×

Habari

Video Chafu ya Mchungaji Yavuja

DUNIA inaelekea kubaya au kuisha kabisa! Ndivyo unavyoweza kusema kutokana na yanayoendelea baada ya kuvuja kwa video chafu inayodaiwa ni...

READ MORE

Lori la Dangote Lagongana na Noah, Watu 7 Wafariki Dunia

WATU saba wamefariki dunia papo hapo baada ya gari dogo aina ya Toyota Noah kugongana uso kwa uso na Lori...

READ MORE

Ahukumiwa Kunyongwa kwa Kuua, Kupora Mil 1, Chupa ya Chai na Simu

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Musoma, imemuhukumu kunyongwa hadi kufa mkazi wa Kijiji cha Kibubwa, Wilaya ya Butiama mkoani Mara, Waryoba...

READ MORE

Njemba Watatu Wanaswa kwa Kuiba Gesti

TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA KUKAMATWA KWA WATUHUMIWA WA WIZI KWENYE NYUMBA ZA KULALA WAGENI. Jeshi la...

READ MORE

Mke Mkubwa Arusha Mawe Ndoa ya Darleen

IKIWA imepita miezi kadhaa tangu dada wa mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Mwanahawa Abdul ‘Queen Darleen’ aolewe...

READ MORE

Makonda Kula Sahani Moja na Wakandarasi “Janjajanja” Dar

Kufuatia kuendelea kuwepo kwa wakandarasi wanaosuasua katika ukamilishaji wa miradi ya kupunguza kero kwa Wananchi, Mkuu wa Mkoa wa Dar...

READ MORE

Ndinga ya Championi, Spoti Xtra Yatikisa Tegeta, Boko & Bunju

  PROMOSHENI ya Bahati Nasibu iliyopewa jina la Chomoka na Gari Mpya, likiwa ndo kwanza kabisa bichi wakazi wa maeneo...

READ MORE

Diamond Atangazwa Balozi Mpya wa Coral Paints – Video

MWANAMUZIKI wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, leo Februari 04, ametangazwa Rasmi kuwa balozi wa Coral Paints katika mkutano na waandishi...

READ MORE

TFF Wapiga ‘Stop’ Timu Kusalimiana Kwa Kushikana Mikono

SHIRIKISHO la Soka nchini (TFF) leo Machi 4, 2020, limesema utaratibu wa wachezaji kusalimiana kwa kushikana mikono kabla ya mechi...

READ MORE

Maalim Seif amkaribisha Membe ACT-Wazalendo

  Mshauri mkuu wa chama cha ACT- Wazalendo, Maalim Seif Sharif Hamad amemkaribisha katika chama hicho aliyekuwa mwanachama wa CCM,...

READ MORE

Wasomaji : ‘Tutaendelea Kulichangamkia Betika, Linatupa Fedha’

WASOMAJI wa Gazeti la Betika maeneo ya Bunju, Boko na maeneo mengine ya  jijini Dar es Salaam, wamesema kwamba gazeti...

READ MORE

IRAN: Wafungwa waachiwa huru kuzuia maambukizi ya Virusi vya Corona

Iran imewaachia huru kwa muda wafungwa zaidi ya 54,000 ikiwa ni miongoni mwa jitihada za kukabiliana na maambukizi ya virusi...

READ MORE

BancABC Tanzania Yashinda Tuzo ya Visa Kwa Huduma Bora za Malipo Mtandaoni

BancABC Tanzania ambayo ni kampuni tanzu ya Atlas Mara, kwa mara nyingine imeshinda tuzo ya Visa maarufu kama “Visa E-commerce...

READ MORE

Yanga Inazidi Kuwanyoosha, Sibomana, Tariq Watuma Salamu

DAVID Molinga mshambuliaji wa Yanga jana aliwanyanyua mashabiki wa timu yake na kuwafanya wasitoke kizembe wakati ikishinda kwa mabao 2-0...

READ MORE

Kocha Yanga Aruhusu Udambwi wa Morrison

KOCHA Mkuu wa Yanga, Mbelgiji, Luc Eymael, amefunguka kuwa kitendo cha kumkataza kiungo wa timu hiyo, Bernard Morrison raia wa...

READ MORE

Wahamiaji Haramu TZ Kusakwa Nyumba kwa Nyumba

SERIKALI imetangaza kuanza operesheni, doria na misako maalumu ya kuwasaka na kuwakamata wahamiaji haramu katika sehemu mbalimbali ikiwemo katika nyumba...

READ MORE

Mastaa Hawa: Utamu wa Udoa Zao Unakuja, Unakata!

NDOA si kitu cha mchezo, watu hufikiri kwamba kuingia katika maisha ya ndoa ni kitu cha mchezo, nani kasema?  Ndoa...

READ MORE

Mumeo Anachepuka, Hampati Watoto? Tazama Hii – Video

WATU wengi wamekuwa wakitamani mafanikio ya watu Matajiri pasipo kufahamu changamoto za kimaisha zilizowainua kwenye maisha yao mpaka kufanikiwa kwao...

READ MORE

Mambosasa Awatahadharisha Wazee wa ‘Tuma kwa Namba Hii’ – Video

GLOBAL TV Online imemtembelea ofisini kwake Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar ss Salaam, SACP Lazaro Mambosasa na kuzungumza...

READ MORE

Askofu Gwajima Ahojiwa na Polisi

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limemuhoji Askofu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Josephat Gwajima, kwa...

READ MORE

Rais Magufuli Akutana na Profesa Lipumba Na James Mbatia Ikulu, Dar

RAIS John Magufuli leo Machi 3, 2020 amekutana na wanasiasa wakongwe Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Profesa Ibrahim na...

READ MORE

DStv Yaja na ‘Jiongeze Tukuongezee’

03 Machi 2020:Wateja wa DStv wanaendelea kufurahia ofa kabambe zinazotolewa na MultiChoice na sasa imezindua kampeni mpya ya ‘Jiongeze Tukuongezee’...

READ MORE

Tishio la Corona: Magufuli, Maalim Seif Wasalimiana kwa Miguu – Video

RAIS John  Magufuli leo Machi 3, 2020 amekutana na mwanasiasa mkongwe ambaye ni mwanachama wa chama cha ACT Wazalendo, Maalim...

READ MORE

Wadakwa Kwa Kutumia Jina la Jokate Kutapeli Facebook

JESHI la polisi mkoani Mbeya, linawashikilia vijana 11 wenye umri wa kati ya miaka 20 na 25 kwa tuhuma za...

READ MORE

Rais Ajiuzulu Siku Moja Baada ya Kuapishwa

ALIYETANGAZWA kuwa rais wa mpito wa Guinea-Bissau, Cipriano Cassama, amejiuzulu baada ya kukaa madarakani kwa siku moja akidai maisha yake...

READ MORE

Meya Iringa Atuhumiwa Matumizi Mabaya ya Ofisi

MEYA wa Manispaa ya Iringa, Alex Kimbe, amepewa siku tano kujibu tuhuma zinazomkabili ikiwamo matumizi mabaya ya madaraka.   Hatua...

READ MORE

Lema Akamatwa, Apelekwa Singida Usiku – Video

MBUNGE wa Jimbo la Arusha Mjini Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Godbless Lema amekamatwa na polisi mkoani Arusha na...

READ MORE

Daraja Lasombwa na Maji… Usafiri Moro-Dodoma Hakuna – Video

DARAJA la Kiyegeya lililopo wilayani Gairo,  barabara kuu ya kutoka Morogoro kwenda Dodoma, limevunjika na kutenganisha barabara hiyo kutokana na...

READ MORE

Wawili Wafariki Ajalini, 22 Wajeruhiwa

WATU wawili wamepoteza maisha na ishirini na mbili kujeruhiwa wakati basi la Kampuni ya Struggle linalofanya safari zake kutoka Arusha...

READ MORE

TMA Yatahadharisha: Mvua Kubwa Inakuja

  Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini(TMA), imetoa tahadhari ya mvua kubwa inayotarajiwa kunyesha leo Machi 2-3, 2020 katika mikoa...

READ MORE

Diwani Anayedaiwa Kutishia Kuua Aachiwa

Diwani wa kata ya Kining’ila(CCM), Elisha Antony anayedaiwa kutishia kuua ameachiliwa kwa dhamana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Igunga, Mkoani...

READ MORE

Wachezaji Watatu Juventus Wakutwa na Corona

Klabu ya Juventus imevunjilia mbali kambi zote za mazoezi pamoja na kuamuru timu yao ya vijana walio na umri chini...

READ MORE

Lema Asakwa na Polisi Arusha

Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema amesema amepata taarifa za kutakiwa kuripoti kituo kikuu cha polisi Arusha.   Kupitia ukurasa...

READ MORE

Wafungwa 150 Wapelekwa Kigoma Kulima Michikichi

WAFUNGWA 150 kutoka katika Mikoa ya Mwanza, Shinyanga na Tabora wamepelekwa katika Gereza la Kwitanga Mkoani Kigoma ikiwa ni mkakati...

READ MORE

Mwekahazina Amtibua Waziri Mkuu ‘Achunguzwe’

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga, Bibi Judica Omari achunguze utendaji kazi wa Mweka Hazina...

READ MORE

Dkt. Bashiru: Membe Akitubu Tunampokea

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi CCM Dkt Bashiru Ally, amemuomba aliyewahi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje Bernard Membe,...

READ MORE

Serikali Yafuta Nauli, Wananchi Kusafiri Bure!

Luxembourg imekuwa nchi ya kwanza duniani kufanya usafiri wa umma kuwa wa bure (mwananchi hatolipa nauli). Lengo ni kuondoa msongamano...

READ MORE

Wageni Wanne Watengwa Uganda Kisa Corona

RAIA wanne wa kigeni waliowasili nchini Uganda na dalili za virusi vya corona wametengwa katika hospitali ya Entebbe, waziri wa...

READ MORE