×

Habari

Ni Yanga Princess na Evergreen

TIMU ya Yanga Princess itavaana na Evergreen kwenye Uwanja wa Karume leo Jumapili. Mchezo huo ni muhimu kwa timu zote...

READ MORE

RATIBA KAMILI MAZISHI YA DK MENGI -VIDEO

MWANASHERIA wa familia ya marehemu bilionea na aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa makampuni ya IPP, Dkt.  Reginald Abraham Mengi, Michael Ngalo,...

READ MORE

Watatu mbaroni kwa kukutwa na kobe 508 kinyume na sheria

Jeshi la Polisi mkoa wa Mjini Magharibi, linamshikilia raia mmoja wa china na wa Zanzibar wawili wakiwa na kobe wapatao...

READ MORE

TAARIFA ZA AWALI KUHUSU TUKIO LA MDUDE NYAGALI (MDUDE CHADEMA)

Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika hali ya dharura, kinafuatilia kwa karibu, taarifa za Mdude Nyagali (Mdude Chadema) kuvamiwa...

READ MORE

Arusha: Wakili Apotea Katika Mazingira ya Kutatanisha

Mwanasheria wa Hifadhi ya Wanyamapori Arusha, Maneno Mbunda amepotea katika mazingira ya kutatanisha tangu Aprili 28, 2019. Kwa mujibu wa...

READ MORE

Hiace Yaua 7, Yajeruhi 12 Kigoma

WATU saba wamefariki dunia na wengine 12 kujeruhiwa baada ya gari walilokuwa wakisafiria kupasuka tairi la nyuma na kupinduka mkoani...

READ MORE

Boeing 737 Yatumbukia Mtoni

NDEGE aina ya Boeing 737 imeshindwa kutua na kuishia kuingia mtoni nchini Marekani.   Hiyo ni aina ileile ya ndege...

READ MORE

Waziri Ummy Alivyomfahamu Mzee Mengi – Video

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu (wa pili kushoto) akizungumza na mtoto wa marehemu...

READ MORE

JK: Kifo cha Mengi Ukweli Tutaujua Tu, Awataja Mdogo, Mtoto wa Marehemu!- Video

Rais Mstaafu wa Tanzania wa awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, amekwenda kuhani msiba nyumbani kwa marehemu Dkt. Reginald...

READ MORE

IGP Sirro: “Kama Kuna Mkono wa MTU, Sheria Itafuata Mkondo” – Video

  MKUU wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Simon Sirro, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,...

READ MORE

Sudan: Jeshi Lagoma Kukabidhi Utawala kwa Raia, Wananchi Waandamana

OFISA wa ngazi ya juu wa Baraza la Kieshi nchini Sudan, Luteni Jenerali Salah Abdelkhalek,  amesema jeshi hilo halitaruhusu raia...

READ MORE

Maajabu ya Nyoka Mwenye Macho Matatu

MAOFISA wa wanyama pori wamesambaza picha za nyoka mwenye macho matatu aliyepatikana katikati ya barabara Kaskazini mwa Australia.   Shirika...

READ MORE

Mwanamuziki Nguli Mose Fan Fan Afariki Dunia

MWANAMUZIKI maarufu wa DR Congo Mose Fan Fan (75) amefariki dunia kwa mshtuko wa moyo nyumbani kwake karibu na barabara...

READ MORE

MAITI YA MAMA YAKUTWA UFUKWENI

DAR ES SALAAM: Mwanamke mmoja aliyefahamika kwa jina la Moza Hussein Lukanga, mkazi wa Mianzini Mbagala jijini Dar hivi karibuni...

READ MORE

Video: Huyu ndiye GAIDI wa AL-QAEDA,aliyepewa Adhabu nzito

 Siku kama ya leo pia, huko jijini Alexandria, Virginia, Marekani, mwanachama wa kundi la Al-Qaeda, Zacarias Moussaoui, ahukumiwa kifungo...

READ MORE

Waziri Jafo kuzindua maadhimisho ya Juma la ELimu Handeni, Tanga

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Selemani Jafo (TAMISEMI), anatarajiwa kuzinduwa maadhimisho...

READ MORE

Kijana Yamkuta, JPM Aagiza: ‘Kamata Huyo Weka Ndani’ – Video

 KIJANA mmoja amejikuta katika wakati mgumu baada ya kutiwa mbaroni kufuatia agizo la Rais John Magufuli wilayani Mbarali mkoani...

READ MORE

NAPE: TUNABEMBELEZANA SANA/ KIBURI KIMEZIDI – VIDEO

Mbunge wa Mtama, Nape Nnauye amehoji kwa nini Serikali inakuja na maamuzi yake ambayo masuala yakifika bungeni wabunge hawawezi kubadili...

READ MORE

Ukikamatwa Unapiga Umbea Faini Tsh 9,200

BINALONAN kijiji kinachopatikana kaskazini mwa mji mkuu wa Ufilipino, Manila, kimepiga marufuku kufanya umbea. Meya wa mji, Ramon Guico, amesema...

READ MORE

JPM: Wananchi Watibiwe Hata Kama Hawana Pesa – Video

Rais Dkt John Magufuli akizindua hospitali katika Kata ya Mwakibete mkoani Mbeya amewataka watoa huduma za afya kutoa huduma hata...

READ MORE

Mwanzilishi wa Mtandao wa Wikileaks Ahukumiwa Jela Wiki 50

MWANZILISHI wa mtandao wa Wikileaks, Julian Assange, amehukumiwa hapo jana kwenda jela kwa wiki 50, kwa hatia ya kukiuka amri...

READ MORE

Rais MAGUFULI ‘Ampukutisha’ Pesa Diwani – Video

RAIS  Dkt John Magufuli ‘amempukutisha’ pesa kiasi cha shilingi laki tano, Diwani wa Inyala mkoani Mbeya baada ya diwani huyo...

READ MORE

Posts za Mastaa Diamond, Mwana FA, Vee Money Msiba wa Mzee Mengi

Wasanii nchini wamezidi kutuma salamu za pole kufuatia kifo cha Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dkt. Reginald Mengi kilichotokea...

READ MORE

WANAWAKE WAZIDI KUCHANJA MBUGA KIMAENDELEO

Wanawake nchini, jana Jumatano katika kusherehekea siku ya Wafanyakazi (Mei Mosi) walidhihirishwa kuwa wako juu wakati wakitoa tuzo mbalimbali za...

READ MORE

‘MAAJABU’ YA SEPTOL; DAWA INAYOUA VIJIDUDU VYOTE VYA MAGONJWA

Miongoni mwa matatizo yanayowasumbua Watanzania wengi, waishio mijini na vijijini, ni uchafu wa mazingira ambao husababisha vijidudu vya maradhi kuzaliana...

READ MORE

LIVE: KIFO cha Mzee MENGI ni MSIBA wa TAIFA na AFRIKA Nzima!

Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dk Reginald Abraham Mengi amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Mei 2, 2019 akiwa...

READ MORE

Magufuli Amlilia Mengi: ‘Nitamkumbuka kwa Mchango Wake’

RAIS John Magufuli ametuma salamu za pole kwa familia na wafanyakazi wa makampuni ya IPP kufuatia kifo cha Mwenyekiti Mtendaji...

READ MORE

Dkt. Reginald Mengi Afariki Dunia Dubai -Video

MWENYEKITI  Mtendaji wa Makampuni ya IPP, Dkt Reginald Abraham Mengi (75) amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Mei 2, 2019...

READ MORE

JPM: NIONGEZE MSHAHARA? BADO SIJAONDOKA MADARAKANI! – VIDEO

  Kila mwaka tarehe Mosi Mei, Dunia huadhimisha siku ya wafanyakazi ambapo kwa mwaka huu sherehe hizo Kitaifa zimefanyika mkoani...

READ MORE

MREMBO AJIRUSHA GHOROFANI AFARIKI DUNIA KIKATILI

MREMBO aliyefahamika kwa jina moja la Khadija anadaiwa kujirusha kutoka ghorofani na kufariki dunia ambapo mpenzi wake aliyetajwa kwa jina...

READ MORE

Wakurugenzi Waswekwa Ndani kwa Kutoa Zawadi Hewa Mei Mosi – Video

MKUU wa Wilaya ya Karagwe, Godfrey ameliagiza Jeshi la Polisi kuwaweka chini ya ulinzi Kaimu Mkurugenzi Manispaa ya Bukoba, Josephat...

READ MORE

Makonda: JPM Anajinyima Sana, Ikulu Naambulia Korosho Tu – Video

AKIWA katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi mkoani Dar es Salaam, Mkuu wa Mkoa huo, Paul Makonda amewaambia wafanyakazi waliohudhuria...

READ MORE

Benki ya NMB yaahidi kusaidia Wakulima wa zao la Zabibu

Mkurugenzi wa Benki ya NMB, Albert Jonkergouw akiongea na watumishi wa Serikali na wafanyabiashara kwenye chai ya Asubuhi iliyoandaliwa na...

READ MORE

RAIS Magufuli Atoa Maagizo Haya kwa Wafanyakazi – Video

Rais Dkt John Magufuli amesema haelewi sababu za bodi za mishahara nchini Tanzania kutokutana kwa maelezo kwani yeye hana tatizo...

READ MORE

MTOTO MIAKA 5 KUONDOLEWA KIZAZI!

DAR ES SALAAM: EE Mungu! Ndiyo kauli unayoweza kuiotoa kumuonea huruma mtoto wa miaka 5 ambaye madaktari wamemtaka afanyiwe upasuaji...

READ MORE

JPM Awa MBOGO HADHARANI ‘Msinifanye Kama Mtoto Mdogo’ – Video

Rais Dk. John Pombe Magufuli leo Aprili 30, 2019, alikuwa akiendelea na ziara yake ya kikazi Mkoani Mbeya na kusikiliza...

READ MORE