×

Habari

TAARIFA MUHIMU KUTOKA IKULU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli tarehe 10 Desemba, 2018 amepokea hati za utambulisho...

READ MORE

MTANDAO HATARI WA WANAWAKE WABAINIKA!

UKISIKIA aibu, fedheha na dhihaka subiri ufumaniwe! Usiombe tukio hilo likutokee, endelea kusikia stori kwa watu. Lakini maumivu zaidi ni...

READ MORE

Mbunge Shangazi aing’arisha ‘surprize’ kwa Mwalimu Shekoloa

    Baadhi ya wanafunzi waliosoma katika Shule ya Sekondari Mlalo iliyopo katika Kijiji Cha Mlalo, Wilayani Lushoto Mkoani Tanga,...

READ MORE

MAGUFULI AGAWA VITAMBULISHO 670,000 KWA WAKUU WA MIKOA

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizingumza na Wakuu wa Mikoa, Mawaziri na Makatibu Wakuu wa baadhi ya Wizara, Mameneja wa...

READ MORE

Benki ya Biashara ya DCB yang’ara tuzo za NBAA

    Benki ya Biashara ya DCB imeahidi kuendelea kubuni na kuboresha huduma na bidhaa zake hususani huduma za kidigitaji...

READ MORE

AMBER RUTTY ATINGA KISUTU NA MCHUNGAJI

Msanii Nascat Abubakar ‘Amber Rutty’ na mpenzi wake Said Mtopari, wamefika katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo, Desemba 10, 2018 kwa...

READ MORE

JPM Aanika Majina ya Matajiri Vinara wa Kukwepa Kodi – Video

RAIS Dkt. John Magufuli amesema wapo wafanyabiashara wakubwa nchini ambao wamekuwa wakikwepa kodi kwa kupitia makontena wanayoingiza na wengine kupitia...

READ MORE

JPM Atoa Vitambulisho kwa Machinga, Atangaza Vita na Mgambo – Video

Rais Dkt. John Magufuli amechapisha vitambulisho 670,000 ambavyo vitagawiwa kwa wajasiriamali wadogowadogo wa mikoa yote nchini baada ya kuona mchakato wa Mamlaka...

READ MORE

BREAKING: Kodi ya Nyumba Yamkera JPM, Atoa Agizo TRA- Video

Rais Dkt. John Magufuli amesema japo kuwa uchumi wa nchi unakwenda vizuri, mfumuko wa bei pia umepungua, lakini Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...

READ MORE

KIJANA ALIA…NAKIONA KIFO CHANGU

  INAUMA sana! Kijana Mustafa Saidi (32), mkazi wa Ukonga-Mombasa jijini Dar anadai kukiona kifo chake kutokana na mateso makubwa...

READ MORE

JAFFERJEE: MABINGWA WA VIFAA VYA USALAMA MAHALI PA KAZI

Hakuna shughuli ngumu kama uendeshaji wa mitambo mikubwa, kufanya kazi viwandani, migodini au kwenye miradi mikubwa ya ujenzi wa maghorofa,...

READ MORE

JOKA LA JABU LATIKISA DAR

DAR ES SALAAM: Patashika nguo kuchanika! Ndivyo unavyoweza kusema kufuatia joka linalodaiwa kuwa la ajabu kuonekana mara kwa mara na...

READ MORE

BADILISHA SIMU YAKO NA CAMON 11 MPYA   

TECNO, miongoni mwa kampuni bora za simu ulimwenguni imezindua rasmi TECNO camon 11 ikiwa ni mwendelezo wa toleo la simu...

READ MORE

Lugola Amsweka Ndani Mtendaji wa Kijiji

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Kangi Lugola amemsweka ndani Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Namalebe, Kata ya Chitengule,...

READ MORE

Breaking: Msanii wa Kundi la Jagwa Music, Jack Simela Afariki

  MWANAMUZIKI  wa Mchiriku na Singeli kutoka kundi la Jagwa Music,  Jack Simela na wenzake wanne wamefariki dunia kwa ajali...

READ MORE

Serikali Yapiga Marufuku Soka Kuonyeshwa Hospitalini

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto, Faustine Ndugulile (kulia) akikabidhiwa viti na Meneja wa...

READ MORE

VYAMA 15 VYA SIASA VYATOA TAMKO KUHUSU MUSWADA WA SIASA (Picha +Video)

Vyama 15 vya siasa nchini kupitia viongozi wake wakuu, leo Desemba 09, 2018, vimekutana na kutoa tamko la pamoja kuhusiana...

READ MORE

Milioni 10 za Tigo Jigiftishe zaenda kwa mtumishi wa afya

  Mtumishi wa Wizara ya Afya kitengo cha maabara na mkazi wa  Mpwapwa mkoani Dodoma Mbwana Saidi Mbela , ameibuka...

READ MORE

SIMULIZI MAMA ALIYEMWAGIWA TINDIKALI INASIKITISHA

AADHIMISHO ya siku kumi na sita za kupinga ukatili wa kijinsia na walemavu mkoani Mbeya yameendelea kwa kuwatembelea na kutoa...

READ MORE

Mrembo wa Mexico Aibuka Mshindi Fainali za Miss World 2018 – Video

Mrembo Vanessa Ponce de Leon kutoka nchini Mexico ameibuka mshindi wa taji la mrembo wa dunia 2018 kwenye shindano lililomalizika...

READ MORE

MKE APAMBANA NA JAMBAZI AKIMUOKOA MUMEWE, ALINYANG’ANYA SILAHA

Mkazi wa Kijiji cha Mahyolo, Kata ya Nyamihyolo, Wilayani Bunda, Mkoa wa Mara, Busimba Malegesi amemuokoa mumewe asiuawe na jambazi...

READ MORE

ZITTO KABWE AMALIZANA NA TAKUKURU

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe, amaliza kuwasilisha ushahidi wa tuhuma za...

READ MORE

MWANAMKE BIKRA ‘ALIYEFUNGA NDOA’ NA YESU KRISTO AZUA GUMZO

MWANAMKE mmoja, Jesca Hayes (41) amejinunulia mwenyewe shela, ushungi na pete ya ndoa, na kwenda madhabahuni kufunga ndoa, lakini aliposimama...

READ MORE

Barua ya Einstein kuhusu Mungu yauzwa mnadani, aliamini Mungu yupo?

  Barua iliyoandikwa kwa hati ya mkono na Albert Einstein, ambapo anajadili suala la dini na imani, imeuzwa kwenye mnada...

READ MORE

ZITTO KABWE AJIPELEKA TAKUKURU

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa Chama cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe, amepeleka ushahidi wa tuhuma za rushwa...

READ MORE

MTOTO ALIA: MSINIACHE NIFE

“MIMI nakufa.” Inasikika sauti ya mtoto akiugulia maumivu huku mwili wake ukiwa umekonda kupita maelezo; wanaomsaidia wanamfariji kwa kumuambia kuwa...

READ MORE

Ndege za Marekani Zagongana Angani Moja Ikiiongezea Mafunta Nyingine

Oparesheni kubwa ya uokoaji inaendelea nchini Japan kuwatafuta wanajeshi watatu wa Marekani baada ya ndege mbili zilizokuwa na wanajeshi saba...

READ MORE

Mfungwa Achagua Kuuawa kwa Kutumika Kiti Badala ya Sindano ya Sumu

Mfungwa mmoja katika jimbo la Tennessee nchini Marekani atauawa kwa kiti cha umeme baada ya kudai kuwa sindano ya sumu...

READ MORE

JIJI LA DAR LAPATA MANAIBU MEYA WAWILI, UKAWA WAUNGANA NA CCM

Hatimaye Jiji la Dar es Salaam limepata Manaibu Meya wawili baada ya wagombea wawili wa nafasi hiyo kulingana kura wakati...

READ MORE

RC KILIMANJARO APOKEA MSAADA WA MBOLEA TOKA GSM

  Mkuu wa Wilaya ya Siha, Onesmo Buswelu, amepokea msaada wa mifuko 70 ya Mbolea aina ya Urea kwa niaba...

READ MORE

TAJIRI KORTINI KWA KUKWEPA KODI NA KUJIPATIA BIL. 188.9/=

  MFANYABIASHARA Mustapha Kambangwa  mkazi wa Kongowe Mbagala, jijini Dar es Salaam amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na...

READ MORE

Mbwa wa Bush Alivyowagusa Wengi kwa Heshima Zake za Mwisho

  Mbwa aliyekuwa amepewa kazi ya kuwa msaidizi wa Rais wa 41 wa Marekani George HW Bush amepigwa picha akionekana...

READ MORE

Meya Dar Awatimua Polisi Wenye Silaha Ukumbini

Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita amewataka polisi wenye silaha za moto kutoka nje ya ukumbi wa...

READ MORE

RAIS MAGUFULI ATANGAZA MSAMAHA KWA WAFUNGWA 4,477 – VIDEO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amri Jeshi Mkuu, Dkt. John Magufuli ametoa salamu za Kumbukumbu ya Miaka...

READ MORE

Mkurugenzi Ofisi ya Rais Anaswa kwa UTAPELI, Muroto Afunguka – Video

JESHI  la Polisi mkoani Dodoma linamshikilia Simon Saulo Ngatunga 38 aliyekuwa Mkurungenzi wa Utumishi katika Wizara ya Ofisi ya Rais...

READ MORE

MASTAA WANAORUDISHA WALICHOKIPATA KWA JAMII

WASWAHILI wanasema, “kutoa ni moyo si utajiri”. Hiyo humaanisha kwamba si kila anayetoa msaada kwa jamii ana fedha nyingi sana...

READ MORE

JPM Kufuta Sherehe za Uhuru, BAVICHA Wataka Wanachi Kwenda Magerezani – Video

Baraza Vijana la Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) – BAVICHA limetoa masikitiko yake juu ya Jeshi la Polisi nchini kufuatia kukamatwa...

READ MORE

ALIYEJIFYATUA MDOMO KWA RISASI APANDIKIZWA USO MPYA

JAMAA mmoja wa Yuba City, California nchini Marekani, Cameron Underwood amerejeshewa furaha yake na sasa anaweza kutabasamu baada ya kufanyiwa upasuaji...

READ MORE

NMB YATOA MSAADA WA VITANDA, MASHUKA ZANZIBAR

  BENKI ya NMB imetoa msaada wa vitanda maalum vya kujifungulia pamoja na mashuka katika Hospitali ya Mnazi mmoja, mjini...

READ MORE