×

Habari

ADAIWA KUMCHOMA VISU MWENZAKE, AMSUBIRIA AFE!

UKIULIZWA ‘Kwa nini umemchoma kisu mwenzio na kumuua?’ Na ukagundua kuwa kosa lake lilikuwa ni kuvaa raba zako nyeusi za...

READ MORE

VIFO VYA WANAHABARI CHANZO CHATAJWA

MSIBA mbichi ni wa mwanahabari nguli nchini, Ephraim Samson Kibonde (47) ambaye alifariki dunia ghafla Machi 7, mwaka huu na...

READ MORE

Spika Ndugai Awakaribisha Mbowe na Matiko Bungeni

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amemkaribisha Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe kuendelea na shughuli...

READ MORE

Polisi Yaua Majambazi Watatu Kigoma

JESHI la Polisi Mkoani Kigoma limefanikiwa kuua majambazi watatu kati ya watano waliofanya tukio la unyanganyi wa kutumia silaha za...

READ MORE

RC Aggrey Mwanri Azindua Jukwaa la NAWEZA Tabora

  Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri leo amezindua jukwaa la “NAWEZA” litakalolenga kutoa elima ya Afya kwa wananchi...

READ MORE

Polisi vs ‘CUF ya Lipumba’ Hapatoshi

MKUTANO Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), upande wa Profesa Ibrahim Lipumba, umesimama baada ya kutokea kutoelewana baina ya viongozi...

READ MORE

VIFO VYA RUGE, KIBONDE FUNZO KUBWA

DAR ES SALAAM: FUNZO kubwa! Ndiyo kauli iliyosikika ka­tika vinywa vya wengi, kuelezea vifo vya Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji...

READ MORE

ZAMBI ATAJA UTAJIRI WA LINDI KWENYE UWEKEZAJI

Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi  amesema mkoa wake una utajiri mkubwa katika sekta ya uwekezaji na una fursa...

READ MORE

BAD NEWS: MAFURIKO YAUA 28

IDADI ya watu waliokufa kutokana na mvua kubwa zilizosababisha mafuriko Kusini mwa Malawi imefikia watu 28. Taarifa ya Wizara ya...

READ MORE

HII SIYO YA KUKOSA KUTOKA DSTV, TIA KITU PATA MAVITU!

Njoo tukupe“Step Up” offer jiongeze kwa kulipia kifurushi cha DStv cha juu ya utumiacho sasa kisha DStv watakupatia kifurushi cha...

READ MORE

Moto Wateketeza Mali za Mamilioni Sokoni

  WAFANYABIASHARA wanahesabu hasara baada ya mali ya thamani isiyojulikana kuteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo (Jummane) alfajiri katika...

READ MORE

AJIFUNGUA WATOTO WANNE KWA MPIGO, AMLILIA JPM – VIDEO

BINTI wa miaka 24, Radhia Solomon,  mkazi wa Mtaa wa Chemchemi, Magomeni-Mapipa jijini Dar es Salaam, ambae amejifungua watoto wanne...

READ MORE

HATIMAYE ZIDANE AREJEA REAL MADRID

KLABU ya Real Madrid imemtangaza Zinedine Zidane kuwa Kocha Mkuu wa Klabu hiyo ikiwa ni miezi 10 tu tangu Mfaransa...

READ MORE

UBA YASHEREHEKEA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KWA KUTOA MISAADA HOSPITALI YA TEMEKE

      Benki ya United Bank for Africa Tanzania (UBA) imesherehekea siku ya wanawake duniani kwa kutoa msaada wa...

READ MORE

MANARA: STORI NCHI NZIMA NI SIMBA, LABDA AFE MTU MKUBWA- VIDEO

MSEMAJI wa Timu ya Soka ya Simba Haji Manara amewataka mashabiki wa Simba kuja kwa wingi katika Uwanja wa Taifa...

READ MORE

Uzinduzi wa Jukwaa la Mawasiliano ya Afya Kwa Watu Wazima

SERIKALI ili kupunguza vifo vya uzazi Mama na Mtoto ikishirikiana na Mradi wa USAID Tulonge Afya fhi 360  imezindua Jukwaa...

READ MORE

China Yasimamisha Matumizi ya Boeing 737 Max 8

  CHINA imesimamisha mashirika yake ya ndani kutumia ndege aina ya Boeing 737 Max 8 kufuatia ajali mbili za ndege...

READ MORE

NMB yazindua ‘Floti Fasta’ kwa Mawakala wao

  VINARA wa huduma za kibenki nchini, Benki ya NMB, wamezindua huduma ya kidijitali ya kuwawezesha Mawakala wa NMB kupata...

READ MORE

HUKU JPM AKIIBUA ISHU YA MO MKURUGENZI DAR ATEKWA SAA 5,700

INATISHA! Wale watu wasiojulikana wanadaiwa kumteka mkurugenzi na mmoja wa wamiliki wa kampuni maarufu ya kusambaza vifaa tiba jijini Dar...

READ MORE

MAMA SAMIA AKWEA PIPA KUMWAKILISHA JPM SUMMIT

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan anaondoka nchini leo kuelekea Kampala, Uganda kushiriki...

READ MORE

KWA MATESO HAYA NINAYOPATA, BABA DIAMOND: BORA NIFE TU!

NI bora nife tu kwa mateso haya! Baba mzazi wa mwanamuziki kiwango wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Abdul...

READ MORE

Masikini Aveva na Kaburu

ALIYEKUWA Rais wa Simba, Evans Aveva na makamu wake, Godfrey Nyange ‘Kaburu’ wameendelea kusota rumande baada ya kesi yao kuahirishwa...

READ MORE

Wanahabari Mwanza Wapigwa Msasa Utoaji wa Habari

WIZARA ya afya kwa kushilikiana na Mradi wa USAID Tulonge Afya fhi 360 wametoa mafunzo kwa wanahabari jijini Mwanza juu...

READ MORE

LUGOLA: WAPINZANI WANAOMTUKANA RAIS WAKAMATWE

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amewaagiza Makamanda wa Polisi nchini washirikiane na Wakuu wa Mikoa na...

READ MORE

Kichuya Mambo Magumu Misri

TANGU kipenzi cha mashabiki wa Simba, Shiza Kichuya atue kwenye ardhi ya Misri hajawahi kushangilia ushindi na timu yake ya...

READ MORE

INASIKITISHA! UJUMBE WA KIBONDE KWA MKEWE WALIZA WENGI

DAR ES SALAAM: Inasikitisha! Kifo cha Mtangazaji wa Clouds FM, Ephrahim Kibonde bado kinaendelea kuwaumiza wengi, Risasi Jumamosi limebaini, jumbe...

READ MORE

WANAHABARI TABORA WAPIGWA MSASA ELIMU YA AFYA UZAZI, MAMA NA MTOTO

WIZARA ya Afya kwa kushirikiana na Mradi wa USAID Tulonge Afya fhi 360   wametoa mafunzo kwa wanahabari mkoani Tabora  juu ya...

READ MORE

SERIKALI YAHAKIKISHA VYANZO VYA MAJI VINALINDWA

    SERIKALI imesema itahakikisha kuwa vyanzo vya maji vinavyopeleka maji Mto Rufiji havivamiwi kwa shughuli za kilimo na kibinadamu...

READ MORE

WACHUNGAJI WAMUOMBEA MAKONDA KUMLINDA NA MAADUI (Picha +Video)

Mchungaji Kiongozi Dk Getrude Lwakatare almaarufu Mama Lwakatare wa Kanisa la Mlima wa Moto Assemblies of God la Mikocheni B...

READ MORE

Ethiopian Airline Yaua Abiria 149 na Wafanyakazi Nane

Taarifa ya Shirika la Ndege la Ethiopia imesema kuwa abiria kutoka nchi 33 waliosafiri kwenye ndege ya shirika hilo iliyopata...

READ MORE

Breaking: Ndege Ya Ethiopian Airlines Yaanguka

Ndege ya Kampuni ya Ethiopia aina ya Boeing 737 iliyokuwa ikisafiri kutoka Adis Ababa kuelekea Nairobi imeanguka leo ilikuwa imebeba...

READ MORE

KIBONDE AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI LEO (PICHA +VIDEO)

  Mwili wa Mtangazaji wa Clouds Media, Ephraim Kibonde umezikwa katika makaburi ya kinondoni jijini Dar es Salaam huku mamia...

READ MORE

LOWASSA ATUA MONDULI, APOKELEWA NA WANA-CCM (PICHA+VIDEO)

WAZIRI mkuu mstaafu, Edward Lowassa,  ametua wilayani Monduli na kupokewa kwa shangwe na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi ( CCM)...

READ MORE

Kibonde aagwa na mamia ya watu kwao Mbezi-Dar

HATIMAYE mwili wa Marehemu Ephraim Kibonde, umeagwa nyumbani kwao Mbezi Afrikana  na baadaye kwenda kuzikwa katika Makaburi ya Kinondoni jijini...

READ MORE

LIVE MSIBANI: Mwili wa KIBONDE Ukiagwa Mbezi Africana, Kuzikwa Dar Leo

 MWILI wa aliyekuwa mtangazaji mahiri wa Kituo cha Redio cha Clouds FM, Ephraim Kibonde utaagwa leonyumbani kwao Mbezi Africana...

READ MORE

PICHA: MAANDALIZI YA KUMPOKEA LOWASSA MONDULI USIPIME!

BAADA ya kurejea kwenye chama chake cha awali — Chama cha Mapinduzi (CCM) —  waziri mkuu mstaafu,  Edward Lowassa,  leo...

READ MORE

Tigo kuwawezesha wasichana kujiendeleza kiteknolojia

    Ijumaa, Machi 8, 2019  Kampuni ya mawasiliano ya Tigo, imeelezea dhamira yake ya kusaidia kuwajengea uwezo wasichana na...

READ MORE

Wateja 15 waibuka kidedea Promosheni ya DStv ya Tia Kitu pata vituz!!

    Ijumaa Machi 08, 2019. Hatimaye washindi 15 wa wiki ya pili ya promosheni ya “Tia kitu pata vituz”...

READ MORE

SERENGETI BOYS YAMALIZA MICHUANO KWA KIPIGO CHA MABAO 5-0

KIKOSI cha Serengeti Boys leo kimemaliza michuano ya Uefa Assist kwa kupokea kipigo cha mabao 5-0 dhidi ya wenyeji Uturuki....

READ MORE