×

Habari

Watu Wawili Wafariki kwa Kusombwa na Mafuriko Morogoro

WATU wawili wameripotiwa kupoteza maisha huku mmoja akijeruhiwa kufuatia mvua kumbwa zilizonyesha usiku wa kuamkila leo Manispaa ya Morogoro, baada...

READ MORE

Mshindi wa ‘Pata Simu Ya Bure’ Apatikana!

ILE ofa baab’kubwa inayotolewa na magazeti Pendwa ya Ijumaa Wikienda, Uwazi, Risasi Mchanganyiko, Ijumaa na Risasi Jumamosi ya kujinyakulia simu...

READ MORE

Utata Mauaji ya Mlinzi wa Makamu wa Rais

UTATA unaozingira kifo cha Sajini Kipyegon Kenei, aliyekuwa Mkuu wa Usalama katika Ofisi ya Makamu wa Rais wa Kenya, Dkt...

READ MORE

Nandy Kugonga Shoo 13 Marekani

MSANII wa muziki nchini Bongo, Nandy,  anatarajia kufanya ziara yake ya kimuziki nchini Marekani ambapo atafanya shoo 13 kwa kipindi...

READ MORE

Katibu Mkuu CCM: Tutatumia Dola Kubaki Madarakani

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk. Bashiru Ali, amekiri chama chake kuitumia dola kuhakikisha kinabaki madarakani.   Amesema...

READ MORE

BSS Yakabidhi 500,000/= TACAIDS

MKURUGENZI wa kampuni ya Benchmark Production, inayoendesha shindano la Bongo Star Search (BSS) Everlyne  Byaruhangwa, Machi 6, 2020, jana  alikabidhi...

READ MORE

Msajili Kuhakiki Uhalali wa Vyama Kabla ya Uchaguzi

MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, amesema watafanya uhakiki wa vyama hivyo ili kuangalia uhalali wao kabla...

READ MORE

WWF Yaungana na Wanawake Kupanda Miti 100 Mloganzila

Shirika la Uhifadhi wa Manzingira Duniani (WWF) katika kusherehekea siku ya mazingira duniani jana Machi 6, 2020 waliungana na wadau...

READ MORE

BENKI YA NIC YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KATIKA HOSPITALI YA CCBRT

  Ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya Kimataifa ya Wanawake Duniani, Benki ya NIC imeadhimisha siku hiyo muhimu kwa...

READ MORE

Magazeti ya Tanzania Leo Jumamosi, Machi 7, 2020

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Machi 7, 2020. Ni yale ya Hard-news, Udaku na Michezo....

READ MORE

National Public Speaking Competition Wafunguka

SHINDANO la National Public Speaking Competition limeingia katika raundi nyingine ambayo washiriki 30 watawekwa kambini na kunolewa vilivyo kabla ya...

READ MORE

Bibi Yamkuta, Asota Rumande Kwa Kuuza Kiwanja Chake – Video

Bibi mmoja aliyefahamika kwa jina la Mwanahamisi Rashid Kisome, mkazi wa Bagamoyo mkoani Pwani amewekwa Rumande siku tatu kwa kuuza...

READ MORE

Unashindwaje Kumiliki Ndinga Mpya kwa Tsh 800 tu – Video

  MAMBO si ndo haya sasa, ukiwa mjanja kwa kusoma magazeti ya Championi au Spoti Xtra kila wiki, unaweza ukawa...

READ MORE

Warundi 7 Jela kwa Kuingia TZ Kinyemela

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu raia saba wa Burundi kifungo cha mwaka mmoja jela au faini ya shilingi laki...

READ MORE

Kesi J4 Anayedaiwa Kuua Wenzake kwa Risasi Yaanza Kuunguruma

  KESI ya mauaji namba 131 ya mwaka 2017 inayomkabili mfanyabiashara na mmiliki wa mabasi, Jumanne Wang’anyi, maarufu kama J4,...

READ MORE

JPM Amwapisha Musabila kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo

RAIS  John Magufuli  leo  Ijumaa Machi 6, 2020 amemwapisha  Gerald Musabila Kusaya kuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo katika...

READ MORE

Mkunga Atenganisha Kichwa na Kiwiliwili cha Mtoto Mama Akijifungua

POLISI nchini Uganda, wanachunguza taarifa za mkunga ambaye anadaiwa kushindwa kumhudumia mjamzito na kusababisha mtoto kutengana kichwa na kiwiliwili wakati...

READ MORE

NMB Yakabidhi Vifaa Kwa Wilaya ya Hai na Ilala

  BENKI ya NMB imekabidhi misaada mbalimbali ya vifaa tiba na vifaa vya elimu katika Mikoa ya Dar es Salaam...

READ MORE

Vodacom Foundation na UCSAF watoa kompyuta kwa shule za sekondari 163 nchini

Kampuni ya simu za mkononi kupitia taasisi yake ya Vodacom Tanzania Foundation kwa kushirikiana na Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote...

READ MORE

Wafanyakazi wa Vodacom Kanda ya Kaskazini watembelea kinamama Hospitali ya Tengeru mkoani Arusha

  Mkuu wa mauzo wa kampuni ya simu za mkononi ya Vodacom Tanzania PLC kanda ya kaskazini,  Brigita Stephen akikabidhi...

READ MORE

NBC Kuendelea Kutoa Fursa za Ajira, Mafunzo Kwa Vijana

  Mkugurenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Theobald Sabi amesema kuwa kwa mwaka huu wamejipanga kuchukua vijana...

READ MORE

Kenyatta Aionya Somalia kwa ‘Uchokozi’

RAIS wa Kenya, Uhuru Kenyatta,  ameinyooshea kidole cha lawama Somalia akisema hatua ya wanajeshi wa Somalia kuingia Kenya ni kitendo...

READ MORE

Waziri Mkuu Amtumbua Mweka Hazina Korogwe

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa, amemsimamisha kazi Mweka Hazina wa Halmashauri ya Mji wa Korogwe, Subilaga Kapange,  na maafisa wengine wawili...

READ MORE

Wananchi Wapanga Kutoa Sadaka Kisa Maji, Mbarawa Awatoa Hofu

Tatizo la maji lililokuwa likiwakabili wananchi wa wilayani Moshi mkoani kilimanjaro, linatarajiwa kupatiwa ufumbuzi hivi karibuni, baada ya serikali kutenga...

READ MORE

Wahamiaji Haramu 82 Wafikishwa Kortini Dar – Video

Watu 82 raia mataifa tofauti wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakikabiliwa na kosa la kuingia na kuishi nchini...

READ MORE

Championi, Spoti Xtra Yanavyokupa Ndinga kwa Pesa ya Madafu

SIYO hadithi tena za kale, kwani ukiwa mjanja kwa kusoma magazeti ya Championi au Spoti Xtra kila wiki, unaweza ukawa...

READ MORE

Ofisa wa Jeshi Aliyeasi Anyongwa

ALIYEKUWA Ofisa wa ngazi ya juu katika Jeshi la Misri Hisham al-Ashmaw, amenyongwa hii jana baada ya kupewa hukumu hiyo...

READ MORE

Maaskofu na Mashekhe Wamuonya Askofu Gwajima

KAMATI ya Kitaifa ya pamoja kwa Maaskofu na Maashekhe ya Maadili, Amani na Haki za Binadamu kwa Jamii ya Madhehebu...

READ MORE

Nabii Awapiga Biti Wanawake Kulala na Wanaume Gizani

Nabii wa kike nchini Nigeria ambaye anafahamika kwa jina la Patience Akpabio, amewashauri wanawake kutolala na wanaume zao gizani kwa...

READ MORE

Senegal: Waliobainika Kuwa na Corona Wafikia Wanne

NCHI ya Senegal hapo jana imeripoti kesi mbili mpya za maambukizi ya virusi vya Corona nchini humo, Miongoni mwa watu...

READ MORE

Janeth Magufuli Akabidhi Wheelchairs kwa Walemavu

    NAIBU Spika wa Bunge la  Tanzania,  Tulia Ackson, amemshukuru mke wa Rais Magufuli,  Janeth Magufuli,  kwa kuendelea kuwasaidia...

READ MORE

Mkutano wa Mbatia Wazuiwa

MKUTANO wa Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Taifa, James Mbatia,  umezuiliwa na ametakia kuripoti kituo kidogo cha polisi Lwangwa wilayani Rungwe....

READ MORE

Singida: Lema Aachiwa kwa Dhamana

MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Arusha Mjini GodblessLema ameachiwa leo Machi 5, 2020, na ameenda kuripoti Ofisi...

READ MORE

TAMKO la Global Kusuhu Habari ya Aslay na Sonia

Global Publishers na Global TV Online ni chombo cha habari kinachofuata miiko ya uandishi wa habari, tumefanya coverage ya habari...

READ MORE

Akiba Comencial Yasherehekea Siku Ya Wanawake

Benki ya Akiba Comencial leo imesherehekea na wanawake katika kuazimisha kuazimisha kuelekea siku hiyo mbayo kilele chake ni Jumapili ijayo....

READ MORE

Anayehubiri kwa nyoka kuibuka bongo!

WAKATI maombezi kwa kutumia mafuta ya upako yakitikisa Bongo, mchungaji anayeombea kwa kutumia nyoka, mbioni kuja nchini kusimika huduma yake,...

READ MORE

Moro: Daraja la Kiyegea Laondoka na Meneja wa TANROADS

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa ameagiza Meneja wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), mkoa wa Morogoro, Mhandisi Godwin Andalwisye arejeshwe wizarani...

READ MORE