×

Habari

Makamu wa Rais Nchimbi Amtembelea Rais Mstaafu Amani Karume Zanzibar

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemtembelea na kumjulia hali Rais Mstaafu wa...

READ MORE

Rais Samia Aizawadia Taifa Stars Milioni 500 Baada ya Kufuzu 16 Bora AFCON

Serikali kupitia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeizawadia timu ya Taifa (Taifa Stars) kiasi...

READ MORE

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Akutana na Viongozi wa TAMISEMI

Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 03, 2026 amefanya mazungumzo na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, TAMISEMI,...

READ MORE

Marekani Yafanya Shambulio Kijeshi Venezuela na Kumkamata Rais Maduro

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametangaza kuwa Marekani imefanya mashambulizi makubwa ya kijeshi dhidi ya Venezuela na kufanikiwa kumkamata Rais...

READ MORE

Museveni na Bobi Wine Wapishana Kauli, Joto la Uchaguzi Uganda Laanza Kupanda

Huku zikiwa zimesalia siku 13 kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Uganda kufanyika Januari 15, Rais Yoweri Museveni na mpinzani wake...

READ MORE

Shilole Apata Ajali Njiani Akitoka Kigoma Kurudi Dodoma

Msanii wa Bongo Muvi na mjasiriamali anayemiliki mgahawa maarufu wa Shishi Food, Zuwena Mohamed amepata ajali ya gari akiwa njiani...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Akagua Ujenzi wa Madrasa Ali Ba Alawi Kiluvya – Video

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Petro Magoti, amefika kukagua ujenzi wa Madrasa Ali Ba Alawi Kiluvya, ambayo miezi kadhaa iliyopita...

READ MORE

Rais wa zamani wa Brazil Aruhusiwa Hospitali, Arudishwa Gerezani

Rais wa zamani wa Brazil Jair Bolsonaro ameondoka hospitalini katika Mji Mkuu wa Brasilia, wiki moja baada ya kufanyiwa upasuaji...

READ MORE

Polisi Waendelea na Uchunguzi Ajali ya Lori Morogoro – Video

Polisi Mkoa wa Morogoro limetoa taarifa kwa umma kuwa linaendelea na uchunguzi wa ajali mbaya ya barabarani iliyotokea Desemba 31,...

READ MORE

Baada ya Miezi 10 Gerezani Sudan Kusini, Dereva Juma Maganga Aachiwa Huru – Video

Baada ya miezi 10 akiwa gerezani nchini Sudan Kusini, dereva wa magari makubwa wa mizigo, Juma Ally Maganga (45), ameachiliwa...

READ MORE

Boti Ya Wahamiaji Yapinduka Gambia — Wengi Waokolewa, Wengine Watafutwa

Serikali ya Gambia imethibitisha kisa cha kusikitisha ambapo Boti iliyokuwa imebeba Wahamiaji zaidi ya 200, imeripotiwa kupinduka usiku wa manane...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti leo Januari 3, 2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Hakikisheni Mradi Wa Bwawa La Maji Kidunda Hausimami – Dkt Mwigulu

WAZIRI MKUU Dkt Mwigulu Nchemba ameiagiza Wizara ya Maji kuhakikisha mradi wa Bwawa la Maji Kidunda hausimami na unakamilika kwa...

READ MORE

Video: PM Mwigulu Akagua Athari za Mvua Kidete, Atoa Hakikisho la Serikali

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 02, 2026 amekagua hali ya athari iliyosababishwa na mvua katika eneo la kidete,...

READ MORE

Historia Yaandikwa New York Meya wa Kwanza Mwislamu Aanza Kazi

Zohran Mamdani ameanza rasmi kazi yake kama Meya wa Jiji la New York, akiahidi kuubadili utendaji wa serikali ya jiji...

READ MORE

Wakazi Wa Lindi Waendelea Kusherehekea Mwaka Mpya Na Makapu Ya Vodacom

Meneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Mkoa wa Lindi  Omary Kilumanga (wa nne kulia) akizungumza na wateja pamoja na wakazi wa...

READ MORE

PM Mwigulu Aanza Ziara Morogoro, Akagua Mradi Mkubwa wa Bwawa la Kidunda

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 02, 2026 ameelekea Mkoani Morogoro kwa ziara ya kikazi ambapo atakagua maendeleo ya...

READ MORE

TRA Yavunja Rekodi, Oktoba hadi Desemba Yakusanya Sh. Trilioni 9

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeendelea kuvunja rekodi yake yenyewe ya makusanyo kwa kukusanya kodi kiasi cha Sh. Trilioni 4.13...

READ MORE

AFCON Yazua Balaa: Gabon Yasimamisha Timu, Aubameyang Afungiwa na Kocha Atimuliwa!

Serikali ya Gabon imesitisha ushiriki wa timu ya taifa ya soka “The Panthers” na kumfungia mshambuliaji nyota Pierre-Emerick Aubameyang, kufuatia...

READ MORE

Watu 40 Wafariki, Zaidi ya 100 Wajeruhiwa Mkesha wa Mwaka Mpya – Video

 Mlipuko mkubwa uliotokea mapema alfajiri umeikumba baa ya Le Constellation katika kituo cha kuteleza kwenye barafu cha Crans-Montana, nchini...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti leo Januari 2,2026

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

Mtaalamu Atoa Njia Salama za Kuepuka Radi, Mwongozo wa Kutokufa Upo Hapa

Mtaalamu wetu juu ya Fizikia ya Anga hapa anatujuza na huku akitutahadharisha kuhusu namna nzuri ya kuchukua tahadhari wakati hali...

READ MORE

Rais Mwinyi Awataka Wananchi Washiriki Michezo kwa Afya na Maendeleo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika ujenzi na...

READ MORE

Bupandwa FC Yaibuka Mabingwa wa Bonanza la Shigongo kwa Penati 3–0

Timu ya Bupandwa FC imeibuka mshindi wa Bonanza la Shigongo la Kufunga Mwaka, baada ya kuichabanga Katwe FC kwa mikwaju...

READ MORE

TRC Yasitisha Safari za Treni ya SGR Kati ya Dodoma na Morogoro

Shirika la Reli Tanzania (TRC) limetangaza kusitisha safari za treni ya mwendokasi (SGR) kwa ruti ya Dodoma – Morogoro kwa...

READ MORE

Ngoma za Moto! Amapiano na Vibe Zilizopendwa na Mashabiki 2025

Mwaka 2025 umeendelea kuonesha kwa nini Afrika Kusini ni moja ya nguzo kubwa za muziki barani Afrika. Kuanzia vilabu vya...

READ MORE

RC Mwassa Aongoza Dua ya Kuliombea Taifa Kata ya Katoro, Kagera

Dua maalum ya kuliombea Taifa iliandaliwa na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM) Mkoa wa Kagera, Farisi Buruhani,...

READ MORE

Watu 10 Wafariki, 18 Wajeruhiwa kwa Ajali mikese Morogoro

Watu 10 wamefariki dunia na wengine 18 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha magari mawili kugongana uso kwa uso, katika...

READ MORE

Serikali Yaandaa Tume ya Maridhiano Kuimarisha Umoja wa Kitaifa – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza kuwa Serikali imeanza maandalizi ya kuunda Tume ya...

READ MORE

Wawili Washikiliwa na Polisi Kufuatia Kifo cha Mtanzania Uturuki – Video

Kufuatia kusambaa kwa video mitandaoni ikimuonesha Mtanzania aliyefariki dunia baada ya kudondoka kutoka ghorofa ya 14 nchini Uturuki, umeibuka mjadala...

READ MORE

Januari Ilinipokea kwa Hofu ya Ada za Watoto, Hizi Ndizo Mbinu Nilizozitumia

Januari ilipofika, nilikuwa na wasiwasi mzito moyoni. Shule zilikuwa zinafunguliwa, lakini mfukoni sikuwa na kitu cha maana. Sikukuu zilinimaliza kifedha,...

READ MORE

Ukraine Yakanusha Shambulio la Droni Dhidi ya Makazi ya Putin, Urusi Yazidi Kudai

Serikali ya Ukraine Jumanne imekanusha vikali madai ya Urusi kuwa ilihusika na shambulio la droni lililolenga moja ya makazi ya...

READ MORE

Akina Mama Sinza Watabasamu Kupitia Msaada wa Meridianbet Hospitali ya Palestina

Tabasamu na hisia za shukrani zilitawala katika Hospitali ya Palestina, Sinza jijini Dar es Salaam, baada ya Meridianbet kutoa msaada...

READ MORE

Uzinduzi Rasmi Wa Jukwaa Jipya La Mauzo Mtandaoni La ‘Samsungstore.Tz’

Mshirika wa Samsung Tanzania,  Mars Communication Limited, imezindua rasmi jukwaa lake jipya la mauzo mtandaoni, hatua muhimu inayowarahisisha wateja kote...

READ MORE

Taifa Stars Yaweka Rekodi, Kuvaana na Morocco 16 Bora AFCON 2025

Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, imepangwa kuvaana na Morocco katika hatua ya 16 bora ya Mashindano ya Kombe...

READ MORE

Mtanzania Aliyetoroka Oman Afichua Mazito ‘Nilikuwa Napewa Sambusa, Mshahara Hakuna’” – Video

Mwanadada Farida Hamadi ni miongoni mwa wanawake waliokuwa wanaishi nchini Oman 🇴🇲, ambako walikwenda kufanya kazi za ndani lakini baadaye...

READ MORE

United, Chelsea Wabanwa Nyumbani, Arsenal Yaizamisha Aston Villa 4–1

Ligi Kuu ya England iliendelea kwa hamasa kubwa, na matokeo ya mwisho ya mechi za jana yanaonyesha wazi kwamba msimu...

READ MORE

Mwaka Mpya Ulinikuta Nikiwa na Hofu ya Kodi na Ada, Hivi Ndivyo Nilivyojipanga

Mwaka mpya ulipofika, sikuhisi furaha niliyotarajia. Nilikuwa na mzigo wa kodi ya nyumba, ada ya shule, na madeni madogo yaliyokuwa...

READ MORE

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo Disemba 31, 2025

Nafasi za kazi kila siku Tanzania, Serikalini, Makampuni na Taasisi mbalimbali tembelea website yetu ya Global Publishers muda wote bonyeza hapa Publishers...

READ MORE

NMB Yajivunia Ushiriki, Udhamini wa Matukio Sherehe za Mapinduzi Z’bar

WAKATI Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) ikiitunukia Cheti cha Shukrani na Pongezi kwa kufadhili, kudhamini na kushiriki Siku ya Kitaifa...

READ MORE