×

Habari

Ratiba ya Kombe la FA Ipo Hapa, Yanga Na Simba Zimebaki Dar

Droo ya FA imechezwa leo Desemba 4, 2019 ikiwa ni hatua ya 64 bora mechi zinatarajiwa kuchezwa kuanzia Desemba 20-22....

READ MORE

Betika Lazidi Kutusua Mtaani

  MAPEMA leo Jumatano, Desemba 4, 2019, timu ya maofisa masoko ya Global Publishers mapema leo imetembelea maeneo ya Changanyikeni...

READ MORE

Mkwasa Afumua Fowadi Yanga

KAIMU Kocha Mkuu wa Yanga Charles Mkwasa ‘Master’ amekiri kikosi chake kuwa na upungufu huku akiahidi kukifanyia maboresho kwa kusajili...

READ MORE

Watu 30 Wahofiwa Kufariki kwa Matope ya Mafuriko

ZAIDI ya watu 30 wa Wilaya ya Bududa iliyopo Uganda Mashariki wamehofiwa kufariki kutokana na kufukiwa na matope yaliyosababishwa na...

READ MORE

Mshindi ‘Public Speaking’ Kupewa Tsh Milioni 10

KAMPUNI ya Global Group imetangaza zawadi ya shilingi milioni 10 kwa vijana wa Kitanzania wenye umri wa kati ya miaka...

READ MORE

Sheva: Ubingwa ni Mali ya Simba SC

MIRAJI Athuman ‘Sheva’ nyota wa Simba amesema kuwa Simba ina nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa msimu huu. Sheva ambaye ukali...

READ MORE

Tanga: Kijana Akatwa Jembe Shingoni, Auawa

MTU mmoja aliyekuwa akifanya kibarua cha kulima, Fadhili Rashidi (35), ameuawa kwa kukatwa na jembe shingoni.   Tukio hilo limetokea...

READ MORE

Breaking News: Sumaye Abwaga Manyanga, Ajiondoa Chadema – Video

WAZIRI mkuu mstaafu, Frederick Sumaye.  leo Desemba 4, 2019 ametangaza rasmi kujitoa katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).  ...

READ MORE

Ahukumiwa Jela kwa Kuropoka Atamuua Rais Magufuli

MAHAKAMA ya Mwanzo ya Ipembe mjini Singida, imemhukumu mkazi wa mtaa wa Minga, Bahati Martin (39), kifungo cha miaka miwili...

READ MORE

Mchungaji Asakwa kwa Kuwapa Mimba Wanafunzi 20

MAOFISA Usalama wa Kaunti ya Kitui nchini Kenya, wanamsaka mhubiri mmoja (jina halikutajwa) anayedaiwa kuwahadaa na kuwapa ujauzito wasichana wadogo...

READ MORE

Wanakijiji Wamkataa Mwenyekiti Aliyepita Bila Kupingwa

IKIWA ni wiki moja limepita tangu kufanyika uchaguzi wa serikali za mitaa nchini, ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilipata ushindi...

READ MORE

Nabii Anayekanyaga Waumini Aibua Taharuki

TUNAAMBIWA kwenye vitabu vitakatifu kuwa, katika siku za mwisho kutakuwa na nyakati za hatari mno, tena zilizo ngumu kushughulika nazo....

READ MORE

Kijana Miaka 19 Abaka Mtoto wa Miaka 3, Apigwa Maisha Jela

AMEENDA na maji! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mahakama ya Hakimu mkazi Mbeya kumhukumu kifungo cha maisha jela, Erasto Jailos...

READ MORE

Afisa Mkuu wa Polisi Kortini kwa Mauaji ya Mwandishi wa Habari

 OFISA Mkuu wa Polisi, Bi. Sabina Kerubo anatuhumiwa kuhusika na mauaji ya Mwandishi wa Habari wa The Star, Bw. Eric...

READ MORE

Tanasha Afungasha Virago, Asepa Kwao, Mama Dangote Atajwa

AMKENI… amkeni… amkeni… njooni huku! Habari ikufikie kuwa, mzazi mwenza wa staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Tanasha...

READ MORE

Shiboub; Mtaalam wa IT Anayefanya Kweli Simba

MWANZONI mwa msimu huu, timu ya Simba ilifanikiwa kumsajili kiungo wa kimataifa kutoka nchini Sudan kwa ajili ya kuja kuiongezea...

READ MORE

Kesi ya Zitto Kabwe Mahakama Kusikiliza CD

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu kesho inatarajia kutoa uamuzi wa ama kupokea kielelezo cha CD iliyohifadhiwa video iliyorekodiwa wakati wa...

READ MORE

Mpambano Mkali… Waasi 80 Wauawa Congo

JESHI la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo linasema, limewauwa waasi zaidi ya 80 wa ADF Nalu Wilayani Beni, katika operesheni...

READ MORE

Miaka 1,400: Hatimaye Wazungu Warudisha Ubao wa Yesu Bethlehem

  KIPANDE cha ubao kinachoaminiwa kuwa kilitolewa sehemu Yesu alipozaliwa kimerejeshwa mjini Bethlehem katika mji wa Jerusalem nchini Palestina baada ya...

READ MORE

Kamera Kuwanasa Watumia Simu Barabarani

AUSTRALIA imekuwa nchi ya kwanza kuzindua mfumo wa kamera za barabarani (za roboti) ili kuwanasa madereva wanaotumia simu wakati wakiwa...

READ MORE

Lukuvi Atumbua Mtu Iringa – Video

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi,  amemwondoa katika nafasi yake  Mkuu wa Idara ya Ardhi katika...

READ MORE

Mzee Miaka 102 Mwenye Watoto 60, Wajukuu 70 Afungua Shule

MZEE Meshuku Mapi Mukari almaarufu mzee Laibon, kutoka jamii ya kifugaji, mwenye umri wa miaka 102 na wake wanane, watoto...

READ MORE

DC Sabaya Amsweka Ndani Kapteni wa Jeshi ”Unajifanya Kichaa?” – Video

MKUU wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya, amerejesha Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) eneo lenye ukubwa wa ekari mbili...

READ MORE

Mrithi wa Aussems Simba ni Huyu

WAKATI Kocha Msaidizi akiwa Selemani Matola, jina la Kocha Mkuu wa AS Vita ya DR Congo, Jean-Florent Ikwange Ibengé limetajwa...

READ MORE

Dovutwa Avuliwa Uenyekiti UPDP

HALMASHAURI Kuu Taifa ya Chama cha United People’s Democratic Party (UPDP) imemvua uenyekiti Fahmi Dovutwa baada ya kubainika kufanya kosa...

READ MORE

Papa Francis Amteua Ludovick Kuwa Askofu Mpya Jimbo la Moshi

  Baba Mt. Francis amemteua Askofu Ludovick Joe Minde, kuwa Askofu mpya Jimbo la Moshi. Kabla ya uteuzi huo alikuwa...

READ MORE

Acb Yaendelea Kutoa Mbinu Za Mafanikio Kwenye Vicoba

Benki ya Akiba Commencial (ACB) jana iliungana na kikundi cha vicoba cha TEYOTA katika uzinduzi wa kikundi hicho uliofanyika jana...

READ MORE

Papaa Msofe Kortini kwa Tuhuma za Kuongoza Wahalifu – Video

Wafanyabiashara wanne akiwemo Marijan Msofe maarufu kama Papaa Msofe na Wakili wa Kujitegemea Mwesigwa Mhingo wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Watano Washikiliwa na Jeshi la Polisi Mwanza kwa Mauaji

JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza linawashikilia watu watano kwa tuhuma za kuhusika na mauaji ya watu watatu katika tukio...

READ MORE

Wananchi Wampinga Mke wa Rais

Wananchi wa Nigeria wamepinga pendekezo la Mke wa Rais wan chi hiyo, Aisha Buhari, juu ya kutaka serikali kudhibiti mitandao...

READ MORE

TanEA Yaanika Tathmini Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

  TAASISI binafsi ya TanEA ambayo ni muunganiko wa Asasi mbili za kiraia, Action for Change (ACHA) na The Right...

READ MORE

Sasa Dar –> Moshi ni Kuteleza Tu – Video

 JANA Jumapili, Disemba 1, 2019, Ndg. Humphrey Polepole Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ameshiriki safari...

READ MORE

Mch Msigwa Asema Hajui Akwilina Aliuawa Lini

MBUNGE wa Iringa Mjini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mchungaji, Peter Msigwa amesema kuwa taarifa za kifo cha...

READ MORE

Kisutu: Kesi ya Aliyemchoma Mkewe kwa Magunia ya Mkaa

MAPEMA leo Jumatatu, Desemba 2, 2019, katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Upande wa mashtaka katika kesi ya mauaji inayomkabili...

READ MORE

Trump Agoma Kushiriki Kikao cha Kumchunguza

WAKILI wa Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema Ikulu ya White House haitashiriki katika kikao cha uchunguzi kitakachofanyika bungeni Jumatano...

READ MORE

Watu 14 Wauawa kwa Shambulio Kanisani

ZAIDI ya watu 14 wameuwawa baada ya shambulio la kigaidi kutokea katika kanisa la Hantoukoura nchini Burkina Faso.   Waathirika...

READ MORE

Ajali ya Ndege Yaua Watu 9 Marekani

WATU tisa wakiwemo watoto wawili wamefariki katika ajali ya ndege ndogo iliyotokea katika jimbo la Dakota ya kusini nchini Marekani....

READ MORE