×

Habari

Kamanda MAMBOSASA Kazungumza haya kuelekea PASAKA – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, limesema kuwa limejipanga kuhakikisha wananchi wa Mkoa huo  wanasherehekea Sikukuu ya...

READ MORE

UKATILI! KICHANGA CHATUPWA CHOONI, WANAFUNZI WAZUA TAHARUKI! – VIDEO

UKATILI! Kitoto kinachokadiriwa kuwa na umri wa siku moja kimetupwa chooni kwenye choo cha wasichana katika Shule ya Sekondari Kazima...

READ MORE

BREAKING NEWS: AJALI YA MWENDOKASI YAUA DEREVA WA UBER – VIDEO

DERVA wa gari dogo aina ya Nissan March lenye namba za usajili T968 DNZ linalodaiwa kuwa ni la huduma ya...

READ MORE

NYETI ZA JAMAA ALIZOKATWA KENYA ZAPATIKANA TANZANIA

POLISI  wa Migori, Jimbo la Nyanza Kusini mwa Kenya, wamesema wamepata nyeti za mwanaume aliyejulikana kwa jina la Felix Otieno...

READ MORE

RC Makonda Akagua Ujenzi Wa Nyumba Za Magereza, Asifia (Picha +Video)

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameendelea na ziara yake ya kukagua miradi ya Serikali ambapo ambapo...

READ MORE

Mbaroni kwa Kutumia Jina la Mke wa JPM Kutapeli, Kutakatisha Fedha!

WATU wanne wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam wakikabiliwa na mashtaka manne ikiwemo kutumia jina...

READ MORE

Peneza Amvaa Polepole Aliyesema Viti Maalumu Chadema ‘Wamepitiwa’ na Mbowe

MBUNGE wa Viti Maalum (Chadema), Upendo Peneza,  amemvaa Katibu Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Humphery Polepole, kuwa amewadhalilisha wabunge...

READ MORE

Jeshi Lililompindua Rais wa Sudan Latoa Maagizo Mazito kwa Benki Kuu

Baraza la Kijeshi linaloongoza serikali ya mpito nchini Sudan limeiamuru Benki Kuu ya nchi hiyo, kuchunguza shughuli zote za uhamishaji...

READ MORE

Tundu Lissu: Sasa Nipo Fiti, ‘Soon’ Narejea Tanzania

MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu,  ambaye yupo nchini Ubelgiji baada ya kupigwa risasi zaidi ya 30, mwaka jana, amesema...

READ MORE

Bibi Aliyetuhumiwa Kuua Mwanafunzi Auawa Kinyama na Wananchi

MAUAJI YA KUTISHA! Tukio lisilo la kawaida limetokea Wilayani Muleba Kata ya Kishanda Mkoani Kagera ambapo mtoto mwenye Ismail Hamisi...

READ MORE

Sugu Alivyogoma Kusoma Hotuba ya Upinzani Bungeni

Msemaji wa Kambi rasmi ya upinzani Bungeni katika Wizara ya Habari Joseph Mbilinyi (Sugu) amegoma kuendelea kusoma hotuba yake Bungeni...

READ MORE

HATIMAYE KANUMBA, MZEE MAJUTO WALIPWA MILIONI 45

WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk Harrison Mwakyembe,  amesema wasimamizi wa mirathi ya wasanii marehemu Steven Kanumba na...

READ MORE

Polisi Waacha Kituo Wakitazama Mechi, Wezi Waondoka na Kuiba Bunduki 3

WEZI wamevunja kituo cha Polisi cha Kamorwon kilichopo kaunti ya Nandi nchini Kenya, na kuiba baadhi ya silaha zilikuwepo katika...

READ MORE

Mapokezi ya Nabii Mwanamke Yatikisa Airport DSM – Video

Nabii wa Kimataifa anaejulikana kama Dkt. Lucy Natasha kutokea nchini Kenya, ametua Tanzania kwa ajili ya Semina ya maalum ya...

READ MORE

MARIAM WA SINGIDA ANAYETESEKA KWA KIDONDA AFIKISHWA MUHIMBILI

BINTI Mariam Rajab (25), mkazi wa Singida ambaye video yake imesambaa kwenye mitandao ya kijamii akiomba msaada wa matibabu, amewasili...

READ MORE

Rais JPM Atoa Wiki Moja Lukuvi na Kakunda

Rais wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ametoa wiki 1 kwa Wizara ya Ardhi inayoongozwa na William Lukuvi, na Wizara...

READ MORE

Serikali Yafunguka Kuhusu Elimu ya Msingi Kuishia Darasa la 6

SERIKALI imesema kwa sasa hakuna haja ya kubadilisha muda wa kuhitimu elimu ya msingi kwa sababu imebaini muda wa miaka...

READ MORE

Serikali Yashusha Gharama Za Urasimishaji Ardhi

WAZIRI wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi amesema kuanzia sasa gharama za urasimishaji haitazidi shilingi 150,000 badala...

READ MORE

JPM Atoa Rambi Rambi Mil 5, Utekaji na Mauaji ya Watoto Njombe

MKUU wa mkoa wa Njombe, Christopher Olesendeka amekabidhi fedha ya rambi rambi kiasi cha shilingi milioni tano zilizotolewa na Rais...

READ MORE

Mwenyekiti wa CHADEMA Dodoma Ahamia CCM

Yona Kusaja ambaye alikuwa ni Diwani wa Kata ya Kikombo na Mwenyekiti wa Chadema Wilaya ya Dodoma Mjini, amejivua uanachama...

READ MORE

IMEFICHUKA! SABABU YA MAKABURI KUFUKULIWA, MAITI KUDHALILISHWA!

WANAFUKUA makaburi na kuzifanyia udhalilishaji maiti kwa sababu gani? Ni swali ambalo wengi wangetamani kupata majibu yake; ambapo UWAZI linakuja...

READ MORE

MAKONDA AMPONGEZA MKURUGENZI TEMEKE – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda amempongeza Mkurugenzi wa Wilaya ya Temeke, Lusubulo Mwakabibi kwa kusimamia miradi mbalimbali inayoendelea...

READ MORE

Betika  Kugawiwa Bure Katika Maboksi Maalum Dar

  LIKIWA na takribani miezi miwili mtaani, Gazeti la Betika limezidi kutikisa kila kona  nchini  ambapoleo Aprili 17 limemwaga masanduku...

READ MORE

Betika Lazidi Kutikisa Kila Kona

  LIKIWA na takribani miezi miwili mtaani, gazeti la Betika limezidi kutikisa kila kona ya Tanzania kutokana na utofauti wake....

READ MORE

 Balozi Falme za Kiarabu ajitolea kusomesha watoto wa kike

BALOZI wa Falme za Kiarabu nchini na wamiliki wa Erminet, Khalifa Abdul Rahman Al-Marzooqi, wamejitolea kuwasomesha wanafunzi wa kike 100...

READ MORE

Moto Ulivyotikisa Jengo Kubwa Dodoma

Jana Jumanne, Aprili 16, 2019 ajali kubwa ya Moto ilitokea katika jengo la mfanyabiashara, Franscis Maiko Shio Jijini Dodoma lililo...

READ MORE

Kisa Marekani, Urusi Sasa Kuuunda INTERNET Yake ya Pekee

Bunge la Urusi limepitisha muswada ambao ukiwa sheria basi Taifa hilo lenye Watu zaidi ya M.140 litaunda INTERNET yake peke...

READ MORE

Hakuna MIMBA za MAGEREZANI / Wafungwa Hawaruhusiwi Kuburudika! – Video

NI kipindi cha maswali na majibu Bungeni jijini Dodoma ambapo leo ni kikao cha 12 katika mkutano wa 15 wa...

READ MORE

Ofisi Ya Bunge Yakanusha Taarifa Hizi Kuhusu CAG

Ofisi ya Bunge imekanusha kuwa Spika Job Ndugai ameandika barua inayotoa wito kwa CAG, Prof. Mussa Assad kujiuzulu ama kujieleza...

READ MORE

ARUSHA: AJICHINJA KOROMEA HADI KUFA, RPC AFUNGUKA! – VIDEO

Jeshi la Polisi Mkoani Arusha limethibitisha kifo cha Mkazi Mmoja wa Simanjiro, Razaro Kiolori (53) ambaye amefariki dunia baada ya...

READ MORE

Jeshi la Sudan Lapwa Siku 15 Kung’oka Ikulu

Baraza la Amani na Usalama la Umoja wa Afrika, limelitaka Jeshi la Sudan kuhakikisha linaachia madaraka kwa utawala wa kiraia...

READ MORE

Mwalimu wa Nursery Matatani Ubakaji!

  HII NI AIBU! Mwalimu siku zote amekuwa ni kimbilio kwa wazazi ambao huamini ni mlezi wa pili, lakini linapokuja...

READ MORE

MASIKINI! Mrembo wa Ini, Figo, Moyo, Kibofu Afariki!

INASIKITISHA sana! Zakia Mohammed (18), mkazi wa Tabata jijini Dar ambaye wiki iliyopita Gazeti hili la Uwazi liliandika habari yake...

READ MORE

Mashine ya Korosho ‘Yachinja Mtu, Afariki, Yajeruhi Wawili

SADA Juma (28) ni mkazi wa Kata ya Msinjahili, Manispaa ya Lindi mkoani hapa ambaye hivi karibuni alifariki dunia kwa...

READ MORE

ALIYEBOMOLEWA NYUMBA KWA JIWE LA MGODINI ALIA KUTOSWA!

WAZIRI Biteko upo? MZEE Boniphace Mhere Mgaya, (pichani) mkazi wa Kijiji cha Nyabichune, Kata ya Matongo- Nyamongo, Wilaya ya Tarime...

READ MORE

ACHA MILA ZENYE MADHARA; TOKOMEZA UKEKETAJI

Kila mwaka, Februari 6 Tanzania huungana na jamii ya ulimwengu kuadhimisha Siku ya Kupinga Ukeketaji. Historia ya ukeketaji imeendelea kuwepo...

READ MORE

USIYOYAJUA KUHUSU MKAGUZI MKUU WA HESABU ZA SERIKALI (CAG)

MWEZI Aprili mwaka huu umeanza na mjadala mkubwa juu ya ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali baada ya...

READ MORE

Wasanii wasisitizwa kujitambua, kujithamini na kujitangaza

  WASANII nchini wamesisitizwa juu ya umuhimu wa kujijenga uwezo, kujithamini na kujitangaza iwapo wanataka kuiinua tasnia ya sanaa hiyo...

READ MORE

Rais wa Ufaransa Aomba Msaada Kulijenga Upya ‘Notre Dame’

RAIS  wa Ufaransa ameahidi kupata misaada ya kimataifa katika kulijenga upya kanisa kongwe la Notre Dame jijini Paris baada ya...

READ MORE