×

Habari

MUFTI MKUU TANZANIA AITABIRIA MAKUBWA BENKI YA NMB

MUFTI Mkuu wa Tanzania, Sheikh Aboubakar Zubeir, ameitabiria makubwa Benki ya NMB, kutokana na utamaduni chanya walionao wa kuijali, kuithamini...

READ MORE

BOMOABOMOA MWENGE…UTAPELI WAIBUKA

KUFA kufaana! Ndivyo ilivyokuwa baada ya zoezi la bomoabomoa kufanyika juzi katika Kituo cha Daladala cha Mwenge jijini Dar ambapo...

READ MORE

MAAJABU UPEPO WAPANDISHA WATANO JUU YA PAA MBEYA

MAAJABU ambayo sayansi yake haijulikani ni ya karne gani yametokea jijini hapa kwa watu watano kwa nyakati tofauti kukumbwa na...

READ MORE

EXCLUSIVE: MAMA NA MWANAE WAMWAGA MACHOZI STUDIO – VIDEO

Ni kisa cha kusisimua sana, kinachowahusisha kijana anayefahamika kwa jina la Hussein (18) na Mama yake mdogo ambaye ndiye aliyemlea...

READ MORE

MALAWI WAPIGA KURA KUCHAGUA RAIS NA WABUNGE

Wananchi wa Malawi leo Jumann, Mei 21, 2019 wampiga kura kuchagua Rais na wabunge baada ya kampeni zilizokuwa na ushindani...

READ MORE

JPM: Mawaziri Wenye Simu za TTCL, Wasiotoa Gawio Wafungiwe – Video

RAIS  John Magufuli leo Jumanne, Mei 21, 2019 ametembelea makao makuu ya Shirika la Mawasiliano la Tanzania (TTCL) na kupokea...

READ MORE

NAPE ALIAMSHA DUDE: KOROSHO YETU IKO WAPI? MMEDANGANYA – VIDEO

MBUNGE wa Mtama,Nape Nnauye (CCM) ametaka wote waliohusika na kuhujumu Korosho wachukuliwe hatua na wasipochukuliwa ataleta kusudio jinsi walivyofanya mmoja...

READ MORE

Makambo Azuia Milioni 689 za Kagere Simba

KITENDO cha straika wa Yanga, Heritier Makambo kusaini mkataba wa awali na Horoya AC, kimeifanya Simba kukosa kiasi cha dola...

READ MORE

MDUDE Alivyomwaga ‘MACHOZI’ Hadharani “NINA KOSA GANI” – VIDEO

MWANACHAMA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mdude Nyagali amesema licha ya kupotea hivi karibuni kwa kile alichokidai kuwa...

READ MORE

MBUNGE ATAKA BANGI IRUHUSIWE TANZANIA, SPIKA AMPA BIG UP! – VIDEO

Mbunge wa Kahama Mjini (CCM), Jumanne Kishimba ameishauri Serikali ya Tanzania kuruhusu kilimo cha bangi nchini kwa ajili ya utengenezaji...

READ MORE

WALIOMKERA JPM KORTINI

MBEYA: MAOFISA watatu waliomkera Rais Dk. John Pombe Magufuli wakati wa ziara yake mkoani hapa hivi karibuni, wamefikishwa mahakamani na...

READ MORE

TIRA YAZINDUA KANUNI ZA BIMA KUPITIA BENKI

    MAMLAKA ya Usimamizi wa Shughuli za Bima nchini (TIRA) kwa kushirikiana na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) zimezindua Kanuni...

READ MORE

Masele Awekwa ‘Mtu Kati’ Kamati ya Maadili Bunge

MBUNGE wa Shinyanga Mjini (CCM) na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Afrika (Pan African Parliament – PAP),...

READ MORE

UHASAMA! Google Yaizuia Huawei Kutumia Programu za Android

UHASAMA wa Rais Donald Trump wa Marekani dhidi ya makampuni makubwa ya mawasiliano kutoka China umeanza kuiweka kampuni ya simu...

READ MORE

Halotel, Visa waungana kuwezesha malipo kwa njia ya simu

Kampuni za Halotel Tanzania na Visa zimesaini mkataba wa kimkakati ambao utawawezesha watumiaji wa Halopesa kufanya malipo kwa njia ya...

READ MORE

Watu 11 Wauawa Katika Shambulio Brazil

TAKRIBAN watu 11 wameuawa baada ya watu wenye silaha kuvamia baa moja na kuwashambulia kwa risasi watu waliokuwemo ndani ya...

READ MORE

Trump Aitishia Iran Baada ya Kusema Haiogopi Vita

Rais wa Marekani Donald Trump ameapa kuizuia Iran kuwa na silaha za nyuklia saa chache baada ya kutishia kuiangamiza kufuatia...

READ MORE

Breaking News: HATIMAYE Masele Ajisalimisha kwa Ndugai – Video

MAKAMU wa Kwanza wa Rais wa Bunge la Afrika (Pan-African Parliament – PAP) na Mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen...

READ MORE

RIDHIWANI AWABEBA WAZEE NA WENYE ULEMAVU, CHALINZE

  Mbunge wa Jimbo la Chalinze,Mh.Ridhiwani Kikwete akimkabidhi msaada wa Baiskeli ya Miguu mitatu (Wheel Chair),Mkazi wa Zomozi-Ubena Mzee Cosmas...

READ MORE

TANZIA: Waziri Afariki Dunia Zanzibar

TANZIA: Aliyewahi kuwa Waziri wa Michezo na Naibu Waziri Kiongozi katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Ali Juma Shamhuna amefariki dunia...

READ MORE

KIMBEMBE !ALICHOKIFANYA TRAFIKI HUYU HUWEZI KUAMINI

MOROGORO: NI patashika nguo kuchanika! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya kijana mmoja wa Kimasai kuibua kimbembe cha aina yake baada...

READ MORE

RAIS MAGUFULI ATOA ZAWADI KWA WASHINDI WA QURAAN (PICHA +VIDEO)

PICHA NA IKULU Rais wa Tanzania, John Magufuli ametoa zawadi mbalimbali za washindi wa mashindano ya 20 ya kusoma na...

READ MORE

Ndugai: Masele aripoti bungeni Jumatatu saa 5, akikaidi atakamatwa

  Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema mbunge wa Shinyanga Mjini (CCM), Stephen Masele anatakiwa kufika mbele ya Kamati ya...

READ MORE

RAIS MAGUFULI ASALI IBADA KATIKA KANISA KATOLIKI LA MT. PETRO OYSTERBAY

Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Jumapili Mei 19, 2019 amesali Ibada ya Dominika ya Tano ya Pasaka katika Kanisa...

READ MORE

NMB YAFUTURISHA WATEJA WAKE MKOANI TANGA

  BENKI ya NMB imeombwa kuangalia uwezekano wakuongeza matawi ya vituo vya kutolea fedha ATM ili kuhakikisha inasogeza huduma zake...

READ MORE

BASI LA SWEET AFRICA LAPATA AJALI MLIMA KITONGA

BASI la abiria la kampuni ya Sweet Africa lililokuwa linatoka mkoani Njombe kuelekea Dar es Salaam, limepata ajali leo majira...

READ MORE

SERIKALI YAIPONGEZA DCB KWA UFANISI KATIKA MAUZO YA HISA ZAKE

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji, ameipongeza benki ya biashara DCB kwa kufanikisha zoezi la uuzaji wa...

READ MORE

AKATAA CHAKULA KIZURI KABLA YA KUNYONGWA!

DONNIE EDWARD JOHNSON aliyekuwa anasubiri kunyongwa huko Nashville, Tennessee, Marekani, alikikataa chakula chake maalum cha mwisho kabla ya kunyongwa wiki...

READ MORE

MAGARI MAWILI YAGONGANA USO KWA USO MDAULA, WAWILI WAFARIKI -VIDEO

Watu wawili wanahofiwa kufariki dunia baada ya gari ndogo lenye namba za usajiri T 340 DHG kugongana uso kwa uso...

READ MORE

MAKONDA: “KWA HILI SIOMBI MSAMAHA”, ATAJA CHEO ANACHOKIPENDA – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda,  amesema hakuna jambo ambalo halipendi kama kusikia Mkristo akilalamika kwamba hakuna ajira, maisha...

READ MORE

Wananchi Tabora Waipongeza Serikali Kwa Kuwawezesha Kupitia MKURABITA

      Wananchi Wilayani Uyui mkoani Tabora Wamempongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli...

READ MORE

Makonda Asimulia Alivyofukuzwa Nyumba ya Kupanga – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amefunguka namna alivyofukuzwa kwenye nyumba ya kupanga, kisa hana pesa ya...

READ MORE

NDANI YA MWEZI MTUKUFU… BINTI AKIONA CHA MOTO

MOROGORO: Wakati waislam wakiwa ndani ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, binti mmoja aliyefahamika kwa jina la Sharifa mkazi wa Mji...

READ MORE

Membe Amjibu Rostam: Wewe ni Mwenzetu Sote Tumekatwa Mkia

ALIYEKUWA Waziri wa Mambo ya Nje wa serikali ya awamu ya nne, Bernard Membe, amemjibu mfanyabishara Rostam Aziz kuhusu suala...

READ MORE

INAUMA SANA MTOTO AVIMBA TUMBO, BABA AMTOBOA KUTOA MAJI

INAUMA sana! Mtoto Moshi Khamisi (4), mkazi wa Tabora yuko katika mateso na maumivu makali baada ya tumbo lake kuvimba...

READ MORE

MAMA AMPOTEZA MWANAYE MWAKA WA 20 SASA, ‘NISAIDIENI APATIKANE’

HII siyo filamu bali ni kweli, ule msemo wa ‘Uchungu wa mwana aujuaye ni mzazi’, unamaanisha kwa mama huyu aliyejitambulisha...

READ MORE

THE CAMPUS NIGHT LEO HAPATOSHI TANGANYIKA PACKERS

LILE Tamasha kubwa la vijana la Victory Campus Night 2019 linatarajiwa kuunguruma leo IJUMAA, MEI 17, 2019 katika Viwanja vya...

READ MORE

Jack Ma Awashauri Wafanyakazi Kufanya Mapenzi Mara 6 kwa Wiki

  Tajiri wa China na mmiliki wa kampuni ya Alibaba Group Jack Ma amewasisitiza wafanyakazi wa maofisini kufanya mapenzi angalau...

READ MORE

JPM Afanya Kikao Kizito Ikulu, Atumbua Wakurugenzi Wawili

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mbozi mkoani...

READ MORE