×

Habari

Matatani Kunywa Pombe na Wanawake Wawili Baa

KWANI kunywa bia na wanawake wawili baa ni kosa kisheria? Si ndivyo utakavyohoji? Sasa UWAZI linakuambia wewe endelea na udadisi...

READ MORE

Kikwete Aomboleza Msiba wa Mtoto wa Nyerere

MBUNGE wa jimbo la Chalinze mkoani Pwani, Ridhiwani Kikwete, amefika nyumbani kwa familia ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius...

READ MORE

Tito Magoti na Theodory Waachiwa Huru

  OFISA wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Tito Magoti na mwenzake Theodory Giyan, leo wameachiwa huru...

READ MORE

Gigy Money Awaponza Wasafi, TCRA Yawafungia Miezi 6 – Video

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imeifungia Televisheni ya Wasafi TV kutoa huduma kwa muda wa miezi sita kuanzia Januari 6,...

READ MORE

Mkurugenzi Aswekwa Ndani kwa Amri ya RC Mongela

MKUU wa Mkoa wa Mwanza, John Mongella ameamuru kukamatwa kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Sengerema, Boniface Magesa, na afisa ardhi...

READ MORE

Waziri Jafo Aipa Tano Buchosa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mhe. Selemani Jafo, ameipongeza Halmashauri ya...

READ MORE

Mbowe: Khenani Kuapa Amekaidi Msimamo wa Chama

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amesema kuwa mbunge pekee wa jimbo la Nkasi Kaskazini, Aida...

READ MORE

Baba Amvunja Uti wa Mgongo Mwanaye Kisa Kuzurura

POLISI  mkoani Kagera, inamshikilia Amos Rudovick (39) kwa tuhuma za kusababisha kifo cha mtoto wake Dastan Amos (13), kwa kumchapa...

READ MORE

Shigongo Atua Maisome: Msiogope, Ni Pesa Zenu – Video

MBUNGE wa Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, ameendelea na ziara katika maeneo tofauti ndani ya jimbo lake akitatua kero na kuwaelimisha...

READ MORE

IGP Akanusha Uzushi wa Traffic Kukusanya Mapato

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini IGP Simon Sirro, amesema kuwa si kweli kwamba Askari wa Usalama Barabarani, wanatoza faini...

READ MORE

 Straika Simba akubali kutua Coastal

MSHAMBULIAJI wa Simba, Charles Ilanfya, amesema kuwa hana pingamizi lolote iwapo uongozi wa klabu hiyo utaamua kumpeleka kwenye kikosi cha...

READ MORE

Mtoto wa Nyerere Kuzikwa Kesho Pugu

  MWILI wa mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere, Rosemary Nyerere utazikwa kesho Jumatano, Januari 6, 2020 katika...

READ MORE

Jumla ya Mil 20 Zatolewa Promosheni ya NMB MastaBATA

    BENKI ya NMB, tayari imeshatumia jumla ya shilingi milioni 20 kwaajili ya washindi 200 wa droo za wiki...

READ MORE

Wanaswa Wakifuga ‘Kijiji’ cha Wenye Ulemavu na Kujitajirisha – Video

NAIBU Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Ummy Ndeliananga, ameendelea na msako wa kuwatafuta vigogo wanaotumia watu wenye ulemavu kama biashara...

READ MORE

Majeruhi Ajali ya Treni Waruhusiwa Kutoka Hospitali

MAJERUHI  54 wa ajali ya treni iliyotokea Dodoma waliokuwa wamelazwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa huo, wameruhusiwa kutoka hospitali...

READ MORE

Ajifungua Kanisani Baada ya Kumuomba Mungu Mtoto wa Kike

MKAZI wa mtaa wa Kilimahewa kata ya Bulangwa wilaya ya Bukombe mkoa wa Geita, Justina Lukilisha amejifungua mtoto nje ya...

READ MORE

Waziri Mkuu Aagiza Madiwani Watatu Mbinga Vijijini Wakamatwe

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Kamanda wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mkoa wa Ruvuma,...

READ MORE

Vifo Vinne vya Ajali Vyatikisa Moshi

NI simanzi na majonzi mjini hapa kutokana na vifo vya watu wanne vilivyotokana na ajali siku ya Mwaka Mpya. George...

READ MORE

Tshisekedi Awasamehe Waliomuua Rais Kabila

    WANAUME wawili waliopatikana na hatia ya mauaji ya Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Laurent Kabila, miaka...

READ MORE

Mazungumzo ya Siri ya Trump Kujaribu Kubadili Matokeo Yanaswa

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amerekodiwa akimwambia afisa mkuu wa uchaguzi Georgia atafute kura za kutosha kuwezesha kubadilishwa kwa matokeo...

READ MORE

Bilionea wa Dunia Jack Ma Hajulikani Alipo

BILIONEA  wa China, Jack Ma inasemekana hajulikani alipo baada ya kutoonekana hadharani kwa zaidi ya miezi miwili.   Aidha, alishindwa...

READ MORE

Polisi Amuua Rafiki Yake Wakitafuna Mirungi Kituoni

MAOFISA wa upelelezi kutoka Idara ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai (DCI) nchini Kenya wameanzisha uchunguzi dhidi ya kifo cha...

READ MORE

Maalim Seif Afunguka Mazito Zanzibar, Akataa Ubaguzi

  MAKAMU  wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, amesema Serikali ya Mapinduzi Zanzibar inataka kuhakikisha hakutakuwa...

READ MORE

Shigongo Akasirika, Ampigia Simu Mkurugenzi “Hatumtaki Huyu Mtendaji”

  MBUNGE wa Jimbo la Buchosa, Mhe. Eric Shigongo, ametembelea barabara ya Kasheka iliyokatika kutokana na uzembe wa Mtendaji wa...

READ MORE

Waziri Lukuvi Awataka Wamiliki wa Ardhi Kujenga kwa Kufuata Sheria

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amewataka wamiliki wa ardhi wanaotaka kujenga kuhakikisha wanafuata sheria na...

READ MORE

Vodacom Yatamatisha Shangwe Shangwena kwa Kukabidhi Gari Dodoma

Mshindi wa tano wa Promosheni ya Vodacom Tanzania, Shangwe Shangwena,  William Mpachilla, mkazi wa Ipagala mjini Dodoma akifungua mlango wa...

READ MORE

Video: Mama Samia Awafariji Majeruhi wa Ajali ya Treni

  MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewafika katika Hospitali ya Rufaa General...

READ MORE

Waziri Mkuu Ampa Siku Mbili Mkurugenzi Tunduru

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amempa siku mbili Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Tunduru mkoni Ruvuma, Gaspar Balyomi, awe...

READ MORE

Simba Yaingia Anga Moja na Spurs, Inter Millan

KLABU ya Simba imeingia katika historia kubwa pamoja na klabu maarufu kubwa duniani kutokana na kuongoza kwa kufuatiliwa zaidi katika...

READ MORE

Simulizi Ya Machozi… Kijana Azimia Mwezi Mzima, Apoteza Kumbukumbu

AMA kweli kabla hujafa hujaumbika! Kijana aliyefahamika kwa jina la Kagusa Kayola (27), mkazi wa Ubungo-Kibo jijini Dar, amejikuta kwenye...

READ MORE

Naibu Waziri Awacharaza Bakora Wanaojihusisha na Biashara ya Walemavu

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Wenye Ulemavu Mhe. Ummy Nderiananga amekemea vikali vitendo vya udhalilishaji Watu wenye Ulemavu...

READ MORE

Simulizi Baba Aliyeuawa na Mwanaye Moshi

HAI: Kuna methali ya Kiswahili isemayo; “Hii pweke ni uvundo, kuondokewa si kwema!” Simulizi ya baba ambaye ni mkazi wa...

READ MORE

Waliokufa kwa Corona Kuchomwa Moto

KIONGOZI  wa Baraza la Waislamu wa Sri Lanka Mbunge,  Rauff Hakim, alisema kuwa uteketezaji wa miili ya wahanga wa janga...

READ MORE

Mwinyi Amwapisha Katibu Mkuu Kiongozi Zanzibar

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Ali Mwinyi leo Januari 2, 2021, amemwapisha Mhandisi Zena...

READ MORE

Wawili Waula Safari ya Kutalii Ngorongoro

WATANZANIA wawili wameula kwa kujishindia safari ya kwenda kutembelea hifadhi ya Ngorongoro kwenye Promosheni iliyokuwa ikiendeshwa na maduka ya GSM...

READ MORE

Uingereza Yajitoa Rasmi Umoja wa Ulaya

UINGEREZA imeanza ukurasa mpya wa kujitegemea kwa kujitoa katika Umoja wa Ulaya (EU), baada ya usiku wa kuamkia jana kukamilisha...

READ MORE

Wamiliki Malori Wasiotoa Stahiki kwa Madereva Kuwajibishwa

KAMANDA wa Kikosi cha Usalama Barabarani nchini Tanzania, Wilbroad Mutafungwa, ametoa maagizo kwa wamiliki wa magari makubwa kuhakikisha wanatoa stahiki...

READ MORE

Jambazi Auawa Usiku wa Kuamkia 2021

MTU mmoja anayedaiwa kuwa jambazi ameuawa na jeshi la polisi mkoani Kigoma, wakati wa majibizano ya risasi na wenzake watatu...

READ MORE