×

Habari

MANARA: Mwaka Huu Nilitaka Kuachana na Usemaji wa Simba – Video

MSEMAJI wa klabu ya Simba ambao ni mabingwa wa soka Tanzania Bara, Haji Manara, amesema ilibaki kidogo tu mwaka huu...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AFIKA SOKO LA FERRY AKIWA KATIKA MATEMBEZI YA JIONI

               

READ MORE

Mlinzi wa Shule Aliyemuua Mwanafunzi Ahukumiwa Kifo – Video

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Moshi imemhukumu kunyongwa hadi kufa mlinzi wa Shule ya Sekondari ya Scolastica, Hamis Chacha (30), baada...

READ MORE

HASHIM RUNGWE Alivyoripoti Polisi, Adai Watapata Shida – Video

MWENYEKITI wa Chama cha Umma (CHAUMA), Hashim Rungwe,  amehojiwa na Kamanda wa Polisi Kinondoni katika Kituo cha Polisi, Oyster Bay...

READ MORE

MAKONDA AKIWAKABIDHI MAMILIONI WACHEZAJI WA SIMBA – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda ametekeleza ahadi ya kutoa zawadi kwa wachezaji ambao walishinda Tuzo za Mo Simba...

READ MORE

Rais Magufuli Akutana na Gwajima Ikulu – Video

RAIS John Magufuli amekutana na kuzungumza na Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima Dkt. Josephat Gwajima leo Juni...

READ MORE

Wizara ya Fedha Yaomba Bajeti ya Tsh Trilioni 11.94

UTANGULIZI  Mheshimiwa Spika, kutokana na    taarifa iliyowasilishwa ndani ya Bunge lako Tukufu na Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti,...

READ MORE

Aliyekimbiwa na Mumewe Kwa Kujifungua Mapacha Wanne, Apewa Mil 32 Bungeni

MAMA aliyejifungua watoto mapacha wanne Radhia Solomon (24) mkazi wa Chemchemi Magomeni jijini Dar es Salaam na kutelekezwa na mmewe...

READ MORE

UBAKAJI WANAWAKE USIKU… TELEZA WA KIGOMA NI ZAIDI YA POPOBAWA!

ACHANA na habari za propaganda za popobawa kuwaingilia watu usiku na kuwanyanyasa kingono zilizokuwa zikivuma miaka ya nyuma, sasa kuna...

READ MORE

GGM, TACAIDS Kuzindua Kilimanjaro Challenge Ili Kutokomeza Ukimwi

Mgodi wa Dhahabu wa Geita (GGM) kwa kushirikiana na Tume ya kuthibiti UKIMWI Tanzania (TACAIDS) inatarajia kuzindua zoezi la upandaji...

READ MORE

Taarifa ya Seriali Kuhusu Mjamzito Aliyepasua Tumbo Lake na Kutoa Mtoto

Kuanzia Mei 30, 2019 kuna taarifa zilizosambaa na kutolewa na baadhi ya vyombo vya habari na mitandao ya kijamii kuhusu...

READ MORE

Wazir TAMISEMI azitaka Halmashauri kununua hisa za DCB 

  WITO umetolewa kwa halmashauri zote nchini kununua hisa za Benki ya Biashara ya DCB kwani licha ya kupata faida...

READ MORE

ALIYEFANYA KAZI NA MAITI MIAKA 32 AFUNGUKA MAZITO

BASIL ENATU (57) ambaye ni mhudumu wa chumba cha kuhifadhia maiti katika hospitali ya Soroti chini Uganda, amesema kuwa anafurahi...

READ MORE

Ray Vanny anogesha ubingwa wa Liverpool Dar

      WAKATI mashabiki wa Liverpool wakishangilia kwa msisimko baada ya timu yao kutwaa Kombe la Klabu Bingwa Ulaya...

READ MORE

Taasisi za fedha zatakiwa kuchangamkia viwanda vya usindikaji maziwa

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mifugo, Prof. Elisante Ole Gabriel amezitaka taasisi za fedha nchini kuchangamkia fursa ya soko la...

READ MORE

NMB YATOA NAFASI KWA WATU WATANO WENYE ULEMAVU

Mtaalamu Mwandamizi wa Vipaji, Mafunzo na uendelezaji wa benki ya NMB, Edith Mwiyombela, kizungumza wakati wa ziara ya mafunzo iliyoandaliwa...

READ MORE

UGANDA WAFANYA MISA KUMUOMBEA NYERERE AWE MTAKATIFU

Kila Juni Mosi ya kila mwaka, ni siku ya kumuombea Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kuwa Mwenyeheri na...

READ MORE

Hizi Playoff za leo Patachimbika

LIGI Kuu Bara imemalizika lakini kuna mechi mbili ngumu za mtoano wa kuwania nafasi ya kucheza michuano hiyo msimu ujao...

READ MORE

SEMINA YA UELEWA KUHUSU UALBINO KWA WAHARIRI

Wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini wiki hii walishiriki Semina ya Uelewa Kuhusu Ualbino iliyofanyika mjini Morogoro.   Semina...

READ MORE

GLOBAL GROUP YAFUTURISHA WATOTO YATIMA

Kampuni ya Global Group yenye makao makuu yake Sinza Mori jijini Dar es Salaam, leo imeandaa futari iliyowahusisha wafanyakazi wa...

READ MORE

Kenya Yazindua Noti Mpya, Buku Yaondolewa Kwenye Mzunguko

Serikali ya Kenya imezindua noti mpya za fedha ambazo zina picha za wanyama na vielelezo vingine vinavyoliwakilisha taifa hilo.  ...

READ MORE

MEYA WA MANISPAA YA UBUNGO ALIVYOFUTURISHA

MEYA wa Manispaa ya Ubungo, Boniface Jacob, jana waliwafuturisha wakazi wa manispaa hiyo kwenye ofisi ya Kata ya Ofisa Mtendaji...

READ MORE

12 Wauawa Kwa Shambulio la Risasi Marekani

WATU 12 wameuawa na wengine sita kujeruhiwa katika mashambulio ya kurushiana risasi katika jumba la serikali jimboni la Virginia nchini...

READ MORE

BREAKING: Makamba Afanya Msako wa ‘Rambo’ Mitaani – Video

JUMAMOSI ya leo Juni Mosi ni siku ambayo marufuku ya kutumia mifuko ya plastiki maarufu kama mifuko ya rambo inaanza...

READ MORE

Tigo Yazindua Ofa Ya ‘Saizi Yako’ Inayokidhi Mahitaji Ya Kila Mteja

    Wateja wa Tigo sasa wana kila sababu ya kufurahi baada ya uzinduzi wa ofa mpya ya ‘Saizi Yako’...

READ MORE

Taasisi ya Doris Mollel Yatoa Msaada Bagamoyo

  TAASISI ya Doris Mollel kwa kushirikiana na Shirika la Kiserkali la Uturuki nchini Tanzania (TIKA) imetoa msaada  wa chakula...

READ MORE

ALIYEMUUA MKE, MKWE, JIRANI… UNDANI WAANIKWA

MOROGORO: Tukio la Michael John Mwandu, mkazi wa Dumila, Wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro la kumuua mkewe, jirani na mkwewe...

READ MORE

LIVE: RC MAKONDA AKIFUTURISHA MUDA HUU DIAMOND JUBILEE – VIDEO

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Mei 31, ameandaa Iftar maalum kwa ajili ya watu wenye...

READ MORE

MCHUNGAJI AZUA TAFRANI KARIAKOO

DAR ES SALAAM: Ukisikia neno mchungaji amezua tafrani na kufunga mtaa mchana kweupe lazima utabaki na maswali mengi, imekuwaje kwani...

READ MORE

INATISHA! MJAMZITO Ajipasua TUMBO Ajizalishe, RPC Asimulia! – Video

MWANAMKE mmoja aliyejulikana kwa jina la Joyce Kalinda anadaiwa kujipasua tumbo kwa kitu chenye ncha kali na kumtoa mtoto, wilayani...

READ MORE

Mwili wa Tshisekedi Wawasili DRC

Mwili wa kiongozi wa zamani wa upinzani katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC), Etienne Tshisekedi umewasili mji mkuu wa...

READ MORE

MBOZI: MILIONI 15.2 ZA MAUZO YA VITAMBULISHO VYA ‘WAMACHINGA’ HAZIONEKANI

Katibu tawala Wilaya ya Mbozi, Tusubilege Benjamin amesema Sh15.2milioni za mauzo ya vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo 760 katika halmashauri ya...

READ MORE

Breaking: Mjumbe Wa Kamati Ya Utendaji Yanga Afariki

Klabu ya Yanga imepata pigo kufuatia kifo cha mjumbe wake wa kamati ya Utendaji Felix Kibodya. Kibodya amefariki usiku wa...

READ MORE

WAZIRI AIBUA KIKOMBE CHA BABU WA LOLIONDO

WAZIRI wa Nishati Dk. Medard Kalemani, mwishoni mwa wiki iliyopita aliibua upya ishu ya kikombe cha Babu wa Loliondo baada...

READ MORE

POLISI WAANIKA MAPYA WIZI KWA MENGI NYUMBANI

DAR ES SALAAM: Zikiwa zimepita takribani wiki mbili tangu watu wasiofahamika kudaiwa kuingia nyumbani kwa aliyekuwa mfanyabiashara na Mwenyekiti wa...

READ MORE

BAADA YA KUDHIBITI, SASA SERIKALI INAINGIZA MKWANJA KWENYE MADINI – VIDEO

SERIKALI imesema maono na mtazamo yakinifu wa Rais Dkt. John Magufuli katika usimamizi na ufuatiliaji wa sekta ya madini, umewezesha...

READ MORE

TAASISI YA CANADA YAIPA JKCI MASHINE YA MAGONJWA YA MOYO KWA WATOTO!

Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imepokea mashine ya Echo kutoka katika Taasisi ya Save a Child’s Heart kutoka...

READ MORE

Magufuli Amaliza Ziara Zimbabwe, Awasili Nchini – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli arejea nchini Tanzania akitokea Zimbabwe alikokuwa kwa ziara ya...

READ MORE

Mkuu wa Upelelezi Aliyehukumiwa Kunyongwa Aamua Haya

ALIYEKUWA Mkuu wa Upelelezi Wilaya ya Kinondoni, Mrakibu wa Polisi (SP), Christopher Bageni, aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa kuwaua wafanyabiashara...

READ MORE

Kada wa CCM Arusha Mbaroni kwa Ujambazi

JESHI la polisi mkoani Arusha linamshikilia mtuhumiwa sugu wa ujambazi, Jumanne Mjuzi (J4) mkazi wa Ngarenaro jijini Arusha ambaye pia...

READ MORE