×

Habari

Corona: Maagizo Mapya ya Wizara kwa Wasafiri

Tanzania imeboresha hatua za kuchukuliwa ili kuzuia kusambaa kwa maambukizi ya #CoronaVirus kwa Wasafiri na kujuisha hatua za usafirishaji wa...

READ MORE

Corona: Masanja Mbele ya DC Katambi “Hata Kanisani Nafanya” – Video

Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi amemsamehe mchekeshaji Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ baada ya kuitikia wito wake alioutoa wa...

READ MORE

Sita Watuhumiwa Kuua Mwanajeshi Tabora -Video

 POLISI mkoani Tabora inawashikilia watu sita kwa tuhuma za mauaji ya askari wa Jeshi la Wananchi (JWTZ), Samwel Machugu,...

READ MORE

Ndalichako Aagiza Walimu Walioanzisha Tuisheni Wakamatwe

WAZIRI wa Elimu, Sanyansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako, amewaagiza wakurugenzi, wakuu wa wilaya na mikoa kuwachukulia hatua wale wote...

READ MORE

Prof. Tibaijuka Aaga Rasmi Bungeni

MBUNGE wa Muleba Kusini, Balozi Profesa Anna Tibaijuka, jana Aprili 3, 2020, amewaaga rasmi Wabunge wenzake na kusema Bunge lijalo...

READ MORE

Duh! Kichaa Kaiba Ambulance Hospitalini, Kapata Ajali!

MGONJWA wa akili kaunti ya Uasin Gishu nchini Kenya, ameponea kifo kwenye tundu la sindano baada ya ambulensi aliyoiiba kutoka...

READ MORE

Mmoja wa Waasisi wa ACT Wazalendo Atimkia NCCR Mageuzi – Video

NDUGU wana habari, kwa majina naitwa Wiston Mogha niliyekuwa mwanachama wa ACT- Wazalendo. Mnamo Machi 18, 2020 nilijivua uanachama wa...

READ MORE

Kisa Utani wa Corona, Masanja Aitwa Kuhojiwa

MKUU wa Wilaya Dodoma, Patrobas Katambi,  amempa siku tatu muigizaji maarufu nchini, Emmanuel Mgaya maarufu kama Masanja Mkandamizaji kujisalimisha kituo...

READ MORE

Corona: Kipigo na Kuua, Polisi Wanne Wasimamishwa Kazi

HATIMAYE serikali ya Kenya imeonekana kuchukua hatua dhidi ya mauaji na ukatili unaoripotiwa kuendelezwa na maafisa wa polisi wanapoidhinisha amri...

READ MORE

Corona Kenya: Mtoto Miaka 6 Afariki, Walioathirika Wafikia 122

IDADI ya wagonjwa wa virusi vya corona (Covid-19) nchini Kenya imefikia 122 baada ya watu wengine 12 kuthibitishwa kuwa navyo...

READ MORE

Hispania: Watu 932 Wafariki Ndani Ya Saa 24

KWA mujibu wa data zilizotolewa na Wizara ya Afya nchini Hispania  humo leo Aprili 3, 2020, jumla ya watu waliofariki...

READ MORE

Mama Lishe Wachuana Kupika Chapati, Utashangaa!

AKINAMAMA Lishe wa Soko la Ilala jijini Dar es Salaam, leo Ijumaa, Aprili 3, 2020, wametoana jasho katika Shindano la...

READ MORE

Mhariri wa Magazeti Pendwa ya Global Afanyiwa Surprize – Picha

  SIFAEL Paul, mhariri wa Magazeti Pendwa ya Global Group, leo amefanyiwa bonge moja ya surprise na uongozi wakati akitimiza...

READ MORE

Ummy: Mwingine Apona Corona, Leo Hakuna Wagonjwa Wapya

WAZIRI wa Afya nchini Tanzania, Ummy Mwalimu, amesema kuwa mgonjwa mwingine aliyekuwa na maambukizi ya virusi vya corona nchini amepona....

READ MORE

Rais Putin: Msiende Kazini, Mishahara Yenu Ipo

RAIS wa Urusi, Vladimir Putin, ameamuru watu wa nchi hiyo kutokwenda kazini na kusalia majumbani hadi mwishoni mwa mwezi huu...

READ MORE

Maambukizi ya Corona Yafikia Milioni 1, Marekani Hali ni Mbaya

UGONJWA wa Covid-19 unaendelea kuathiri nchi mbalimbali duniani, huku maambukizi ya ugonjwa huo duniani kupitia virusi vya Corona yakifikia milioni...

READ MORE

Mlinzi wa Mahakama Atuhumiwa Kubaka Mwanafunzi Mahakamani

JESHI la Polisi mkoa wa Shinyanga linamshikilia Joseph Masanja (58) mlinzi wa mahakama ya hakimu mkazi wilaya ya Shinyanga kwa...

READ MORE

Bidhaa za Red Gold Zatajwa Kuwa Na Faida Za Kiafya Kwa Walaji

RED Gold ni nembo ya kibiashara ambayo ndani yake kuna bidhaa mbalimbali zikiwemo Tomato Sauce, Chilli Sauce, Jam, Juice, Tomato...

READ MORE

Corona: Wageni Waongezewa Muda Kukaa Tanzania

KUTOKANA  na mlipuko wa ugonjwa unaosababishwa na virusi vya Corona  — #Covid-19 — na baadhi ya wasafiri kushindwa kusafiri kurudi...

READ MORE

Njemba Anusurika Kuuawa kwa tuhuma za Mauaji

JAMAA mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, amejikuta matatani baada ya kusukumiwa madai ya mauaji.   Tukio hilo...

READ MORE

Mpangaji Auza Nyumba, Bibi Aangua Kilio – Video

Ukistaajabu ya musa utayaona ya firauni, huu ni msemo unaotumiwa na watu wengi hasa wanapopatwa na majanga kama yaliyomkuta Bibi,...

READ MORE

Ushauri Mzito Watolewa Kifo Cha Corona Bongo

KUFUATIA kifo cha kwanza nchini kilichosababishwa na virusi vya Corona, Daktari wa Hospitali ya Temeke jijini Dar, Dk Godfrey Chale...

READ MORE

Matukio Katika Picha Ziara ya Mhe. Jaji Kiongozi Mahakama-Pwani

    (Picha na Rashid Omar, Mahakama ya Hakimu Mkazi-Pwani)

READ MORE

“Pumzi Inatokea Mgongoni, Mume Kanikimbia” – Video

GLOBAL JAMII WIKI HII tumepata nafasi ya kukutana na Magreth Mwenye umri wa miaka 38 ambaye anatatizo la kukosa nguvu...

READ MORE

Corona: Mwanri Aagiza Wanaofundisha ‘Tuisheni’ Wasakwe

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri, ameagiza kuwasakwa kwa walimu ambao wamekuwa wakiwakusanya wanafunzi kwa ajili ya kufundisha tuisheni...

READ MORE

Corona Kenya Yaua Watatu, Maambukizi Yakifikia 110

Serikali ya Kenya kupitia kwa Waziri wa Afya, Mutahi Kagwe imetangaza vifo vya watu wawili vilivyotokana na ugonjwa wa Virusi...

READ MORE

Corona: Mwanri Asimamisha Likizo za Waganga, Wauuguzi

MKUU wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri, amesimamisha kwa muda likizo za watumishi wakiwemo wa idara za afya ili waendelee...

READ MORE

Rais Putin ‘Ajificha’ Kupambana na Corona

RAIS  wa Urusi, Vladimir Putin,  kuanzia sasa atakuwa akifanya kazi akiwa nyumbani kwake huko Novo-Ogarevo, karibu na jiji la Moscow,...

READ MORE

Meridianbet inawajibika kwa jamii: afya na burudani vinaenda bega kwa bega!

Kama Kampuni inayowajibika kwa jamii na kujali afya na utu wa wananchi, Meridianbet inataka kukuhimiza kufuata taratibu na kanuni zilizowekwa...

READ MORE

Siku 1, Watu 884 Wafariki kwa Corona Marekani, Vifo Vyafikia 5000

ZAIDI ya watu 5,000 wamefariki dunia nchini Marekani kwa sababu ya janga la Corona, ambapo zaidi ya watu 215,000 nchini...

READ MORE

Madaktari Waomba Vifaa Kujikinga na Corona – Video

 CHAMA cha Madaktari Tanzania (MAT) kimeiomba serikali kuhakikisha inawapa madaktari na wauguzi vifaa vya kujikinga na ugonjwa unaotokana na...

READ MORE

Serikali ya Kim: Korea Hatuna Corona

SERIKALI ya Korea Kaskazini imesisitiza kuwa mpaka sasa haina mgonjwa hata mmoja mwenye homa ya mapafu inayosababishwa na virusi vya...

READ MORE

Corona: Watu 84 Karantini Tunduma

Katika kutekeleza maagizo ya serikali ya kuhakikisha wasafiri wote wanaotoka katika nchi zenye maambukizi Zaidi ya Virusi vya Corona wanatengwa,...

READ MORE

Morrison: Luis Anatisha, Amekamilika Vilivyo

KIUNGO mshambuliaji hatari wa Yanga, Bernard Morrison amefunguka kuwa staa wa Simba, Luis Jose Miquissone ni mchezaji aliyekamilika na anatisha...

READ MORE

Uganda Kuwapa Chakula Watu Mil 1.5 Walio Majumbani

WAZIRI Mkuu wa Uganda, Ruhakana Rugunda, amesema serikali ya Uganda itawapatia chakula watu maskini walioko mijini kuanzia Jumamosi wiki hii,...

READ MORE

Spika Ndugai: ‘Tushamalizana na Lissu’

SPIKA  wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai,  amesema madai ya upinzani kuwa aliyekuwa Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu,  hajamaliziwa...

READ MORE

Ndugai Akataa Hotuba ya Upinzani Kusomwa Bungeni – Video

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Tanzania, Job Ndugai, amezuia kusomwa kwa hotuba  ya Kambi Rasmi ya...

READ MORE

Wasaidizi wa Kisheria Zanzibar Wapewa Mafunzo Jinsi ya Kutoa msaada wa Sheria

  Zaidi ya wasaidizi wa kisheria 100 wamepewa mafunzo kuhusu sheria zilizopo, kanuni, miongozo na sera ambazo zinahusiana na kazi...

READ MORE

Corona Updates: Marekani Hali Inatisha, Vifo Vinaongezeka – Video

DUNIA nzima inatetemeka, janga la covid 19 linatishia maisha ya kila mmoja wetu, watu wamejifungia ndani, Siyo Amerika, Ulaya, Asia...

READ MORE