×

Habari

Video ya Ngono ya Waziri Yanaswa, Atakiwa Kulipa Sh. Mil. 700

WAZIRI wa Mambo ya Ndani wa Afrika Kusini, Malusi Gigaba, ametakiwa na mtu asiyejulikana kutoa Rand milioni tano (Sh. mil....

READ MORE

Salamu za Rais Magufuli, RC Makonda Msiba wa Isaac Gamba – Video

Mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW), Isaac Muyenjwa Gamba umeagwa leo Jumatatu, katika Hospitali ya Lugalo jijini...

READ MORE

Ndege ya Lion Air Indonesia Yaanguka Ikianza Kupaa Jakarta

NDENGE ya  abiria ya shirika la Lion Air aina ya Boeing 737 imeanguka muda mfupi baada ya kupaa kutoka uwanja...

READ MORE

IBABA YA KUAGA MWILI WA ISACK GAMBA LUGALO – VIDEO

SHUGHULI ya kuaga mwili wa aliyekuwa mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW), Isaac Muyenjwa Gamba imeanza rasmi katika Hospitali ya...

READ MORE

EL CLASICO: BARCELONA YAITWANGA MADRID 5-1

KLABU ya Barcelona imeishushushia kipigo cha aina yake mahasimu wao, Real Madrid baada ya kuwafunga mabao 5-1 katika mechi ya...

READ MORE

IMETHIBITISHWA: Mmiliki Leicester City Amefariki kwa Ajali ya Helikopta

BILIONEA mmiliki wa Klabu ya Soka ya Leicester City, Vichai Srivaddhanaprabha (61), raia wa Thailand amethibitishwa kuwa miongoni mwa watu waliofariki...

READ MORE

Mlipili atoweka Simba

BAADA ya kusugua benchi kwa muda mrefu msimu huu bila ya kupata nafasi ya kucheza wala kukaa benchi, beki wa...

READ MORE

SAMIA SULUHU AIPONGEZA BENKI YA NMB KWA MSAADA WA VIFAA VYA AFYA VITUO VYA AFYA KISARAWE VYENYE THAMANI MIL 15

    MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameishukru Benki ya NMB kwa kwa...

READ MORE

MWILI WA ISAAC GAMBA WAWASILI DAR, KUAGWA LEO LUGALO – VIDEO

MWILI wa aliyekuwa mtangazaji wa Idhaa ya Kiswahili ya Deutsche Welle (DW), Isaac Muyenjwa Gamba umeasili Katika Uwanja wa Ndege wa...

READ MORE

Lawrence Masha, Chegeni Watiwa Mbaroni

JESHI la Polisi mkoani Mbeya limethibitisha kuwakamata, kuwahoji na kuwaachia kwa dhamana mbunge wa Busega (CCM), Dk Raphael Chegeni na...

READ MORE

Mtanzania Apigwa Urusi, Amwaga Machozi

BAADA ya hivi karibuni bondia Hassan Mwakinyo kufanya kweli kwenye pambano lake nchini Uingereza, juzi Jumamosi ilikuwa siku mbaya baada...

READ MORE

Magufuli Akutana na Wanunuzi Wa Korosho Atoa Msimamo Serikali – Video

Rais John Magufuli ametoa msimamo wa Serikali kuwa bei ya korosho isipungue Sh 3000 kwa kilo moja. Rais Magufuli ameyasema...

READ MORE

Zitto Kabwe Aitupia Lawama Serikali Sakata la Bei Ya Korosho – Video

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amesema Serikali haipaswi kukwepa lawama kwenye suala la...

READ MORE

ZITTO afunguka ‘Mo Dewji’ Kutekwa / Azory, Ben Saa Nane wako wapi? – VIDEO

MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Kabwe amewataka wananchi kutokaa kimya yanapotokea matukio ya utekaji nchini Tanzania, akibainisha kuwa kukemea...

READ MORE

MWILI WA GAMBA KUWASILI LEO USIKU; HISTORIA YA MAISHA YAKE

MWILI wa aliyekuwa mtangazaji wa vituo mbalimbali vya redio nchini na Ujerumani, Issac Gamba, utawasili kesho (Jumatatu) jijini Dar es...

READ MORE

Mtanzania Rebeca Gyumi Atunukiwa Tuzo ya Haki za Binadamu ya UN

REBECCA GYUMI, mwanaharakati wa haki za wanawake na wasichana nchini Tanzania pamoja na watu wengine wawili na shirika moja la...

READ MORE

Mjue Bilionea wa Sudan ya Kusini Mwenye Utajiri Tata

BILIONEA tata wa Sudan ya Kusini,  Lawrence Lual Malong Yor Jnr, amezua sintofahamu miongoni mwa watu wa Kenya wiki hii...

READ MORE

Helikopta ya Leicester City Yaanguka na Kuwaka Moto Ikitoka Uwanjani

HELIKOPTA ya bilionea, mmiliki wa klabu ya soka ya Leicester City ya Uingereza, Vichai Srivaddhnaprabha, imeanguka na kuwaka moto ikiwa inaondoka...

READ MORE

BILIONEA WA FACEBOOK ATUMIA MABILIONI KUJILINDA ASIUAWE

MWAKA 2017, kampuni ya mtandao wa Facebook ilitumia Dola 7.3 (Sh. bil. 16.7) kwa ajili ya usalama wa Mtendaji Mkuu...

READ MORE

HII KALI! WALEMAVU 8 WAJIWEKA LOKAPU

HII ni kali ya aina yake! Watu wanane wenye ulemavu wa macho wamevamia Ofisi za Wakala wa Barabara Tanzania,(Tanroads) na...

READ MORE

SHOO YA RICH MAVOKO USIPIME TIGO FIESTA MWANZA VIBE KAMA LOOTEE

  Msanii wa muziki wa Bongo fleva Richard Martin maarufu kwa jina  la ‘Rich Mavoko’ usiku wa kuamia leo ametoa...

READ MORE

Wamwera wa Dar Wafunika Maadhimisho ya Siku ya Utamaduni

JAMII ya Kabila la Wamwera waishio jijini Dar es Salaam wamefunika kwa kuonyesha utamaduni wao wa asili wakati wa Maadhimisho...

READ MORE

TANZIA: MUIGIZAJI WA FUTUHI AFARIKI DUNIA

HABARI zilizotufikia hivi punde zinasema mwigizaji maarufu wa Kundi la Vichekesho la FUTUHI maarufu kwajina la Karumekenge amefariki dunia jana...

READ MORE

Sahle-Work Zewde Awa Rais wa Kwanza Mwanamke Ethiopia

BUNGE la Ethiopia limemchagua Sahle-Work Zewde kuwa rais wa kwanza mwanamke wa nchi hiyo. Sahle-Work ni mwanadiplomasia mkongwe ambaye anakuwa...

READ MORE

MADENTI WAINGIZWA GESTI MCHANA

HIVI wazazi wawafiche wapi watoto wao wa kike ili waweze kutimiza ndoto zao kimasomo? Jibu la swali hili ni gumu...

READ MORE

Rais Magufuli Afanya Uteuzi wa Wenyeviti 9 Bodi za Taasisi za Serikali

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amefanya uteuzi wa wenyeviti 9 watakaoongoza bodi za taasisi...

READ MORE

Breaking News: Ajali Mbaya Yaua Chalinze Usiku Huu

Watu wanne akiwemo dereva wa Coaster wamefariki na wengine saba kujeruhiwa baada ya gari la abiria aina ya Coaster kugongana...

READ MORE

WATOTO FAMILIA MOJA WATEKWA

DAR ES SALAAM: Wakati wimbi la watoto kutekwa likiendelea kutikisa nchini huku Jeshi la Polisi likiendelea kuwatafuta, watoto Kulthum Ally...

READ MORE

NANDY AZINDUA BIDHAA ZAKE MWANZA, ATOA FURSA KWA VIJANA

    MSANII wa kizazi kipya, Faustina Mfinanga ’Nandy’amezindua bidhaa zake jijini Mwanza huku akiwataka vijana kuchangamk-ia fursa za kuzisambaza...

READ MORE

BREAKING: Magufuli Acharuka Sakata la Korosho, Atoa Maagizo Mazito

RAIS Dkt. John Magufuli ameitaka Wizara ya Kilimo ijitathmini kutokana na suala la mauzo ya zao la korosho linavyoendelea pamoja...

READ MORE

CHOO CHA SHULE CHAPOROMOKA, MTOTO MMOJA AJERUHIWA – PICHA

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TUKIO LA KUTITIA KWA CHOO KATIKA SHULE YA MSINGI SELIAN ARUMERU Leo 26/10/2018 majira...

READ MORE

CCM WAMALIZA ZIARA YAO CHINA, WARUDI NA UJUMBE MZITO – VIDEO

Msafara wa Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ukiongozwa na Katibu Mkuu wa CCM, Dkt. Bashiru Ally, umerejea nchini ukitokea...

READ MORE

KIMENUKA! BASATA: Amber Rutty ni Hayawani, Wema Mnafiki

KATIBU Mtendaji Baraza la Sanaa Tanzania (BASATA), Godfrey Mngereza amefunguka juu ya matukio la kusambaa ka video ya ngono ya...

READ MORE

Polisi Wamsaka Dereva wa Dangote Aliyesababisha Ajali na Kuua Watano

Kamanda wa Polisi Mkoani Lindi, Prudeciana Protas amethibitisha kukimbia kwa dereva wa lori, mali ya Kampuni ya Dangote ambalo limesababisha...

READ MORE