×

Habari

Updates: Waliofariki MV Nyerere Wafikia 126 – Video

16:00 – Idadi ya miili iliyoopolewa yafika 126 Idadi ya miili iliyoopolewa kwenye kivuko cha Mv Nyerere imefikia 125 mpaka...

READ MORE

LIVE CHADEMA: “Tuliridhika Waliobakia Wote ni Marehemu?” – Video

Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amezungumzia kuhusu uokoaji wa wa Wananchi waliozama kwenye ajali ya MV Nyerere iliyotokea jana...

READ MORE

Simba Yafanya Maamuzi, Yawaengua Wawili

Kamati ya uchaguzi ya klabu ya Simba chini ya Mwenyekiti wake, Boniface Lyamwike, imeweka wazi majina ya waliopita kuelekea kwenye...

READ MORE

Kama Umeajiriwa, Makala Hii Inakuhusu Sana!

NI wiki nyingine tulivu kabisa, tunakutana kupitia safu hii; ambayo tunaelimishana na kukumbushana mambo mbalimbali yanayogusa maisha yetu ya kila...

READ MORE

MBUNGE ‘ALITABIRI’ KUZAMA MV NYERERE “MNATAKA TUWAOMBE RAMBIRAMBI?”- VIDEO

UNAWEZA kusema ni kama alitabiri ajali ya MV Nyerere iliyotokea jana katika ziwa Victoria, ni kutokana na Mbunge wa Ukerewe...

READ MORE

Rais Magufuli: Nawaomba Tutulie Juhudi za Uokoaji Zinaendelea

Rais Dkt. John Magufuli ametuma salamu za rambirambi na pole kutokana na ajali ya kuzama kwa Kivuko cha MV Nyerere...

READ MORE

KISA MREMBO… AVUNJWA MKONO NA MWALIMU

LINDI: Mkazi mmoja wa Nyangao, Wilaya ya Lindi, Shawezi Mohamedi, amevunjwa mkono wake wa kulia na mwanaume mwenzake aitwaye Mwalimu...

READ MORE

Breaking: Watu 44 Wafariki, 37 Waokolewa Wakiwa Hoi Mwanza – Video

HABARI zisizothibitishwa zimeeleza kuwa watu kadhaa wamefariki baada ya kivuko cha  MV Nyerere kinachofanya safari zake kati ya Bugorara na...

READ MORE

Makamba Atia Neno Uba Kuja na Huduma za Facebook App

    United Bank for Africa (UBA) leo imezindua huduma mpya ya chatbot inayojulikana kama LEO ikiwa ni ya kwanza...

READ MORE

VINARA TUSUA MAISHA WAKABIDHIWA ZAWADI, SPOTI EXTRA LATIKISA

Yametimia! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia kukabidhiwa zawadi kwa washindi wa droo za mwisho za Shindano la Tusua Maisha, zoezi...

READ MORE

WAZIRI ANGELINA MABULA AIPONGEZA NMB

    Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,  Angelina  Mabula amezitaka Taasisi za fedha pamoja na  waendelezaji...

READ MORE

Simba Sc Yachezea Kichapo cha Mbao

TIMU ya Simba Sc imeshindwa kufurukuta mbele ya wachana mbao wa Jiji la Mwanza, Mbao FC baada ya kukubali kichapo...

READ MORE

SPOTI XTRA ALHAMISI LAANZA KWA KISHINDO – PICHAZ

HAYAWIHAYAWI hatimaye yamekuwa, baada ya maombi ya muda mrefu ya wasomaji wetu, Gazeti Bora la Michezo nchini, Gazeti la Spoti Xtra leo Alhamisi,...

READ MORE

MBOWE Aniombe Msamaha Ndani ya Siku 7, La Sivyo… – Video

Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) Dkt Athuman Kihamia, amemtaka Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)...

READ MORE

Shabiki wa Yanga, Real Madrid atwaa Milioni 70.7 za M-Bet

  Mkazi wa Kagera, Given Nasson Mgale (30) ameshinda Sh.70, 717,920 kwa kubashiri kiusahihi Mchezo wa Perfect 12 unaondeshwa na...

READ MORE

TIDO MHANDO AMTAJA RAIS KIKWETE MAHAKAMANI

MKURUGENZI Mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando,  amedai mchakato wa kulitoa shirika hilo kutoka mfumo...

READ MORE

Bikosports yampa bonasi ya sh. Mil 5 mkazi wa Kigamboni

    MKAZI wa Kigamboni, jijini Dar es Salaam, Salum Juma, ameibuka kidedea baada ya kukabidhiwa Sh Milioni 5 kutoka...

READ MORE

UKIKOSA AJIRA KWA HII KOZI… BASI HUNA BAHATI

Tatizo linaliowasumbua wasomi wengi wanaohitimu kwenye vyuo mbalimbali nchini, ni kukosa sifa za kuajiriwa licha ya kuwa na elimu ya...

READ MORE

CRDB YAMTANGAZA RASMI MKURUGNZI MTENDAJI MPYA

Benki ya CRDB imemtangaza rasmi Abdulmajid Musa Nsekela kuwa Mkurugenzi Mtendaji akichukua nafasi ya Dkt. Charles Kimei ambaye atastaafu Mei...

READ MORE

MAPYA YAIBUKA ALIYEPIGWA RISASI NA MWANAJESHI

PWANI: TUKIO la kijana Juma Mbwate (26) mkazi wa Mwananyamala Kisiwani, Dar, ambaye wiki moja iliyopita aliuawa kwa risasi na...

READ MORE

MTOTO: BABA AMENIBAKA MPAKA BASI

INASIKITISHA! Mwanaume mmoja anayejulikana kwa jina la David, mkazi wa Msongola jijini Dar amefanya kitendo cha kinyama baada ya kudaiwa...

READ MORE

ALIYECHINJA WANAE, MKEWE KISHA KUJINYONGA

DAR: Walipozaliwa watoto Clara Dotusi (5), Herieth Dotusi (3), hawakujua kama baba yao Dotusi Isaya angekuja kuwaua kwa kuwacharanga mapanga;...

READ MORE

MKE AJIJENGEA KABURI AKIWA HAI!

DAR ES SALAAM: Uchuro? Mwanamke mmoja, mkazi wa Tabata-Kinyerezi jijini Dar ambaye jina halikupatikana mara moja amesababisha watu kupigwa na...

READ MORE

KITIMTIM DAWA NGUVU ZA KIUME

NI kitimtim dawa za nguvu za kiume! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Serikali kupitia kikosi kazi cha Manispaa ya Ilala...

READ MORE

BABA LEVO AACHIWA HURU KESI YA KUMTUSI MUUGUZI

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Mwanga Kaskazini kwa tiketi ya ACT Wazalendo,...

READ MORE

Bombadier 2 ‘Zaibwa’ Uwanja wa Ndege Lagos

  NDEGE mbili aina ya Bombardier Dash 8 Q300 zilizokuwa zinamilikiwa na kampuni ya Topbrass Aviation Services Limited, zimedaiwa kuibwa...

READ MORE

Prince William, Kukutana na Rais Magufuli

Mwanamfalme  (Prince) William wa Uingereza anapangiwa kukutana na Rais wa Tanzania Dkt John Magufuli wiki ijayo wakati wa ziara yake...

READ MORE

MBOWE: SIACHII UENYEKITI CHADEMA – VIDEO

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,  amesema kamwe hatoachia kiti hicho kwa kusikiliza maneno ya watu...

READ MORE

BREAKING: CHADEMA WAJIONDOA CHAGUZI NDOGO ZOTE

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetangaza kujiondoa katika chaguzi ndogo zote zilizotangazwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC)...

READ MORE

Unatakiwa Kuwa Makini na Dawa Hizi

MAMLAKA ya Chakula na Dawa Tanzania, (TFDA) imewatahadharisha wananchi kuhusu kuingizwa nchini kwa dawa feki ya Duo-Cotexcin. Soma hapa.

READ MORE

RC ACHARUKA MPIRA YA KIUME KUZAGAA SHULENI

SINGIDA: Mkuu wa Mkoa wa Singida, Dk. Rehema Nchimbi amepiga marufuku uanzishwaji wa kumbi za starehe zenye kujihusisha na vitendo...

READ MORE

ATUPWA JELA MIAKA 30 KWA KUMBAKA BUBU MLEMAVU

MAHAKAMA ya wilaya ya Mpanda mkoani Katavi imemhukumu Ramadhani Shaban (24) mkazi wa mtaa wa Majengo B kifungo cha miaka...

READ MORE

Mwili wa Misanya Bingi Waagwa Dar, Kuzikwa Dodoma -Video

MHADHIRI wa Chuo Kikuu Dar es Salaam (UDSM) ambaye pia aliwahi kuwa mtangazaji maarufu wa Radio One, Dkt. Misanya Dismas...

READ MORE

Mhagama Apokea Vifaa vya Walemavu vya Mil.33.8

  WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, anayeshughulikia Sera, Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu, Mhe. Jenista Mhagama, ameziagiza...

READ MORE

Uzinduzi wa K-Vant wafanyika Mwanza

  KAMPUNI ya Mega Beverages Company Limited ya mkoani Arusha, inayotengeneza pombe kali chapa maarufu ya K- Vant,  imezindua chupa mpya...

READ MORE

EXCLUSIVE: MTATIRO Aanika A-Z Mgogoro CUF – VIDEO

Global TV imefanya mahojiano na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uongozi ya Chama cha Wananchi (CUF), Julius Mtatiro ambaye ametimkia...

READ MORE

NHC KUJENGA OFISI ZA EWURA DODOMA

Meneja wa Kanda wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), Injinia Nyirabu Musira akimkabidhi  Mkurugenzi wa Uendelezaji Miliki...

READ MORE