×

Habari

JPM Afanya Uteuzi Baraza la Maadili la Viongozi wa Umma

Rais Dk John Magufuli  amemteua Jaji Mstaafu Ibrahim Sayida Mipawa kuwa Mwenyekiti wa Baraza la Maadili ya Viongozi wa Umma....

READ MORE

Mtuhumiwa Mauaji ya Naomi Atishia ‘Nitaishangaza Mahakama’ – Video

IKIWA ndiyo siku ya kutajwa kwa kesi inayomkabili Hamis Luwongo anayetuhumiwa kumuua na kumchoma moto mkewe, Naomi Marijani, pameibuka taharuki...

READ MORE

Ajali Moro: Mwingine Afariki, Utambuzi Tatizo kwa Mahututi – Video

MAJERUHI mwingine mmoja wa ajali ya lori la mafuta iliyotokea Morogoro aliyekuwa akipata matibabu katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH)...

READ MORE

Dereva wa Lori Lililolipuka Ruvuma Apatikana, Amevunjika Mbavu!

DEREVA Hubert Mpete aliyekuwa akiendesha lori la mafuta lililopata ajali usiku wa kuamkia jana Mkoani Ruvuma, amepatikana akiwa hai.  ...

READ MORE

Mti wa Maajabu, Ukiupanda Mtu Anakufa, Mke Hazai – Shehe Aanika – Video

UKISTAAJABU ya Musa utayaona ya Firauni! Mti unaoitwa ‘Germany Tree’ unaofahamika zaidi kwa jina la Mti Chonganishi, ni aina ya...

READ MORE

Prof. Kabudi Akabidhiwa Uenyekiti Baraza la Mawaziri SADC – (Video + Picha)

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi amekabidhiwa uenyekiti wa Baraza la...

READ MORE

Tanzia: Mwanamuziki Maarufu DJ Arafat Afariki Dunia

  MWANAMUZIKI maarufu wa mitindo ya Coupé-Décalé nchini Ivory Coast, Houon Ange Didier ‘DJ Arafat (33), amefariki dunia kwa ajali...

READ MORE

Shule za Feza Kusomesha Wanafunzi Zadi ya Mia Nne (400) Bure

    Katika kuhakikisha inaunga mkono juhudi za serikali ya awamu ya tano za kuhakikisha watanzania wanapata elimu bure uongozi...

READ MORE

Makonda: Rais Ramaphosa wa Sauz Atatua Dar Jumatano – Video

RAIS wa Afrika Kusini Cyril Ramaphosa anatarajiwa kuwasili Nchini Jumatano ya August 14 kwa Mwaliko wa Ziara ya kitaifa (State...

READ MORE

‘Mzimu’ wa Ajali ya Morogoro Waibukia Kenya

POLISI leo wameifunga barabara kati ya Nakuru na  Naivasha nchini Kenya katika eneo la Hoteli ya Stem huko Nakuru baada...

READ MORE

Boti Yapinduka Bahari ya Hindi, Mmoja Ahofiwa Kufa

WATU wamenusurika kifo wakati boti inayomilikiwa na klabu ya starehe ya Yacht jijini Tanga, ilipopinduka jana jioni, Agosti 11, 2019...

READ MORE

Waliofariki Ajali Lori la Mafuta Moro Waongezeka

TAARIFA mpya kutoka Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), inasema idadi ya watu waliopoteza maisha kwenye ajali ya moto iliyotokea juzi...

READ MORE

Kakolanya amtia matatani Manula

UKIACHANA na mechi tatu za kirafiki ambazo kipa mpya wa Simba, Beno Kakolanya ameitumikia timu hiyo, jana mara ya kwanza...

READ MORE

MASTAA 6 WAPYA KUPINDUA MEZA YANGA

UKOSEFU wa mechi ngumu na za maana za kimataifa jana kuliiponza Yanga na kujikuta wakilazimisha sare ya usiku ya bao...

READ MORE

Utajiri wa Matonya Washtua, Kuna Nini Nyuma Yake? – Video

DAR ES SALAAM: WAKATI ikiaminika kwamba msanii Nasibu Abdul ‘Mondi’ ndiye mwenye ukwasi wa kutisha Bongo, Ijumaa limenasa utajiri wa...

READ MORE

Breaking: Lori Jingine la Mafuta Lateketea Ruvuma

  LORI jingine la mafuta aina ya Scania, lenye namba ya usajili T 243 BCU, na tela T 685 DCV...

READ MORE

JIKE SHUPA MI’ SIYO SISTADUU, NANYONYESHA MWANZO MWISHO

MUUZA nyago kwenye video za wanamuziki mbalimbali Bongo, Zena Abdallah ‘Jike Shupa’ amefunguka kuwa atamnyonyesha mwanaye hadi mwisho kwani yeye...

READ MORE

Waislam Nchini Washerehekea Eid Al Adha – Video

Waumini ya dini ya Kiislam nchini Tanzania wameuangana na wenzao duniani kote kusherehekea Sikukuu ya Eid Al Adhaa ambayo Swala...

READ MORE

ISHARA 5 HARMONIZE KUJITOA WCB

  Kama inavyokuwa kwa mzazi na mtoto anapofikisha umri wa kujitegemea, ndivyo inavyotokea kwa staa wa Bongo Fleva, Rajab Abdul...

READ MORE

Kim Nana Nimekufa Nimeoza Kwa Tbway

VIDEO vixen maarufu Bongo, Lilian Kessy ’Kim nana’ amesema kwa sasa amekufa ameoza kwa mapenzi wake ambaye pia ni mtangazaji...

READ MORE

VIDEO: Waziri Mkuu Amwakilisha Rais Mazishi Ya Waliokufa Kwa Ajali Moro

HUZUNI, simanzi, majonzi na vilio vimetawala mjini Morogoro leo wakati Waziri Mkuu, Kassim Majaliwaakiongoza umati wa wananchi wa Manispaa ya...

READ MORE

WAZIRI PALAMAGAMBA AIPONGEZA GLOBAL EDUCATION LINK

Taasisi ya Global Education Link ambao ni mawakala wa vyuo vya nje ya nchi leo imewafanyia mahafali ya kimataifa wanafunzi...

READ MORE

JPM Awapa Fedha Majeruhi wa Morogoro, Kutibiwa na Serikali – Video

RAIS  Magufuli  leo Agosti 11, 2019 amewatembelea majeruhi 43 wa ajali ya moto iliyotokea jana mkoani Morogoro waliolazwa katika Hospitali...

READ MORE

VIDEO: WAZIRI MKUU AUNDA TUME YA KUCHUNGUZA AJALI MORO

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameunda tume maalumu kwa ajili ya kufanya uchunguzi ili kubaini chanzo cha ajali ya moto iliyosababisha...

READ MORE

VIDEO: RAIS MAGUFULI ATANGAZA SIKU 3 ZA MAOMBOLEZO AJALI YA LORI

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli ametangaza siku 3 za Maombolezo kufuatia ajali ya Lori la...

READ MORE

Waliofariki Ajali Lori la Mafuta Morogoro Wafikia 68

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk Stephen Kebwe amesema waliofariki dunia baada ya lori la mafuta kupinduka eneo la Msamvu...

READ MORE

VIDEO: 62 Wafariki Ajali ya Lori la Mafuta Moro, 70 Wajeruhiwa

MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Stephen Kebwe,  amesema imepatikana miili ya watu 60 waliokufa kutokana na malipuko wa moto...

READ MORE

RAIS MAGUFULI ATOA SALAMU ZA RAMBIRAMBI AJALI YA LORI MOROGORO

Rais Magufuli amepokea kwa mshtuko na masikitiko makubwa taarifa ya vifo vya watu zaidi ya 60 na majeruhi takribani 70...

READ MORE

Msemaji wa Serikali, Polepole Wafunguka Ajali ya Lori Moro

MKURUGENZI  wa Idara ya Habari (Maelezo) ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt Hassan Abbas, na Msemaji wa Chama...

READ MORE

BREAKING: LORI LA MAFUTA LALIPUKA, LAUA WATU 55 MORO (PICHA +VIDEO)

LORI la mafuta limelipuka asubuhi hii Agosti 10, 2019, maeneo ya Msamvu mkoani Morogoro na kuua watu zaidi ya  57...

READ MORE

Sibomana Aimaliza Township

IKIWA imesalia saa chache kabla ya Yanga kushuka uwanjani kukipiga mechi ya kimataifa, kuna habari njema kwa mashabiki wa timu...

READ MORE

WAJUMBE SADC WATEMBELEA VIWANDA 21, WAKOSHWA NA JUHUDI ZA SERIKALI

WAJUMBE wa Mkutano wa 39 wa Jumuiya ya Maendeleo kwa Nchi za Kusini mwa Afrika(SADC) wametapa nafasi ya kutembelea viwanda...

READ MORE

VIDEO: TAKUKURU ‘YAMFUKUZA’ KAZI AFISA WAKE ALIYEOMBA RUSHWA!

  Mchunguzi Mkuu kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na rushwa (Takukuru), Cosmas Batanyita (44), amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu...

READ MORE

PIKIPIKI YASABABISHA BASI LA ABOOD KUPINDUKA

BASI  la kampuni ya Abood linalofanya safari zake kati ya Dar es salaam na Mwanza limepata ajali mapema leo  Agosti...

READ MORE

Madai mazito… AMKATA MKEWE SHINGO AKITUBU“

“MUME wangu kama nimekukosea nisamehe,” mwanamke mmoja, Pendo Patrick (30) mkazi wa Kijiji cha Kakola, Kata ya Bulyanhulu, wilayani Kahama,...

READ MORE

Man United Yakwama Kwa Eriksen

MANCHESTER United imekwama katika harakati za kutaka kumsajili staa wa Tottenham Hotspur, Christian Eriksen. Dili hilo limekwama kutokana na kitendo...

READ MORE

Mwinyi Zahera: Msiwe na Hofu, Mambo Saafi

BAADA ya Yanga kuwasili Zanzibar na kuweka kambi ya muda mfupi kuelekea mchezo wao wa kimataifa, kocha mkuu wa timu...

READ MORE

SAMIA AFUNGA MAONYESHO YA NANENANE MORO

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,  Samia Suluhu, leo Agosti 8, 2019 ametembelea mabanda ya maonyesho katika...

READ MORE

VIDEO: WALIOFUTIWA KITALU WAMWAMBIA KIGWANGALA ‘HATUKUBALI’

KAMPUNI ya uwindaji ya Green Miles Safari Company leo Alhamisi, Agosti 8, 2019,  imeongea na wanahabari katika hoteli ya Wanyama...

READ MORE

VIDEO: DKT SHEIN AFUNGA MAONESHO YA VIWANDA YA SADC

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi la Zanzibar, Dkt Ali Mohamed Shein, leo Agosti 08, anafunga rasmi...

READ MORE