×

Habari

Miaka 7 ya Ndoa: Adekunle Gold na Simi Wazungumza Hali ya Upendo Wao

Wanandoa maarufu wa Nigeria, Adekunle Gold na Simi, wameadhimisha miaka saba ya ndoa yao kwa kuishirikisha dunia hisia zao kupitia...

READ MORE

Rose Muhando Afunguka Kuhusu Haki za Mapato ya Muziki Wake – Video

Msanii maarufu wa muziki wa injili nchini Tanzania, @malkiarosemuhando ameibuka hadharani na kutoa malalamiko mazito kuhusu kile alichokitaja kuwa ni...

READ MORE

Taharuki Yatokea Baada ya Mama Kumfumania Mumewe na Binti Yao Gesti

Siku hiyo nilifikiria kuwa ni ya kawaida. Nilikuwa nimechoka na masuala ya familia na kazi, nikihitaji muda wa kupumzika na...

READ MORE

Furaha ya Win&Go Meridianbet Inarudi na Lucky Loser

Umewahi kuhisi msisimko wa kubashiri, ukaweka tiketi ya Win&Go na namba zote zikapoteza? Meridianbet wanakuleta suluhisho la kuvutia. Unaletewa Lucky...

READ MORE

Uganda Yasimamisha Mashirika 10 ya Kiraia Siku Moja Kabla ya Uchaguzi

Serikali ya Uganda imeamua kusitisha kwa muda usiojulikana shughuli za mashirika 10 yasiyo ya kiserikali (NGOs), ikieleza kuwa uamuzi huo...

READ MORE

Waziri Mkuu Akutana na Balozi wa Japan Kuhusu Ushirikiano wa Miradi na Uwekezaji

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amekutana na Balozi wa Japan nchini Tanzania Mhe. Yoichi Mikami na kujadiliana naye masuala ya...

READ MORE

Katambi, Ayoub Wapokelewa Wizara Ya Mambo Ya Ndani Ya Nchi

Waziri wa Mambo ya Ndani Nchi, Mhe. Patrobas Katambi amekabidhiwa Ofisi na aliyekuwa Waziri wa Wizara hiyo George Simbachawene leo...

READ MORE

Mambo 10 Muhimu Aliyoyasema Waziri Makonda Alipokabidhiwa Ofisi

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Paul Makonda, ametoa kauli nzito jana wakati wa hafla ya kukabidhiwa ofisi kutoka...

READ MORE

Dkt. Mwigulu: Kazi Zinazoweza Kufanywa Na Wazawa Zisifanywe Na Wageni

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amezitaka wizara zinazohusika na masuala ya ajira zisimamie kikamilifu utekelezaji wa sheria zinazotaka kazi zinazoweza...

READ MORE

Yajue Maajabu ya mwezi Februari, Waingia Kwenye Historia ya ‘Perfect Month 2026’

Kama wewe ni mfuatiliaji mzuri wa mitandao ya kijamii, huenda tayari umekutana na neno linalotikisa mtandaoni kwa sasa; Perfect February...

READ MORE

Video: Marekani Yatingisha Iran, Trump Aonya Kabla ya Mazungumzo

Rais wa Marekani, Donald Trump amerudia maonyo yake ya kutaka kuingilia masuala ya Iran, akisema anaweza kuchukua hatua kabla ya...

READ MORE

Nilikuwa Nikilala Usiku Nahisi Nyayo za Mtu Chumbani Kwangu Kisha Ananiita

Nilikuwa nikilala kwa amani ya kawaida, lakini siku moja mambo yakaanza kuwa tofauti. Kila usiku, sikitazama saa, nilisikia nyayo zisizo...

READ MORE

Man United Yakubaliana na Michael Carrick Kuwa Kocha Mkuu wa Muda

Klabu ya Manchester United imefikia makubaliano ya mdomo na Michael Carrick kwa ajili ya kuchukua nafasi ya Kocha Mkuu wa...

READ MORE

Serikali ya Uganda Yazima Intaneti Kuelekea Uchaguzi Mkuu

Mamlaka ya Mawasiliano ya Uganda imewaamuru watoa huduma za intaneti nchini humo kuzima huduma zao hadi itakapotangazwa tena. Hatua hiyo...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Januari 14, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Niliteseka kwa Magonjwa ya UTI na PID kwa Muda Mrefu Mpaka Nilipokuja Kuijua Dawa Hii

Kwa muda mrefu nilikuwa nikiishi na maumivu niliyoyazoea kimya kimya. Kila kukojoa kulikuwa maumivu. Tumboni kulikuwa na moto. Wakati mwingine...

READ MORE

Rais Samia Awaapisha Mawaziri na Viongozi Mbalimbali Leo Ikulu Chamwino – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 13 Januari, 2026, amewaapisha mawaziri na viongozi...

READ MORE

Yanga Yatwaa Taji la Mapinduzi Cup kwa Penalti Dhidi ya Azam FC

Klabu ya Yanga imetwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi (Mapinduzi Cup) baada ya kuibuka mshindi dhidi ya Azam FC kwa...

READ MORE

Wakili Ajiondoa Kesi ya Utakatishaji Fedha Inayomkabili Matage na wenzake watano

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha usomwaji wa hoja za awali katika kesi ya kujipatia fedha kwa njia ya udanganyifu...

READ MORE

Coca-Cola Kwanza Recognized as a Top Employer in Tanzania

16 January 2025, Dar es Salaam – Coca-Cola Kwanza Ltd, a company in the Coca-Cola Beverages Africa (CCBA) group, is...

READ MORE

Yas Yadhamini Wanafunzi 10 Wanaoshiriki Kambi ya Mafunzo ya Hisabati Kigali, Rwanda

Dar es Salaam – Yas imeendelea na dhamira yake ya kuwekeza kwenye sekta ya elimu na kukuza vipaji vya vijana...

READ MORE

Vodacom Tanzania Yazindua Duka Jipya Dodoma 

Afisa Mtendaji Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC  Philip Besiimire ( wa pili kushoto) akikata utepe kuashiria ufunguzi wa duka jipya...

READ MORE

Ndoa Iliyopendwa TikTok Yavunjika, Kristy Scott Afungua Talaka

Ndoa iliyokuwa ikitazamwa kama mfano wa upendo wa kudumu, imani na mshikamano wa kifamilia sasa imevunjika hadharani. Kristy na Desmond...

READ MORE

Juma Jux Ashinda Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume wa Afrika Mashariki kwenye AFRIMA

JUMA Jux; ni msanii maarufu wa RnB kutoka Tanzania, anayejulikana kwa midundo yake ya kipekee na mashairi yenye hisia, amejivunia...

READ MORE

Mbinu Nilizotumia Kumrudisha Mpenzi Wangu Baada ya Kuwa Ameniacha

Nilikuwa nimechoka kabisa. Baada ya miezi kadhaa ya huzuni, mpenzi wangu aliondoka ghafla, na moyo wangu ulikuwa umepasuka vipande. Nilijaribu...

READ MORE

Mchango wa GGM Waibua Tumaini kwa Watoto 420 Wenye Matatizo ya Moyo

TAASISI ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), inahitaji shilingi bilioni 1.6 kwaajili ya kuwafanyia upasuaji wa moyo watoto 420 wanaougua...

READ MORE

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Aongoza Mkutano Kazi wa Mawaziri na Makatibu Wakuu Dodoma

WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameongoza mkutano kazi wa Mawaziri, Makatibu Wakuu na Viongozi Waandamizi wa Serikali uliofanyika, Januari 12,...

READ MORE

Mkazi wa Bunju Aibuka Mshindi wa Mil. 50, za Magift ya Mixx Pesa

14 Januari 2026 – Dar es Salaam;– Mkazi wa Bunju jijini Dar es Salaam, Bw. Yusuph Constantine Muhoja ameibuka mshindi...

READ MORE

Rais Samia Awatakia Watanzania Heri ya Miaka 62 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Rais Samia Suluhu Hassan amewatakia heri Watanzania wote katika kuadhimisha Miaka 62 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, leo Januari 12,...

READ MORE

Orodha ya Washindi Golden Globes 2026, Wasanii Nyota Watinga Kwa Mbwembwe

Majina makubwa katika ulimwengu wa filamu na televisheni wamejitokeza kwa mbwembwe na mvuto mkubwa kwenye zulia jekundu la tuzo za...

READ MORE

Iran Yataka Mazungumzo, Trump Aishutumu kwa Mauaji ya Waandamanaji

Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Iran imewasiliana na Marekani ikiomba kufanya mazungumzo, kufuatia mvutano unaoendelea kati ya mataifa...

READ MORE

Harusi Yasimamishwa Baada ya Mama Mkwe Kupiga Mayowe Kanisani

Ilikuwa siku ya furaha kubwa. Harusi ilikuwa tayari, wageni walifika mapema, na maua yalikuwa yamepambwa kwa urembo wa kipekee. Nilikuwa...

READ MORE

Airtel Yazindua Kampeni ya ‘Wese ni Bure’ Inayotoa Zawadi ya Mafuta Katika Vituo vya Mafuta Zaidi ya 62 Nchini

Dar es Salaam, Januari 2026. Airtel Tanzania leo imezindua kampeni ya Wese ni Bure ambayo inatokana na kampeni mama Inayoitwa...

READ MORE

Yanga Yampongeza GSM Kwa Harusi ya Binti Yake Jijini Dar

Uongozi wa Young Africans Sports Club (Yanga SC) unampongeza Mdhamini na Mfadhili wa Klabu hiyo, GSM, kwa kumuozesha binti yake,...

READ MORE

Waziri Mkuu Ashiriki Ibada Ya Jumapili Katika Kanisa La Kkkt Usharika Wa Azania Front

WAZIRI MKUU wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameshiriki ibada ya Jumapili leo tarehe 11 Januari 2026,...

READ MORE

NECTA Yatangaza matokeo ya Darasa la Nne na Kidato cha Pili, Yapo Hapa – Video

  Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) Januari 10, 2026  limetangaza matokeo ya upimaji wa kitaifa wa Darasa la Nne...

READ MORE

Rais Samia Akemea Uzembe wa Posho kwa Wachezaji Taifa Stars – ( Picha + Video)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema alishtushwa na taarifa za wachezaji wa Timu ya Taifa...

READ MORE

Usiku wa Vigogo Ulaya Mechi Kali, Mshiko Mkubwa Upo Meridianbet Leo

Je unajua kuwa siku ya leo ni nzuri sana endapo utabashiri jamvi lako na Meridianbet?. ODDS KUBWA na machaguo zaidi...

READ MORE

Zanzibar Kuanza Usafiri Wa Mabasi Ya Umeme Mwishoni Mwa Februari 2026

Usafiri wa umma wa kutumia mabasi ya umeme Zanzibar unatarajiwa kuanza mwishoni mwa mwezi Februari, 2026, ukianzia Mkoa wa Mjini...

READ MORE

Mastaa wa Kibongo Wafanya Back To School Lamata Village, Wachangia Watoto Wenye Uhitaji

Mastaa mbalimbali wa filamu za Kibongo kutoka Lamata Village, jana walishiriki mtoko wa kipekee wa Back To School uliofanyika ndani...

READ MORE