×

Habari

Shinyanga: Wasichana Waogeshwa Dawa Kuvutia Wanaume

SERIKALI imeombwa kupiga marufuku vitendo vya baadhi ya wazazi kuwapeleka mabinti wao wenye umri kati ya miaka 10 hadi 15...

READ MORE

Wafanyabiashara Kariakoo: Betika Linatupatia Mkwanja

MAPEMA leo Jumatano, Desemba 11, 2019, timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya wafanyabiashara wa Kariakoo na...

READ MORE

Waliozamia Sauz Wahukumiwa Kulipa Buku 50 – Video

WAKATI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli akitoa msamaha kwa wafungwa wa makosa mbalimbali nchini...

READ MORE

Kinondoni Kufanya Maonesho ya Ngozi Tanganyika Packers

  MKUU wa Wilaya ya Kinondoni, Mhe. Daniel Chongolo amesema kuwa katika kuhakikisha tunakuza uchumi wa Viwanda, Wilaya hiyo imeandaa...

READ MORE

Miradi ya JUMEME Yaziondoa Gizani Kaya 5,000 Ukerewe

  ZAIDI ya kaya 5,000 katika kisiwa cha Ukara kilichopo wilayani Ukerewe mkoani Mwanza, zimenufaika na umeme jua unaozalishwa na...

READ MORE

Watu 36 Wafariki kwa Mafuriko

SHIRIKA la Uokoaji la Msalaba Mwekundu nchini Uganda linaloendelea na uokoaji katika Wilaya ya Bundibugyo, limesema kuwa watu wengi bado...

READ MORE

Mbaroni kwa Kusimamisha Msafara wa Rais na Kuomba Kazi

MWANAMME mmoja aliyejulikana kwa jina la Uvinalies Nyabuto amekamatwa leo kwa kuusimamisha msafara wa magari wa Rais Uhuru Kenyatta katika...

READ MORE

“Nimeingia Gerezani Nikiwa na Miaka 20, Nimetoka Mzee” – Video

TIMOTHEO SILAS aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la unyang’anyi mwaka 2,000 ameachiwa huru jana Jumanne Desemba 10,...

READ MORE

Kauli za Wafungwa 96 Songwe Walioachiwa Huru – Video

  WAFUNGWA 96 Mkoani Songwe wamekuwa miongoni mwa wafungwa 5,533waliopatiwa msamaha wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt...

READ MORE

Wafungwa 293 Waachiwa Ukonga, Keko, Segerea, Wazo Hill – Dar

JUMLA ya wafungwa 293 kutoka magereza ya Ukonga, Keko, Segerea na Wazo Hill jijini Dar es Salaam jana wameachiwa huru...

READ MORE

Wafungwa 136 Waachiwa Huru Simiyu, Kicheko Kama Chote

JUMLA ya wafungwa 136 kutoka magereza ya Mkoa wa Simiyu wamechiwa huru kufuatia msamaha wa RaisJohn Pombe Magufuli alioutoa Desemba,...

READ MORE

Daktari ‘Muuaji wa Vichanga’ Anaswa! – Video

ASIKWAMBIE mtu, baadhi ya matukio yanayotokea Bongo yanatisha, kuna daktari mmoja amenaswa akituhumiwa ‘kuua vichanga’ katika zahanati yake iliyopo Sinza...

READ MORE

Watangazaji Wanaochanganya Kiswahili na Kingereza Yamewafika

Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania  (TCRA) Kanda ya Ziwa, Francis Mihayo amesema yuko katika mchakato wa kuhakikisha anatoa elimu...

READ MORE

Waziri Mkuu Mdogo Zaidi Duniani na ‘Kisu’

SANNA MARIN wa Finland  ndiye waziri mkuu mwenye umri mdogo zaidi duniani baada ya kushika wadhifa huo nchini humo akiwa...

READ MORE

Majonzi! Bilionea Mufuruki Azikwa Makaburi ya Kisutu – Video

MWILI wa bilionea Mtanzania na Mwenyekiti mwanzilishi wa Jukwaa la Maofisa Watendaji Wakuu wa Kampuni na Ofisa Mtendaji Mkuu wa...

READ MORE

Mfungwa Aliyesamehewa na Rais JPM Agoma Kutoka Gerezani, Ajijeruhi

KATIKA Sherehe za kuadhimishi kumbukumbu ya siku ya Uhuru wa Tanganyika, maadhimisho ambayo hufanyika kila mwaka Disemna 9, jana Rais...

READ MORE

Wafungwa 79 Gereza Butimba Waliosamehewa na Rais Waachiliwa

Leo Desemba 10, wafungwa 79 wameachiwa kati ya wafungwa 190 waliopewa msamaha na Rais Dkt. John Magufuli  kwa mkoa wa...

READ MORE

Mondi Akomba Minoti Guinea

DAR: Wakati wasanii kibao wakiandika historia kwenye shoo ya Fiesta kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar, usiku wa kuamkia leo,...

READ MORE

Ndege Yapotea na Watu 38

  NDEGE kubwa ya jeshi la Chile aina ya  Lockheed C-130 Hercules imepotea ikiwa na abiria 38 ilipokuwa ikielekea Antarctica....

READ MORE

Auawa Kinyama Shambani, Mwili Wafungwa Kwenye Kiroba

MBEYA: Dunia katili! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia baba aliyejulikana kwa jina la Lubisi Mwakalundwa (62), mkazi wa Kijiji cha Nkunga...

READ MORE

Mfumo wa Kieletroniki Wa Manunuzi, Uuzaji na Usafirishaji (NFLIP) Wazinduliwa

  JUKWAA la Wafanyabiashara na wadau wa Usafirishaji kutoka Sekta Binafsi (TPSF) wamezindua mfumo wa kieletroniki wa manunuzi, uuzaji  na...

READ MORE

LIVE: Mwili wa Bilionea Mufuruki Ukiagwa JNICC Dar

MWILI wa bilionea Mtanzania na Mwenyekiti mwanzilishi wa Jukwaa la Maofisa Watendaji Wakuu wa Kampuni na Ofisa Mtendaji Mkuu wa...

READ MORE

Benki ya NMB Yatwaa Tuzo ya NBAA Kwa Mwaka Mwingine Mfululizo

BENKI ya NMB imetwaa tuzo maalum kutoka Bodi  ya Taifa ya Uhasibu na Ukaguzi wa Hesabu (NBAA) kama Benki bora...

READ MORE

Mwili wa Seth Waagwa, Mama Kanumba Aishiwa Nguvu – Video

MWILI wa aliyekuwa msanii wa filamu nchini ambaye pia ni mdogo wa marehemu Steven Kanumba, Seth Bosco umeagwa leo baada...

READ MORE

Lowassa Ampa JPM Miaka 10, Sumaye Atia Neno – Video

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa,  amemsifia Rais John Magufuli kwa jitihada za kuleta maendeleo makubwa nchini tangu aingie madarakani...

READ MORE

Mbowe Aomba Maridhiano na JPM – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema sababu za kushiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka 58...

READ MORE

Mbowe, Nyalandu, Mnyika, Lema, Sumaye Wahudhuria Uhuru Day – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, na Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Kati, Lazaro Nyalandu, ...

READ MORE

Nunua Gazeti la Ijumaa Wikienda (Tsh 300): Namba 7 pigo kwa Mama Kanumba

Unaweza kujipatia nakala ya gazeti la Risasi na kulisoma lote kwa njia ya mtandao na kwa gharama ya nusu bei,...

READ MORE

Tanzia: Aliyekuwa Balozi wa Tanzania Nchini Urusi Afariki

Aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi katika Serikali ya Awamu ya Nne, Balozi Jaka Mwambi amefariki jana Jumapili, Desemba...

READ MORE

Hali ilivyo Mwanza kuelekea maadhimisho ya miaka 58 ya Uhuru

Kesho Desemba 9, 2019 Tanzania Bara itasherehekea miaka 58 tangu kupata uhuru wake na miaka 57 ya Jamhuri, tayari viongozi...

READ MORE

Tanzia: Mhubiri Maarufu Duniani, Reinhard Bonnke Afariki

Bonnke ambaye ni raia wa Ujerumani amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 79 akiwa amezungukwa na familia yake. Atakumbukwa...

READ MORE

Fiesta Ya Kwanza Ya Harmonize Uwanja wa Uhuru Dar leo

TANGU msanii wa Bongo Fleva, Rajab Abdul Kahali ‘Harmonize’, aanze kuwika akiwa ndani ya Lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB),...

READ MORE

BAR YA 5N Yawaka Moto Sinza, Dar – (Picha + Video)

BAR ya 5N na Klabu ya Usiku iliyopo Sinza A inayotazamana na Mlimani City jijini Dar es Salaam, leo Desemba...

READ MORE

Bilionea Ali Mufuruki Amefariki Dunia

  Mwenyekiti na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Infotech Investment Group ambaye aliwahi pia kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya...

READ MORE

Anthony Joshua Alivyomtwanga Andy Ruiz

Bondia Anthony Joshua kutoka nchini England amempiga kwa pointi bondia Andy Ruiz Jr. kutoka Mexico. Wawili hao wamepambana usiku huu...

READ MORE

Fiesta Dar: Kiba, Harmo Kupindua Meza Kibabe Leo

DAR ES SALAAM: Mastaa wakubwa wa Bongo Fleva, Ali Saleh Kiba ‘King Kiba’ na Rajab Abdul ‘Harmonize’, wameapa kufia jukwaani...

READ MORE

Katibu Mkuu Wizara ya maendeleo Avifunda vyuo vya Maendeleo

Katibu Mkuu Idara Kuu ya  Maendeleo ya Jamii, Dkt. John Jingu amevitaka vyuo vya maendeleo ya jamii nchini kutoa elimu...

READ MORE