×

Habari

Zitto Aanika Mfanyabiashara wa Kenya ‘Alivyotekwa’ Tanzania – Video

Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT- Wazalendo), Zitto Kabwe ameitaka Serikali ya Tanzania kuangalia kwa uzito suala la kutekwa kwa raia...

READ MORE

Mauaji ya Watanzania 10…. Sirro Akutana na IGP Msumbiji

Mkuu  wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amekutana na kufanya mazungumzo ya kina na Mkuu wa Jeshi la...

READ MORE

TANZIA: Mtendaji Mkuu wa Safaricom Afariki Dunia

TANZIA: Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya mawasiliano nchini Kenya (Safaricom), Bob Collymore,  amefariki dunia leo asubuhi, Julai 1, 2019.  ...

READ MORE

Mafaili ya Wagonjwa Yanaswa kwa Daktari Feki

HOFU imetanda katika Jiji la Mbeya na vitongoji vyake baada ya Jeshi la Polisi mkoani hapa kumkamata Abdallah Shaibu Shija...

READ MORE

Simanzi! Wanne wa Familia Moja Wafariki!

SIMANZI nzito imetanda kila kona baada ya watu wanne wa familia moja kupoteza maisha ghafla wakiwa ndani ya nyumba yao,...

READ MORE

Stars yawatajirisha Wakenya Misri

WACHEZAJI wote wa Harambee Stars ya Kenya wamepewa bonasi ya Sh6Mil kwa kuifunga Taifa Stars mabao 3-2 Alhamisi. Zawadi hiyo...

READ MORE

Wabrazili wa Simba wafichwa ufukweni

WAKATI usajili ukizidi kukolea ndani ya klabu ya Simba imebainika kuwa nyota wapya wa klabu hiyo Wabrazili tayari wamepelekwa kwenye...

READ MORE

Trump, Xi Jinping Wakubaliana Kusitisha Uhasama Kibiashara

  Rais wa Marekani Donald Trump amesifia mazungumzo kati yake na Rais wa China, Xi Jinping na kuyataja kuwa mazuri...

READ MORE

BREAKING NEWS: TRUMP ATEMBELEA KOREA KASKAZINI LEO – VIDEO

Rais wa Marekani, Donald Trump leo Juni 30, 2019 amekuwa Rais wa kwanza wa Marekani kukanyaga ardhi ya Korea Kaskazini...

READ MORE

Breaking: RPC Afunguka Ajali Iliyounguza Magari Leo

Gari mbili za mizigo, moja lenye namba za usajili scania T182 DCM lililokuwa linatokea Iringa kwenda Dar es salaam zimegongana...

READ MORE

Jinsi ya Kusave Bando lako Lisiishe Fasta

Punguza auto-updates kwa kuchagua settings kisha ”disable auto updates”. Pia, funga kurasa za intaneti ulizomaliza kutumia na hakikisha unatoka kabisa...

READ MORE

ZARI, MOBETO VITA MPYA!

MAPEMA wiki hii Mbongo- Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alifunguka mengi kiasi cha kuibua vita mpya baina ya wanawake aliozaa...

READ MORE

Mfanyabiashara wa Kenya Aliyepotea Tanzania, Mkewe Afunguka Mazito

MKE wa mfanyabiashara maarufu wa Kenya na msaidizi wa Mbunge Zitto Kabwe, Raphael Ongangi,  ameendelea kupaza sauti akiomba msaada kwa...

READ MORE

Atembea Kwa MIGUU Mikoa 8 Akimuenzi Nyerere – Video

KIJANA anayejulikana kwa jina la Ramadhani Salum Mohamed mkazi wa Mbeya amewka Historia ya aina yake na ya kizalendo baada...

READ MORE

MATATIZO YA KINAMAMA WAJAWAZITO SASA BAAAS

Shirika la kimataifa la Amref Health Africa kwa kushirikiana na Benki ya Azania (ABL) leo waliandaa matembezi ya hisani chini...

READ MORE

Amuua Mdogo Wake, Kisa Anaitwa Sana Jikoni

JESHI la Polisi mkoani Mara linamsaka Mniko Chacha (20) mkazi wa Kijiji cha Kitagutiti Kata ya Mbogi Wilaya Tarime mkoani...

READ MORE

‘Shule ya Nape’ Yateketea kwa Moto Usiku

MABWENI ya Shule ya Sekondari Mtama, mkoani Lindi,  yameteketea kwa moto usiku wa kuamkia leo ambapo  taarifa za awali zinasema...

READ MORE

BREAKING: BoT Yakabidhiwa Madini Yaliyokamatwa Yakitoroshwa – Video

Benki kuu ya Tanzania (BOT), leo Juni 29, imekabidhiwa madini, fedha na vito mbalimbali viliyotaifishwa na serikali vilipokuwa vinatoroshwa nje...

READ MORE

Watanzania 9 Wauawa Mpakani na Msumbiji, Sirro Atoa Tamko – Video

RAIA tisa wa Tanzania  na raia wawili wa Msumbiji wameuawa na watu wasiojulikana huku Watanzania wengine sita wakijeruhiwa vibaya katika...

READ MORE

Lissu: Hakuna Mwenye Mamlaka ya Kunivua Utanganyika

BAADA ya Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai,  kusema Mbunge wa Singida Mashariki (Chadema), Tundu Lissu, amepoteza sifa za...

READ MORE

BREAKING: Tundu Lissu Avuliwa Ubunge, Spika Ndugai Atangaza – Video

Spika wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai ameliambia Bunge hilo leo Ijumaa Juni 28, 2019 kuwa amewandikia Mwenyekiti wa Tume...

READ MORE

GARI LA PESA LAZUA BALAA

MOROGORO: Gari linalodaiwa kusafirisha pesa kutoka Hazina na kuzisambaza kwenye mabenki mjini Morogoro mwanzoni mwa wiki hii likiwa katika mwendo...

READ MORE

CCM Yafanya Maamuzi Haya

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuujulisha umma wa wana CCM na watanzania kwamba Halmashauri Kuu ya Taifa (HKT) imeketi leo...

READ MORE

Bashe Awaka Baada ya Kutajwa Kutimkia ACT Wazalendo

MBUNGE wa Nzega Mjini (CCM) Hussein Bashe ameonesha kutofurahishwa, baada ya yeye, Januari Makamba pamoja na Mbunge wa Mtama Nape...

READ MORE

PAKA WAAJABU AMTIKISA MCHUNGAJI

MOROGORO: Ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firauni! Tukio la kushangaza lililotikisa mkoani Morogoro mwishoni mwa wiki iliyopita ni la paka...

READ MORE

Kisa ‘Kumpongeza’ JPM…. Nape, ACT Wazalendo, ‘Wamkana’ Zitto

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amedaiwa kusema kuwa licha ya yeye kuwa mpinzani lakini...

READ MORE

NEC Taifa Yatembelea Miradi Mikubwa Ya Serikali – Video

Ujumbe wa Kamati Kuu Taifa wa CCM, umefanya ziara ya kutembelea miradi mikubwa ya inayotekelezwa na serikali ya awamu ya...

READ MORE

Jaguar Afikishwa Mahakamani, Anyimwa Dhamana

MBUNGE wa Jimbo la Starehe nchini Kenya, Charles Jaguar,  amefikishwa mahamani kwa tuhuma za uchochezi. Jaguar ambaye pia ni mwanamuziki...

READ MORE

Zitto: Bunge Liibane Serikali Kuhusu Mikopo – Video

MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe, amesema kuna umuhimu wa Bunge kuipangia serikali ya kiasi cha fedha inachotakiwa kukopa...

READ MORE

ARUSHA: Shehena ya Madini Yanaswa Ikitoroshewa Kenya

SHEHENA ya madini ya vito aina mbalimbali ikiwepo madini ya Tanzanite imekamatwa ikiwa inasafirishwa kinyume na taratibu kwenda nchi jirani...

READ MORE

MAKONDA AZIDI KUUNGWA MKONO KAMPENI UPASUAJI MOYO WATOTO

Kampeni ya Matibabu ya upasuaji wa moyo kwa watoto 60 kutoka familia zenye maisha duni iliyoanzishwa na Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

WALIOKUFA KABLA YA NDOA, MABWANA HARUSI WAO WAPEWA TAHADHARI

DAR ES SALAAM: Hii inauma sana! Ndani ya wiki mbili zilizopita yametokea matukio mawili ya kusikitisha ya wasichana waliokuwa kwenye...

READ MORE

M-pawa kuongeza faida mara mbili wateja wake kwa kuwazawadia washindi wa droo ya 3

CBA na Vodacom wametangaza leo washindi wa droo ya 3, kwa ajili ya promosheni yao ya kuadhimisha miaka 5 ya...

READ MORE

Mantrac Tanzania Yaunga Mkono Sera ya Serikali ya Viwanda

WAKATI serikali ikipiga chapuo kwa ajili ya kuwa nchi ya viwanda na yenye uchumi wa kati, Mantrac Tanzania Limited imeweka...

READ MORE

MAMA AMCHINJA MWANAYE LIVE NA KUMCHEMSHA SUPU UNYAMA ULIOJE?

NI unyama ulioje! Mtu kumuua mtoto wa kumzaa mwenyewe kisha kuchukua kisu na kumkatakata vipande vidogovidogo kisha nyama yake kuitia...

READ MORE

MWENYEKITI WA CCM RAIS MAGUFULI AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU LUMUMBA

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli...

READ MORE

Dk. Shein Aongoza hitma ya Kumuombea Dk. Badriya

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj, Dk. Ali Mohamed Shein ameongoza hitma ya kumuombea Dk. Badriya...

READ MORE

Salasala, Tegeta, Bunju huwaambii kitu kwa Betika

WASOMAJI wa Gazeti la Betika maeneo ya Salasala, Tegeta na Bunju jijini Dar es Salaam, huwaambii kitu kuhusu Gazeti la...

READ MORE

Basi Laingia Dukani Kahama, Abiria Saba Wanusurika

ABIRIA saba wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamenusurika kifo baada lori la mizigo aina ya Fuso lenye namba  za usajili T...

READ MORE