×

Habari

Lissu Asisitiza Kugombea Urais

MWANASHERIA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amesisitiza nia yake ya kugombea urais, iwapo atapata wito kutoka...

READ MORE

NBC Yatoa Elimu ya Bima Ikiadhimisha Mwezi wa Huduma kwa Wateja

  BENKI ya NBC imeendelea kuadhimisha Mwezi wa Huduma kwa Wateja kwa kufanya matukio sehemu mbalimbali nchini na hapo jijini...

READ MORE

HESLB Kuanika Majina ya Wanafunzi Watakaopata Mikopo 2019

BODI ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) imesema itatangaza orodha ya kwanza ya majina ya wanafunzi walioomba...

READ MORE

Wanafunzi Vinara na Shule Zilizoongoza Matokeo Darasa la 7

Shule 10 Bora Kitaifa Katika matokeo ya Darasa la Saba 2019 ni Graiyaki (Mara), Twibhoki (Mara),KemeBos (Kagera), Little Treasures (Shinyanga),...

READ MORE

Dar es Salaam Kinara wa Matokeo ya Darasa la Saba 2019

Mkoa wa Dar es Salaam umeshika nafasi ya kwanza kwa ufaulu wa mitihani ya Taifa ya Darasa la Saba mwaka...

READ MORE

Faraja Nyalandu Alamba Shavu

Stori: Neema Adrian, Global Publishers Miss Tanzania 2004, Faraja Nyalandu na mwanamuziki Grace Matata wamelamba shavu la ubalozi wa Kampuni...

READ MORE

JPM Ammwagia Sifa Nape “Ningempa Binti Yangu” – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amempongeza Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye kwa kazi nzuri anayoifanya...

READ MORE

Jafo Atangaza Mikoa Inayoongoza Kuandikisha Wapiga Kura – Video

Waziri wa TAMISEMI Jafo, amesema Mkoa unaongoza kwenye uandikishaji kwenye daftari la mpiga kura kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa...

READ MORE

Baba Mwenye Watoto 100, Wake 19 Aongeza Wake Wengine

KUTOKEA katika kijiji cha Ruyonza nchini Uganda kuna taarifa ambayo imezua gumzo mitandaoni kuhusu mzee mwenye umri wa miaka 94...

READ MORE

Mbowe: Hatutasusia Uchaguzi – Video

Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe amesema hawatasusia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa utakaofanyika Novemba 24, 2019 na kuwataka viongozi, wanachama...

READ MORE

Alichonga Fimbo ya Nyerere, Sasa Achonga ya JPM

MCHONGA vinyago, Mzee Omary Mwariko aliyechonga kifimbo alichokuwa anakishika Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere ameandaa kifimbo kingine kwa lengo...

READ MORE

Promosheni ya Nunua na ushinde Rangi za Plascon watangaza Mshindi ..

Dar es Salaam: Promosheni ya Paka Rangi ya Plascon na Ushinde imerejea, na sasa inakuja na toleo maalumu la rangi,...

READ MORE

Mapya Kigogo Polisi Aliyehukumiwa Kunyongwa!

DAR ES SALAAM: HII ni habari njema! Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, Naemi Sillayo...

READ MORE

Umejiandikisha Kuchagua Viongozi? Soma Hapa…

                Leo Jumatatu, mwandishi wetu alizunguka mitaa mbalimbali ya Jiji la Dar es...

READ MORE

Wakenya Wapokea Ndugu Waliokufa Ethiopian Airlines

WAKENYAwamekusanyika kupokea mabaki ya miili ya wapendwa wao waliokufa katika ajali ya ndege ya Ethiopian Airlines Familia za wahanga wa...

READ MORE

Maafa Tanga: Watoto 5 Wafariki kwa Mafuriko

WATOTO watano wamekufa maji kutokana na mafuriko wilayani Korogwe mkoani Tanga na kufikisha idadi ya waliofariki kufikia 12 mkoani hapa...

READ MORE

Marekani: Dreamliner Mpya ya ATCL Hiyooo!

NDEGE mpya ya Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) aina ya Boeing 787-8 5H-TCJ Dreamliner ipo katika hatua za mwisho...

READ MORE

Mwalimu Nyerere Anavyoishi Ndani ya JPM

WAKATI leo Watanzania wakiadhimisha kumbukumbu ya miaka 20 tangu rais wa kwanza Mwalimu Julius Nyerere afariki dunia, baadhi ya malengo...

READ MORE

Makonda Afurahishwa na Kasi ya Ujenzi wa Machinjio

TANGU Rais Dkt John Pombe Magufuli, alipotembelea ujenzi wa Machinjio ya Vingunguti hivi karibuni na kuangiza ujenzi huo uwe umekamilika...

READ MORE

Mwanariadha Mwingine Wa Kenya Avunja Rekodi Ya Dunia

    MWANARIADHA kutoka nchini Kenya, Brigid Kosgei amevunja rekodi kwenye mbio za Chicago Marathon  za wanawake duniani  ameibuka na...

READ MORE

Waziri Kairuki  Azindua  DVD za Nyimbo za Kwaya ya  Gethmane

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Angella Kairuki ameipongeza Kwaya ya Gethmane ya Kanisa Wasaabato Mtaa wa...

READ MORE

Jafo Aongeza Siku 3 Uandikishaji Daftari la Wapiga Kura

WAZIRI wa Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Selemani Jafo ameongeza siku tatu kwa wananchi...

READ MORE

Ulinzi Madawa ya Kulevya Usipime

“OOOH! Haya madawa ya kulevya wanayokamatwa nayo watu, kesi zao zikimalizika ndipo wajanja serikalini wanayauza na kujipatia fedha.” Nani anakuambia...

READ MORE

Video: Simulizi Wazee Waliohukumiwa Kunyongwa Inasikitisha!

NJOMBE: Simulizi ya wazee watatu, Yohana Chengula (71), Aloyce Mwalongo (80) na Raphael Mlyuka (75), wakazi mjini Njombe, Tanzania ambao...

READ MORE

DC SABAYA Awakamata Viongozi Kijiji, Baada ya Kuuza Kiwanja – Video

 Mkuu Wa wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro, Lengai Ole Sabaya aamuru viongozi wa kijiji kuwekwa ndani baada ya kubainika...

READ MORE

NBC yatoa wito kwa wazazi kuwafungulia watoto wao Chanua Akaunti ya NBC

    BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC), imetoa wito kwa wazazi kote nchini kufungua akaunti maalumu ya watoto ya...

READ MORE

ACB Ilivyokipiga Tafu Kikundi Cha Vicoba

Mkurugenzi wa kikundi cha Vicoba cha BUTA, Semeni Gama ameelezea jinsi kikundi hicho kilivyonufaishwa na benki ya ACB kwa kuongezewa...

READ MORE

Mbelgiji Ampa Majukumu Mawili Sheva Simba SC

KOCHA Mkuu wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems ameonekana kunogewa na kiungo wake mshambuliaji, Miraji Athumani ‘Sheva’ kwa kumpa majukumu mawili...

READ MORE

Majaliwa Ajiandikisha Wilayani Ruangwa

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amejiandikisha kwenye kituo cha shule ya msingi Nandagala, wilayani Ruangwa, Lindi ili aweze kushiriki uchaguzi wa...

READ MORE

JPM Azindua Safari za Ndege Dar-Mpanda (Picha +Video)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Magufuli  leo Jumamosi Oktoba 12, 2019 amezindua safari za Shirika la Ndege...

READ MORE

JPM, Mkewe Wajiandikisha Kupiga Kura Dodoma – Video

RAIS  John  Magufuli  na mkewe,  Janeth Magufuli, wamejiandikisha katika daftari la wapiga kura kwa uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika...

READ MORE

JPM Kuwawajibisha Wasiohamasisha Kujiandikisha

RAIS John Magufuli, amesema kuwa hatasita kuwachukulia hatua viongozi wa mikoa na wilaya ambao watashindwa kuwahamasisha wananchi kujiandikisha katika daftari...

READ MORE

Live: Askofu Kakobe, Gamanywa Kwenye Kongamano la JKK

Ni kongamano la JKK linafanyika katika ukumbi wa BCIC Mbezi Beach Jogoo jijini Dar es Salaam….

READ MORE

Kabendera Ataka Kuongea na DPP

WAKILI Jebra Kambole anayemtetea mwandishi wa habari nchini Tanzania, Erick Kabendera katika kesi namba 75/2019, jana ameieleza Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

Mbaroni Kujiandikisha Zaidi ya Mara Moja

WATU wanne wanashikiliwa na polisi wakituhumiwa kuvuruga uandikishaji wa wapiga kura katika uchaguzi wa serikali za mitaa utakaofanyika Novemba 24,...

READ MORE

TCRA Yawanasa Wanaodaiwa Kuiba Mamilioni Benki – Video

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewafikisha mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu watu sita wakikabiliwa na mashtaka nane ikiwemo la kuisababishia...

READ MORE

Aveva, Kaburu Wampigia Magoti DPP

Mapema leo Ijumaa, Oktoba 11, 2019, katila Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kupitia kwa wakili wa Serikali Wankyo Simon ameieleza...

READ MORE

SBL Yawekeza Bilioni 28.1 Kupanua Uzalishaji

Na Neema Adrian Kampuni inayoongoza kwa uzalishaji wa bia  ya Serengeti Breweries (SBL), imetangaza mpango wake wa upanuzi wenye thamani...

READ MORE

Mahakama Yatengua Hukumu ya Kifungo cha Sugu

WAKILI Peter Kibatala leo Oktoba Ijumaa, Oktoba 11, 2019  amesema Mahakama Kuu Kanda ya Mbeya imetengua hukumu ya kifungo cha...

READ MORE