirikiano wake na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) kupitia utiwaji...

READ MORE

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Naibu Mwenyekiti wa CWEIC Ikulu Dar

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Naibu Mwenyekiti wa...

READ MORE

Benki Ya Stanbic Yachangia  Madawati Mkoani Mbeya

Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Bregadia Jenerali.Maulid Sulumbu (kushoto) ambaye amemwakilisha Mkuu wa mkoa wa Mbeya Mh. Beno Malisa akimkabidhi...

READ MORE

Niffer Awashukuru Watanzania Baada ya Kuachiwa Huru – Video

Mfanyabiashara maarufu Jennifer Jovin, anayejulikana mtandaoni kama Niffer ameishukuru serikali na wananchi kwa mshikamano waliomuonyesha kipindi chote alichokuwa akishikiliwa hadi...

READ MORE

Polisi Yaonya Mikakati ya Vurugu na Uhalifu Mtandaoni Kuelekea Desemba 9 -Video

Jeshi la Polisi Tanzania limesema linachukua hatua madhubuti kukabiliana na wimbi la uhalifu wa kimtandao na mipango ya vurugu inayodaiwa...

READ MORE

Mahakama ya Kisutu Yawaachilia Huru Jennifer Jovin ‘Niffer’ na Mika Chavala

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewaachilia huru mfanyabiashara Jennifer Jovin, maarufu kama Niffer (26), na Mika Chavala (32), baada ya...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Mafuta Mwezi Disemba, 2025

Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kupungua kwa bei za mafuta nchini, hatua inayotokana na...

READ MORE

Waziri wa Ulinzi Nigeria Ajiuzulu, Jenerali Mstaafu Musa Ateuliwa Kuchukua Nafasi Yake

Waziri wa Ulinzi wa Nigeria, Mohammed Badaru Abubakar, amejiuzulu wadhifa wake kutokana na sababu za kiafya, kwa mujibu wa taarifa...

READ MORE

Video Vixen Genno Acharuka “Nilikopwa Kwenye Video ya Diamond na Baba Levo” – Video

Video vixen maarufu Genno ameibua gumzo baada ya kufichua kuwa aliwahi kukopwa malipo katika moja ya video aliyocheza akiwashirikisha wasanii...

READ MORE

Msama: Vijana Tulieni Nyumbani Tarehe 09 Msivunje Sheria

Mfanyabiashara na Mkurugenzi wa Msama Promotions Alex Msama amewataka vijana nchini kutokuwa daraja la uvunjifu wa amani. Aidha amewataka wazazi...

READ MORE

CMSA Yasifu Tcb Kwa Kuandika Historia Kwenye Mauzo ya Hatifungani

Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), CPA Nicodemus Mkama, ameipongeza Bodi na Menejimenti ya...

READ MORE

Simba Yasitisha Mkataba na Meneja Mkuu Dimitar Pantev, Matola Kuiongoza Kwa Muda

Uongozi wa Klabu ya Simba SC umetangaza rasmi kuachana na Meneja Mkuu, Dimitar Pantev, baada ya kufikia makubaliano ya pande...

READ MORE

Rais Samia: Matukio ya Oktoba 29, Yalipangwa kwa Lengo la Kuangusha Dola – Video

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema matukio yaliyotokea kuanzia Oktoba 29, 2025 na kuendelea yalikuwa matukio ya kutengenezwa ambayo yalikuwa...

READ MORE

Rais Samia: Baadhi ya Taasisi za Dini Zinajiingiza Kwenye Siasa

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezilaumu baadhi ya taasisi za dini kwa kujiingiza...

READ MORE

Video: Rais Samia Atoa Onyo Kali Dhidi ya Wachochezi wa Amani ya Taifa

Akizungumza katika Mkutano na Wazee wa Dar es Salaam, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan,...

READ MORE

Waziri wa Marekani Afunguka Mpya “Tutafunga Safari Kutoka Kila Nchi Inayotuletea Hatari”

Waziri wa Usalama wa Ndani wa Marekani, Kristi Noem, ametangaza kuwa amependekeza kwa Rais Donald Trump kuweka marufuku ya usafiri...

READ MORE

Huduma za TRA Zarejea Katika Ofisi Zilizoharibiwa

  Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema huduma za TRA zimerejea katika ofisi...

READ MORE

Tuhuma za ‘Umeme Kuzimwa kwa Makusudi’ TANESCO Yatoa Tamko

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limekanusha taarifa zilizosambaa mitandaoni zikilihusisha na matukio ya kihalifu huku likielezea kusikitishwa na taarifa hizo...

READ MORE

Padri Kitima Aweka Wazi Sababu za Kikao Chake na Waziri Mkuu

Katibu Mkuu wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC), Padri Dkt. Charles Kitima, ameeleza kwa uwazi kuwa kikao chake na...

READ MORE

Katibu Mkuu wa CCM Katika Mkutano wa Rais Samia na Wazee wa Dar es Salaam

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt.Asha-Rose Migiro ameshiriki mkutano wa Wazee wa Mkoa wa Dar es Salaam...

READ MORE

Serikali Yawataka Wasomi Kuchangamkia Fursa Zilizoko CBE

SERIKALI imekipongeza Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), kwa kuanzisha program atamizi ya biashara ambayo itawatengeneza wahitimu wa chuo hicho...

READ MORE

Airtel Tanzania; Ushirikiano Baina ya Sekta Binafsi na Umma Kuchochea Ukuaji Endelevu wa Kidijitali

Ushirikiano wa kimkakati kati ya sekta binafsi na umma unatambuliwa zaidi kuwa ni chombo muhimu kwa kufanikisha faida za muda...

READ MORE

Tume Ya Uchunguzi Yaanza Kazi: Jaji Chande Aeleza Mambo 6 Makuu Yatakayochunguzwa – Video

Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,...

READ MORE

Makamu wa Rais Dkt. Nchimbi Afungua Semina Elekezi kwa Mawaziri na Manaibu Mawaziri Dar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amefungua Semina Elekezi kwa Mawaziri na Naibu...

READ MORE

Access Benki Yazindua Access Wezesha, kwa Kuwajengea Uwezo Vijana 200

Benki ya Access nchini imezindua rasmi Access Wezesha, jukwaa jipya linalolenga kuwawezesha vijana wa kizazi kijacho kupata maarifa muhimu ya...

READ MORE

Trump Asitisha Uhamiaji Kutoka “Nchi Masikini” Baada ya Shambulio la Mtuhumiwa wa Afghanistan

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema atasitisha kwa muda uhamiaji kutoka nchi alizozitaja kama “masikini,” ikiwa ni siku moja baada...

READ MORE