×

Habari

Polisi waanza uchunguzi wa picha ya raia wa kigeni na mifuko ya fedha

Jeshi la Polisi Tanzania limethibitisha kuanza uchunguzi wa kina kufuatia kusambaa kwa picha mjongeo inayomwonesha raia wa kigeni mwenye asili...

READ MORE

Airtel Tanzania Supports Healthcare Sector Through Digital Connectivity at Annual Medical Conference

Moshi, Tanzania, January 2026 — Airtel Tanzania has reaffirmed its commitment to strengthening Tanzania’s healthcare sector by sponsoring internet connectivity...

READ MORE

Waziri Kikwete Amtembelea Mama Maria Nyerere Na Mama Anna Mkapa

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Ridhiwani Kikwete amewatembelea na kuwajulia hali...

READ MORE

EWURA Yatangaza Bei Mpya za Petroli, Dizeli na Mafuta ya Taa kuanzia leo

Dar es Salaam, Januari 7, 2026 – Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei kikomo...

READ MORE

Ratiba Nzito Barani Ulaya: Mechi Kubwa Zinarudi, Butua Maokoto na Meridianbet

Leo hii ni siku nzuri sana kwako mteja wa Meridianbet kwani mechi za Ligi mbalimbali na zile za AFCON zipo...

READ MORE

Mabasi 30 Ya Udart Kurejea Barabarani, Huduma Kufika Mloganzila – Prof. Shemdoe

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe amefanya ziara ya ukaguzi katika karakana ya UDART...

READ MORE

Bunge la Venezuela latangaza tume ya kufuatilia suala la Rais Maduro

Waziri mmoja wa Venezuela ametoa taarifa ya kuundwa tume maalumu katika bunge la nchi hiyo ya kumkomboa Rais Nicolas Maduro...

READ MORE

Simbachawene: Polisi lazima walinde raia kwa haki, usawa na uadilifu – Video

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene, amewataka maafisa wakaguzi na askari wa Jeshi la Polisi wa vyeo...

READ MORE

Chelsea yamtangaza Liam Rosenior kuwa kocha mkuu mpya

Klabu ya Chelsea imethibitisha uteuzi wa Liam James Rosenior kuwa kocha mkuu mpya, akichukua nafasi ya Enzo Maresca aliyefutwa kazi...

READ MORE

Machado aapa kurudi Venezuela Amshukuru Trump na kutaka uchaguzi huru

Kiongozi mkuu wa upinzani nchini Venezuela, Maria Corina Machado, ameapa kurejea nyumbani “haraka iwezekanavyo” na kusisitiza kuwa nchi hiyo iko...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 7, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Wachina Wakamatwa Dar Wakiwa Na Bilioni 6 Ndani Ya Nyumba – Video

Taarifa zilizosambaa mapema leo, Januari 6, 2026, kwenye mitandao ya kijamii zimeeleza kuwa raia kadhaa wa China wamekamatwa katika eneo...

READ MORE

Rais Samia afanya mazungumzo na Viongozi wa Wizara ya Ulinzi na JWTZ Zanzibar – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo...

READ MORE

Rais Mwinyi Afungua Flyover Ya Dkt.Hussein Ali Mwinyi

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewahakikishia wananchi kuwa Serikali itawalipa fidia wananchi...

READ MORE

Wananchi Arusha waeleza machungu ya Oktoba 29 mbele ya Tume ya Uchunguzi

Baadhi ya wananchi mkoani Arusha wameieleza Tume ya Uchunguzi wa Matukio ya Oktoba 29, 2025 changamoto mbalimbali walizokumbana nazo wakati...

READ MORE

Video: Mke wa Saidi Fella azungumzia hali ya mumewe na sapoti anayoipata

Mke wa Saidi Fella, Sweet Fella amesema kuugua kwa mumewe kwake ni ibada. Sweet ameandika kwenye ukurasa wake wa Instagram...

READ MORE

#Part2: Mkasa Wa Kweli Wa Mtumishi Mathayo Aliyegeuzwa Fisi Abebe Maiti, Aomba Msaada – Video

Katika kijiji cha Balangda, wilayani Hanang’, mkoani Manyara, anaishi Mathayo Darema, mtumishi wa Mungu mwenye ulemavu ambaye miaka mitatu iliyopita...

READ MORE

Nilikuwa Nakosa Usingizi Usiku Kutokana na Mawazo Mpaka Nilipoijua Mbinu Hii

Kwa muda mrefu, usingizi ulikuwa adui yangu. Nililala kitandani nikigeuka pande zote, mawazo yakikimbia bila kikomo. Nilifikiria kazi, familia, pesa,...

READ MORE

Waziri Sangu Awaagiza Wenye Viwanda Kuimarisha Afya na Usalama wa Wafanyakazi

    Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu-Kazi, Ajira na Mahusiano, Deus Sangu, akizungumza na menejimenti na watumishi wa...

READ MORE

Mfanyabiashara Keko Ashinda Mil. 10 za Magift Pesa

Dar es Salaam, Tanzania – Kampeni ya “Magift ya Mixx Pesa,” inayoendeshwa na Kampuni ya huduma za kifedha kwa njia...

READ MORE

Singida Black Stars Yafanya Mabadiliko Makuu: Ouma Kocha Mkuu, Najjar Meneja Mkuu

Singida Black Stars imethibitisha kumteua David Ouma kuwa kocha mkuu wa klabu hiyo, akichukua nafasi ya Miguel Angel Gamondi, ambaye...

READ MORE

Maduro Afikishwa Mahakama baada ya Kukamatwa na Marekani

Rais wa zamani wa Venezuela aliyeondolewa madarakani, Nicolás Maduro, amefikishwa katika Mahakama ya Shirikisho ya Manhattan leo Januari 5, 2026...

READ MORE

Video: Kikwete Asema Urais ni Mpango wa Mungu, Afafanua Nafasi ya Kiongozi

Rais Mstaafu, Dkt. Jakaya Kikwete, amesema suala la kuwa kiongozi hususan urais ni mipango ya Mungu. Kikwete amesema tume iliyoundwa...

READ MORE

Rais Samia Akabidhiwa Tuzo Tatu za Utalii Kimataifa – Picha

Rais Samia Suluhu Hassan, amepokea tuzo tatu za kimataifa za utalii zilizotolewa na Taasisi ya World Travel Awards (WTA), katika...

READ MORE

Mwigulu Azindua Skuli Mpya Zanzibar, Apongeza Rais Mwinyi kwa Uwekezaji wa Elimu

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 05, 2026 amefungua Skuli ya Sekondari Chukwani, Zanzibar ikiwa ni sehemu ya shamrashamra...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Afungua  Skuli Ya Chukwani  Zanzibar 

Ampongeza Dkt. Mwinyi kwa uwekezaji katika sekta ya Elimu WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 05, 2026 amefungua Skuli...

READ MORE

Wasanii Nguli Wa Nyimbo Za Injili Kutumbuiza Tamasha La Pasaka

Wasanii nguli wa nyimbo za Injili kutoka mataifa mbalimbali wanatarajiwa kuungana na waimbaji wa  Nyimbo za Injili hapa nchini kutumbuiza...

READ MORE

Vodacom Yaendeleza Mpango Wa Kapu La Vodacom Kupitia Kampeni Ya “Back to School” Kusaidia Elimu Nchini

Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Plc eneo la Kawe na Bagamoyo Naomi Kasera (kulia) akikabidhi Kapu kwa Mzazi Fransisca Mosha...

READ MORE

Nilihangaika Kwa Miaka Mitatu Kwenye Ndoa Bila Kupata Mtoto, Mbinu Hii Ikanisaidia

Kwa miaka mitatu ya ndoa yangu, kila siku ilionekana kuwa changamoto isiyoisha. Nilikuwa na furaha ya ndoa na mume wangu,...

READ MORE

Trump Atuhumu Serikali ya Colombia Kuhusishwa na Biashara ya Dawa za Kulevya

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameibua mjadala mpana baada ya kudai kwamba huenda Jeshi la Marekani likachukua hatua za kijeshi...

READ MORE

Dkt. Mwigulu Awasili Zanzibar Kwa Uzinduzi wa Miradi ya Maendeleo

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewasili Zanzibar leo, Januari 4, 2026, kwa ziara ya...

READ MORE

Delcy Rodríguez Aapishwa Kuongoza Venezuela kwa Muda

Mahakama Kuu ya Venezuela imemteua Makamu wa Rais Delcy Rodríguez kuwa Rais wa Mpito wa nchi hiyo, kufuatia tangazo la...

READ MORE

Kamala Harris Amshambulia Donald Trump Kufuatia Kukamatwa kwa Maduro

Makamu wa Rais wa zamani wa Marekani, Kamala Harris, amemshambulia vikali Rais Donald Trump kufuatia uamuzi wa serikali ya Marekani...

READ MORE

Polisi Wafunguka Ukweli wa Ajali ya Shilole Kigoma, Watoa Wito kwa Madereva

Jeshi la Polisi Mkoa wa Kigoma limetolea ufafanuzi taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii, hususan TikTok, zikidai kuwa msanii wa...

READ MORE

AFCON: Diarra Aang’ara, Mali Yaipiga Tunisia kwa Matuta 3–2 Yatinga Robo Fainali

Kipa Djigui Diarra na wenzake wa Timu ya Taifa ya Mali wametinga robo fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika...

READ MORE

Video: ‘Wachawi Walinigeuza Fisi Nibebe Maiti – Nimeteseka Zaidi Ya Miaka 14’ – Mtumishi Mathayo Darema

Katika kijiji cha Balangda, wilayani Hanang’, mkoani Manyara, anaishi Mathayo Darema, mtumishi wa Mungu mwenye ulemavu ambaye miaka mitatu iliyopita...

READ MORE

Operesheni ya kijeshi Iliyoiwezesha Marekani kumteka Nicolas Maduro

Nchini Venezuela, usiku wa kuamkia Januari 3, vikosi vya Marekani vilimteka Rais Nicolas Maduro katika shambulio kubwa lililoitwa “Absolute Resolve,”...

READ MORE

Arsenal Yaendeleza Moto Ligi Kuu England Yaichapa Bournemouth 3–2

Arsenal imeendelea kuonesha ubabe kwenye Ligi Kuu England baada ya kupata ushindi wa tano mfululizo, mara hii wakiichapa AFC Bournemouth...

READ MORE

Trump Asema Marekani Itaiweka Venezuela Chini ya Usimamizi wa Mpito

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kwamba nchi yake itaiendesha Venezuela kwa kipindi cha mpito hadi itakapohakikisha kuna uhamisho wa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti leo Januari 4, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE