×

Habari

WAZIRI UMMY AMTEMBELEA MTOTO ANNA

  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe Ummy Mwalimu jana alimtembelea mtoto Anna Zambi ambae...

READ MORE

Lamine Moro, Balinya na Molinga Wadaiwa Kuachana na Yanga

TAARIFA zilizoibuka kwa kasi leo Desemba 7, 2019,  kupitia mitandao ya kijamii zinaeleza kuwa wachezaji watatu wa Yanga ambao ni...

READ MORE

Kiongozi wa Upinzani, Azuiwa Kwenda Kupokea Tuzo

KIONGOZI  wa upinzani nchini Rwanda, Victoire Ingabire Umuhoza,  amezuiwa kusafiri kwenda Hispania kupokea Tuzo ya Haki za Binadamu.   “Niliandika...

READ MORE

Watu 10 Wapoteza Maisha kwa Shambulizi

TAKRIBAN watu 10 wamefariki katika kaunti ya Wajir  nchini Kenya, jana (Ijumaa) baada ya watu wanaoshukiwa kuwa wapiganaji wa kundi...

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Form One 2020 – Singida

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga  na Kidato cha Kwanza  mwaka 2020  kuwa ni  701,038...

READ MORE

JPM Azindua Ujenzi Daraja la Kigongo-Busisi – Video

 RAIS  John Magufuli ameweka jiwe la msingi ujenzi wa Daraja la Kigongo-Busisi lenye urefu wa kilomita 3.2 likipita juu...

READ MORE

Mdogo wa Kanumba Kuzikwa Jumatatu Dar – Video

 SETH BOSCO, mdogo wa aliyekuwa staa wa Bongo Movie, marehemu Steven Kanumba, aliyefariki usiku wa kuamkia leo, Desemba 7,...

READ MORE

Tanzia: Mdogo wa Kanumba, Seth Bosco Afariki Dunia

MDOGO wa marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco amefariki usiku wa kuamkia leo Desemba 7, 2019, baada ya kuzidiwa akiwa nyumbani...

READ MORE

Tafrani Nzito Yaibuka Marufuku Wauza Bima

DAR: Ni janga, ndivyo unavyoweza kutafsiri baada Mamlaka ya Bima Tanzania (Tira), kupiga marufuku kampuni za bima nchini kuendelea kuwatumia...

READ MORE

Mtoto wa Rais Ateuliwa Kuwa Msaidizi wa Rais

MTOTO mkubwa wa kiume wa Rais Ali Bongo wa Gabon, Noureddin Bongo Valentin ameteuliwa kuwa mratibu wa masuala yote ya...

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Form One 2020 – Arusha

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga  na Kidato cha Kwanza  mwaka 2020  kuwa ni  701,038...

READ MORE

Wanafunzi Waliochaguliwa Kujiunga Form One 2020 – Mbeya

Waziri wa Nchi OR-TAMISEMI Mhe. Selemani Jafo ametangaza wanafunzi waliochaguliwa kujiunga  na Kidato cha Kwanza  mwaka 2020  kuwa ni  701,038...

READ MORE

JPM Atoa Maagizo Mazito Hospitali ya Wilaya – Chato

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli amewataka viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Chato...

READ MORE

Mwandishi Aliyedaiwa Kutekwa, Kutupwa Porini, Polisi Yafunguka

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, Barnabas Mwakalukwa, amesema kuwa Mwandishi wa Habari wa Radio Kwizera, mkoani humo George Bahamu,...

READ MORE

Wanafunzi Wa St. Joseph’s Cathedral Walivyosherehekes Family Dar

  Wanafunzi wa Shule ya Sekondaari ya St. Joseph’s Cathedral mapema leo wamesherehekea hafla fupi ijulikanayo kama Family Day ambayo...

READ MORE

Trump Kung’olewa Madarakani?

Maprofesa watatu walioalikwa na Chama cha Democratic katika kikao cha kwanza cha kamati ya masuala ya sheria ya Baraza la...

READ MORE

Marais Watano wa Afrika Waitwa Kujieleza Ufaransa

Rais wa Ufaransa, Emmanuel Macron,  ametangaza kuwaita marais wa nchi tano za Ukanda wa Sahel, Desemba 16, 2019  katika mji...

READ MORE

Akinamama Waandaa Shughuli Kunusuru Ndoa Zao

AKINAMAMA nchini wanatarajia kukutana na kujadili masuala ya kulinda ndoa zao katika kongamano liitwalo VIP Ndoa linalotarajiwa kufanyika Desemba 15...

READ MORE

Afariki Akiwa Hospitali kwa Kukosa PF3

MWANAMKE mmoja nchini Nigeria amefariki baada ya hospitali kukataa kumtibu bila ripoti ya polisi baada ya kujeruhiwa kwa kuchomwa kisu...

READ MORE

Waziri Mgumba Alivyokagua Zao la Alizeti Singida

NAIBU Waziri wa Kilimo Mhe, Omary Mgumba amefanya  ziara ya siku Tatu mkoani Singida kwa ajili ya kukagua na kuhamisisha...

READ MORE

NMB Yakabidhi Zawadi Washindi Tisa Wa Kampeni Ya Mastaboda

  BENKI ya NMB imekabidhi zawadi kwa washindi tisa wa MastaBoda kama washindi wa wiki baada ya kufikisha miamala hamsini...

READ MORE

Mchungaji Mbaroni kwa Kuwanywesha ‘Sumu’ Waumini

MCHUNGAJI Sam Little (25) ambaye ni raia wa Uingereza amekamatwa nchini Uganda kwa tuhuma za kuwanywesha waumini wake dawa ya...

READ MORE

RC Makonda Kutengeneza Magari ya Wananchi Bure

Katika kuelekea Msimu wa Sikukuu za Christmas na Mwaka Mpya Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda...

READ MORE

Wanafunzi Laki 7 Wachaguliwa Kujiunga Form One

WANAFUNZI 701, 038 sawa na asilimia 92.2 waliomaliza darasa la saba wamechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza katika shule za serikali...

READ MORE

Ajifungua Mapacha Wenye Vichwa Viwili, Miguu Mitatu

MWANAMKE mmoja ka­tika mji wa Parkinson nchini India amejifungua mapacha adimu duniani walioun­gana ambao wana vich­wa viwili, mwili mmoja na...

READ MORE

Chameleone Anavyotibuana na Rais Museveni

HIVI karibuni nchini Uganda kwenye uwanja wa siasa, Waganda wamelipokea jina jipya kutoka katika tasnia ya burudani, safari hii ni...

READ MORE

Ulimwengu Kwisha! Aoa Mkwewe Awa Mke wa Pili

MWANAUME mmoja, Vvashko Sande wa Zimbabwe alishangaza kijiji chake alipoamua kuoa mkwewe na kumfanya mke wa pili.   Mwanamume huyo...

READ MORE

Mwanamke Afariki Akijaribu Kumuokoa Mwanaume

Mwanamke mmoja Nchini Kenya, aliyetambulika kwa jina la Anna Nduku amefariki dunia baada ya kusombwa na mafuriko baada ya kumuokoa...

READ MORE

Bocco Kimeleweka, Wasauzi Wamruhusu Kuwavaa Yanga Sc

LABDA Seleman Matola amnyime tu jezi, lakini madaktari wa Afrika Kusini wamewaambia Simba kwamba, John Bocco ruksa kurejea uwanjani dhidi...

READ MORE

Kabendera Atakiwa Kwenda ‘Kubageini’ na DPP

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeuambia upande wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwandishi wa habari za uchunguzi,...

READ MORE

Frederick Sumaye Atajwa Mahakamani – Video

WAZIRI Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye,  ametajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakati wa usikilizwaji wa kesi inayowakabili viongozi tisa...

READ MORE

TCRA Yawataka Kwenda Shule Kabla ya 2022 – Video

Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya  mawasiliano Tanzania TCRA,  Mhandisi James Kilaba amewataka waandishi wa habari kote nchini kuhakikisha wanajiendeleza kielimu...

READ MORE

Akamatwa kwa Kutaka Kumuuza Mwanaye

MWANAMKE mmoja nchini Kenya amekamatwa na polisi katika kituo cha Siaya  kwa kosa la kutaka kumuuza mwanaye wa kiume.  ...

READ MORE

Viongozi wa Dini Walia na ‘Vimini’ vya Wadada

KASI ya matukio ya ubakaji nchini yamesababisha Baraza la mahusiano ya dini mbalimbali kwa ajili ya amani nchini kutoa wito...

READ MORE

Zitto Kabwe Amjibu Sumaye

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe,  amesema hawajafanya mazungumzo yoyote na waziri mkuu mstaafu, Frederick Sumaye,  ambaye leo mchana...

READ MORE

Jafo Ambana Mkurugenzi, Azirai Papo Hapo! – Video

MKURUGENZI wa kampuni ya Scol Building Contractors Limited ameanguka na kuzirai mbele ya Waziri wa Tamisemi, Selemani Jafo baada ya...

READ MORE

DC Chongolo Kutoa Tuzo Kwa Mitaa Misafi

  MKUU wa Wilaya ya Kinondoni,  Daniel Chongolo,  ameanzisha kampeni ya utoaji tuzo kwa mitaa itakayofanya vizuri kwenye suala la...

READ MORE

Wadau Wa Internet Wapigwa Msasa

Wadau na wanachama wa chama cha Internet Societ (ISOC) wamepigwa msasa na Meneja wa Kanda ya Afrika, Bwana Victor Ndonnang...

READ MORE