×

Habari

Kassim Majaliwa Akutana na Rais Putin wa Urusi

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimaiana na Rais wa Urusi, Vladimir Putin katika hafla ya kuwakaribisha Wakuu wa Nchi na Serikali...

READ MORE

Vodacom yanyakua tuzo DSE

Kampuni inayoongoza kwa teknolojia ya mawasiliano nchini Tanzania, Vodacom imeshinda tuzo ya soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE)....

READ MORE

Wakandarasi Wakamatwa Na Polisi Kwa Agizo La RC Makonda – Video

Wakandarasi wa Kampuni za CHICCO Engineering na Nyanza Road Work leo wamekamatwa na Jeshi la Polisi Kanda maalumu ya Dar...

READ MORE

Hakimu ‘Akwama’ Kesi ya Kabendera

KESI ya Uhujumu uchumi inayomkabili mwandishi wa Habari za Uchunguzi, Erick Kabendera, imeshindwa kuendelea katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

READ MORE

Bosi Pyramids Atua Mwanza

BOSI wa Pyramids ya nchini Misri ametua jijini Mwanza jana pamoja na baadhi ya wajumbe wa timu hiyo kwa lengo...

READ MORE

Dun & Bradstreet Yazindua ‘Alama ya Mkopo’

Taasisi inayoongoza kuandaa taarifa za mikopo nchini Dun & Bradstreet Credit Bureau Tanzania Ltd. imezindua mfumo wa alama ya kwanza ya...

READ MORE

Mtoto Miaka 14 Kuolewa, Serikali Yashindwa Kesi

MKURUGENZI Mkuu wa Shirika la Msichana Uwezo na mwanaharakati wa haki za mtoto wa kike nchini, Rebeca Gyumi,  ameshinda rufaa...

READ MORE

Muasisi wa CUF (Mzee Mapalala) Afariki Dunia

MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania na mwanzilishi wa Chama cha Wananchi, Mzee James Mapalala amefariki dunia jana Jumatano Oktoba 23, 2019,...

READ MORE

Tigo Pesa yakuza uchumi wa mawakala nchini

Baadhi ya mawakala wa Tigo Pesa hapa nchini wameeleza namna ambavyo wamekuza vipato vyao kupitia utoaji wa huduma ya Tigo...

READ MORE

Mchungaji wa Kike wa Kutetema Atikisa, Amuita mama Kanumba!

MWANZA: Achana na ule upepo wa kisulisuli uliokuwa gumzo kutoka kwa Mchungaji Dk Getrude Rwakatare ‘Mama Rwakatare’, mchungaji mwingine anayejiita...

READ MORE

Mateso Ya Binti Huyu Usisikie!

AMA kweli hujafa hujaumbika! Ni maneno yanayoweza kukutoka utakapomaliza kusoma habari hii juu ya mateso anayopitia binti Fatuma Ally (14),...

READ MORE

Mbunge wa Tandahimba: Sitishiki na Harmonize

MBUNGE wa Tandahimba mkoani Mtwara, Katani Ahmed Katani (CUF) amesema licha ya Rais John Magufuli kumpigia chapuo Mwanamuziki wa Bongo...

READ MORE

JPM Ampa Shavu Mzee Msuya

Rais John Magufuli amemteua Waziri Mkuu mstaafu, Cleopa David Msuya, kuwa Mkuu wa Chuo cha Ardhi kwa miaka mingine miwili....

READ MORE

Kisulisuli… Wanawake Wavua Nguo za Ndani Kanisani!

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship Church, Zachary Kakobe amesema siku hizi baadhi ya wachungaji na manabii...

READ MORE

Wasomaji Temeke, Mtongani Hawapitwi na Betika

MAPEMA leo Jumatano, timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya Temeke Hospitali, na maeneo ya Mtoni Mtonganio...

READ MORE

UDSM Kuanza Kutoa Mitihani ya Kimataifa ya Kiswahili

Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM) kinataraji kuanza kutoa Mitihani ya Kimataifa ya Ujuzi wa Lugha ya Kiswahili kwa...

READ MORE

JPM Azungumza na Viongozi wa AALCO, Waziri wa China

RAIS John  Magufuli leo Oktoba 23, 2019,  amekutana na kufanya mazungumzo na viongozi  wa Taasisi ya Mashauriano ya Kisheria kwa...

READ MORE

SBL YATIMIZA MIAKA 20 KWA KUZINDUA NEMBO MPYA

  KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) leo imezindua nembo mpya itakayotambulisha na kuonyesha historia ya ukuaji wake tangu ianzishwe...

READ MORE

TEKNOLOJIA YA SARAFU ZA KIDIGITALI YAINGIA NCHINI

Kampuni ya Addscoin Tanzania Limited inayojihusisha na utunzaji wa mazingira na matumizi ya sarafu za kidigitali imetanza rasmi kuanza kuendesha...

READ MORE

Fisi Wavamia Msiba, Wajeruhi Watu 2

WATU wawili wamenusurika kifo baada ya kushambuliwa na wanyama aina ya fisi wasiojulikana idadi yao baada ya kuvamia kwenye mji...

READ MORE

Ndugai Ataka Wanawake Uchaguzi Serikali za Mitaa

KUELEKEA uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24 mwaka huu, Spika wa Bunge, Job Ndugai,  amewataka Watanzania kuwaamini wanawake...

READ MORE

Wizara Yapiga Marufuku Wananchi Kuuza Nyamapori

Wizara ya maliasili na utalii imepiga marufuku wananchi kuuza nyama pori wakati ikiendelea na kupitia kanuni na rasimu,ambapo ifikapo desemba...

READ MORE

Mahakama Yataka Uthibitisho Maendeleo Afya ya Lissu

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewataka wadhamini wa aliyekuwa mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, kwenda na uthibitisho wa maendeleo...

READ MORE

Chalamila Awatimua Wanafunzi Waliochoma Shule

MKUU wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila,  amewafukuza shule wanafunzi saba wa Shule ya Sekondari Kiwanja wilayani Chunya ambao pia...

READ MORE

 Jogoo hata akizeeka, kelele palepale!

NASHANGA! Unaringa kisa umekuja mjini kwa treni? Je, ungekuja kwa basi au ndege, si ndo ungetupanda hadi kichwani kwa miguu!...

READ MORE

Mwizi Avunja Nyumba, Amuogesha Mtoto Kabla Ya Kuiba

MWANAMKE mmoja anayeishi Ohio nchini Marekani, amewaeleza polisi kuwa aliamka ghafla usiku wa manane na kukuta mvamizi akimuogesha mtoto wake...

READ MORE

Fahamu Madaraka ya Rais, Bunge Kikatiba

KWANZA tujiulize katiba ya nchi ni nini? Katiba ni waraka wa kisiasa unaowawezesha wananchi kujitambua kama Taifa, pia ni waraka...

READ MORE

Marekani: Rais Jimmy Carter, Aanguka, Avunjika Nyonga

Rais wa Awamu ya 39 wa Marekani, Jimmy Carter mwenye umri wa miaka 95 sasa amelazwa tena hospitali baada ya...

READ MORE

Askari Mwanamke Aporwa Silaha Akichati WhatsApp

ASKARI wa Jeshi la Magereza nchini Uganda wanachunguza tukio la Afisa Mwanamke wa Gereza aliyeibiwa silaha ya kivita aina ya...

READ MORE

Mkuu wa Upelelezi Aieleza Mahakama: “Zitto Aligoma Kuandika Maelezo”

MKUU wa Upelelezi Mkoa wa Morogoro, SP Albert Kitundu (49) ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa Mbunge wa Kigoma...

READ MORE

CCM Yafuta Kura za Maoni, Uchaguzi Kurudiwa – Video

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeibuka na kuweka wazi madai ya kuwapo rushwa katika kura za maoni za Uchaguzi wa Serikali...

READ MORE

Walimu 2 Wasakwa Kwa Kuwapa Mimba Wanafunzi

MKUU wa Mkoa Rukwa, Joachim Wangabo,  ametoa maagizo ya kukamatwa kwa walimu wawili wanaodaiwa kuwapa mimba wanafunzi. Wangabo alitoa maagizo...

READ MORE

Wateja wa TigoPesa Sasa Kutoa Pesa Kupitia ATM

KAMPUNI ya Mawasiliano ya Tigo kupitia kitengo cha Tigo Pesa imeingia ubia na taasisi ya UmojaSwitch (BCX) kuzindua huduma ya...

READ MORE

TTCL Kutoa Huduma za Mawasiliano Nchini Burundi

                                       ...

READ MORE

Amuua Mwenzake Wakigombea Kumbikumbi

MURIUNGI KIYOGERE (35), mkazi wa Kaunti ya Tharaka-Nithi nchini Kenya, anadaiwa kumchoma kisu mara nne Daniel Mutiria Cece (36) kutokana...

READ MORE

Ofisa TAKUKURU Amuua ‘Girlfriend’ Wake kwa Risasi -Video

OFISA Msaidizi (mlinzi) wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Wilaya ya Tunduru Mkoani Ruvuma, James Paulo (27), ...

READ MORE

Mshindi wa Kubashiri Soka wa Premier Bet Alamba Mamilioni ya Pesa

Kampuni ya Kubashiri Soka ya Premier Bet Tanzania imemtambulisha  mshindi wa kubashiri soka ambaye ni Andrea Elias Sebastian mkazi wa...

READ MORE

DC Mjema Apiga Marufuku Ibada Katikati ya Wiki, Makonda ‘Amzima’

MKUU wa Wilaya ya Ilala, Bi. Sophia Mjema,  amepiga marufuku shughuli zote za ibada zinazofanyika katikati ya juma katika wilaya...

READ MORE

Mfalme wa Thailand Amvua Mkewe Umalkia

MFALME wa Thailand, Vajiralongkorn,  ametangaza kumvua vyeo vyake vyote mke wake kutokana na tabia mbaya na kutokuwa mwaminifu kwa ufalme....

READ MORE