×

Habari

WAZAZI KAENI CHONJO.. SIRI NZITO UTEKAJI WATOTO

WAKATI janga la watoto kuibwa na kutekwa katika mazingira ya kutatanisha likitikisa maeneo mbalimbali nchini huku wengi wakihoji kulikoni, binti...

READ MORE

NYANGWINE AWAASA WAHITIMU KIDAO CHA SITA KUSOMA KWA BIDII

  Mbunge wa zamani wa Tarime, Nyambari Nyangwine ambaye pia ni mwandishi wa vitabu vya riwaya leo amewaasa wanafunzi wanaohitimu...

READ MORE

Wateja Halotel kuongea bure

  Kampuni ya Mawasiliano ya simu ya Halotel, imeendelea kuongeza thamani na ubunifu katika mawasiliano kwa kuzindua huduma mpya iliyoboreshwa...

READ MORE

Homa ya Dengue Yaingia Nchini, Naibu Waziri Athibitisha – Video

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dk Faustine Ndugulile, amethibitisha kuwepo kwa homa ya dengue...

READ MORE

JPM Awaweka Mtu Kati, Mkurugnzi & Mhandisi Njombe – VIDEO

Rais Dkt John Magufuli amewaweka mtu kati Mkurugenzi wa Halmashauri ya Njombe na Mhandisi wa halmashauri hiyo kutokana na mradi...

READ MORE

MJADALA HOT; UNA LIPI JUU YA RIPOTI YA JANA YA CAG?

Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini, (CAG) Professa Musa Juma Assad, jana alitoa ripoti yake kuhusu hesabu...

READ MORE

TTCL YAZINDUWA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA KIJITONYAMA

  SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation), leo limezinduwa Kituo cha Huduma kwa Wateja katika eneo la Kijitonyama jijini Dar es...

READ MORE

Waziri Kama Unaweza ‘Kaivute Bangi’ ya Njombe – Video

Rais Dkt Magufuli ahitimisha ziara yake ya mkoa wa Njombe kwa kuhutubia maelfu wa wananchi uwanja wa Polisi Makambako leo...

READ MORE

Utawala wa miaka 30 wa Al Bashir wa Sudan wang’olewa!

  BAADA ya maandamano makubwa ya wiki kadhaa nchini Sudan yaliyokuwa yakimtaka Rais Omar Al Bashir kujiuzulu, habari zisizothibitishwa zinasema...

READ MORE

EXCLUSIVE: Kijana Atengeneza GARI la UMEME – Video

Unaweza usiamini lakini ni ukweli usiokuwa hata na chembe ya uongo kuwa kijana, Gabriel Jeremiah, ambaye ni Mwanafunzi wa Chuo...

READ MORE

Yatima Muuza Maji Aliyewajengea Vikongwe Masikini Nyumba! – Video

KIJANA mmoja mkazi wa Kijiji cha Twabagondozi wilayani Kibondo mkoani Kigoma, ameonyesha kuwa si lazima kuwa na pesa nyingi ili...

READ MORE

NMB ‘kusomesha’ wafanyabiashara 10 China 

  KATIKA kuwaongeza uelewa, maarifa na elimu ya kujenga nidhamu ya fedha kwenye biashara zao, Benki ya NMB imeahidi kuwapeleka...

READ MORE

Sala ya Toba Iliyomrejesha Kazini OCD Aliyetumbuliwa na JPM – Video

RAIS Dkt John Magufuli amemtumbua na kumrudisha kituo cha kazi OCD wa Njombe alasiri hii ya leo baada sala ya...

READ MORE

AMA KWELI HUJAFA HUJAUMBIKA…MAMA AOZA HUKU AKITEMBEA

HICHO ndicho anachokutana nacho mwanamama Rhobi Mwita Chacha, mkazi wa Sirari-Tarime mkoani Mara ambaye amejikuta akioza huku akitembea.  Rhobi hana...

READ MORE

MSHANGAO HAUSIBOI ANASWA LIVE AMEVAA NGUO ZA BOSI WAKE WA KIKE

HEE! Ndivyo unavyoweza kupata mshangao baada ya kijana mmoja aliyefahamika kwa jina la Jack, Mkazi wa Mikocheni A jijini Dar,...

READ MORE

HALOTEL YAKABIDHI MSAADA KWA NAIBU WAZIRI WA MIPANGO NA FEDHA

    Kampuni ya simu za mikononi ya Halotel imetoa msaada wa madawati 55 kwa ajili ya shule za Sekondari...

READ MORE

JPM ‘Awakaanga’ Hadharani MKURUGENZI, Mhandisi na Naibu Waziri – Video

Rais Dkt John Magufuli, leo Jumatano, Aprili 10, 2019 ameendelea na ziara yake ya siku tatu mkoani Njombe na kubaini...

READ MORE

JPM Alia na Mauaji ya Watoto Njombe, Atoa Tamko Zito – Video

Rais Dkt. John Magufuli leo Aprili 10, amewahutubia wananchi wa Mkoa wa Njombe ikiwa ni sehemu ya ziara yake ya...

READ MORE

CAG AANIKA RIPOTI YAKE, “TUTAENDELEA KUTUMIA NENO ‘DHAIFU'”

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad,  ametangaza kuwasilisha ripoti ya ukaguzi bungeni na kusema...

READ MORE

Mke wa Kisena wa UDART Akamatwa na Takukuru – Video

Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) imemkamata na kumfikisha katika Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu, Mkurugenzi wa...

READ MORE

RIPOTI YA CAG KUWASILISHWA BUNGENI LEO

Leo Jumatano Aprili 10, 2019 Bunge la Tanzania litawasilishiwa hati ya Ripoti  ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...

READ MORE

MADAI MAZITO BOSI AFANYA UKATILI RPC

MBEYA : Ni ukatili mzito! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya watu wanne akiwemo bosi mmoja kushikiliwa na Jeshi la Polisi...

READ MORE

WAZIRI WA UJENZI, MAWASILIANO NA USAFIRISHAJI ZANZIBAR AIPONGEZA TTCL

  WAZIRI wa AUjenzi, Mawasiliano na Usafirishaji wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Dkt. Sira Ubwa Mamboya, amepongeza juhudi kubwa...

READ MORE

MAGUFULI Azindua Kiwanda cha Kuchakata Chai – Video

Rais Dkt. John Pombe Magufuli amemaliza ziara ya kikazi ya siku 6 Mkoani Ruvuma, aanza ziara ya kikazi ya siku...

READ MORE

Teknolojia yatumika kumnasa chatu mwenye mimba

  HIFADHI moja ya taifa Florida, Marekani,  imemnasa chatu mkubwa mwenye urefu wa futi 17 (mita 5.2) kwa kutumia teknolojia...

READ MORE

MZUNGU AGEUZA KITUO CHA WATOTO YATIMA KUWA DANGURO

UKISHANGAA ya Musa utayaona ya firauni! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia Mjerumani, Bernhard Bery Glaser, kukamatwa na Jeshi la Polisi...

READ MORE

Rais Magufuli Atengua Uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji Nyasa

Rais Magufuli leo 09 Aprili, 2019 ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nyasa Mkoani Ruvuma Dkt....

READ MORE

RAIS JPM Azindua KITUO cha Afya cha MADABA – Video

RAIS Dkt. John Magufuli leo amezindua Kituo cha Afya cha Madaba mkoani Ruvuma mbacho kimegharimu jumla ya shilingi Milioni 665...

READ MORE

Majambazi Watano Walivyouawa Tanga

Polisi mkoani Tanga wamewaua watu watano wanaodhaniwa kuwa ni majambazi waliotaka kuvamia na kupora mishahara ya wafanyakazi katika shamba la...

READ MORE

Wananchi 15,000 Wapinga Bunge Kutofanya Kazi na CAG

WAKATI kampeni ya mtandaoni kupinga azimio la Bunge la kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali...

READ MORE

Kibajaji Ataka Uchaguzi wa Rais 2020 Usifanyike – Video

Mbunge wa Mtera, Livingstone Lusinde ameshauri Serikali isifanye uchaguzi wa kipengele cha Urais katika uchaguzi mkuu wa 2010 na badala...

READ MORE

WAZIRI LUKUVI AZINDUA SIKU YA Nyumba ya NMB Arusha

WAZIRI wa Ardhi Nyumba Maendeleo na Makazi ,William Lukuvi, amezitaka Taasisi za Kifedha hapa nchini ikiwemo Benki kuwawezesha wananchi wa...

READ MORE

Naibu Waziri ‘Atuliza Munkari’ wa Mnyika Bungeni- Video

Naibu Waziri wa Maji, Juma Aweso, amemtaka Mbunge wa Jimbo la Kibamba John Mnyika kufanya ziara katika jimbo lake ili...

READ MORE