×

Habari

DCB Yazindua Akaunti Maalumu Ya Elimu iitwayo DCB Skonga

    BENKI ya Biashara ya DCB imezindua akaunti maalumu ya akiba ya mpango wa elimu ijulikanayo DCB SKONGA ikilenga...

READ MORE

Kigogo Aliyekiri Kuhujumu Uchumi NIDA Aachiwa – Video

MMOJA wa watuhumiwa wa uhujumu uchumi wa vitambulisho vya Taifa (NIDA), Astery Ndege, amehukumiwa kulipa fidia ya Sh 293,446,400.23 kama...

READ MORE

Aanika Siri za Chumbani za Mume wa Mtu… Asutwa!

PWANIVituko haviishi duniani! Mkazi wa Vikindu mkoani Pwani anayetajwa kwa jina moja la Shamila ametamani ardhi ipasuke aingie baada ya...

READ MORE

Waliotubu kwa DPP Kutorosha Kobe 201, Wahukumiwa – Video

WASHTAKIWA waliokuwa wakituhumiwa kutorosha kobe, wamehukumiwa kulipa fidia ya sh. milioni 40 katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar...

READ MORE

RC Makonda Atangaza Neema Ya JPM Kigamboni

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam, Paul Makonda amemshukuru Rais Dk John Magufuli ‘JPM’ kwa kutoa kiasi cha shilingi...

READ MORE

TFF Watambua Mchango Wa Tahliso

Kaimu Mkurugenzi wa Ufundi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania, Oscar Milambo amesema shirikisho hilo linatambua mchango wa Umoja...

READ MORE

Kessy Awachoma Wakandarasi kwa JPM – Video

MBUNGE wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Kessy, amesema makandarasi wanashirikiana na baadhi ya watendaji na watumishi wilaya ya Nkasi kutafuna...

READ MORE

JPM Awaagiza DC, RPC Kulipa Mil 15 kwa Kumwachia Mwizi – Video

RAIS John Magufuli amemuagiza Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa  Rukwa na Mkuu wa Wilaya ya  Nkasi, Said Mtanda,  kuhakikisha...

READ MORE

Mtoto wa Zuma akana kutoa rushwa ya Dola mil. 40 kwa Waziri

DUDUZANE ZUMA (35) mtoto wa aliyekuwa rais wa Afrika Kusini, Jacob Zuma, jana (Jumatatu) alikana kuhusika kutoa ruishwa ya Dola...

READ MORE

Rais Magufuli Azindua Barabara ya Sumbawanga – Chala

 Rais Dk. John Magufuli leo, Jumanne, Oktoba 8, 2019 anatarajia kuzindua barabara ya lami ya kilomita 76 kutoka Sumbawanga...

READ MORE

Amuua bintiye, akimtuhumu kula chakula chake

MWANAMME aitwaye, Isma Ssesanga, wa kijiji cha Kasawa, Wilaya ya Mukono nchini Uganda,  anashikiliwa na vyombo vya dola kwa madai...

READ MORE

Bi harusi, watatu wengine wafia bwawani wakipiga ‘selfie’

WANANDOA wawili wapya na watu wengine watatu wa familia yao walikufa maji katika bwawa moja baada ya kujaribu kujipiga picha...

READ MORE

Siku ya 9 kutafuta miili ya mama, mwana waliozama Mombasa

  OPARESHENI za kuopoa miili ya mama na mwanaye waliozama siku ya Septemba 29, 2019, katika feri ya Likoni, Mombasa,...

READ MORE

JPM: Nimekupa Pesa za Shule, Usizitoe Mahari – Video

RAIS  John  Magufuli aliye  katika ziara ya siku tatu mkoani Rukwa kuzindua na kukagua miradi ya maendeleo, leo  amemkabidhi Mwalimu...

READ MORE

Kampuni ya Tigo yazindua maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja

  Kampuni inayolenga kuleta mageuzi ya kidijitali katika maisha ya watanzania, Tigo, jana imezindua maadhimisho ya wiki ya huduma kwa...

READ MORE

Utata Msanii Beka Kuungwa Freemason!

DAR ES SALAAM: Utata mkubwa umeibuka juu ya picha zilizosambaa wikiendi iliyopita zikimuonesha msanii wa Bongo Fleva, Bakari Katuti ‘Beka...

READ MORE

TANZIA: Aliyekuwa Mkurugenzi Usalama wa Taifa Afariki Dunia

ALIYEKUWA kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Cornell Apson Mwang’onda (75), amefariki dunia mchana wa leo,...

READ MORE

Vodacom Yawapongeza Wateja Wake

Mkurugenzi wa Biashara Vodacom Tanzania, Linda Riwa (kulia) akinyanyua juu Champagne kuzinduzi rasmi wiki ya huduma kwa wateja iliyofanyika kwenye...

READ MORE

Breaking News: Wambura wa TFF Aachiwa Huru – Video

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imemuachia huru aliyekuwa Makamu wa Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Michael Wambura, baada...

READ MORE

Wanafunzi 8 Mbaroni Tuhuma za Mauaji ya Mwenzao

JESHI la Polisi wilayani Kahama mkoani Shinyanga linawashikilia wanafunzi wanane wa Shule ya Sekondari Seeke kwa tuhuma ya kumshambulia na...

READ MORE

JPM Awaka: Wanaume wa Rukwa Msiwape Mimba Watoto – Video

Rais Dk. John Magufuli, leo Oktoba 7, 2019 amezindua Mradi wa Huduma za Maji Safi na Usafi wa Mazingira uliopo...

READ MORE

Bulaya Augua, Kesi ya Kina Mbowe Yakwama – Pichaz

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imeshindwa kuanza kusikiliza utetezi wa viongozi tisa wa chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA )...

READ MORE

Tembo Wafa Maji Wakijaribu Kumuokoa Mwenzao

NCHINI Thailand imeripotiwa Tembo sita wamekufa wakijaribu kuokoana katika mteremko wa maji baada ya tembo mdogo kuteleza na kuanguka ndani...

READ MORE

Jaji Ajipiga Risasi Katika Chumba cha Mahakama

JAJI Kanakorn Pianchana wa Thailand amejipiga risasi kifuani katika chumba cha mahakama baada ya kuwaachia huru watuhumiwa watano wa mauaji....

READ MORE

PM Majaliwa Aagiza Vigogo Hawa Wakamatwe – Video

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemwagiza Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Singida, Bw. Adili Elinipenda amkamate Afisa Manunuzi wa Chuo cha...

READ MORE

ATCL Yasitisha Safari Zake Afrika Kusini

SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL) limesitisha rasmi safari zake kati ya Dar es Salaam na Johanessburg, Afrika Kusini,  kuanzia...

READ MORE

Chadema Yapata Pigo Tena

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepata pigo jingine baada ya aliyekuwa mwenyekiti wa chama hicho Mkoa wa Njombe Edwin...

READ MORE

Sinaloa; Mji Uliojaa Makaburi ya Kifahari!

UTAMADUNI wa kujengea makaburi upo hata hapa kwetu na gharama za ujenzi zinatofautiana. Ukiwa miongoni mwa watu wanaoshangaa uzuri wa...

READ MORE

Ni Zaidi Ya Unyama, Mtoto Miaka 3 Abakwa Hadi Kufa

DUNIA katili na inawezekana kabisa hizi ni dalili ya siku za mwisho! Ndiyo kauli inayoweza kukutoka unaposoma madai haya ambayo...

READ MORE

CEED TANZANIA YATOA MAFUNZO YA KUKUZA, KUSIMAMIA BIASHARA

    Kituo cha Ujasiriamali na Maendeleo ya Utendaji (CEED), kimewakutanisha wajasiriamali mbalimbali jijini Dodoma katika semina iliyolenga kutoa elimu...

READ MORE

Wafanyakazi NBC Watoa Elimu ya Fedha Kwa Wanafunzi Dar

Mkuu wa Kitengo cha Mikopo cha Makampuni wa Benki ya NBC, Elibariki Ndossi (kushoto), akizungumza na wanafunzi wa Shule ya...

READ MORE

Wawa Hadi Akosee Ndio Tutamkumbuka!

MASHABIKI wa mpira wana asili inayofanana sana hasa katika suala la kushabikia. Ndio maana huwa unaona wakati wa ushangiliaji uwanjani...

READ MORE

Mchungaji Anaswa na Denti Kichakani

  DAR ES SALAAM: Hii ni aibu iliyoje? Hebu vuta picha mtu mwenye heshima yake kwenye jamii kama mchungaji, halafu...

READ MORE

Umefika Wakati Tukubali, TFF ya Sasa, Kwanza Kwa Saburi, Kwisha Kwa Sururi

WAKO wadau wa soka ambao wanakumbuka miaka ile ya Chama cha Soka Tanzania (Fat). Chama ambacho wakati wa uongozi wake...

READ MORE

JPM Ampigia Simu IGP Sirro “Msimamishe Huyu Sasa Hivi” – Video

Rais John Magufuli ameagiza kamanda wa polisi wa Wilaya ya Sumbawanga, Polycarp Urio kusimamishwa kazi  kwa madai ya kushindwa kutekeleza...

READ MORE

JPM Ampa Siku 5 Mfugale Kuhama Jengo – Video

Rais Dkt. John Magufuli ametoa siku tano kwa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads) kuhama katika jengo walilopanga na kuhamia katika...

READ MORE

Yanga Kuanza Kazi leo dhidi ya Coastal Union Uwanja wa Uhuru

SARE ya mabao 3-3 dhidi ya Polisi Tanzania kwenye Uwanja wa Uhuru imewazindua Yanga. Kamati mbili nzito ndani ya klabu...

READ MORE

Funga Mdomo, Molinga Ameanza Kazi Yake Rasmi

MASHABIKI wa Yanga wanasema kwamba, “Funga mdomo, David Molinga ameanza kazi yake rasmi.” Kauli hiyo ya mashabiki lialia wa Yanga...

READ MORE

JPM: “Wananchi Wanakufa, Aliyechoma Mradi wa Maji Akamtwe Sasa Hivi” – Video

Rais Dk. John Magufuli leo Jumapili Oktoba 6, 2019 ameanza ziara ya siku tatu mkoani Rukwa ambapo anatarajiwa kufungua barabara...

READ MORE

Yanga Yafikishwa Kamati ya Sheria TFF

  KUFUATIA madai ya waliokuwa wachezaji watatu wa Klabu ya Yanga kufikisha malalamiko yao katika Chama cha Haki za Wachezaji...

READ MORE