×

Habari

DEREVA BAJAJ YAMFIKA MAZITO!

DEREVA wa Bajaj aliyefahamika kwa jina la Noel Razaro (30) kutoka Mtwara yamemfika mazito baada ya kupata ajali mbaya iliyomsababishia...

READ MORE

Ebola Yaua Uganda, Shughuli za Zasitishwa, Tanzania Yatoa Tamko

Serikali ya Uganda imewataka raia wake katika mpaka na DR Congo kusitisha shughuli zote za kijamii zikiwamo masoko, sherehe, mazishi...

READ MORE

Kortini kwa Kumshika Nyeti Mtoto wa Miaka Mitatu

MKAZI wa Mbezi, Vicent Marseli (37), amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam, akikabiliwa na shtaka...

READ MORE

Rais Magufuli Ateua Viongozi TTCL, Airtel

RAIS  John Magufuli amemteua Mohammed Abdallah Mtonga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).   Mtonga anachukua...

READ MORE

Rais wa Congo, Felix Tshisekedi Kutua Nchini Kesho

Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Felix Tshisekedi anatarajiwa kuwasili nchini kesho Alhamisi, Juni 13 kwa ziara ya siku...

READ MORE

Mwanafunzi Sekondari Afanya Mtihani wa Taifa Akiwa Leba

ALMAZ  DERESE  (21), mwanafunzi wa Shule ya Sekondari nchini Ethiopia amefanya mitihani (Kiingereza, Amharic na Hisabati) akiwa hospitali dakika 30...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi TTCL na Airtel

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemteua Mohammed Abdallah Mtonga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL).  ...

READ MORE

Tigo yaunganisha wateja wa Sumbawanga na mtandao wa 4G          

  Kampuni ya Tigo  imezindua mtandao wenye kasi  wa 4G mjini Sumbawanga, utakaowawezesha wateja wake kupata huduma bora ya intanet,...

READ MORE

Kaka wa Kim Jong-un Aliyeuawa, Alikuwa Jasusi wa CIA

IMERIPOTIWA kwamba kaka wa kambo wa Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un,  aliyeitwa Kim Jong-nam aliuawa kwa sumu akiwa safarini...

READ MORE

Mwanafunzi Aliyevamia Ikulu na Kisu, Apigwa Risasi!

MWANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha Kilimo na Teknolojia cha Jomo Kenyatta (JKUAT) nchini Kenya, Brian Kibet Bera, amepigwa risasi ya...

READ MORE

40 YA MENGI, K- LYNN AFUNGUKA

WaKaTi leo (Jumatatu) aliyekuwa mfanyabiashara bilionea bongo, Dk reginald abraham Mengi, akitimiza siku 40 tangu afariki dunia, mjane wake Jacqueline...

READ MORE

WAHUNI SI WATU WAZURI

Ama kweli wahuni si watu wazuri! hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia tukio la kijana Said Nassoro, mkazi wa Tandika jijini...

READ MORE

JIONEE! Magari Yote Haya, Kompyuta Kuuzwa ‘Bure’ Dar – Video

MAGARI ya bure kuuzwa Dar! Hivi ndivyo unavyoweza kusema kufuatia Kampuni ya Udalali ya Tambaza Auction Mart and General Brockers...

READ MORE

SIMBA: POLOKWANE CITY WAMEKIUKA TARATIBU KUMSAJILI BOCCO

Mshambuliaji wa Simba, John Bocco ameiingiza  vita klabu yake ya Simba na ile Polokwane City inayoshiriki Ligi Kuu Afrika Kusini...

READ MORE

BREAKING: WEMA KUKAMATWA KWA KUKIUKA DHAMANA

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa hati ya kumkamata mwigizaji Wema  Sepetu kwa kosa la kuruka dhamana baada ya...

READ MORE

Lukuvi: Wadaiwa Kodi ya Ardhi Walipe Kabla ya Juni 20, 2019 – Video

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi, amesema wadaiwa sugu wa kodi ya ardhi wanatakiwa kulipa kodi...

READ MORE

 Gari la Bia Laibwa

MAMTONI kweli kuna mambo tena si madogo! Kampuni moja ya bia ijulikanayo kama Unknown Brewery imeibiwa gari lake la bia...

READ MORE

MBUNGE: NIMEPAKWA KINYESI GEREZANI

DAR ES SALAAM: Mbunge wa Tarime Mjini kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleao (Chadema), Ester Matiko amefunguka mambo...

READ MORE

Askari, Mfanyakazi wa TRA Waliotajwa Ikulu kwa Rushwa Wafikishwa Kortini

ASKARI Polisi wawili na mfanyakazi mmoja wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), waliotajwa na mfanyabiashara Ikulu kwamba wamemdai rushwa na...

READ MORE

PSSSF Yaanika Mikakati Kuwalipa Wastaafu

Uongozi wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF), umetembelea ofisi za Global Group zilizopo Sinza Mori...

READ MORE

JPM: ‘Ningewaambia Hizo Tsh Bil 2 Wekeni Kwenye Akaunti Yangu’ – Video

RAIS  John Magufuli amewaapisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Lugha Bashungwa, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

READ MORE

Mgomo wa Kitaifa Sudan Waanza, Wanne Wauawa

VIKOSI vya usalama nchini Sudan vimerusha mabomu ya machozi na kutumia risasi halisi kuwatawanya waandamanaji mjini Khartoum na watu wanne...

READ MORE

Rais Kim Jong Un Kutekeleza Adhabu ya Kifo, Watu Kufanywa Kitoweo!

KIONGOZI wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un,  amefanya majaribio ya njia mpya ya adhabu ya kifo kwa kumWadhibu kiongozi mmoja...

READ MORE

JPM na Mkw Wamjulia Hali Mama Maria Nyerere

Mapema leo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John pombe Magufuli pamoja na mkewe Mama Janeth Magufuli wamemjulia...

READ MORE

JPM: Wanajeshi Wamesomba Korosho, Waziri Upo Tu! – Video

RAIS  John Magufuli amewaapisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Lugha Bashungwa, Kamishna Mkuu wa mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA),...

READ MORE

NMB yaanza kutoa Hati Fungani, kima cha chini laki 5

    BENKI ya NMB, imeanza mauzo ya Hati Fungani ‘NMB Bond’ yenye riba ya asilimia 10 kwa wateja na...

READ MORE

MREMBO AFA KIFO TATA

INASIKITISHA sana! Mrembo mmoja ‘mtoto wa mjini’ aliyejulikana kwa jina la Rehema Kidae almaarufu Rose, mkazi wa Mwananyamala – Kwa...

READ MORE

KANYASU AISHAURI NMB KUSAIDIA UTALII KUSINI 

    Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu amepongeza juhudi za taasisi za fedha nchini  kuona umuhimu wa...

READ MORE

ORODHA YA WANAFUNZI WALIOCHAGULIWA KUJIUNGA KIDATO CHA TANO 2019

OFISI ya Rais Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), imetangaza majina ya wanafunzi wote waliohitimu kidato...

READ MORE

Rais Magufuli Kuwaapisha Viongozi Watatu Ikulu Kesho

Rais Magufuli kesho Juni 10, 2019 atawaapisha Waziri wa Viwanda na Biashara, Innocent Lugha Bashungwa, Katibu Tawala wa Mkoa wa...

READ MORE

Wachimbaji Watano Wafariki Baada ya Kufukiwa na Kifusi Gairo

Wachimbaji watano leo Jumapili Juni 9, 2019 wamefariki baada ya kufukiwa na kifusi katika machimbo ya dhahabu, katika kijiji cha...

READ MORE

BREAKING: ALIYEWAHI KUWA RPC AJINYONGA HADI KUFA ZANZIBAR

Aliyewahi kuwa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mjini Magharibi, DCP Aziz Juma Mohammed (pichani), amekutwa amejinyonga nje ya nyumba yake,...

READ MORE

Dkt. Ndumbaro Atoboa Siri Nzito… Vita ya China na Marekani – Video

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt Damas Ndumbaro amesema kuwa ugomvi kati ya Marekani...

READ MORE

RC Makonda: Wabunge Dar Wahesabu Maumivu 2020 – Video

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amesema wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam wasiofanya ziara na...

READ MORE

Naibu Waziri Aanika Mazito Wabongo Kuteswa, Kuuawa Uarabuni – Video

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt Damas Ndumbaro amesema kuwa baadhi  ya Watazania wanaokwenda...

READ MORE

Halima Mdee Afanyiwa Upasuaji, Alazwa Aga Khan

Mbunge wa Kawe jijini Dar es salaam kupitia CHADEMA Halima James Mdee, amelazwa katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar...

READ MORE

Majambazi Wawili Wauawa Njombe

Jeshi la Polisi mkoani Njombe kwa kushirikiana na wananchi limefanikiwa kuwaua majambazi wawili huku mmoja akifanikiwa kutoroka kwa kutumia gari...

READ MORE

ALICHOFANYIWA MASELE WAFANYIWE MDEE NA LEMA

MIGOGORO ambayo imekuwa ikiibuka bungeni, baina ya baadhi ya wabunge hasa vijana na kiti cha spika na kamati yake ya...

READ MORE

Naibu Waziri Ndumbaro Kuhusu Ushoga: “Sio Makonda tu, Hata Trump” – Video

NAIBU Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt Damas Ndumbaro amesema kuwa baadhi  ya Watazania wamekuwa...

READ MORE

JPM Amtumbua Waziri Kakunda, Amteua Bashungwa, Kamishna TRA ‘Aenda na Maji’

Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametengua uteuzi wa aliyekuwa Waziri wa Viwanda na Biashara, Joseph George Kakunda na kumteua aliyekua...

READ MORE