×

Habari

Zahera Arejea Dar, Awatoa Hofu Mashabiki

ACHENI hofu! Ndivyo Kocha Mkuu wa Yanga Mkongomani, Mwinyi Zahera alivyowaambia wadau wa klabu hiyo juzi baada ya kurejea nchini....

READ MORE

Molinga, Moustafa Wakwama CAF, Kuwakosa Pyramids ya Misri

UONGOZI wa Yanga umeweka wazi kuwa utaendelea kuwakosa nyota wake wawili wa kimataifa katika michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika...

READ MORE

Muuguzi Asimamishwa Kazi Akituhumiwa Kubaka Hospitalini

BARAZA la Ukunga na Uuguzi Tanzania (TNMC) limeisimamisha kwa miezi mitatu leseni ya muuguzi aliyemchoma sindano ya usingizi na kisha...

READ MORE

Balaa la Mchepuko Mke Afunga Mtaa, Azua Timbwili, Adai Talaka!

DAR: Balaa la mchepuko linapokuzukia kwenye ndoa yako, weee! Lisikie hivyohivyo, usiombe likutokee kama kijana Hamza Imam lilivyomtia aibu mtaani. ...

READ MORE

Mbunge CCM Atishiwa Kuuawa

DAR: SIKU chache baada ya kuibua ufisadi mbele ya Rais John Magufuli, Mbunge Nkasi Kaskazini, Ali Keissy (CCM) amesema amekuwa...

READ MORE

Wanafunzi 39 Wanusurika Kufa kwa Radi Geita

WANAFUNZI 39 wa darasa la nne katika Shule ya Msingi Ihumilo kata ya Nkome Wilayani Geita wamenusurika kufa kwa radi...

READ MORE

Ombi la Mbowe, Wenzake Lakataliwa Kortini

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetupilia mbali maombi ya upande wa utetezi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) akiwemo...

READ MORE

Ndege ya Namibia Yazuiliwa Afrika Kusini

MAMLAKA ya Usimamizi wa Viwanja vya Ndege nchini Afrika Kusini juzi iliizuia ndege ya Namibia kutokana na kutolipa ankara za...

READ MORE

Menina Asimulia Video Yake Chafu

MWIGIZAJI na msanii wa Bongo Fleva nchini, Menina Abdulkarim ‘Meninah’ hatimaye jana alijisalimisha kwenye Ofisi za Baraza la Sanaa la...

READ MORE

Kalugendo na Mwenzake Wapandishwa Kisutu

  MAPEMA leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, Upande wa utetezi katika kesi inayomkabili Aliyekuwa...

READ MORE

Yanga Wakanusha Waarabu Kugomea Kirumba…

  UONGOZI wa Klabu ya Yanga umekanusha taarifa za wapinzani wao wa Kombe la Shirikisho Afrika (Caf), Pyramids FC ya...

READ MORE

Watoto wa Bilionea Msuya Warejeshwa Kwenye Nyumba Yao – Video

SERIKALI jana Alhamisi, Oktoba 17, 2019, iliagiza watoto wa aliyekuwa mfanyabiashara mkubwa nchini, bilionea Erasto Msuya,  warudishwe kwenye makazi ya...

READ MORE

Bad News: Kijana Aliyeishi kwa Mashine ya Gesi, Afariki Dunia – Video

KIJANA Hamad Awadh, aliyeishi kwa kutegemea mashine ya kumsaidia kupumua amefariki dunia jana jioni Oktoba 17, 2019 katika Hospitali ya...

READ MORE

Dk 270 Ajibu Apangua Mfumo wa Aussems Simba

KOCHA Mkuu wa Simba, Patrick Aussems raia wa Ubelgiji amekoshwa na uwezo ambao ameuonyesha kiungo mshambuliaji wake, Ibrahim Ajibu katika...

READ MORE

Orodha ya Wanafunzi Waliopata Mkopo 2019/20

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imetangaza orodha ya awamu ya kwanza yenye wanafunzi 30,675 wa...

READ MORE

Kitenge: Nimetua Rasmi Wasafi FM

  MTANGAZAJI maarufu wa Habari za Michezo Tanzania, Maulid Kitenge ‘chumvi’ ameweka wazi kuwa ameachana na Kituo cha Redio cha...

READ MORE

BODI MIKOPO WANAFUNZI (HELSB) YAANZA KUTOA MIKOPO

  BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HELSB) imetangaza orodha ya awamu ya kwanza yenye wanafunzi 30,675...

READ MORE

Wauza Vyuma Chakavu Kufutiwa Leseni

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira, George Simbachawene ameagiza kufutwa kwa vibali vya wafanyabiashara wote...

READ MORE

Sheikh Kishki Atembelea Ofisi za Global Group

MSIMAMIZI Mkuu wa Taasisi ya Al Hikma Foundation, Sheikh Nurdeen Kishki,    leo Alhamisi Oktoba 17, 2019M  amefanya ziara katika...

READ MORE

Undani Maiti Yanyofolewa Jicho Kwenye Jeneza

MBEYA: DUNIA ina mambo! Ndivyo inavyoweza kusemwa baada ya maiti ya Timoth Leonard kukutwa kwenye jeneza ikiwa imenyofolewa jicho la...

READ MORE

Sakata la Escrow, Serikali Yasema Haidaiwi na Standard Chartered

MAHAKAMA ya Kimataifa ya Usuluhishi wa Migogoro ya Uwekezaji (ICSID), imeiamuru Tanzania kulipa Dola za Marekani milioni 185 pamoja na...

READ MORE

PM Majaliwa Aagiza Ukuta wa Hospitali Ubomolewe

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekagua ujenzi wa hospitali ya wilaya ya Ruangwa, mkoani Lindi na kusema kwamba hajaridhishwa na baadhi...

READ MORE

Kijana Mwenye Ulemavu Amlilia DC Jokate

DUNIANI kuna mateso! Ndiyo maneno unayoweza kutamka ukimuona kijana Aloyce Thomas (37) mkazi wa Bagamoyo, Nia Njema aliyepo katika kipindi...

READ MORE

Watoto wa Bilionea Msuya Wamlilia JPM, Kupata Mali za Baba Yao – Video

WATOTO watatu wa marehemu bilionea, Erasto Msuya, aliyeuawa kwa kupigwa risasi, mwaka 2013, wamemuomba Rais John Magufuli, kuwasaidia kuokoa mali...

READ MORE

Waziri Mhagama Azindua MasterCard QR Ya Malipo Kwa Bodaboda Ya NMB

Benki ya NMB imezindua malipo ya kimtandao kwa huduma za bodaboda. Mfumo huo wa malipo ni wa aina yake na...

READ MORE

JPM: Mmefanya Upumbavu, Siogopi Kuwambia ni Wapumbavu – Video

RAIS Dkt. John Pombe Magufuli amewacharukia baadhi ya wananchi wa Masasi mkoani Mtwara kwa kuchoma Hospitali, gari la wagonjwa na...

READ MORE

JPM Amfuta Kazi Kamanda wa TAKUKURU Mtwara – Video

Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli leo Jumatano, Oktoba 16, 2019 amemfukuza kazi Kamanda wa TAKUKURU...

READ MORE

Wasomaji Tandale Uzuri Wasema Betika Haliwapiti

  MAPEMA leo Jumatano, timu ya maofisa masoko ya Global Publishershers imetembelea maeneo ya Tandale Uzuri, Kigogo Freshi na maeneo...

READ MORE

Mwanariadha Kipchoge Aweka Rekodi ya Marathon

MWANARIADHA wa Kenya, Eliud Kipchoge, amekuwa binadamu wa kwanza kukimbia mbio ndefu (marathon) kwa kutumia muda wa saa 1 dakika...

READ MORE

SportPesa Yaendelea Kumwaga Zawadi

KAMPUNI ya SportPesa kwa kushirikiana na Kampuni ya Mtandao wa Simu za mkononi Tanzania, Tigo wanatoa zawadi za simu aina...

READ MORE

Kilichotokea Mahakamani Kesi ya ‘Mpemba wa Magufuli’

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mfanyabiashara Yusufu Ali maarufu ‘Mpemba wa Magufuli’ na wenzake...

READ MORE

Airtel Yaja na Huduma ya Tuma na ya Kutolea

    Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania leo imezindua huduma ambayo ni suluhisho kwa wateja wa Airtel...

READ MORE

JPM Aamsha Balaa kwa Mkurugenzi Nachingwea – Video

RAIS John  Magufuli ameendelea na ziara yake mkoani Lindi ambapo leo Jumatano, Oktoba 16, 2019, amefika katika Wilaya ya Nachingwea...

READ MORE

Porsche na Boeing Yaungana Kutengeneza Magari Ya Umeme Yanayo Paa

MAKAMPUNI ya utengenezaji magari Porsche na Boeing yameungana kutengeneza magari yanayotumia umeme na yanayo paa angani kwaajili yakuwasaidia watu wenye...

READ MORE

TMA Yatoa Angalizo la Mvua Kubwa Ukanda wa Pwani

MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imetoa angalizo la kuwepo kwa mvua kubwa kwa baadhi ya maeneo ya ukanda...

READ MORE

Makonda Amtaka Mkandarasi Akabidhi Jengo la Hospitali – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda leo Oktoba 16 ametembelea na kukagua ujenzi wa jengo la ghorofa...

READ MORE

Mvua Yaua 13 Morogoro, Wakiwemo wanafunzi 9

  MVUA zinazoendelea kunyesha mkoani Morogoro zimesababisha vifo vya watu 13 miongoni mwao ni watoto tisa wenye miaka kati ya...

READ MORE

Kesi ya Vigogo Chadema, Wakili wa Serikali Acharuka

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa siku moja kwa mawakili wa pande zote mbili katika kesi inayowakabili vigogo wa Chama...

READ MORE

Prof. Ndalichako Akerwa Usimamizi Mbovu Elimu Buhigwe

WAZIRI wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Joyce Ndalichako ameonyesha kukerwa na usimamizi mbovu wa miradi ya elimu katika Halmashauri...

READ MORE