×

Habari

EXCLUSIVE na Mganga Aliyemfufua Mtoto MSUKULE Kilimanjaro – Video

Mganga Moto wa Radi ambaye ameendelea kujizolea umaarufu baada ya ‘kumfufua’ mtoto aliyedaiwa kufariki tangu mwaka jana katika maeneno ya...

READ MORE

HATIMAYE RUGE AZIKWA KISHUJAA BUKOBA – PICHAZ

HATIMAYE mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, Ruge Mutahaba umezikwa Machi 4, 2019 kishujaa nyumbani...

READ MORE

Basi la BM Lapinduka Likikwepa Treni – Pichaz

BASI la Kampuni ya BM Coach limepata ajali ya kupinduka jana Jumatatu, Machi 4, 2019 majira ya alasiri wakati likijaribu...

READ MORE

Wateja wa DStv waula kwenye Promosheni ya “Tia kitu pata vituz” 

  Wateja 15 wa DStv wameibuka washindi wa wiki ya kwanza ya promosheni ya “Tia kitu pata vituz” inayoendeshwa na MultiChoice Tanzania....

READ MORE

Alichokisema Balozi Mahiga Baada ya Kuapishwa – VIDEO

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi ameanza kazi rasmi kwa kumtaka Katibu Mkuu...

READ MORE

Prof. Kabudi Atoa ONYO kwa Wanaoichafua Tanzania – Video

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Profesa Palamagamba Kabudi, amewataka watu wanaoisema vibaya Tanzania kukaa kimya...

READ MORE

PRINCE STATIONERY WAJA NA OFA YA PUNGUZO VIFAA VYA MAOFISINI

Prince Stationery, wauzaji bingwa wa vifaa vya maofisini na shuleni kwa jumla na rejareja, wametangaza ofa kubwa katika msimu huu...

READ MORE

YANAYOJIRI GYMKHANA BUKOBA KWENYE MAZISHI YA RUGE – PICHAZ

MWILI wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, marehemu Ruge Mutahaba umeagwa katika ibada maalum iliyofanyika kwenye...

READ MORE

JPM: Mo Dewji Alionekana Akinywa Chai na Mambosasa – Video

RAIS  John  Magufuli ameonyesha kutoridhishwa na namna ambavyo suala la upelelezi wa tukio la kutekwa kwa mfanyabiashara Mohammed Dewji ‘Mo...

READ MORE

Rubani wa Makamu wa Rais Afariki kwa Ajali ya Ndege

CAPTAIN Mario Magonga, aliyekuwa rubani wa Makamu wa Rais wa Kenya,  William Ruto,  amefariki katika ajali baada ya ndege aina...

READ MORE

Zahera avunja na kuweka rekodi mpya Yanga

UKIWA ni msimu wake wa kwanza katika Ligi Kuu Bara, Kocha Mkuu wa Yanga, Mwinyi Zahera, amefanikiwa kuvunja rekodi ya...

READ MORE

BENKI YA NMB YASAIDIA KITUO CHA AFYA MIRERANI

  BENKI ya NMB imetoa msaada wa vitanda vya kujifungulia pamoja na vifaa tiba vyenye thamani ya Sh Milioni 10 katika...

READ MORE

MWILI WA RUGE WAFIKISHWA GYMKHANA KUAGWA- PICHAZ

MWILI wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media, Ruge Mutahaba tayari umefika katika Viwanja vya Gymkhana mjini Bukoba...

READ MORE

BREAKING: JPM Aanika Sababu za Kuwabadilisha Kabudi na Mahiga – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt John Magufuli, leo Machi 04, amewaapisha Balozi Dk. Augustine Phillip Mahiga kuwa...

READ MORE

NDIKILO AKARIBISHA KAMPUNI 13 KUJENGA VIWANDA KWENYE MKOA WAKE

SERIKALI ya Mkoa wa Pwani,kupitia Mkuu wa Mkoa huo Mhandisi Evarist Ndikilo amesema hawako  tayari kuzikosa kampuni 13 ambazo zimepelekwa...

READ MORE

LISSU AFUNGUKA LOWASSA KUREJEA CCM

MBUNGE wa Singida Mashariki na Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Tundu Lissu amejitokeza na kumtakia heri Waziri Mkuu...

READ MORE

Mtanzania ashinda mbio za Tigo Kili Half Marathon  

  MTANZANIA Emmanuel Giniki ameibuka mshindi wa mbio za kilomita 21 maarufu kama Tigo Kili Half Marathon zilizofanyika mjini MoshI....

READ MORE

Mkuu wa Wilaya Anusurika Kifo

MKUU wa Wilaya ya Newala, Aziza Mangosongo na watu wengine watatu wamenusurika kifo baada ya gari walilokuwa wamepanda kupata ajali...

READ MORE

Wakazi wa Polisi Mabatini Dar walia na ujenzi mbovu wa mifereji, wamuita Makonda

    WAKAZI wa eneo la Kituo cha Polisi cha Mabatini kilichopo Kijitonyama jijini Dar es Salaam, wamelalamikia ujenzi mbovu...

READ MORE

Lowassa Amjulia hali Balozi wa zamani Dr. Ahmed kiwanuka

Waziri Mkuu mstaafu Mh. Edward Lowassa leo amefika kumjulia hali mwanadiplomasia mkongwe na Balozi wa zamani Dr. Ahmed M kiwanuka...

READ MORE

MWILI WA RUGE MUTAHABA WAWASILI BUKOBA (PICHA +VIDEO)

Mamia ya wakazi wa Bukoba na vitongoji vinavyoizunguka Wilaya hiyo wamejitokeza kwa wingi kuupokea  Mwili wa aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi...

READ MORE

RAIS wa Real Madrid Amuweka Sokoni Gareth Bale

RAIS wa Real Madrid, Florentino Perez ameamua kumweka sokoni winga wa timu yake, Gareth Bale. Uamuzi wa Perez umeshangaza wengi...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AFANYA MABADILIKO MADOGO BARAZA LA MAWAZIRI

Rais Magufuli amemteua Dk. Augustine Mahiga kuwa Waziri wa Katiba na Sheria na pia amemteua Prof. Palamagamba Kabudi kuwa Mambo...

READ MORE

KIJANA: NAKUFA NA JIONA AELEZA ANAVYOTESEKA, INAUMA SANA

KIJANA Lusubilo Sinunu (18), mkazi wa Kata ya Kisegese-Busokelo Wilaya ya Rungwe mkoani hapa ametamka maneno mawili; “Ninakufa ninajiona.”  Lusubilo alitoa...

READ MORE

KUTOKA BUKOBA: MAANDALIZI YA KUMPOKEA RUGE YAMEKAMILIKA

BAADA wakazi wa Dar na viunga vyake kuupokea na kuuaga mwili wa mpambanaji, ‘Shujaa Muongoza Njia’ marehemu Ruge Mutahaba, mwili...

READ MORE

HIZI NDIZO SIKU 180 ZA MATESO YA RUGE

DAR ES SALAAM: Wakati mwili wake ukiwasili nchini leo ukitokea nchini Afrika Kusini, bado wingu jeusi limetanda nchi nzima kufuatia...

READ MORE

TAHARUKI MAKABURINI DAR!

DAR ES SALAAM: Taharuki ya aina yake imeibuka hivi karibuni maeneo Kiwalani jijini Dar ambapo baadhi ya wananchi wamedai kuwa,...

READ MORE

MCHUNGAJI AZUA BALA AGESTI

DAR ES SALAAM: Dunia ina mambo! Mchungaji na nabii aliyejulikana kwa jina la Stekamba Bin Mariam anayetoa huduma ya uponyaji...

READ MORE

Dkt Reginald Mengi, Shigongo Watoa Heshma zao za Mwisho Kuuaga Mwili wa Ruge Mutahaba

Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Dkt. Reginald Mengi, na Mkurugenzi wa Kampuni ya Global Group, Eric Shigongo ni miongoni...

READ MORE

Makonda Akimuaga Ruge: “Niliomba Familia Iniondoe Kwenye Ratiba – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda amesema kwamba kutokana na uchungu alioupata wa kuondokewa na ‘kaka’ yake...

READ MORE

Barnaba Aanguka Akimuaga Ruge – Video

MSANIO wa kuzazi kipya Barnaba amesababisha vilio kutawala baada ya kushindwa kumalizia hotuba yake huku akiomba afunguliwe jeneza kumuona baba...

READ MORE

Rais MAGUFULI Amuaga RUGE kwa Mara ya Mwisho (Picha +Video)

RAIS  wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Magufuli ameungana na viongozi mbalimbali wa serikali na maelfu ya wakazi...

READ MORE

Breaking: Diamond Awasili Karimjee Kumuaga Ruge – Video

MSANII wa WCB, Diamond Platnumz leo Machi 2, 2019 amefika katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam, kuungana na...

READ MORE

NANDY AMWAGA MACHOZI AKIMWIMBIA RUGE- Video

MSANII wa Bongo Fleva, Nandy ameshindwa kabisa kuendelea kuimba wimbo wa Angel Benard, Nikumbushe ambao Nandy aliufanya Cover.   Wimbo...

READ MORE

HARMONIZE AWASILI KARIMJEE KUMUAGA RUGE

Msanii kutoka Lebo ya WCB, amefika katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es Salaam kuungana na waombolezaji kuaga mwili wa...

READ MORE

Kusaga Afunguka Alichoambiwa na Ruge Kabla ya Kifo – Video

MKURUGENZI Mtendaji wa Clouds Media Group, Joseph Kusaga, ameeleza kuwa alikutana na Ruge miaka 25 iliyopita wakati akifanya kazi za...

READ MORE

Familia Yawasamehe Wote Waliomkosea Ruge – Video

FAMILIA ya marehemu Ruge Mutahaba imesema imewasamehe watu wote waliomkosea au kutoelewana na ndugu yao wakati akiwa hai kwani ni...

READ MORE

Kikwete Ampa Tano Lowassa Kurejea CCM

Rais Mstaafu wa awamu ya nne, Dkt Jakaya Kikwete amempongeza Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kwa uamuzi wake wa...

READ MORE