×

Habari

Makocha 100 Wataka Kumrithi Amunike Stars

SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF), limeweka wazi kuwa limeshapokea zaidi ya maombi ya kazi kwa makocha 100 wanaotaka kuinoa timu...

READ MORE

Sinema Nzima Mzee Kilomoni Alivyochotwa na Polisi Dar

JESHI la Polisi jijini Dar jana lilimkamata aliyekuwa mdhamini wa Klabu ya Simba, Hamis Kilomoni, ambaye alihojiwa kwa muda katika...

READ MORE

BREAKING: Polisi Watatu Wilayani Rufiji Wafariki Dunia

ASKARI wawili wa kanda maalum Rufiji, pamoja na Staff Officer I mkoa wa kipolisi Rufiji (ACP), Issah Bukuku, wanasemekana  kufariki...

READ MORE

Global FC Kuifundisha Mpira Sinza Boys

MATAJIRI wa Sinza, Timu ya Global FC leo Ijumaa itacheza mechi ya kirafiki na wapinzani wake wa muda mrefu, Sinza...

READ MORE

GSM Yaipa Yanga Gari la Kisasa Wiki ya Mwananchi

KATIKA kuelekea kilele cha Wiki ya Mwananchi ya Yanga iliyopewa kauli mbiu ya Funga Kazi, Kusanya Kijiji, Kampuni ya GSM...

READ MORE

VIDEO: MAGUFULI AZINDUA MRADI WA STIEGLER’S GORGE

RAIS John  Magufuli leo Ijumaa,  Julai 26, 2019,   amezindua mradi wa kufua umeme wa Stiegler’s Gorge utakaotoa megawati 2115 kutokana...

READ MORE

Wawa awavimbia mabeki Simba

BEKI wa kimataifa wa Simba, Pascal Wawa, amefunguka kuwa hana hofu na nafasi yake ndani ya kikosi hicho, kazi ni...

READ MORE

UNI-INDUSTRIES KUMWAGA OFA ZA NGUVU KWENYE MAONESHO YA BIASHARA

  Kampuni inayoongoza kwa uuzaji wa bidhaa bora za uokaji mikate na keki, mashine za kufulia nguo, majokofu na vifaa...

READ MORE

Mastraika Simba hadi raha kambini

KOCHA Mkuu wa Simba, Mbelgiji Patrick Aussems amefunguka kuwa hana wasiwasi wowote na mastraika wake kwani wanampa raha.   Akili...

READ MORE

Lwandamina amsainisha Kamusoko

  KOCHA wa Zesco ya hapa, George Lwandamina amemsainisha kiungo fundi aliyetemwa na Yanga, Thabani Michael Kamusoko kwa dili la...

READ MORE

Simba Yairahisishia kazi Yanga CAF

SIMBA jana Jumatano ilishusha kipigo kingine cha mabao 4-1 dhidi ya Platinum Stars ya nchini hapa lakini Jumamosi itawafanyia Yanga...

READ MORE

VIDEO-BIBI AFANYIWA UTAPELI, AMLILIA RAIS MAGUFULI!

DAR ES SALAAM: Ni stori ya kusikitisha ambayo inamhusu bibi aitwaye Mwanahawa Mshamu Ngomari ambaye anadai kutapeliwa nyumba yake iliyopo...

READ MORE

Magufuli Kuchangia Mil. 400 Ujenzi Kituo cha Afya Moro – Video

RAIS John Magufuli leo Alhamisi Julai 25, 2019,  ameahidi kutoa Sh. mil. 400 kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha...

READ MORE

SHONZA MGENI SIKU YA UREMBO WA ASILI DAR, KIINGILIO BURE

    SHEREHE  za Siku ya Urembo wa Asili Tanzania mwaka huu zitafanyika wikiendi hii Jumamosi na Jumapili Julai 27, ...

READ MORE

MIMI MARS AFUNGUKA KUMFUATA VEE MONEY

MSANII anaye-fanya vizuri na ngoma yake ya Mua, Mariene Mdee ‘Mimi Mars’ amefunguka kufuata nyayo za dada yake Vanessa Mdee...

READ MORE

NEC YATANGAZA UCHAGUZI MDOGO KWENYE KATA 13 TANZANIA BARA

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza uchaguzi mdogo wa Kata 13 ambao utafanyika tarehe 17 Agosti 2019. Taarifa kwa...

READ MORE

VIDEO: Rais Magufuli Asafiri Kwa Treni ya Tazara Kwenda Rufiji

Rais Magufuli leo tarehe 25 Julai, 2019, amesafiri kwa treni ya TAZARA kutoka Dar es Salaam kwenda Fuga kisha Kisaki....

READ MORE

PUMA  YAAHIDI KUENDELEA KUTOA ELIMU  YA USALAMA BARABARANI KWA WANAFUNZI  SHULE ZA MSINGI

KAMPUNI ya Puma Energy Tanzania imesema itaendelea kutoa elimu ya mafunzo ya usalama barabarani kwa shule za msingi mbalimbali nchini...

READ MORE

JPM AMTEUA MPOGOLO KUWA DC IKUNGI

Rais Magufuli amemteua Edward Mpogolo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Mkoani Singida kuanzia leo July 24 akichukua nafasi ya...

READ MORE

MAMA AMWAGIWA PETROLI, ACHOMWA MOTO HADI KUFA

MaMa mmoja ajulikanaye kwa majina ya Lucia Keraka mwenye umri wa miaka 34, mkazi wa Kijiji cha Kerende wilayani Tarime,...

READ MORE

Ndugu wa Chama Kuwavaa Simba Taifa

UONGOZI wa Simba, umeweka wazi kuwa utacheza na Power Dynamos ya Zambia katika tamasha la Simba Day. Simba imepanga kucheza...

READ MORE

Breaking News: Boris Johnson Waziri Mkuu Mpya wa Uingereza -Video

ALIYEKUWA Meya wa zamani wa jiji la London, Boris Johnson (55) amechukua rasmi nafasi ya kuwa Waziri Mkuu wa nchini...

READ MORE

MWANAKWAYA AMUUA MWANAKWAYA MWENZAKE

KABLA tukio la kusikitisha la Naomi Marijani, mkazi wa Kigamboni jijini Dar es Salaam, kudaiwa kuuawa na mumewe kisha mwili...

READ MORE

TRA Yaamuru Magari Haya Yauzwe Hadharani – Video

KILA Jumamosi, ndinga mpya za bei chee zinaanikwa! Kampuni ya Udalali ya Tambaza Auction Mart and General Brockers Ltd iliyopewa...

READ MORE

Mke Amnyoa Cannavaro Rasta

MARA baada ya kuteuliwa kuwa Meneja Mpya wa Taifa Stars, beki wa zamani wa Yanga, Nadir Haroub ‘Cannavaro’, mke wake...

READ MORE

JPM APOKEA DHAHABU, FEDHA ZILIZOKAMATWA KENYA (PICHA +VIDEO)

  RAIS John Magufuli leo Jumatano,  Julai 24, 2019,  ameshuhudia makabidhiano ya dhahabu iliyokamatwa nchini Kenya iliyowasilishwa na mjumbe maalum...

READ MORE

WASOMAJI: BETIKA LINATUPA FAIDA MARA MBILI

  GAZETI la Betika likiwa na wiki ya 24 mtaani, limeendelea kuwa kipenzi cha wasomaji wengi huku wakisema linawapa faida...

READ MORE

RC MAKONDA AKABIDHI MWENGE WA UHURU MKOA WA PWANI

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda leo Julai 24 amemkabidhi Mwenge wa Uhuru Mkuu wa mkoa...

READ MORE

MAKAMBA AKABIDHI OFISI KWA GEORGE SIMBACHAWENE

Aliyekuwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. January Makamba leo Jumatano Julai 24, 2018...

READ MORE

VIDEO: JPM ALIVYOMPIGIA SIMU KENYATTA HADHARANI

 RAIS John Magufuli leo Jumatano,  Julai 24, 2019,  amempigia simu Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta, hadharani ambapo wawili hao...

READ MORE

Bondia wa Kimataifa Afariki kwa Kipigo

BONDIA raia wa Urusi, Maxim Dadashev,  amefariki dunia baada ya pambano lake dhidi ya mpinzani wake, Subriel Matias,  kumsababishia majeraha...

READ MORE

Mtoto Miaka 8 Aua Mwenzake wa Mwaka 1 kwa Panga

POLISI mkoani Morogoro inawashikilia baba na mtoto wake wa miaka minane kwa tuhuma za kumuua mtoto wa jirani yao mwenye...

READ MORE

EXCLUSIVE VIDEO: MREMA AIBUKA, AWAFUNGUKIA KINANA NA MAKAMBA

  ALIYEKUWA Mbunge wa Vunjo na Mwenyekiti wa TLP,  Augustino Lyatonga Mrema,  amefanya mahojiano na Global TV Online na kusea...

READ MORE

Uzinduzi wa reli ya Tanga, Moshi utaongeza kipato kwa mikoa ya kaskazini

  Uzinduzi wa huduma za reli kati ya Tanga na Moshi utaongeza kipato kwa mikoa miwili hiyo, kuchagiza kukua kwa...

READ MORE

Mkude: Simba imepata dawa ya Yondani

KAZI imeanza sasa! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kutokana na hali ya mambo ilivyo hivi sasa ndani ya Simba baada ya...

READ MORE

Sirro: Tunachunguza Sauti Zinazodaiwa za Nape, Kinana Makamba

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro amesema wanafanya uchunguzi wa sauti zinasambaa kwenye mitandao ya kijamii, zinazodaiwa...

READ MORE

FAGIO KALI CCM

HALI ya mambo ndani ya Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ kinachounda serikali si shwari kutokana na kuwepo kwa madai kuwa, kuna...

READ MORE

Sita Wafariki kwa Ajali ya Hiace na Cruiser

Watu sita wamefariki dunia na wengine 24 wamejeruhiwa katika ajali iliyotokea usiku wa kuamkia jana katika eneo la nyambula barabara...

READ MORE

Kalengo atoa kauli ya kutisha

STRAIKA mpya wa Yanga raia wa Zambia, Maybin Kalengo, ametoa vitisho kwa mabeki wa timu pinzani baada ya kusema kuwa...

READ MORE