MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imewakuta na kesi ya kujibu viongozi tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akiwemo...
READ MOREHOSPITALI ya Taifa Muhimbili (MNH) imethibitisha kuwa, majeruhi watatu kati ya 11 wa ajali ya moto Morogoro waliokuwa wamelazwa hospitalini...
READ MOREKESI inayomkabili mwanahabari Erick Kabendera imeahirishwa hadi Septemba 18, mwaka huu, ambapo Hakimu wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Augustine...
READ MOREMkuu wa Wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga, akishikana mikono na Meneja wa Tawi la NBC Mkoa wa Lindi, Iovin (kulia) wakati...
READ MOREWanafunzi wanne waliohitimu hivi karibuni mafunzo maalum ya uzalishaji filamu chini ya programu ya MultiChoice Talent Factory wamehudhuria kikao cha...
READ MOREMkurugenzi Mtendaji wa TIGO, Bw. Simon Karikari, akisaini mkataba utakaowezesha kusambaza Mawasiliano kwa wote hususani vijijini, kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu (CEO),...
READ MOREMWILI wa aliyekuwa kiongozi wa Zimbabwe, Robert Mugabe, umewasili katika uwanja mkuu wa ndege nchini humo ambapo siku ya mazishi...
READ MORETAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) Mkoa wa Kinondoni, jana Jumatano, Septemba 11, 2019, iliwafikisha mahakamani watuhumiwa watatu...
READ MOREWAKATI Zimbwabwe na Afrika nzima ikiendelea kuomboleza msiba wa kiongozi wake shupavu, Rais wa pili wa nchi hiyo, Robert Gabriel...
READ MOREWAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amemtaka Miss Tanzania 2019, Sylivia Bebwa (19) ahakikishe anakuwa balozi mzuri wa kutangaza vivutio vya utalii...
READ MORESHABIKI Christopher Rupia aliyefariki uwanjani wakati Taifa Stars ikicheza dhidi ya Burundi Septemba 8, mwaka huu amezikwa leo Ukonga Jijini...
READ MOREALIYEWAHI kuwa Waziri wa Uchukuzi katika Serikali ya awamu ya nne ya Rais Jakaya Kikwete, na Mwenyekiti wa Bodi ya...
READ MORERAIS Magufuli amemteua Brigedia Jenerali Charles Mbuge kuwa Mkuu wa JKT. Mbuge anachukua nafasi Meja Jenerali Martin Busungu ambaye ameteuliwa...
READ MORENYOKA mkubwa aina ya chatu ambaye hivi karibuni alizua gumzo baada ya kuonekana Kitongoji cha Iseni, Kijiji cha Kijiji cha...
READ MOREBENCHI la Ufundi la Yanga lililo chini ya Kocha Mkuu Mkongomani, Mwinyi Zahera, limepanga kumtumia straika wa zamani wa Zesco,...
READ MOREMCHEKESHAJI (Stand Up Comedian) aliyepata umaarufu kupitia kipindi cha Cheka Tu kinachoongozwa na Coy Mzungu, Boss Martha, amefariki dunia mapema...
READ MOREMSANII wa muziki wa Hip Hop nchini Kenya, Jackson Makini, almaarufu kwa jina la Prezzo, ametangaza rasmi kuingia kwenye siasa...
READ MOREBunge la Tanzania hii leo limeridhia Itifaki ya ziada ya Nagoya – Kuala Lumpur juu ya uwajibikaji wa kisheria na...
READ MORESAKATA la wanachuo wa Chuo cha Ualimu Moshi limechukua taswira mpya baada ya Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole...
READ MOREWATUMISHI wa Umma 184 watasimamia Uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba mwaka huu kutoka kada mbalimbali wakiwamo Wakuu...
READ MORERAIS John Magufuli ameagiza polisi wa kike, WP 4160 Beatrice Kayuni Mlanzi, kupandishwa cheo kutoka Koplo na kuwa Sajenti baada...
READ MOREBenki ya NMB imeendelea kuwa mkombozi kwenye Jamii maeneo mbalimbali hapa Nchini kutokana na kutoa misaada sehemu...
READ MORESHANGHAI (Reuters) — Mwenyekiti na mwaznilishi wa Makampuni ya China yaa Alibaba Group, Jack Ma, ameachia ngazi katika kampuni hilo...
READ MORERAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli amjulia hali Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki...
READ MOREKESI ya aliyemuua mkewe kwa kumchoma na magunia mawili ya mkaa, Said Luwongo iko mbioni kuelekea mwisho baada ya wakili...
READ MOREKatika kuelekea mtihihani wa Kuhitimu Elimu ya Msingi,Walimu wa shule za Msingi Nchini, wameshauriwa kuwa Waaminifu na Watulivu katika kipindi...
READ MOREWaziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. George Simbachawene amesema inakadiriwa kuwa asilimia...
READ MOREKampuni ya huduma za simu za mkononi ya Vodacom ikishirikiana na Smart Lab wameamua kurudisha kwa jamii kwa kuwasaidia wajasiriamali...
READ MOREMAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kigoma imemuongezea hukumu Diwani wa Kata ya Mwanga (ACT-Wazalendo), Clayton Chipando ‘Baba Levo’, kutoka miezi mitano...
READ MOREHalmashauri ya Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma imevunja makundi yote ya ‘WhatsApp’ ya waratibu elimu msingi ili kuepuka udanganyifu katika...
READ MOREMBUNGE wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi, Nape Nnauye, leo Septemba 10, 2019, amekutana na kumuomba radhi Rais na...
READ MOREJESHI la polisi Mkoa wa Mara limemkamata mwalimu wa Shule ya Msingi ya Bwai A, Lazaro Mmanga, kwa tuhuma za...
READ MORETAREHE 9/09/2019 majira ya saa 9:38 usiku kumetokea tetemeko la ardhi katika kijiji cha Sibwesa Kata ya Sibwesa karibu na...
READ MOREWATUHUMIWA 10 wanaodaiwa kuwa ni wafanyabiashara wa madini wamefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Mbeya ambapo watano kati...
READ MOREMahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imemhukumu mchungaji wa Kanisa la The Early Church of Lord Yeshwah,...
READ MORERAIS mstaafu wa serikali ya awamu ya pili ya Tanzania, Ali Hassan Mwinyi, amesema kuwa alipoingia madarakani mwaka 1985, alikuta...
READ MOREKIKONGWE mmoja aitwaye Erramatti Mangayamma mwenye umri wa miaka 74 katika jimbo la Kusini mwa India la Andhra Pradesh jijini...
READ MOREWAZIRI wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola, ametua katika kanisa Pentecostal Power Ministry na kuamuru kukamatwa kwa mchungaji wa kanisa...
READ MOREHATIMAYE ule mkutano wa kihistoria na wa aina yake uliopewa jina la Speakers Conference umefanyika Jumamosi iliyopita katika Ukumbi wa...
READ MORE