×

Habari

DC Sabaya Awasweka Ndani Mke na Mme – Video

MKUU wa Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya, ametoa agizo la kukamatwa kwa mfanyabiashara, Alex Elibariki Swai, na...

READ MORE

JPM Atuma Salamu za Rambirambi kwa Mbunge Aliyefariki

RAIS John  Magufuli ametuma salamu za rambirambi kwa familia, ndugu na Spika wa Bunge, Job Ndugai, kufuatia kifo cha aliyekuwa...

READ MORE

Shigongo Amwaga Vifaa vya Shule kwa Watoto Wenye Mahitaji – Video

  OFISI ya Mbunge wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, kupitia kamati yake ya kuhamasisha wazazi kupeleka watoto shule,...

READ MORE

Trump Aibua Mapya, Sasa Kuanzisha Chama Chake Kipya

  RAIS wa Marekani aliyemaliza muda wake, Donald Trump anakusudia kuunda chama kipya cha siasa kitakachoitwa Patriot Party, baada ya...

READ MORE

Kenya Kupokea Dozi Milioni 24 za Chanjo ya Corona

Kenya inatarajia kupokea dozi milioni 24 za chanjo ya ugonjwa Corona iliyotengenezwa na kapuni ya Astrazeneca na chuo kikuu cha...

READ MORE

Sloti ya Lucky Betting Shop | Mpya Kwenye Kasino ya Meridianbet

Umewahi kubashiri kwenye michezo mtandaoni? Ubashiri wa michezo ni maarufu sana kwa mamilioni ya watu kote duniani. Hili ndilo dhumuni...

READ MORE

Tanzia: Mbunge wa CCM Afariki Dunia

MBUNGE  wa Viti Maalum (CCM) Mkoa wa Manyara, Martha Umbulla, amefariki dunia katika Hospitali ya HCG Mumbai, India alikokuwa akipatiwa...

READ MORE

Mama Mbaroni Akidaiwa Kumuua Mtoto wa Mumewe – Video

  POLISI Wilaya ya Kinondoni inamshikilia, Pendo Carlos, kwa tuhuma za kumuua mtoto wa mumewe na kujaribu kuwaua watoto wengine...

READ MORE

Bweni Lililochomwa 2018 Laungua Tena, Kura Zapigwa ‘Kubaini’ Wahusika

  SEHEMU ya bweni la wavulana wa Shule ya Sekondari Mang’oto wilayani Makete mkoani Njombe, imeungua moto na kusababisha hasara...

READ MORE

Mkenya Anaswa Akitoa Hongo Apatiwe Cheti cha Corona TZ

RAIA wa Kenya, Alexander Mwikali (42), amefikishwa katika Mahakama ya Mkoa wa Dodoma kwa tuhuma ya kutoa rushwa ya Sh....

READ MORE

Ufaransa Yagoma Kuiomba Radhi Algeria

RAIS  wa Ufaransa, Emmanuel Macron, ameondoa uwezekano wa nchi yake kuomba msamaha rasmi kwa dhuluma ilizozifanya nchini Algeria. Ofisi yake...

READ MORE

Majaliwa Aagiza Kodi, Tozo za Mkonge Zifanyiwe Mapitio

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Kilimo ifanye mapitio ya kodi na tozo zote zilizopo katika zao la mkonge...

READ MORE

Askofu Avuliwa Cheo kwa Kuzini na Mke wa Mtu

KANISA la Anglikana nchini Uganda limemvua cheo aliyekuwa askofu mkuu wa kanisa hilo, Stanley Ntagali, na kusitisha utendaji waKE WA ...

READ MORE

Biden Ashuhudia Chereko za Kuapishwa Kwake Akiwa Ikulu

RAIS Joe Biden alihitimisha chereko za kuapishwa kwake kwa kutazama milipuko ya baruti kutoka katika ghorofa ya Truman ya Ikulu...

READ MORE

Mbele ya Waziri Mkuu NMB Yajipanga Kusaidia Kufufuliwa Zao la Mkonge

Benki ya NMB imesema kuwa itahakikisha inaendelea kutoa huduma za kifedha kwa kushirikiana na wadau mbalimbali katika kufufua zao la...

READ MORE

Trump Amwandikia Biden Ujumbe, Auacha Ikulu

ALIYEKUWA rais wa Marekani, Donald Trump, amefuata angalau utamaduni mmoja kama ilivyo kawaida kwa marais wanaoondoka madarakani. Maafisa wa White...

READ MORE

Biden Aanza Kazi Kwa Kutengua Sera za Trump

RAIS  mpya wa Marekani Joe Biden ameanza kutengua sera kadhaa muhimu za Donald Trump, saa chache baada ya kuapishwa. Rais...

READ MORE

Walimu Wakuu Ludewa Waukubali Mradi wa Darasa Jifunze

BAADHI ya walimu wakuu wa shule za msingi zinazotekeleza mradi wa majaribio wa Darasa Jifunze ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya...

READ MORE

Mwanafunzi na Matroni Wanaodaiwa Kuchoma Moto Shule Wasota Rumande

  Bi Aisha Ali mkazi wa jinini Dar es Salam amejikuta akiangua kilio na kumwaga machozi katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Biden Awa Rais wa 46 wa Marekani – (Picha +Video)

Joe Biden amekula kiapo na kuwa rais wa 46 wa taifa la Marekani. Biden amekula kiapo mbele ya jaji wa...

READ MORE

Wagonjwa Wapya wa Saratani Waongezeka Tanzania

  TANZANIA  kuna ongezeko la wagonjwa wapya wa Saratani wapatao 50,000 na inakadiriwa kuwa, ifikapo mwaka 2030 kutakuwa na ongezeko...

READ MORE

Naibu Waziri Alipongeza Jeshi la Polisi

    Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mh. Khamis Hamza Chilo (Mb) akiwasili katika ofisi za Makao...

READ MORE

VIDEO: Biden Kuapishwa Rais wa 46 wa Marekani

 RAIS Mteule wa Marekani, Joe Biden, ataapishwa leo Januari 20, 2021 na kuwa rais wa 46 wa Marekani akichukua...

READ MORE

Rais Trump Aondoka Ikulu na Mkewe Melania (Picha +Video)

RAIS Donald Trump ameondoka Ikulu ya Marekani leo Januari 20, 2021 akiwa na mkewe saa 2:12 asubuhi (Tanzania ilikuwa saa...

READ MORE

Polisi Kibaha Akutwa Amefariki kwa Kujinyonga

POLISI  aliyekuwa anafanya kazi katika kituo cha Polisi Wilayani Kibaha Mkoa wa Pwani, namba E 6472 Yusuph Said, mwenye umri...

READ MORE

Apigwa Shoti Akiiba Waya Kwenye Transfoma

RIZIKI MOSHA (23) mkazi wa mkoani Arusha amekamatwa na Shirika la Umeme nchini (Tanesco) Mkoa wa Kilimanjaro kwa tuhuma za...

READ MORE

Kocha Yanga: Simba Hawakupaswa Kumsajili Chikwende

MOHAMED HUSSEIN maarufu kama Mmachinga, Kocha Msaidizi wa Klabu ya Yanga Princess, amesema kuwa anaamini kwamba wawakilishi wa Tanzania kwenye...

READ MORE

EU Kuziruhusu Tena Ndege za Boeing 737 Max

UMOJA wa Ulaya (EU) umepanga kutoa idhini kwa utumiaji wa ndege za abiria aina ya Boeing 737 Max kuanzia wiki...

READ MORE

Mtendaji Aliyempiga Mwananchi Asimamishwa Kazi

MKURUGENZI wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani Manyara, Hudson Kamoga, amemsimamisha kazi Ofisa Mtendaji wa kijiji cha Haydom, Adela...

READ MORE

Anusurika Kifo kwa Kuchomwa Kisu Tumboni Kisa ‘Buku’!

MWITA Buruna (30), mkazi wa kijiji cha Rung’abure Wilaya ya Serengeti mkoani Mara amelazwa hospitalini baada ya kuchomwa kisu tumboni...

READ MORE

Tanzia: Naibu Kamishna Magereza Afariki Dunia

NAIBU  Kamishna wa Magereza, Julius Sang’udi, amefariki dunia katika Hospitali ya Benjamin Mkapa, jijini Dodoma leo Jumatano, Januari 20, 2021....

READ MORE

Breaking: Bilionea Jack Ma Ajitokeza Hadharani

  MFANYABIASHARA na mmliki wa Kampuni ya Alibaba, Jack Ma, nchini China, kwa mara ya kwanza leo amejitokeza hadharani kuzungumza...

READ MORE

Kisa Morrison, Yanga Yampa Mkataba Mgumu Fiston

UONGOZI wa Yanga umewaondoa hofu mashabiki wa timu hiyo kwa kuwaambia kuwa wamempa mkataba mshambuliaji wao mpya Mrundi Fiston Abbdulrazack...

READ MORE

Mkuu wa Shule Atokomea na Michango ya Mitihani ya Form 4 & 2

Serikali mkoani Geita imeuagiza uongozi wa shule ya sekondari ya Geita Islamic, ifikapo leo asubuhi iwasilishe stakabadhi za malipo ya...

READ MORE

Biden Kuapishwa Leo, Trump Atoa Kauli ya Mwisho Ikulu

RAIS Donald Trump amelihutubia taifa la Marekani kabla hajaondoka madarakani na kusema: “Tumefanya kile ambacho tulikuja kukifanya na tumefanya mambo...

READ MORE

Trump Amsamehe Aliyekuwa Mshauri Wake Dakika za Mwisho

RAIS anayeondoka madarakani, Donald Trump, amsamehe aliyekuwa mshauri wake, Steve Bannon, ambaye anakabiliwa na mashtaka ya udanganyifu. Tangazo hilo linawadia...

READ MORE

Jose Chameleone Ausaka Umeya Kampala

NYOTA wa muziki wa Hip Hop nchini Uganda, Joseph Mayanja maarufu kama Jose Chameleone, ni miongoni mwa wagombea wa nafasi...

READ MORE

Hotuba ya Mwisho ya Trump Kabla ya Kuondoka Ikulu – Video

Rais Donald Trump ametoa hotuba yake ya mwisho kama Rais wa Marekani akibainisha mafanikio yake kuwa ni pamoja na kutoanzisha...

READ MORE

Saa Chache Kabla ya Kuapishwa, Biden Amwaga Machozi Kaburini

RAIS mteule, Joe Biden, alielekea Washington katika mkesha wa sherehe ya kuapishwa kwake, wakati mtangulizi wake Donald Trump ambaye atasusia...

READ MORE