×

Habari

14 Waliofariki Kwa Ajali Ya Gari Tarime Wazikwa – Video

  MAZIKO ya pamoja ya watu 14 waliofariki katika ajali Jumanne Novemba 27, 2018  baada ya magari mawili ya abiria...

READ MORE

MATESO MTOTO HUYU USIPIME

IMEANDIKWA kwamba, kuna wakati wa kucheka na wakati wa kulia, wakati wa furaha na wakati wa huzuni; alipozaliwa lssaya Merikion...

READ MORE

MAGUFULI AKUTANA NA RAIS MSTAAFU WA SAUZI, THABO MBEKI

                 

READ MORE

Breaking: Rufaa Ya Mbowe, Matiko Kuendelea Kesho (Picha +Video)

  RUFAA ya Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na Mweka Hazina wa Baraza la Wanawake la chama hicho (Bawacha), Esther...

READ MORE

Zitto Kabwe Aungana na Chadema Rufaa Ya Mbowe (Picha+Video)

  MBUNGE wa Tarime Mjini (Chadema), Esther Matiko na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe wameshawasili katika Mahakama Kuu Kanda ya...

READ MORE

22 Wafariki, Zaidi ya 22 Wajeruhiwa Katika Mlipuko China

MLIPUKO kwenye kiwanda cha madawa jijini Zhangjiakou, katika jimbo la Hebei, kaskazini mwa China, mapema leo, umeua watu 22 na...

READ MORE

ISHI KITUZO NA VODACOM ‘TUZO POINTS’ UJIPATIE VIFURUSHI

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Vodacom katika kuboresha huduma za mawasiliano kwa Watanzania, imezindua huduma mpya iitwayo Tuzo Points...

READ MORE

Kimenuka Bukoba… Madereva Wagoma, Sababu Hizi Hapa!

MADEREVA wa daladala wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera wamegoma kusafirisha abiria baada ya kupandishiwa gharama za maegesho leo Jumanne,...

READ MORE

MAGUFULI: LOWASSA Waambie Wenzako, “Wataishia Gerezani” – Video

RAIS Dkt. John Magufuli amempa ujumbe Waziri Mkuu wa Zamani, Edward Lowasa awaambie viongozi wengine wa vyama vya upinzani kuwa...

READ MORE

16 Wafariki Magari Mawili ya Abiria Yakigongana, Kuwaka Moto Tarime

  WATU 16 wamefariki dunia baada ya kuteketea kwa moto kufuatia ajali mbaya iliyotokea jana katika eneo la Komaswa maarufu...

READ MORE

Makonda Ammwagia Sifa Lowassa, Awaponda Kubenea, Mdee, Mnyika – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amesema licha ya wabunge kuwatumia vijana kujipatia kura, wamekuwa nyuma katika...

READ MORE

Hawa Ndo Watu Watano wa Ajabu Zaidi Kuwahi Kutokea Duniani – Picha

Unaweza kufikiri umewahi kuona vitu vya ajabu, vingine vikiwa katika picha zilizotengenezwa makusudi kwa kompyuta.  Lakini picha zifuatazo zilipigwa kabla...

READ MORE

BREAKING: MCHUNGAJI MASHIMO AWADHAMINI AMBER RUTTY, MPENZI’YE – VIDEO

HATIMAYE nyota wa video (video vien) za  Bongo, Nascat Abubakary ‘Amber Rutty’ na ‘bwana’ke’, Said Mtopari, wameachiwa kwa dhamana katika Mahakama...

READ MORE

NAMKUMBUKA RUGEMALIRA YULE; NAMSIKITIKIA HUYU!

KAMPUNI ya Mabibo Beer Wines and Spirits Limited nilikuwa naisikia tangu miaka ya 90 mwishoni, lakini James Rugemalira sikuwa namfahamu...

READ MORE

NMB yamwaga misaada kwa timu za jeshi, wanajeshi watoa tambo

Naye Kaimu Mkuu wa Wateja Wadogo kutoka Benki ya NMB, ambao ndiyo wametoa msaada huo, Salie Mlay amesema kuwa wanalenga...

READ MORE

MAGUFULI AONGOZA WAKATOLIKI KUAGA MWILI WA ASKOFU CHENGULA

Rais  John  Magufuli leo Novemba 26, 2018 ameungana na maaskofu, mapadri, watawa na waumini wa Kanisa Katoliki kutoa heshima za...

READ MORE

WAWEKEZAJI WA LIGANGA MCHUCHUMA WAOMBA KUKAA MEZA MOJA NA SERIKALI

Kampuni ya Sichuan Hongda Group ya China yaomba kukaa meza moja na Serikali ili kufikia muafaka wa mradi wa uchimbaji...

READ MORE

SIMBA VS MBABANE FC, MANARA Ataja Viingilio – Video

MSEMAJI wa Klabu ya Simba, Haji Manara amefunguka kuhusu maandalizi ya mechi yao ya Kimataifa dhidi ya Mbabane Swallows FC...

READ MORE

Kitu cha Ajabu Chagunduliwa Kwenye Kaburi la Kale

KARUBI  la kale linalokisiwa kuwa la zaidi ya miaka 3,500 limegunduliwa Misri.  Wataalam wa masuala ya kale walioshirikiana na chuo...

READ MORE

KESI YA ZITTO MAUAJI YA UVINZA, UPELELEZI WAKAMILIKA – VIDEO

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imesema upelelezi wa kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Kigoma Mjini...

READ MORE

Mdhamini wa Amber Rutty Aingia Mitini, Arudishwa Rumande – Video

VIDEO Vixen wa Bongo, Nascat Abubakary ‘Amber Rutty’ na ‘bwana’ke’, Said Mtopari, wamerudishwa Gereza la Segerea baada ya kukosa mdhamini katika...

READ MORE

TANZANIA NA CHINA ZATILIANA SAINI KUANZA UJENZI WA CHUO CHA VETA KAGERA

  Serikali za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetiliana saini ya makubaliano na Serikali ya Jamuhuri ya watu wa China...

READ MORE

Russia Yazishambulia, Kuzikamata Meli Tatu za Kivita za Ukraine

Russia imezikamata meli tatu za jeshi la maji la Ukraine jana (Jumapili) katika pwani ya Crimea iliyotwaliwa na Russia baada...

READ MORE

CHINA DASHENG BANK YAZINDULIWA DAR, KUSAIDIA UCHUMI WA VIWANDA

BENKI mpya ya China Dasheng Bank Limited, inaanza kutoa huduma Jumatatu Novemba 26, 2018, jijini Dar es Salaam, ikiwa na mtaji...

READ MORE

WAWEKEZAJI WA LIGANGA MCHUCHUMA WAOMBA KUKAA MEZA MOJA NA SERIKALI

WAWEKEZAJI WA LIGANGA MCHUCHUMA WAOMBA KKAA MEZA MOJA NA SERIKALI *Kampuni ya Sichuan Hongda Group ya China yaomba kukaa meza...

READ MORE

DAKTARI: AFYA YA JOKATE HATARINI

IMEVUJA! Miongoni mwa Wakuu wa Wilaya (ma-DC) wa Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais Dk. John Pombe Magufuli...

READ MORE

Wafanyabiashara Shinyanga Wagoma

Wafanyabiashara wa soko la Nguzo nane mjini Shinyanga, wamegoma kuuza bidhaa zao kwa madai ya kuonewa na mkuu wa wilaya...

READ MORE

Majengo ya Shule ya Msingi Tumaini kuongeza ufaulu

Baadhi ya majengo ya madarasa ya shule ya Tumaini Bukoba, ambayo yalikabidhiwa  na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Mhe....

READ MORE

Magufuli, Mkewe Wasali Kanisa la Mtakatifu Petro Dar

        Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli na mkewe Janeth,  leo  Novemba...

READ MORE

Daktari FEKI Aangukia Mikononi mwa Kamanda Muroto

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linamshikilia kijana mmoja anayefahamika kwa jina la Hassan Abdallah Athuman, umri miaka 38 kwa tuhuma...

READ MORE

Hatimaye Mtolea Achukua Kadi ya CCM

 ALIYEKUWA Mbunge wa Jimbo la Temeke, kupitia Chama cha Wananchi, Abdallah Mtolea amechukua kadi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kujiunga...

READ MORE

IRINGA: POLISI WAZUIA MKUTANO WA MCH. MSIGWA

Polisi Mkoani Iringa imezuia mkutano wa Mbunge wa Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa (Chadema) uliokuwa ufanyike leo mkoani humo- Katibu...

READ MORE

HAWA NDO WATU 10 WENYE NGUVU YA USHAWISHI ZAIDI DUNIANI 2018

KUWA mmoja kati ya watu wenye nguvu kubwa duniani sio jambo rahsisi,inakupasa uwe na ushawishi mkubwa sana kwa hao hao...

READ MORE

Mtanzania Aliyetengeneza Helikopta Aunda Mtambo Mpya

  Adam Zakaria Kinyekire anajulikana zaidi kwa jina la ‘Street Engineer’ na yeye ni fundi makenika kutoka Wilaya ya Tunduma,...

READ MORE

Zijue Nchi 9 Zinazoongoza kwa Kufanya Mapenzi Duniani

NI dhahiri kwamba nchi za Ulaya zinaongoza kwa burudani ya mapenzi (ngono) duniani, japokuwa watu huisahau Malaysia kuwa miongoni mwake....

READ MORE

LUGOLA ATAKA POLISI WALIOUA MAJAMBAZI MWANZA WAPANDISHWE VYEO

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amesema askari wote walioshiriki katika mapambano na kuwaua watu wanaosadikika kuwa...

READ MORE

Alichokisema Kigwangalla Baada ya Atembelea Eneo Alilopata Ajali

WAZIRI wa Maliasili na Utalii Mheshimiwa Dkt. Hamisi Kigwangalla jana Novemba 23, 2018 ametembealea kituo cha Afya Magugu, pamoja na...

READ MORE