KWANI kunywa bia na wanawake wawili baa ni kosa kisheria? Si ndivyo utakavyohoji? Sasa UWAZI linakuambia wewe endelea na udadisi...
READ MOREMBUNGE wa jimbo la Chalinze mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete, amefika nyumbani kwa familia ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius...
READ MOREOFISA wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti na mwenzake Theodory Giyan, leo wameachiwa huru...
READ MOREMAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeifungia Televisheni ya Wasafi TV kutoa huduma kwa muda wa miezi sita kuanzia Januari 6,...
READ MOREMKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella ameamuru kukamatwa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Sengerema, Boniface Magesa, na afisa ardhi...
READ MOREWAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mhe. Selemani Jafo, ameipongeza Halmashauri ya...
READ MOREMWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kuwa mbunge pekee wa jimbo la Nkasi Kaskazini, Aida...
READ MOREPOLISI mkoani Kagera, inamshikilia Amos Rudovick (39) kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mtoto wake Dastan Amos (13), kwa kumchapa...
READ MOREMBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, ameendelea na ziara katika maeneo tofauti ndani ya jimbo lake akitatua kero na kuwaelimisha...
READ MOREMKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa si kweli kwamba Askari wa Usalama Barabarani, wanatoza faini...
READ MOREMSHAMBULIAJI wa Simba, Charles Ilanfya, amesema kuwa hana pingamizi lolote iwapo uongozi wa klabu hiyo utaamua kumpeleka kwenye kikosi cha...
READ MOREMWILI wa mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere, Rosemary Nyerere utazikwa kesho Jumatano, Januari 6, 2020 katika...
READ MOREBENKI ya NMB, tayari imeshatumia jumla ya shilingi milioni 20 kwaajili ya washindi 200 wa droo za wiki...
READ MORENAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Ummy Ndeliananga, ameendelea na msako wa kuwatafuta vigogo wanaotumia watu wenye ulemavu kama biashara...
READ MOREMAJERUHI 54 wa ajali ya treni iliyotokea Dodoma waliokuwa wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa huo, wameruhusiwa kutoka hospitali...
READ MOREMKAZI wa mtaa wa Kilimahewa kata ya Bulangwa wilaya ya Bukombe mkoa wa Geita, Justina Lukilisha amejifungua mtoto nje ya...
READ MOREWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Ruvuma,...
READ MORENI simanzi na majonzi mjini hapa kutokana na vifo vya watu wanne vilivyotokana na ajali siku ya Mwaka Mpya. George...
READ MOREWANAUME wawili waliopatikana na hatia ya mauaji ya Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Laurent Kabila, miaka...
READ MORERAIS wa Marekani, Donald Trump, amerekodiwa akimwambia afisa mkuu wa uchaguzi Georgia atafute kura za kutosha kuwezesha kubadilishwa kwa matokeo...
READ MOREBILIONEA wa China, Jack Ma inasemekana hajulikani alipo baada ya kutoonekana hadharani kwa zaidi ya miezi miwili. Aidha, alishindwa...
READ MOREMAOFISA wa upelelezi kutoka Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) nchini Kenya wameanzisha uchunguzi dhidi ya kifo cha...
READ MOREMAKAMU wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inataka kuhakikisha hakutakuwa...
READ MOREMBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, ametembelea barabara ya Kasheka iliyokatika kutokana na uzembe wa Mtendaji wa...
READ MOREWaziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka wamiliki wa ardhi wanaotaka kujenga kuhakikisha wanafuata sheria na...
READ MOREMshindi wa tano wa Promosheni ya Vodacom Tanzania, Shangwe Shangwena, William Mpachilla, mkazi wa Ipagala mjini Dodoma akifungua mlango wa...
READ MOREMAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewafika katika Hospitali ya Rufaa General...
READ MOREWAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amempa siku mbili Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Tunduru mkoni Ruvuma, Gaspar Balyomi, awe...
READ MOREKLABU ya Simba imeingia katika historia kubwa pamoja na klabu maarufu kubwa duniani kutokana na kuongoza kwa kufuatiliwa zaidi katika...
READ MOREAMA kweli kabla hujafa hujaumbika! Kijana aliyefahamika kwa jina la Kagusa Kayola (27), mkazi wa Ubungo-Kibo jijini Dar, amejikuta kwenye...
READ MORENaibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga amekemea vikali vitendo vya udhalilishaji Watu wenye Ulemavu...
READ MOREHAI: Kuna methali ya Kiswahili isemayo; “Hii pweke ni uvundo, kuondokewa si kwema!” Simulizi ya baba ambaye ni mkazi wa...
READ MOREKIONGOZI wa Baraza la Waislamu wa Sri Lanka Mbunge, Rauff Hakim, alisema kuwa uteketezaji wa miili ya wahanga wa janga...
READ MORERAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo Januari 2, 2021, amemwapisha Mhandisi Zena...
READ MOREWATANZANIA wawili wameula kwa kujishindia safari ya kwenda kutembelea hifadhi ya Ngorongoro kwenye Promosheni iliyokuwa ikiendeshwa na maduka ya GSM...
READ MOREUINGEREZA imeanza ukurasa mpya wa kujitegemea kwa kujitoa katika Umoja wa Ulaya (EU), baada ya usiku wa kuamkia jana kukamilisha...
READ MOREKAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini Tanzania, Wilbroad Mutafungwa, ametoa maagizo kwa wamiliki wa magari makubwa kuhakikisha wanatoa stahiki...
READ MOREMTU mmoja anayedaiwa kuwa jambazi ameuawa na jeshi la polisi mkoani Kigoma, wakati wa majibizano ya risasi na wenzake watatu...
READ MORE