×

Habari

MFANYABIASHARA APIGWA RISASI, APORWA MAMILIONI

MARCUS Onyango mkazi wa Kijiji cha Nyakiswa, Kata ya Kyanyari, wilayani Butiama mkoani Mara amevamiwa na majambazi sita waliokuwa na...

READ MORE

WANAFUNZI VINARA WA KIDATO CHA NNE, SITA 2018 WATUNUKIWA TUZO

    WANAFUNZI vinara  wa Kidato cha Nne na Cha sita kwa mwaka wa 2018 waliofanya vizuri katika matokeo yao...

READ MORE

NBC SASA KUHUDUMIA WATEJA WAKE KIDIJITALI MWANZO MWISHO – VIDEO

Meza kuu ikifuatilia mchakato huo kwa makini.     BENKI ya Biashara nchini (NBC) imesisitiza itaendelea kuboresha zaidi huduma zake...

READ MORE

Majaliwa: Kilimanjaro Kuna Shida Kati ya RC Mghwira na Wakuu wa Wilaya

WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amewaagiza mawaziri wawili katika Ofisi ya Rais kwenda mkoani Kilimanjaro kutatua tatizo la uhusiano kati ya...

READ MORE

ACT Wacharuka Kanuni Mpya ya Mafao, Wagoma Kumuombea JPM – Video

Chama cha ACT Wazalendo kimepinga kanuni mpya za mafao ya wastaafu na kuitaka serikali irejeshe asiimia 50 ya mafao ya...

READ MORE

MEYA WA DAR AACHIWA DHAMANA

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limemuachia kwa dhamana Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya...

READ MORE

NMB IMEUGANA NA ‘OPEN KITCHEN’ KUTOA SEMINA KWA AKINA MAMA WAJASIRIAAMALI

    BENKI ya NMB imedhamini kongamano la mafunzo kwa akinamama wajasiriamali waliokutana jana kupata mafunzo anuai ya kijasiriamali yaliyolenga...

READ MORE

Kimenuka Mbeya: Agizo la Mkuu wa Mkoa, Machinga Wagomea!

Hali si shwari katika Jiji la Mbeya, maeneo ya Mwanjelwa, kufuatia Mkuu wa Mkoa huo, Albert Chalamila kuwataka wamachinga kuyahama...

READ MORE

Baba Kichuya Afikishwa Polisi – Video

BAADA ya kudaiwa kunyweshwa sumu kisha kutekwa na kuporwa gari na baadaye kutupwa kwenye mashamba ya Chuo cha SUA mjini...

READ MORE

LIMBWATA: MWANAMKE AMGEUZA MUMEWE KUWA JOKA LA MAAJABU

Mwanamke mmoja nchini Zambia amemgeuza mumewe kua joka kubwa baada ya kukosea kumpa dawa ya kumfanya mumewe ampende yeye tu....

READ MORE

Selcom Shifts Tanzania to a Cashless Economy

Mastercard and  Selcom  have expanded their collaboration by signing a strategic partnership agreement to introduce a variety of payment solutions...

READ MORE

RAIS MAGUFULI AZINDUA MRADI WA MAJI JIJI LA ARUSHA (Picha +Video)

  Rais John Magufuli leo Desemba 2, 2018 amezindua na kuweka jiwe la msingi ujenzi wa visima vikubwa vya maji...

READ MORE

MNIGERIA AHUKUMIWA KIFO BAADA YA KUKAMATWA NA UNGA MALAYSIA

Mwanaume Sidrey Shalod Dike (46), raia wa Nigeria amehukumiwa adhabu ya kifo na mahakama nchini Malaysia, baada ya kukutwa na...

READ MORE

Milioni kumi za Tigo Jigiftishe zaenda kwa muosha magari Tabata Dar

  KITITA cha shilingi milioni 10 cha mshindi wa kila wiki katika promosheni inayoendelea ya Tigo Jigiftishe, kimenyakuliwa na Iyaka...

READ MORE

MKE WA AZORY AFANYIWA KITU MBAYA! – VIDEO

PWANI: Wakati akitimiza mwaka mmoja tangu mumewe adaiwe kutekwa na watu wasiojulikana, mke wa aliyekuwa mwandishi wa habari wa kujitegemea...

READ MORE

VODACOM Tanzania Foundation YAOKOA MAISHA YA WANAFUNZI VISIWA VYA UKEREWE

    ILI kuokoa zaidi ya wanafunzi 1,300 wanaosafiri kwenye maji kila siku asubuhi kwenda shule katika visiwa vya Ukerewe...

READ MORE

MAHAFALI YA JOVIN JUNIOR NURSERY YAFANA!

  MAHAFALI ya kwanza ya Shule ya Jovin Junior Nursery yamefana kwa wanafunzi wa shule hiyo kuonekana wakiwa wamependeza na...

READ MORE

TUHUMA ZA KUMKWAMISHA JPM, MEMBE AMJIBU DKT. BASHIRU

BAADA ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally akumtaka mwanachama wa chama hicho, Bernard Membe kufika...

READ MORE

UNYAMA: Mama Amfungia Mwanae Ndani Mwaka Mzima! – Video

MAMA mmoja nayefahamika kwa jina la Scolastica Selvina mkazi wa mtaa wa Polisi Kata ya Mafiga mkoani Morogoro amedaiwa kumfungia...

READ MORE

TUHUMA ZA KUPANGA MKAKATI DHIDI YA JPM, MEMBE AITWA CCM

Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Bashiru Ally amemtaka mwanachama wa chama hicho, Bernard Membe kufika ofisini kwake...

READ MORE

Pichaz: Magufuli, Kenyatta Wazindua Kituo cha Huduma Namanga

Rais John Magufuli na Uhuru Kenyatta wa Kenya leo amezindua kituo cha pamoja cha huduma ya forodha Namanga, Arusha — ...

READ MORE

Mwanafunzi Chuo Kikuu Tumaini ashinda Mil 226.8 za M-BET

    MWANAFUNZI wa mwaka wa tatu wa Chuo Kikuu cha Tumaini Makumira, Meshack Daniel (22) ameshinda Sh milioni 226.8...

READ MORE

KITUO CHA NAMANGA KILIVYOFUNGULIWA NA MAGUFULI, KENYATTA – VIDEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli na Uhuru Kenyatta wa Kenya  leo wamezindua kituo cha pamoja...

READ MORE

Breaking News: Rais Bush wa Marekani Afariki Dunia

RAIS wa 41 wa Marekani, George Herbert Walker Bush,  amefariki dunia jana, Ijumaa, Novemba 30, 2018, majira ya saa 4:10 usiku...

READ MORE

RC MAKONDA KUPAMBA SHEREHE ZA MIAKA 18 YA MAGIC FM KESHO, TANDALE

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam,Paul Makonda, anatarajiwa kuzipamba sherehe za kutimiza miaka 18 ya kituo cha Redio cha...

READ MORE

MAMA ATEKWA NA NOAH NYEUSI

DAR ES SALAAM: SIMULIZI ya Fatma Manyinja (49), mkazi wa Mbagala – Chemchem, jijini Dar es Salaam, ambayo inaeleza namna...

READ MORE

Mahakama Kuu Yatoa Maamuzi RUFAA YA MBOWE – Video

Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam imesitisha kusikiliza rufaa ya Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe na Mbunge...

READ MORE

JAJI AAHIRISHA KESI YA MBOWE KWA NUSU SAA – Video

  UPANDE wa Serikali umekata rufaa katika Mahakama ya Rufani kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam...

READ MORE

RAIS MAGUFULI, KENYATTA, MUSEVENI WAKUTANA ARUSHA – PICHAZ

                Picha na Ikulu 

READ MORE

ZITTO AZUILIWA KUMSHIKA MBOWE MKONO MAHAKAMANI – VIDEO

Leo Novemba 30, 2018 mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, na Mbunge Wa Tarime, Ester Matiko, wamefikishwa mahakama kuu kanda...

READ MORE

Mahakama Yapiga Chini Pingamizi la Serikali, Sasa Rufaa ya Mbowe Kusikilizwa

JAJI Rumanyika wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, leo Ijumaa, Novemba 30, 2018 imetupilia mbali pingamizi la Upande...

READ MORE

Hatimaye Viwanja vya Leaders Vyafungwa Rasmi

Kutokana na malalamiko ya wazee, vikongwe na wagonjwa, Manispaa ya Kinondoni imepiga marufuku kufanyika shughuli zote zinazoambatana na matumizi ya...

READ MORE

CAF YAANIKA WATAKAOWANIA TUZO YA MCHEZAJI BORA 2018

Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), limetangaza majina 34 ya wachezaji wanaowania Tuzo ya Mchezaji Bora wa Kiume mwaka 2018....

READ MORE

WAFUASI WA CHADEMA, CUF WATIMULUIWA MAHAKAMA KUU – VIDEO

JESHI la Polisi limewatimua wafuasi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wa Chama cha Wananchi (CUF) katika Mahakama...

READ MORE

ITAKULIZA! Ombi Kubwa la Mke wa Azory kwa JPM – Video

IKIWA ni mwaka mmoja sasa umepita tangu kupotea kwa Mwandishi wa Habari za Uchunguzi wa Gazeti la Mwananchi, Azory Gwanda,...

READ MORE

Mhadhiri Aitwa Kuhojiwa, Ni Aliyeripoti kwa JPM Rushwa ya Ngono UDSM

Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM), Vicensia Shule (Pichani) ameitwa kwenye kamati ya maadili ya chuo hicho kuhojiwa...

READ MORE

KAMA HUJUI! HIVI NDO ‘VITU KONKI’ ANAVYOVIPENDA MAGUFULI – VIDEO

IKIWA ni mwendelezo wa kuitengeneza Tanzania mpya ya uchumi wa viwanda, unaoendana sambamba na kukuza kilimo cha mazao mbalimbali yakiwemo...

READ MORE

Basi la Rungwe Lapata Ajali Morogoro na Kuua Watatu

Watu watatu wamefariki na 16 kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha basi la Rungwe Express na gari jingine maeneo ya Iyovi mkoani...

READ MORE

Polisi Wadaiwa Kuwatorosha Wenzao Wanaotuhumiwa kwa Rushwa

Askari Polisi wa Kenya wanadaiwa wamewasaidia wenzao wawili walio kamatwa kwa shutuma za rushwa kutoroka kizuizini.   Washukiwa hao wawili...

READ MORE

MSHINDI BSS: NIOKOENI NAKUFA

MAISHA hayatabiriki na Waswahili husema hujafa hujaumbika! Mshindi wa Shindano la Bongo Star Search ‘BSS’ mwaka 2009, Paschal Cassian huwezi...

READ MORE