×

Habari

ASKARI AJIUA KISA MKWEWE

MOROGORO: Inasikitisha! Askari wa Kampuni ya Ulinzi ya Setembo, Rajabu Athumani (60), anadaiwa kujiua kwa kujinyonga, kisa kikidaiwa ni mauaji...

READ MORE

Wananchi wa Singida Wanajua Lissu Yupo Wapi; Ndugai Hajui!

KAMA kuna jambo lililoshangaza wananchi wa kawaida kabisa wa Tanzania ni tamko la kumvua ubunge Mbunge wa Singida- Mashariki (Chadema),...

READ MORE

Yanga Yapindua Meza Usajili wa Gadiel

MWENYEKITI wa Klabu ya Yanga, Dk Mshindo Msolla amezungumzia mjadala wa usajili wa beki wa pembeni, Gadiel Michael na kutoa...

READ MORE

WhatsApp Waja na Toleo Jipya Kushare Status na Mitandao Mingine

MTANDAO wa WhatsApp umefanikiwa kufanya majaribio ya toleo lake jipya ambalo unaweza kushare status kwenye mitandao mingine ya kijamii. Toleo...

READ MORE

Yanga: Zahera Ashindwe Mwenyewe

UONGOZI wa Klabu ya Yanga umefunguka kuwa kwa asilimia 90 umefanikiwa kukamilisha usajili aliokuwa akiutaka Kocha Mwinyi Zahera baada ya...

READ MORE

Jeshi lote Simba kutua Sauzi wiki ijayo

  KOCHA wa Simba, Patrick Aussems anatua nchini wiki ijayo na timu inakwenda kambini nchini Afrika Kusini. Habari za uhakika...

READ MORE

NEC Yatangaza Tarehe ya Uchaguzi Jimbo la Lissu

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza  tarehe 31 Julai, 2019, kuwa siku ya kufanyika uchaguzi mdogo Jimbo la Singida...

READ MORE

Jogoo Afikishwa Mahakamani kwa Kosa Hili, Ajizolea Umaarufu!

JOGOO mmoja ambaye mmiliki wake amempatia jina la Maurice, amekuwa kero kwa majirani kwa kuwika kila alfajiri na hivyo kufikishwa...

READ MORE

NMB WASISITIZA MTOTO AKAUNTI NA CHIPUKIZI AKAUNTI SABASABA

  BENKI ya NMB imewashauri wazazi na walezi kuwafungulia watoto wao akaunti za watoto pamoja na Chipukizi akaunti kwa ajili ya...

READ MORE

Mwalimu Ajichinja Ili Afe Kisa Ugumu wa Maisha

MWALIMU wa Shule ya Msingi Rung’abure iliyopo Serengeti mkoani Mara, Godfrey Tarimo,  amejikata na chupa eneo lake la shingo katika...

READ MORE

JE, NI SAWA MWANAMKE KUMZIDI UMRI MPENZI WAKE

BILA shaka msomaji wangu umzima buheri wa afya. Karibu tena kwenye kona yetu hii tunapopeana elimu na maarifa kuhusu suala...

READ MORE

Makonda azuia Yondani, Nyoni kustaafu Stars

MWENYEKITI wa Hamasa wa Taifa Stars kwenye michuano ya Afcon, Paul Makonda amesitisha mipango ya wachezaji wakongwe Kelvin Yondani na...

READ MORE

Mzee Akilimali: Ajibu alikuwa kirusi Yanga

BAADA ya juzi Jumatano, Simba kumtangaza Ibrahim Ajibu kuwa mchezaji wao mpya, Katibu wa Baraza la Wazee la Yanga, Ibrahim...

READ MORE

Tanzania Mwenyeji Mkutano Wa Shirika la Hakimiliki Duniani

Mratibu wa Mradi wa Uhamasishaji na Utoaji Elimu ya Haki Miliki ambaye pia ni Hakimu Mkazi na Msaidizi wa Msajili...

READ MORE

Mshtuko mali za Mbowe Kupigwa Mnada

TANGAZO la kupigwa mnada kwa mali za Kampuni ya Mbowe Limited inayomilikiwa na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, limeibua mshtuko...

READ MORE

Mke Asimulia Unyama wa Mumewe Alivyomlipua na Mtoto kwa Petroli

MKAZI wa Kijiji cha Mlazo, wilaya ya Chamwino, Mkami Mbarahi (19) na mwanaye wenye umri wa miezi mitatu wamelazwa katika...

READ MORE

Mwanaume Aaga Dunia Baada ya Kufanya Mapenzi kwa Mizunguko Saba

MWANAUME mmoja aliyefahamika kwa jina moja tu la Davy amefariki wakati akiwa kwenye mashindano ya kufanya mapenzi na mwanamke aitwaye...

READ MORE

Nabii Natasha wa Kenya Alivyopokelewa kwa Shagwe Bongo – Video

Nabii Lucy Natasha, kutoka nchini Kenya, ametua nchini usiku wa Julai 03, na kupokelewa kwa shangwe katika Uwanja wa Ndege...

READ MORE

JPM Kuzindua Hifadhi ya Taifa Burigi Chato, Julai 9

RAIS  John  Magufuli anatarajiwa kuzindua rasmi Hifadhi ya Taifa ya Burigi huko Chato siku ya Jumanne Julai 9,  mwaka huu,...

READ MORE

Faru Mweusi Afariki Akisafirishwa Kutoka Uingereza Kuja Tanzania

FARU dume aliyekuwa akisafirishwa kutoka hifadhi ya Port Lympne nchini Uingereza amefariki akiwa kwenye ndege wakati akisafirishwa kuja Tanzania.  ...

READ MORE

Kenya: Mtanzania Ahukumiwa Maisha Jela Shambulio Garissa

MAHAKAMA ya Kenya imemhukumu Mtanzania Rashid Mberesero kifungo cha maisha jela baada ya kumkuta na hatia ya kutekeleza shambulio la...

READ MORE

ACACIA Yataka Mazungumzo na Serikali ya Tanzania

KAMPUNI ya uchimbaji wa madini ya Acacia inataka mazungumzo na serikali ili kupata suluhu ya mgogoro wa kodi uliopo hivi...

READ MORE

Mbaroni kwa Kumbaka, Kumlawiti Mama Yake Mzazi – Video

JESHI la polisi mkoani Dodoma linamshikilia mkazi mmoja, Mazengo Chilatu,   wa kijiji cha Manchali wilayani Chamwino kwa kosa la kumbaka...

READ MORE

Kilichotokea Mahakamani Leo Wakili wa Wema na Serikali

WAKILI Albert Msando wa mwigizaji na mrembo wa mwaka 2006 nchini, Wema Sepetu,  amehoji sababu za shahidi wa upande wa...

READ MORE

Kisutu: Wema Aachiwa Huru, Akamatwa tena, Azua Kizaazaa

  MSANII wa filamu nchini, Wema Sepetu, amezua kizaazaa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu akigoma kukamatwa na askari baada...

READ MORE

BOW WOW AFUNGULIWA MASHTATA NA MPENZI WAKE WA ZAMANI

RAPA Bow Wow amemfunguliwa mashtaka na mpenzi wake wa zamani Kiyomi Leslie kwa kosa la kumpiga wakati akiwa mjamzito kiyomi...

READ MORE

Instagram, Facebook na WhatsApp Zakumbwa na Tatizo Dunia Nzima

MITANDAO maarufu duniani ya Instagram na Facebook na WhatsApp imekumbwa na tatizo la kuwa chini dunia nzima ambapo baadhi ya...

READ MORE

BALAA LA TALAKA 3 MAMA NA WANAYE WALAZWA NJE SIKU 9

TALAKA tatu alizopewa na mumewe zinaonekana kumtesa mwanamke mmoja aitwaye Kaigo Salila (34), mkazi wa Kigogo Freshi jijini Dar es...

READ MORE

Rais Kenyatta Kumfuata JPM Chato

Rais wa Kenya, Uhuru Kenyatta anatarajia kufanya ziara binafsi ya siku mbili nchini Tanzania itakayoanza Ijumaa, Julai 5 katika Wilaya...

READ MORE

Mke wa Mtawala wa Dubai Akimbilia Mafichoni; Ahofia Kuuawa

MKE wa mtawala wa Dubai, Sheikh Mohammed Al Maktoum, Binti Mfalme Haya Bint al-Hussein, yuko mafichoni jijini London akidaiwa kuhofia...

READ MORE

MSOMAJI: BETIKA LIMENITENDEA MIUJIZA

MSOMAJI wa Gazeti la Betika, Shaban Kidisa anayepatikana Mtaa wa Kongo na Pemba, Kariakoo jijini Dar es Salaam, amefichua kuwa,...

READ MORE

Exclusive: Baba Amjibu Mama Kanumba; Asema “Anaomba Rambirambi Baa!”- Video

WAKATI ni  miaka saba imekatika tangu tasnia ya filamu Bongo na taifa zima kwa jumla lipate pigo la kuondokewa na...

READ MORE

Omawumi, Meneja wa Wizkid Watambulisha EP Global

KIMATAIFA! Ndivyo unavyoweza kusema kwa lugha rahiiisi baada ya staa anayekimbiza katika katika gemu la muziki nchini Nigeria, Omawumi Megbele...

READ MORE

Ndinga za Bei Chee Kuuzwa Hadharani, Ruksa Kuchagua Gari Utakalo – Video

KILA Jumamosi, ndinga mpya za bei chee zinaanikwa! Kampuni ya Udalali ya Tambaza Auction Mart and General Brockers Ltd iliyopewa...

READ MORE

Daktari Mhindi Anayedaiwa Kumfanyia Mbongo Upasuaji Kimagumashi Kimenuka

KIMEWAKA! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania kucharuka na kumtaka daktari wa Kihindi, Annapurna Dama kufika mahakamani...

READ MORE

VIDEO: Pam D Atambulisha Kizunguzungu, Asimulia Alivyofutiwa Nyimbo Youtube

MKALI anayekimbiza kwenye gemu la Bongo Fleva, Pamela Daffa ‘Pam D’ ametinga ndani ya Mjengo wa Global Group kutambulisho ujio...

READ MORE

Kesi ya Membe, Mahakama Kuu Yampa Siku 7 Musiba

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam, imempa siku saba mmiliki wa gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba na wachapishaji wa...

READ MORE

Membe: Nimeshangazwa na Ndugai Kumvua Ubunge Lissu, Tusubiri!

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa mstaafu, Bernard Membe, amewataka viongozi wa dini, serikali na wastaafu kukemea...

READ MORE

Mfanyabiashara wa Kenya Aliyepotea Tanzania, Apatikana Mombasa

MFANYABIASHARA raia wa Kenya, Raphael Ongagi,  aliyedaiwa kupotea tangu wiki iliyopita akiwa Tanzania, amepatikana leo Jumanne, Julai 2, 2019,  jijini...

READ MORE