×

Habari

Heche Apigwa Chingi Chadema, Matiko Apeta

MBUNGE wa Tarime mjini, Ester Matiko ameshinda kiti cha Uenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Serengeti kwa kupata kura 44 na...

READ MORE

Ureno Yapangwa Kundi la Kifo Euro

MAKUNDI ya michuano ya Kombe la Euro yalipangwa juzi huku kukiwa na kundi la kifo ambalo lilizua gumzo. Michuano ya...

READ MORE

Liver Yanusa Ubingwa, Guardiola Agoma

LIVERPOOL wameingia kwenye kipindi cha mwezi Desemba wakiwa mbele kwa tofauti ya pointi 11 dhidi ya wapinzani wao wakubwa kwenye...

READ MORE

Nyalandu Atusua Uchaguzi Chadema

ALIYEKUWA Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu ameshinda nafasi ya Mwenyekiti wa Chadema, Kanda ya Kati kwa kupata kura 60...

READ MORE

Wiki Ya Ushindani Kuadhimishwa Desemba 3 Hadi 5, Dar

TUME ya Ushindani Tanzania (FCC) kwa kushirikiana na Mamlaka za EWURA, LATRA, PURA, FCT, TCAA, TCRA na TASAC wanawakaribisha Wananchi...

READ MORE

Canosa Waibuka Kidedea Shindano La Speling

Shule ya Msingi Canosa iliyopo Tegeta Nyuki, Dar imetunukiwa zawadi ya vifaa mbalimbali vya kujisomea (Library) na Oxford Universt Press...

READ MORE

Video: Mbunge LEMA Afunguka Baada Ya Kuwa Mwenyekiti Kanda Ya Kaskazini

Mbunge wa Arusha Mjini (Chadema), Godbless Lema amechaguliwa kuwa mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Kaskazini katika uchaguzi uliofanyikaJumamosi Novemba...

READ MORE

Infinix Yasherehekea Na Wateja

Kampuni ya Simu za mkononi ya Infinix imefanya sherehe ya pamoja na wateja wake kufuatia mapokeo mazuri yao aina ya...

READ MORE

Mwakyembe Azindua Mashindano ya Shimmuta Mwanza

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo hapa nchini, Dkt. Harrison Mwakyembe leo Jumamosi, Novemba 30, 2019 amezindua mashindano ya...

READ MORE

Mbowe Arejesha Fomu Chadema, Lissu Naye Achukua

MWANASHERIA Mkuu wa CHADEMA, Tundu Lissu amesema atagombea Makamu Mwenyekiti wa chama hicho katika Uchaguzi unaoendelea kufanyika hivi sasa ndani...

READ MORE

Madiwani Watano CHADEMA Wajiuzulu, Watimkia CCM

MKURUGENZI wa Jiji la Arusha, Dk Maulid Madeni amesema amepokea barua za kujiuzulu za madiwani watano wa Chadema Jiji la...

READ MORE

Ufafanuzi wa NHIF Kuhusu Ongezeko la Michango ya Wanachama

Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) umesema hakuna mabadiliko ya michango kwa watumishi kama ambavyo taarifa zinazosambazwa mitandao...

READ MORE

Sakata la Mbelgiji Simba Lafikia patamu

Mvurugano! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia filamu ya Kocha wa Simba, Patrick Aussems na mabosi wa timu hiyo kuonyesha kuvimbishiana ndani...

READ MORE

Mastaa Wasusia Maziko Ya Bi Cheka Bunju B, Dar (Picha +Video)

VILIO, majonzi na simanzi, jana Ijumaa Novemba 29, 2019 vilitawala katika kila kona maeneo ya Bunju B jijini Dar, wakati...

READ MORE

BoT Yaikana Pesa ya Mtandaoni, Yatoa Onyo

BENKI Kuu nchini imeonya kuacha mara moja kujihusisha na shughuli za fedha za kimtandao (Cryptocurrency) kunakofanywa na baadhi ya watu...

READ MORE

Rwanda Kutumia Sindano Kufubaza UKIMWI Badala ya Vidonge

TIBA ya sindano badala ya vidonge vya kila siku kwa wagonjwa wa ukimwi nchini Rwanda imeshika kasi na sasa iko...

READ MORE

Christmas Market Festival Kutikisa Dar

KWA mara ya kwanza Dar es Salaam itashuhudia festival ya soko lenye bidhaa zote za Msimu wa Krismas katika Viwanja...

READ MORE

SBL YASHAURI MFUMO WA KODI UARAKISHWE

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL), Mark Ocitti, ameshauri kuharakishwa kwa utaratibu wa kuoanisha mfumo wa kodi...

READ MORE

DC Kibaha, Mbunge Koka Wameongoza Harambee Uzinduzi Wa Filamu

MKUU wa Wilaya ya Kibaha, Assumpta Mshama na Mbunge wa Kibaha Mjini, Silvestry Koka, jana wameongoza harambee ya kuuza DVD...

READ MORE

Simbachawene Aiagiza TAREA Kutafiti Matumizi Nishati Jadidifu Dar

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), George Simbachawene, ameiagiza Jumuiya ya Wadau wa Nishati Jadidifu Tanzania...

READ MORE

Sabuni za King Limau na Marhaba Zaweka Rekodi Mitaani

KING Limau na Marhaba Soap ndiyo habari ya mjini! Hii ni kutokana na jinsi sabuni mpya za King Limau na...

READ MORE

Na Eric Shigongo: Njia Nyingine za Kukuwezesha Kuwa Tajiri

NDUGU zangu, baada ya wiki iliyopita kueleza siri ya namna ya kupata utajiri, leo nitakupa njia nyingine ambazo zinaweza kukuwezesha...

READ MORE

Gazeti la Betika Yatikisa Mwanza

MARA baada ya Gazeti la Betika kuingia mtaani Jumatano ya wiki hii lilitikisa maeneo mbalimbali ya Jiji la Mwanza ikiwemo...

READ MORE

Lissu Awasili Kenya, Agoma Kufika Tanzania – Video

ALIYEKUWA  mbunge wa singida mashariki Tundu Lissu (CHADEMA) amesema atarejea Tanzania baada ya marafiki zake kumuhakikishia usalama wake.   Lissu...

READ MORE

Mtoto wa Bilionea Atekwa Akitoka Gym Kama Mo

WATU wasiojulikana wamemteka Shelton Lalgy, mtoto wa mfanyabiashara mkubwa nchini Msumbiji, Juneide Lalgy.   Tukio hilo limetokea jijini Matola jana...

READ MORE

Gazeti la Betika Ndani ya Jiji la Arusha

KATIKA kile kinachoonekana kushika kasi, Gazeti la Betika limeendelea kushika kasi na wiki hii lilifika mitaa ya Arusha. Gazeti hilo...

READ MORE

Rais Trump Afanya Ziara ya Ghafla Afghanistan

RAIS wa Marekani, Donald Trump, amefanya ziara ya kushtukiza katika kambi ya vikosi vya Marekani nchini Afghanistan na kusema kuwa...

READ MORE

DPP Afuta Kesi 59 Mbeya

KATIKA mwendelezo wa ziara ya kikazi ya Waziri wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Augustine Mahiga (Mb) kwenye mikoa ya...

READ MORE

Nunua Gazeti la Championi : Mashine nne mpya ndani ya Yanga

Uanweza kujipatia nakala ya gazeti la Championi na kulisoma lote kwa njia ya mtandao na kwa gharama ya nusu bei,...

READ MORE

Nunua Gazeti la Ijumaa : Kishindo ndoa ya Vanessa, bilionea Marekani!

Uanweza kujipatia nakala ya gazeti la Ijumaa na kulisoma lote kwa njia ya mtandao na kwa gharama ya nusu bei,...

READ MORE

Naibu Waziri Mwanjelwa Atunukiwa PhD

 Dkt. Mary Mwanjelwa (kushoto) akiwa na baadhi ya wahitimu wenzake.  NAIBU Waziri Ofisi ya Rais, Utumishi wa Umma na Utawala...

READ MORE

Mshindi wa Promosheni ya Tigo Chemsha Bongo Apatikana

Droo ya mwisho ya promosheni ya ‘Tigo Chemsha Bongo’ imefanyika jijini Dar es Salaam ambapo mkaazi wa Zanzibar, Shabani Khamis...

READ MORE

Madai ya Kuazima Vyombo… Mama Asuta Mtaa Mzima – Video

USWAHILINI kuna vituko! Mama mmoja anayejulikana kwa jina la Mama Shamira Mkazi wa Jeti Lumo Mtaa wa Masizi jijini Dar...

READ MORE

Sumaye Apigwa Chini Chadema, Huenda ‘Akakacha’

ALIYEKUWA mgombea pekee wa nafasi ya uenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendleo (Chadema) Kanda ya Pwani, Frederick Sumaye,  ameshindwa...

READ MORE

Waziri Mbarawa Kutoa Ushahidi Mahakamani

WAZIRI wa Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa, anatarajia kutoa ushahidi katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu katika kesi inayomkabili...

READ MORE

Hali ya Mbowe Bado ni Tete, Mahakama Yashindwa Kuendelea na Kesi

  KESI ya uchochezi inayowakabili vigogo tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imeshindwa kuendelea katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Tanzia: Msanii Bi Cheka Afariki Dunia – Video

MSANII  mkongwe wa kike wa muziki wa Bongo Fleva, Cheka Hija Mzee, maarufu kwa jina la ‘Bi Cheka’ amefariki dunia...

READ MORE

Sheva Afunguka Kilicho Nyuma ya Mabao Yake

MIRAJI Athuman ‘Sheva’ mshambuliaji wa Simba amefichua kuwa kilicho nyuma ya mabao yake ni kivuli cha nahodha, John Bocco pamoja...

READ MORE

Kocha Azam; Chirwa Atafunga Sana

KOCHA Msaidizi wa Azam FC, Idd Cheche amesema kuwa mshambuliaji wao Obrey Chirwa atafunga mabao mengi msimu huu kwa kuwa...

READ MORE