×

Habari

Akutwa Ameuawa Ndani, Mwili Umeharibika, Mjumbe Asimulia – Video

MWILI wa mke wa Dickson Ponela, Prisca John Sambu (35) umekutwa umeharibika chumbani ambapo mashuhuda waliouona kwa mara ya kwanza...

READ MORE

Mamia Wamzika Akilimali wa Yanga Tandale Dar (Picha +Video)

MAZIKO  ya aliyekuwa Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim Akilimali  yamefanyika leo Desemba 15, katika Msikiti wake wa...

READ MORE

ACB Ilivyofanikisha Kikundi Cha FATA Vicoba Kujizolea Faida

Benki ya Akiba Commencial (ACB) jana iliungana na wanachama wa kikundi cha FATA Vicoba Endelevu kusherehekea kumaliza mwaka ambapo wanachama...

READ MORE

Waziri Ummy Apokea Msaada Kutoka NMB Wa Vitanda 15 Vya Hospitali Za Muhimbili

      Katika kutambua afya ni suala muhimu sana kwa maendeleo ya jamii, Benki ya NMB imekabidhi vitanda 15...

READ MORE

Shule za St. MARY’S Zatangaza Ofa Msimu wa Masomo 2020

KWA wazazi, inapofika Desemba kuelekea Januari kila mwaka, huwa ni kipindi kigumu sana! Ugumu wake ni majukumu yaliyopo mbele yao...

READ MORE

Nabii Natasha Aongeza Upako Shilo 2019 -Video

MTUMISHI wa Mungu, Nabii Natasha leo amenogesha tamasha la Shilo lililofanyika katika Kanisa la Mlima wa Moto lililopo Mikocheni ‘A’...

READ MORE

Rais wa Zamani wa Sudan Ahukumiwa Jela

Aliyekuwa Rais wa zamani wa Sudan, Omary Al Bashir amehukumiwa kifungo cha miaka miwili jela, na Mahakama  ya Mjini Kartoum...

READ MORE

Tanzia: Mzee Akilimali wa Yanga Afariki Dunia

ALIYEKUWA Katibu wa Baraza la Wazee la Klabu ya Young Africans (Yanga), Mzee Ibrahim Akilimali amefariki dunia leo asubuhi, Jumamosi,...

READ MORE

Watatu Mbaroni Mauaji ya Bodaboda

MANYARA: Jeshi la Polisi Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara, limewatia mbaroni watu watatu kwa tuhuma za mauaji ya dereva wa...

READ MORE

Rais Amtunuku Askari Aliyejitosa Kufundisha Wanafunzi na Bunduki

RAIS Uhuru Kenyatta wa Kenya amemtuza Ofisa wa Jeshi la Polisi, Jairus Mulumia, ambaye alijitolea kuwafundisha wanafunzi katika Shule ya...

READ MORE

Mama wa Mwandishi Kabendera Amwangukia JPM

VERDIANA Mjwahuzi (81), mama wa mwandishi wa habari za kiuchunguzi, Erick Kabendera,  amemwomba  amsamehe mwanaye wa pekee anayemsaidia katika matibabu....

READ MORE

DC Aanika Sababu ya Kumsweka Ndani Trafiki

MKUU wa Wilaya ya Geita, (DC) Josephat Maganga (pichani) amesema mojawapo ya sababu iliyomlazimu kumsweka rumande askari wa usalama barabarani,...

READ MORE

Vijana Wanaokula Paka… ‘Wanakula Hadi Nyama za Watu’

EEEH bwana eee; upepo wa vijana Stanslaus Luchano ‘Ghost’ (23) na Nicholas Michael ‘Chaupepo’ (28) wakazi wa Kimara jijini Dar...

READ MORE

Kinana, Makamba, Membe Waitwa Kujieleza

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuujulisha umma wa wana CCM na Watanzania kwamba Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeketi leo...

READ MORE

Boris Johnson Aibuka Kidedea Uchaguzi Mkuu Uingereza

CHAMA  cha Conservative kimeshinda zaidi ya viti 326 vya Ubunge huku Kiongozi wa Chama hicho Boris Johnson akiwashukuru wapiga kura...

READ MORE

DC Chongolo Azindua Maonyesho Bidhaa za Ngozi

MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Daniel Chongolo,  amesema kuwa katika kutatua changamoto ya kupata soko la uhakika la bidhaa za...

READ MORE

Mke Amuua Mumewe kwa Kumzuia Kuondoka Nyumbani

  POLISI katika mji wa Nakuru nchini Kenya wanamshikilia mwanamke mmoja, Rehema Rita Wanjiru, mwenye umri wa miaka 21 kwa...

READ MORE

Obama Ateketeza Bil. 25 Kununua Jumba la Kifahari

RAIS mstaafu wa Marekani, Barack Obama, na mkewe, Michelle Obama wamenunua jumba la kifahari lililopo eneo la Martha Vineyard katika...

READ MORE

Jafo Awapa Mtihani Wakurugenzi, Ma-DC – Video

Waziri wa TAMISEMI, Selemani Jafo amewaagiza Wakurugenzi wote nchini wanaotekeleza miradi wa kulipa kulingana na matokeo (EP4R) kwa ajili ya...

READ MORE

Nabii Natasha Aongeza Upako Shilo 2019

MTUMISHI wa Mungu Nabii Lucy Natasha kutoka nchini Kenya, ametua nchini leo Alhamisi, Desemba 19, 2019, na kushusha upako katika...

READ MORE

Maajabu Kabila Linalokula Nyama za Watu! – 5

BAADA ya kuona makabila ya Kuru na Wakorowai yanayopatikana kwenye Visiwa vya Papua New Guinea namna yanavyokula nyama ya binadamu...

READ MORE

Vanessa Mdee, Rotimi na Kisa cha P Funk na Kajala

V MONEY, mtoto wa Arusha ni moja ya wasanii wanaopiga sana michongo ya nje na waliotengeneza bonge la connection katika...

READ MORE

Uchaguzi wa Rais Algeria, Wasiwasi Watanda

WANANCHI wa Algeria wameendelea kuandamana katika miji mbalimbali nchini humo wakidai mageuzi kamili ya mfumo wa kisiasa nchini mwao na...

READ MORE

JPM: Ndege Yetu Iliyoshikiliwa Canada Imeachiwa

RAIS wa Tanzania, John Magufuli amesema ndege ya Tanzania aina ya Bombardier Q400 iliyokuwa imakamatwa nchini Canada imeachiwa na wananchi...

READ MORE

Video: Rais JPM Afungua Semina Halmshauri Kuu ya CCM Taifa

LEO Alhamisi, Desemba 12, 2019, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amefungua...

READ MORE

Aliyeachiwa kwa Msamaha wa Rais, Mbaroni Tena Kuvunja Gesti

 Mtuhumiwa mmoja aliyefahamika kwa majina ya Mstafa Msola maarufu kwa jina la (Hitler) aliyeachiwa huru kwa msamaha wa Rais mkoani...

READ MORE

Mabaki ya Ndege ya C-130 Chile Yapatikana Yakielea Kwenye Maji

MOFISA wa Chile wanasema kwamba wamezuia mabaki yanayoaminika kutoka katika ndege ya kijeshi iliotoweka siku ya Jumatatu.   Wanasema kwamba...

READ MORE

Senene Wasababisha Bei ya Nyama Kudorora

BIASHARA ya nyama imedorora sasa nchini Uganda kutokana na msimu wa senene kuanza. Raia wa Uganda sasa hununua viazi na...

READ MORE

Hawa Ndio Waliomsaidia Nyerere Akiwa Hana Kitu – 9

BAADA ya kuona urafiki wake Mwalimu Julius Nyerere na mzee Mshume na mzee Ally Sykes na kadhalika; wiki hii tumjadili...

READ MORE

Huu ni Undani Ugonjwa Uliomuua Bilionea Bongo

DAR: Taarifa za kifo cha mfanyabiashara Ali Mufuruki (60), zimeshtua wengi. Mufuruki anayetajwa kuwa mmoja wa mabilionea Bongo alifariki dunia,...

READ MORE

Polisi Hatiani Kwa Kuua Watu 10 Akisaka Aliyemwambukiza Ukimwi

MAHAKAMA ya Embu nchini Kenya, imemfunga afisa mmoja wa polisi miaka 20 baada ya kupatikana na hatia ya kuwaua watu...

READ MORE

Polisi Asakwa Kumbaka na Kumpa Ujauzitio Mwanafunzi

MSAKO mkali wa polisi aliyetoroka kwa tuhuma za kumbaka na kumpa mimba mwanafunzi wa kidato cha kwanza wilayani Kyela mkoa...

READ MORE

Malinzi, Mwesigwa Wahukumiwa Jela, Warejea Uraiani

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu Leo Jumatano Desemba 11, 2019 imemtia hatiani aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF),...

READ MORE

Tishio Ugonjwa Uliyomuua Seth Bosco

  ‘NI TISHIO’ ndivyo unavyoweza kuutafsiri ugonjwa wa homa ya uti wa mgongo ambao wiki iliyopita uliongezea pigo lingine katika...

READ MORE

Kisutu: Hukumu ya Malinzi na Wenzake Yaanza Kusomwa

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeanza kusoma hukumu dhidi ya aliyekuwa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi...

READ MORE

Shinyanga: Wasichana Waogeshwa Dawa Kuvutia Wanaume

SERIKALI imeombwa kupiga marufuku vitendo vya baadhi ya wazazi kuwapeleka mabinti wao wenye umri kati ya miaka 10 hadi 15...

READ MORE

Wafanyabiashara Kariakoo: Betika Linatupatia Mkwanja

MAPEMA leo Jumatano, Desemba 11, 2019, timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya wafanyabiashara wa Kariakoo na...

READ MORE