×

Habari

TAHADHARI yatolewa KIMBUNGA KENNETH Kurudi Baharini – Video

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini (TMA) imesema kuwa kimbunga Kenneth kilichokuwa kikitarajiwa kuikumba mikoa ya Mtwara, Lindi na maeneo...

READ MORE

Mama Amlilia JPM: ‘Mwanangu Amelawitiwa’, Rais Ampa Mil 1, Aagiza Haya – Video

RAIS John Magufuli amempa msaada wa kiasi cha Tsh milioni 1, mama mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Swaumu ambaye amemlilia...

READ MORE

JPM Asema: Usajili Laini za Simu Kwa Vidole ‘Hilo Haliwezakani’ – Video

RAIS John Magufuli  ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano nchini (TCRA) kutowabughudhi wananchi ambao hawana vitambulisho vya taifa katika zoezi...

READ MORE

MATESO YA FAMILIA HII TEMEA MATE CHINI!

JE! Mungu mwenye upendo anawezaje kuruhusu mateso ya namna hii kuendelea katika ulimwengu aliouumba? Ndivyo unavyoweza kujiuliza baada ya kusoma...

READ MORE

‘Wekeza Kwangu’ kufanya harambee ya walemavu kesho

WANAHARAKATI kutoka vyuo vikuu nchini, kupitia kampeni ya Wekeza Kwangu, wanatarajia kufanya harambee ya  kuchangisha fedha kwa ajili ya kuwasaidia...

READ MORE

Sugu: Mhe. Rais Ninakuunga Mkono Mpaka Mwisho! – Video

MBUNGE wa Mbeya Mjini (CHADEMA), Joseph Mbilinyi ‘Sugu’,  amesema yapo baadhi ya mambo ambayo viongozi wa upinzani humuunga mkono Rais...

READ MORE

JPM Atoa Msamaha kwa Wafungwa 3,530

Katika kuadhimisha miaka 55 ya Muungano wa Aprili 26, 2019, Rais Magufuli kwa kutumia madaraka aliyopewa chini ya Ibara ya...

READ MORE

JPM Aamuru Airport ya Zamani Kuwa Soko la Machinga Mbeya – Video

RAIS John Magufuli ameuagiza uongozi wa Mkoa wa Mbeya kubadilisha matumizi ya uliokuwa uwanja wa ndege wa zamani kuwa eneo...

READ MORE

JPM Awateua Mpogole na Gwajima Kamati ya TASAF

Rais Dkt. John Magufuli amemteua Dkt. Moses Mpogole Kusiluka kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Taifa ya Uongozi ya Mfuko wa...

READ MORE

Maporomoko ya Udongo Yaua Watu 60

  MAPOROMOKO ya udongo yaliyotokana na mvua kubwa yamesababisha vifo vya watu 60 katika mikoa ya Durban na KwaZulu-Natal nchini...

READ MORE

Mch. Msigwa ‘Afukua Kaburi’ la Mawazo

MBUNGE  wa Iringa Mjini, Mch. Peter Msigwa,  amesema amesikitishwa na kauli ya Waziri wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dkt....

READ MORE

Lugola, Ndugai Wasema CAG Muongo, Amemdanganya Rais – Video

SAKATA  la Ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) liliibuka tena jana bungeni, ambapo Waziri wa...

READ MORE

MAJONZI: Mazishi ya Kikongwe wa Miaka 140, Vilio Vyatawala! – Video

HAKIKA ni simanzi, majonzi na vilio vimetawala wakati wa mazishi ya mzee kikongwe, Siliam Goda, mwenye umri wa miaka 140....

READ MORE

ANASWA KWA WIZI FEDHA MTANDAONI

MOROGORO: Kijana mmoja ‘Sharobaro’ ambaye jina lake halikupatikana mara moja amepokea kochapo kutoka kwa wananchi waliomshutumu kuiba pesa kwa njia...

READ MORE

Ushauri wa Diwani wa Kijichi kwa Vijana Wote Bongo – Video

Diwani wa Kata ya Kijichi, Elias Mtarawanje amewasisitiza vijana kuuenzi Muungano wa Tanzania kama ulivyoasisiwa na wazee wa nchi yetu...

READ MORE

PM Majaliwa Akutana na Mabalozi wa Kenya, Kuwait

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amefanya mazungumzo na mabalozi wa Kenya na Kuwait na kuwasisitizia kwamba Tanzania inakaribisha wawekezaji kutoka kwenye...

READ MORE

‘WEKEZA KWANGU’ WAANDAA HARAMBEE KUCHANGIA WALEMAVU

    Wanaharakati kutoka vyuo vikuu nchini, kupitia kampeni ya Wekeza Kwangu, wameandaa harambee ya kuchangisha fedha kwa ajili ya...

READ MORE

IGP SIRRO ATANGAZA: Sasa Ukiua Bongo, Ukakimbilia Kenya, Utakamatwa Hivi – Video

Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, ametoa wito kwa Watanzania na wasio Watanzania kuacha kufanya vitendo vya...

READ MORE

MAHAKAMA YA TANZANIA KUWAJENGEA UWEZO MAHAKIMU WAPYA

  Mahakama ya Tanzania kwa kushirikiana na Chuo cha Uongozi wa Mahakama Lushoto imeandaa utaratibu wa kuwapatia mafunzo maalum Mahakimu...

READ MORE

Mtoto wa Waziri Mkuu Azungumzia Miaka 55 ya Muungano – Video

VIAJANA wote nchini wameaswa kuulinda na kuuenzi Muungano wa Tanganyika na Zanzibar uliyozaa TANZANIA ikiwa ni pamoja na kuwaenzi viongozi...

READ MORE

Yanga wapewa bei ya Tuyisenge

MENEJA wa Meddie Kagere, Patrick Gakumba amewaambia viongozi wa Yanga iwapo wanahitaji saini ya mshambuliaji wa Gor Mahia wa Kenya,...

READ MORE

Kimbunga Chaua 3 Comoro, Chaelekea Msumbiji/Tanzania

  KIMBUNGA Kenneth kinachovuma katika Bahari ya Hindi kusini-mashariki mwa Afrika,  kimesababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu katika visiwa vya Comoro....

READ MORE

Wananchi Wakusanyika Airport Mtwara, Kimbunga Chatua Comoro – Video

  MVUA za wastani zisizokuwa na upepo zimeendelea kunyesha katika maneo mbalimbali mkoani Mtwara huku  wananchi wakiwa wamajikusanya katika maeneo...

READ MORE

JPM Azindua Msimu Mauzo ya Tumbaku Malawi, Anena Haya! – Video

RAIS  John Magufuli amemaliza ziara yake ya siku mbili nchini Malawi, ambapo leo Alhamisi, Aprili 25, 2019, amezindua msimu wa...

READ MORE

Mbunge: Mnasema POLISI Ugonjwa wa KANSA, Hamjalala Kwenye Handaki Nyie – Video

MBUNGE wa viti Maalum kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anna Mwakilagi ameishauri serikali kupitia Wizara ya Fedha na...

READ MORE

Serikali ya Japan Kuwalipa Waliohasiwa

MAELFU ya raia ambao walihasiwa bila ridhaa nchini Japan wameombwa radhi na serikali na wanatarajiwa kulipwa fidia.   Chini ya...

READ MORE

Azinduka baada ya kupoteza fahamu miaka 27!

  MWANAMKE mmoja kutoka Umoja wa falme za Kiarabu (UAE) aliumia katika ajali ya gari iliyotokea mwaka 1991 na kupoteza...

READ MORE

Kimbunga Kupiga Kusini mwa Tanzania, Msumbiji Alhamisi

  MAMLAKA ya Hali ya Hewa nchini Tanzania (TMA) imetangaza kuwa Kimbunga Kenneth kimeongezeka kasi na kinatarajiwa kufika pwani ya...

READ MORE

Betika Laendelea Kujizolea Umaarufu Kitaa

IKIWA bado ni katika msimu wa Sikukuu ya Pasaka, Gazeti la Betika kama kawaida limeingia mtaani na wasomaji wameendelea kulipokea...

READ MORE

Wateja wa Tigo Kilolo Kuhudumiwa Kwa Kasi zaidi ya 3G

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Wilaya ya Kilolo mkoani Iringa, Philemon Namwenga  (wa tatu kulia) akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mnara...

READ MORE

AUAWA KWA VISU, ATUPWA BWAWANI

MWANAUME mmoja ambaye hajafahamika jina wala makazi yake ameuawa kwa visu na watu wasiojulikana kisha mwili wake kutupwa katika bwawa...

READ MORE

LIVE: Rais MAGUFULI Awasili MALAWI kwa Ziara – Video

  Rais Dk. John Pombe Magufuli na mkewe Mama Janeth Magufuli tayari wameshawasili nchini Malawi kwa ziara rasmi ya Kiserikali...

READ MORE

CCM Yampongeza Mwenezi Arusha “Hatujamfukuza Daktari” – Video

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza Katibu Mwenezi wa chama hicho katika Kata ya Kata ya Levelosi baada ya kushughulikia uzembe...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AFANYA UTEUZI TENA

Rais Dkt John Magufuli amemteua Prof Tadeo Andrew Satta Kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Shirika la Wakala Wa Meli...

READ MORE

JPM Akwea Pipa Kueleka Malawi – Video

Rais Dkt. John Magufuli ameondoka nchini kwenda Malawi kwa Ziara Rasmi ya Kiserikali ya siku mbilli. Baada ya kurejea nchini...

READ MORE

Video: FAMILIA Inayoishi Kwenye Pango la Ajabu Lenye Umeme na TV

EXCLUSIVE: FAMILIA inayoishi kwenye pango zaidi ya miaka minane, hapa ni nyumbani kwa Nuru Lugina, almaarufu ‘Mzee wa Mapangoni. Lugina...

READ MORE

MTOTO AUAWA! MACHO, UBONGO, NGOZI VYANYOFOLEWA

LINDI: Unyama usioelezeka! Ndivyo unavyoweza kutokwa na maneno hayo baada ya kuambiwa mtoto Mutifati Abdilahi (5), Mkazi wa Kata ya...

READ MORE

ALIYEKUFA AJALI YA MWENDOKASI MAPYA YAIBUKA!

KILOSA: Moja ya ajali mbaya zilizotokea katika msimu huu wa Sikukuu ya Pasaka ni pamoja na ile iliyotekea siku ya...

READ MORE