×

Habari

Mtandao wa Jumia Wafunga Biashara Tanzania

MTANDAO wa kimataifa wa biashara wa Jumia wenye makao makuu nchini Nigeria, umesimamisha shughuli zake nchini Tanzania tangu Novemba 27,...

READ MORE

Wafanyakazi NBC Wajitolea Damu Kusaidia Wenye Mahitaji

    Watanzania wamehimizwa kushiriki zoezi la kuchangia damu kwa hiari ili kukidhi mahitaji makubwa ya damu na kuokoa maisha...

READ MORE

Video: Mkutano Mkuu Wa Biashara Na Uwekezaji Afrika Mashariki – Arusha

 Mkutano mkuu wa biashara na uwekezaji wa Afrika Mashariki unafanyika leo Novemba 28, 2019 jijini Arusha

READ MORE

Masauni Amuagiza IGP Sirro Kumsimamisha Kazi Mkuu wa Chuo

NAIBU Waziri wa Mambo ya Ndani Hamad Masauni amemtaka Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP) Simon Sirro kufanya mabadiliko ya uongozi...

READ MORE

Dk Bashiru: Vyama vya Upinzani Vitakufa Kimoja Baada ya Kingine

Katibu mkuu wa CCM, Dk Bashiru Ally amesema vyama vya upinzani nchini Tanzania vitaendelea kufa kimoja baada ya kingine kwa...

READ MORE

Gazeti la Betika lapokewa Mbeya kwa shangwe

WASOMAJI wa Gazeti la Betika mkoani Mbeya wameuomba uongozi wa gazeti hilo kuweza kutoa mara kwa mara na kwa wingi...

READ MORE

JPM Amwokoa Mponda Kokoto Aliyevunjwa Mkono – Video

  RAIS John Magufuli ameutaka uongozi wa Wilaya ya Kahama kulishughulikia suala la mama mmoja mponda kokoto aliyesema alivunjwa mkono...

READ MORE

Lukuvi: Wapangaji Nyumba za NHC Wahakikiwe Upya

WAZIRI wa Ardhi, William Lukuvi,  ametoa miezi minne kwa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) kuhakiki wapangaji wa nyumba  na...

READ MORE

Wanusurika Kifo, Waibiwa Baada ya Kula Biskuti Walizopewa

ABIRIA  wawili waliokuwa wanasafiri na basi la kampuni ya Buti la Zungu kutoka Dar es Salaam kuelekea mkoani Mtwara wamenusurika...

READ MORE

Dkt. Bashiru Amuonya Bernard Membe

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimemuonya mwanachama wake ambaye ni waziri wa zamani wa Mambo ya Nje wa Bernard Membe, kutokuwa...

READ MORE

JPM: “Hata Kususia Uchaguzi Nayo ni Demokrasia” – Video

RAIS John Magufuli amesema kitendo cha vyama vya upinzani kususia uchaguzi wa serikali za mitaa ni demokrasia huku akisisitiza kuwa...

READ MORE

JPM Igunga: Bilioni 1 Mnajenga Mitaro?…. Naondoka – Video

RAIS John Magufuli amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri ya Igunga mkoani Tabora,  Revocatus Kuuli,  kuitisha kikao haraka na madiwani na kujadili...

READ MORE

Mwananchi: “Rais Achia Fedha, Mtaani Hali Ngumu”… JPM Amjibu – Video

Rais John Magufuli amewataka Watanzania kufanya kazi kwa bidii na waache kulalamika kwamba hawana fedha wakati hawajitumi.   Magufuli ametoa...

READ MORE

Ndege Yapigwa Radi Ikiwa Angani

NDEGE ya Proflight ikiwa na abiria 41 juzi ilifanikiwa kutua salama jijini Lusaka nchini Zambia baada kupigwa na radi na...

READ MORE

Daktari Anayetuhumiwa Kuomba Rushwa ya Ngono kwa Mjamzito Yamkuta

WIZARA ya afya Zanzibar imemsimamisha kazi daktari wa Hospitali ya Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba, Massoud Sleiman Abdalla, kutokana tuhuma...

READ MORE

Vichwa Viwili vya Binadamu Vyakutwa Shambani

POLISI wilayani Ibanda nchini Uganda, wamekuta vichwa viwili vya binadamu (mwanaume na mwanamke) vikiwa vimetupwa shambani maeneo ya Kyegwisa ambapo...

READ MORE

Wasomaji Tabata-Chawote Wamelikubali Kinoma ‘Betika’

MAPEMA leo Jumatano, timu ya maofisa masoko ya Global Publishers imetembelea maeneo ya Tabata-Chawote, Makamba FC, TOT, Ally Hamza, Twiga-Tabata...

READ MORE

Mtoto Akutwa na Maiti za Wazazi Wake – Video

MTOTO wa mwaka mmoja (jina linahifadhiwa) wa jijini Dar es Salaam amewahuzunisha wengi alipokutwa amekaa na maiti za wazazi wake...

READ MORE

Mkuu wa Wilaya Aburuzwa Kortini kwa ‘Kumtwanga’ Mkewe

ALIYEKUWA mkuu wa Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma, Peter Toima Kiroya anadaiwa kuburuzwa polisi na mkewe Philomena Toima kwa tuhuma...

READ MORE

Ofisa Tume ya Haki za Binadamu Agongwa Bodaboda, Afariki

Ofisa wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), Getrude Alex (40), amefariki dunia usiku wa Novemba 23,...

READ MORE

Watu 13 Wafariki Katika Tetemeko La Ardhi Albania – Video

Watu 13  wamepoteza maisha na wengine zaidi ya  320 wamejeruhiwa katika tetemeko la Ardhi lililotolea asubuhi ya Novemba 26 huko...

READ MORE

Mbowe Aiomba Mahakama Apumzike Kutokana na Afya Yake

Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,  ameiomba mahakama impe muda aweze kupumzika kutokana na afya yake,...

READ MORE

Mapadri Jela Miaka 40 Kwa Ubakaji

MAHAKAMA ya nchini Argentina imewahukumu makasisi (mapadri) wawili wa Kanisa Katoliki la Roma kifungo cha zaidi ya miaka 40 jela...

READ MORE

Amuua Mpenzi Wake Kisha Kujiua Kisa Penzi

KIJANA aliyetambulika kwa jina moja la Paschal (24) anadaiwa kumuua Rosemary Gallus (34) kwa kumchoma kisu kisha na yeye kujichoma...

READ MORE

‘Mgombea’ Azikwa, Baba’ke Akataa Ripoti ya Polisi

MAMIA  ya wakazi wa mji mdogo wa Katesh Wilayani Hanang’ mkoani Manyara, wamejitokeza kwa wingi kumzika mkazi wa jijini Arusha,...

READ MORE

Bodi Ya Filamu Yawashushia Rungu Wawekea Picha Za Ngono Kwa Abiria

Bodi ya Filamu Tanzania leo imetangaza kuchukua hatua kali kwa wenye vyombo vya usafiri kama vile mabasi ya abiria na...

READ MORE

JPM: Mnataka CCTV ya Bil. 8? Mambo ya Ndani Hamjanielewa- Video

RAIS John Magufuli leo Novemba 25, 2019 ameweka jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi makao makuu ya Uhamiaji katika...

READ MORE

Mhadhiri NIT Ahukumiwa Jela kwa Kumuomba Penzi Mwanafunzi – Video

MHADHIRI wa Chuo cha Taifa cha Usafirishaji (NIT), Samson Mahimbo (69), amehukumiwa kulipa faini ya Sh. Milioni tano au kwenda...

READ MORE

Vijana Chadema Wamchukulia Fomu Mbowe – Video

VIJANA ambao ni wafuasi na wakereketwa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) wamemchukulia fomu Mwenyekiti wa chama hicho Taifa,...

READ MORE

Waliofariki Ajali ya Ndege DRC Wafikia 24

IDADI ya watu waliofariki baada ya ndege waliyokuwa wakisafiria kuanguka katika mji wa Goma, mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya...

READ MORE

Nunua Ijumaa Wikienda: Shangwe…. Wema, Wolper Kupata Watoto

Kupata nakala yako bonyeza >> HAPA <<Kupata nakala yako bonyeza >> HAPA <<  

READ MORE

BREAKING: Jafo Atangaza Matokeo Uchaguzi S/Mitaa – Video

WAZIRI  Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Selemani Jafo,  ametangaza matokeo ya uchaguzi wa serikali...

READ MORE

Bocco: Mimi na Kagere tutawafunga sana

WAKATI akitarajia kuanza kucheza katika kikosi cha kwanza muda wowote kutoka sasa, straika na nahodha wa Simba, John Bocco, ameweka...

READ MORE

Mrema ‘Amvaa’ Anna Mgwhira….. ‘Mnanihujumu’ – Video

MWENYEKITI  wa Tanzania Labour Party (TLP), Augustine Lyatonga Mrema, amesema Chama Cha Mapinduzi (CCM) na wasimamizi wa uchaguzi wa serikali...

READ MORE

Mvua Yaua Watu Tisa Sengerema Mwanza

WATU tisa wa familia mbili, wakiwa ni wanawake wanne  na watoto watano, wamefariki katika Kata  ya Nyatukala wilayani Sengerema, mkoani...

READ MORE

Wanne wa Familia Moja Wafariki Moto Ukiteketeza Nyumba

WAKAZI wa Makueni, Bi Regina Mueni 49, binti yake Faith Mangeli na wajukuu zake Angel Masava na Amelina Masava wamefariki...

READ MORE

Nyalandu Apitishwa Kugombea Chadema

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza wagombea mbalimbali wa uchaguzi ndani ya chama hicho ngazi ya kanda ambao wameteuliwa...

READ MORE

28 Wafariki Ndege Ikianguka Kwenye Makazi ya Watu

WATU ishirini na nane wamefariki mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) kutokana na ajali ya ndege iliyoanguka katika...

READ MORE

Binti Mlemavu Anayeandikia Ulimi Asimulia Alivyopata Mchumba – Video

Kwa kumbukumbu, ilikuwa ni Februari 3, 2012 siku ambayo walikuwa na mahafali ya kumaliza kidato cha sita katika Shule ya...

READ MORE

Mgombea Ujumbe Serikali ya Mtaa Adaiwa Kuuawa

ALIYEKUWA mgombea wa Ujumbe wa Serikali ya Mtaa wa Mnara wa Voda jijini Arusha, kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia...

READ MORE