×

Habari

Ofisa TRA Adakwa na PCCB Kwa Kuomba Rushwa Mil. 50

OFISA Kodi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), Elias Yunus (38), anashikiliwa na Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru),...

READ MORE

Simba SC yanasa video ya wapinzani wao Caf

KOCHA wa Simba Patrick Aussems tayari amekabidhiwa video za wapinzani wao UD Songo ya kutoka Msumbiji. Simba itavaana na UD...

READ MORE

WAZIRI LUGOLA APIGA MARUFUKU BAJAJ, BODABODA KULIPISHWA FAINI PAPO KWA PAPO

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Kangi Lugola amepiga marufuku Bajaji na Bodaboda kulipishwa faini papo kwa papo wanapofanya...

READ MORE

Rais Uhuru Kenyatta apokea Tausi wanne Aliopewa na Rais Magufuli

Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk Pindi Chana, August 2, 2019 amemkabidhi Rais Uhuru Kenyatta zawadi ya Tausi 4 aliyopewa...

READ MORE

Shule ya Viziwi Buguruni Wapewa Vifaa na Kampuni ya AMC

KAMPUNI ya magari ya AMC Tanzania imepeleka furaha shule ya Viziwi Buguruni baada ya kukabidhi kwa uongozi wa shule bidhaa...

READ MORE

NMB KUWAWEZESHA WAKULIMA, YADHAMINI MAONESHO YA NANENANE SIMIYU

  BENKI ya NMB imesema kuwa itahakikisha inaendeleza jitihada zake kwa wakulima za kuwawezesha kadri wanavyohitaji kulingana na mazao yao...

READ MORE

Majibu ya DNA ya Naomi kutoka kesho

WAKATI familia ikiwa inategemea majibu ya DNA ya marehemu ndugu yao, Naomi Marijani, yatoke leo, hali imekuwa tofauuti baada polisi...

READ MORE

Mkude: Kwa muziki wa Shiboub kazi ipo

KIKOSI cha Simba kimerejea nchini juzi Jumatano kikitokea Afrika Kusini kilipokuwa kimeweka kambi yake ya wiki tatu ya kujiandaa na...

READ MORE

‘Yesu’ Atua Kenya, Azua Taharuki!

SERIKALI ya Kenya imemkamata mchungaji mmoja nchini humo aliyemleta Yesu bandia na kuwadanganya waumini wake kuwa Yesu karudi. Yesu huyo...

READ MORE

VIDEO: KUAGWA KIGOGO ‘ALIYEJINYONGA’, MAMA AISHIWA NGUVU!

MWILI wa aliyekuwa mtumishi Wizara ya Fedha, Leopold Kwemba Lwajabe, aliyedaiwa kujinyonga siku chache zilizopita,  umeagwa jana Agosti 1, 2019, ...

READ MORE

VIDEO: MAGUFULI AZINDUA KIWANDA CHA ‘MO’ DEWJI

  RAIS John Magufuli,  leo Agosti 1, 2019, amefungua kiwanda cha kusaga unga wa mahindi na ngano cha 21st Century...

READ MORE

VIDEO: BEKA IBROZAMA NDANI YA GLOBAL RADIO

Mwanamuziki Beka Ibrozama, leo Bongo 255  anatambulisha ngoma zake mpya mbili alizozitoa kwa mkupuo zinazoitwa Mbali na Mahabuba. 

READ MORE

MSANII-DIWANI BABA LEVO AHUKUMIWA JELA MIEZI MITANO

DIWANI wa Mwanga Kaskazini (ACT-Wazalendo) Manispaa ya Kigoma Ujiji, Clayton Chipando maarufu Baba Levo, amehukumiwa kifungo cha miezi mitano jela...

READ MORE

VIDEO: ONA MAGUFULI ALIVYOPIGA PUSHAPU LEO AIRPORT, WATU HAWAJAAMINI!

 Rais Dkt John Magufuli, leo Agosti 01, anazindua jengo la tatu la abiria katika uwanja wa ndege wa kimataifa...

READ MORE

VIDEO: JPM AZINDUA JENGO ‘TERMINAL 3’ UWANJA WA NYERERE

 RAIS John Magufuli leo Alhamisi Agosti Mosi, 2019, amezindua  rasmi jengo la Terminal 3 Uwanja wa Ndege wa Julius...

READ MORE

NMB yauza Hati Fungani za Bil.83.3/=

    BENKI ya NMB, imetangaza matokeo ya mauzo ya toleo la tatu la programu ya hati fungani ya benki...

READ MORE

VIDEO: Aliyepona Akili Amweleza Lukuvi Alivyodhulumiwa Nyumba

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi,  amemrejeshea mkazi wa Kigogo, Dar es Salaam, Ramadhani Sudi Balega,...

READ MORE

Mabao Yampagawisha Balinya Yanga

MSHAMBULIAJI wa Yanga, Mganda Juma Balinya amefunguka kuwa anafurahishwa na kasi yake ya kupachika mabao ambayo amekuwa nayo katika mechi...

READ MORE

HUKU LIGI IKIKARIBIA… FIRST ELEVEN YANGA HII HAPA

KOCHA wa Yanga, Mwinyi Zahera amesema kikosi kilichoanza kwenye mchezo wa jana Jumanne ndiyo kikosi chake cha msimu huu.  ...

READ MORE

Kichuya: Narejea Tanzania kukipiga

WINGA wa zamani wa Simba, Shiza Kichuya ameweka wazi kwamba baada ya muda wake kumalizika ndani ya klabu ya ENNPI...

READ MORE

Ajibu, Kahata wapigwa ‘stop’ Simba

KOCHA Mkuu wa Simba Mbelgiji, Patrick Aussems amewataka viungo wake kupiga pasi za haraka wakati wakiwa na mpira wakishambulia huku...

READ MORE

ANASWA WIZI WA MTOTO MCHANGA

AIBU! Mwanamke mmoja ambaye jina lake halikufahamika mara moja, Mkazi wa Urambo mkoani Tabora amenaswa kwa wizi wa mtoto mchanga. ...

READ MORE

Kumpata Samatta sasa Bilioni 53

INAELEZWA uongozi wa klabu ya KRC Genk umeamua kuongeza tena dau kwa timu zinazomtaka mshambuliaji wake, Mtanzania Mbwana Samatta kutoka...

READ MORE

Simba Yamrejesha Okwi Kikosini

ALIYEKUWA mshambuliaji wa Simba, Mganda, Emmanuel Okwi ambaye hivi karibuni alitangaza kuachana na klabu hiyo, kuna uwezekano mkubwa akarejea tena...

READ MORE

Chid Benz, Mr. Blue, Mobeto Uso kwa Uso Dar Live

PATA picha kwa mara ya kwanza jukwaani unamuona msanii mpya wa Bongo Fleva, Hamisa Mobeto pembeni yake Chid Benz na...

READ MORE

Uhamiaji Yafunguka Kushikiliwa Mwandishi Erick Kabendera

SERIKALI kupitia Idara ya Uhamiaji imetoa ufafanuzi kuhusu mwandishi wa kujitegemea, Erick Kabendera, baada ya kusambaa kwa taarifa kwenye vyombo...

READ MORE

Wasomaji: Hatujawahi kulikosa Betika

GAZETI la BETIKA, limeendelea kuwashika wasomaji kila kona kutokana na utofauti ilionao huku likitolewa burekwa watu wenye umri kuanzia miaka...

READ MORE

Shabiki Simba akomba mil 157 za M-Bet

Meneja masoko wa M-Bet, Allen Mushi (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi Msafiri Shafii baada ya kushinda. KAMA utani vile shabiki...

READ MORE

TTCL, TOSCI washirikiana kusaidia wakulima kubaini mbegu ‘feki’

      SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limeingia makubaliano na Taasisi ya Udhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI), ambapo...

READ MORE

JPM Afanya Uteuzi wa Mwenyeki wa Bodi ya Wakurugenzi TRA

Rais Magufuli amemteua Dkt. Suleiman Magesa Missango kuwa M/Kiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya TRA. Dkt. Missango ni Mkurugenzi wa...

READ MORE

MADAI MAZITO MUME ACHOMA NYUMBA KUPOZA HASIRA!

MWANAUME mmoja aliyefamika kwa jina la ‘Mlawa’ mkazi wa Kizani, Gezaulole jijini Dar amedaiwa kuchoma nyumba yake na kupoza hasira...

READ MORE

UBAKAJI WATIKISA DAR WANAWAKE WACHARUKIA POLISI, WASEMA: TUMECHOKA!

TUMECHOKA! Ndivyo walivyosikika kundi kubwa la wanawake ambao wameandamana kupinga tukio lililowatikisa la ubakaji wa binti wa miaka 16 anayedaiwa...

READ MORE

Amberr Washington Atua Global, Kutoa Fursa Kwa Vijana (Picha + Video)

PRODYUZA ambaye pia ni Makamu wa Rais wa Tuzo za Hollywood and African Prestigious (HAPA) kutoka Marekani, Amberr Washington,  ametua...

READ MORE

VIDEO: MAMBOSASA Ataja Sababu za Kumkamata Mwandishi

KAMANDA wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa,   leo Jumanne Julai 30, 2019, amezungumza na waandishi...

READ MORE

Amberr Washington Aifagilia Global Group (Picha +Video)

MAKAMU wa Rais wa Tuzo za Hollywood and African Prestigious (HAPA) kutoka Marekani, Amberr Washington, ametua ndani ya mjengo wa...

READ MORE

JPM Afika Kutoa Pole kwa Mbowe Aliyefiwa na Kaka Yake

  RAIS  John  Magufuli leo asubuhi amefika kutoa pole kwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ...

READ MORE

VIDEO: Ofisa FEKI Wa Jeshi la Polisi Atiwa Mbaroni

Jeshi la Polisi kanda maalum Dar es Salaam linamshikilia Daudi Ramadhani Iddy (23) mkazi wa Tabata Segerea kwa kujifanya ofisa...

READ MORE

VIDEO: WAZIRI KIGWANGALA ASIKILIZA KERO ZA WADAU WA MISITU

Waziri mwenye dhamana ya maliasili na utalii, Dkt Hamis Kigwangala, leo Julai 30, anafanya mkutano na wadau wa Sekta ya...

READ MORE

Bilionea amwaga bilioni 1.3 Yanga

KAMPUNI ya GSM Group Limited inayomilikiwa na bilionea Ghalib Mohammed imefanya kufuru nyingine Yanga, ni baada ya kushinda tenda ya...

READ MORE

JPM Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC)

Rais wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli Juni 29, 2019 amemteua Dkt. Elirehema Joshua Doriye kuwa Mkurugenzi Mkuu wa...

READ MORE