×

Habari

DC JERRY MURO APAMBANA NA WATIA MIMBA MADENTI – VIDEO

    Mkuu wa Wilaya ya Arumeru,Jerry Muro kwa kushirikiana na Jeshi la polisi Wilaya ya Arumeru limewakamata watuhumiwa watatu...

READ MORE

Wachezaji Leicester City Wawasili Thailand Kumzika Mmiliki wa Klabu

Wachezaji wa Leicester City wamewasili nchini Thailand kwa mazishi ya mmiliki wa klabu ambaye alifariki kwenye ajali ya helikopta. Jamie Vardy...

READ MORE

Mjue Aliyemeza Kijiko Kikabaki Kooni Mwaka Mzima!

MTU mmoja nchini China hivi sasa anapata ahueni baada ya kuondolewa kijiko kikubwa cha kulia chakula kilichokuwa kimekwama kooni kwa...

READ MORE

Wanandoa Wafariki Kwa Helikopta Baada ya Harusi

WANANDOA Will Byler na Bailee Ackerman Byler wamefariki Jumamosi iliyopita baada ya helikopta waliyopanda baada ya kumaliza harusi yao kuanguka...

READ MORE

LIVE: Msemaji wa Serikali Akizungumzia Miaka 3 ya JPM – Video

Mkurugenzi wa Idara ya Habari MAELEZO, ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbas, anatoa taarifa ya mambo...

READ MORE

BREAKING: NONDO ASHINDA KESI YA ‘KUJITEKA’, AACHIWA HURU

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Iringa imemuachia huru Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi (TSNP), Abdul Nondo, leo Jumatatu, Novemba 5, 2018,...

READ MORE

BOOMPLAY, UNIVERSAL MUSIC GROUP WATANGAZA USHIRIKIANO KATIKA USAMBAZAJI MUZIKI  

Universal Music Group inakuwa kampuni ya kwanza kuingia mkataba na jukwaa linaloongoza kwa huduma ya kusikiliza na kupakua muziki barani...

READ MORE

MAGAZETI YA TANZANIA LEO JUMATATU, NOVEMBA 5, 2018

Hapa tumekuanikia kurasa za mbele na za nyuma za magazeti yote ya Tanzania leo Novemba 05, 2018. Ni yale ya...

READ MORE

Rais Kikwete Atunikiwa Tuzo ya Uongozi Uliyotukuta

  Windhoek, Namibia: Rais Mstaafu Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ametunukiwa Tuzo ya Uongozi Uliotukuka na Taasisi ya Women Advacement...

READ MORE

Breaking: Serikali Yasema Kampeni Ya Makonda ya Ushoga ni Mawazo Yake Binafsi

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki kwa niaba ya Serikali ya...

READ MORE

Kiongozi wa Upinzani Bahrain Ahukumiwa Jela Maisha

KIONGOZI wa upinzani nchini Bahran,  Sheikh Ali Salman,  amehukumiwa kifungo cha maisha jela baada ya mahakama ya rufaa kumpata na...

READ MORE

Mrembo Kutolewa Mahari Ng’ombe 500 Magari V8 Matatu!

Nyalong Ngong Deng Jalang (kulia). MSICHANA Nyalong Ngong Deng Jalang hivi sasa anajitayarisha kutolewa mahari ya ng’ombe 500 na magari...

READ MORE

MAKONDA, HUU HAPA UFUSKA WA KUTISHA!

VITUKO katika Jiji la Dar es Salaam sijui vitaisha lini? Maana kila uchwao ya kusikia ni mengi; Ijumaa linakupakulia tukio...

READ MORE

SPORT XTRA LAZIDI KUJIIMARISHA KWA WASOMAJI

KIKOSI cha mauzo cha kampuni ya Global Publishers Ltd (GPL) watoaji wa magazeti ya Uwazi, Ijumaa, Ijumaa Wikienda, Risasi, Championi...

READ MORE

JPM ASHIRIKI MAADHIMISHO YA MIAKA 150 UINJILISTI KANISA KATOLIKI – VIDEO

LEO Jumapili, Novemba 4, 2018 wakati akitoa salamu zake kwenye maadhimisho ya miaka 150 ya Ukatoliki Tanzania Bara yaliyofanyika Bagamoyo...

READ MORE

HATARI KUBWA… DAKTARI AMFANYIA KITU MBAYA MGONJWA

DAR ES SALAAM: Kabla hujafa, hujaumbika! Anna Majaliwa (35), Mkazi wa Tabata-Mawezi jijini Dar amezaliwa salama lakini ukubwani amejikuta akipata...

READ MORE

RAIS MAGUFULI KATIKA JUBILEE YA MIAKA 150 YA UKATOLIKI TZ – VIDEO

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI ASHIRIKI KATIKA MISA YA MAADHIMISHO YA JUBILEI YA MIAKA 150 YA UINJILISHAJI, AFYA NA ELIMU...

READ MORE

MAKONDA AMWAGA MACHOZI HADHARANI AKIFANYIWA MAOMBI – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, leo Jumapili ya Novemba 04, amejikuta akimwaga machozi mbele ya madhabahu...

READ MORE

BAADA YA MUME WAO KUFARIKI… MBUNGE, MKE MWENZIYE PACHIMBIKA

ARUSHA: Pamechimbika! Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mbunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), Josephine Sebastian Ole Lemoyani...

READ MORE

Avuna Mil. 300 Kwa Mwaka Kwa Kuuza Soksi Zake Chafu

ROXY SYKES (33) mkazi wa Jiji la London, Uingereza, amefichua kwamba anajipatia kiasi cha Paundi 100,000 (Sh. milioni 300 kwa...

READ MORE

KAGERE AFANYA YAKE, AWAPIGA MBILI KAVU JKT

Mambo mawili yaliyofungwa na Meddie Kagere katika dakika za 11 na 38 kipindi cha kwanza yameiwezesha Simba kung’ara kwa ushindi...

READ MORE

WAKULIMA WAKUBALI KUANZA KUUZA KOROSHO KWA BEI ISIYOPUNGUA 3000

  Wakulima wa zao la korosho wa Wilaya ya Tandahimba na Masasi wamekubali kuuza korosho zao mbele ya Waziri wa...

READ MORE

NIMERIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA SGR-MAJALIWA

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na kasi na viwango vya ujenzi wa mfumo wa reli ya kisasa (SGR) inayojengwa...

READ MORE

Dudu Baya Atinga Polisi: ‘Nikiwekwa Sero Msiniletee Chakula” – Video

MSANII wa Hip Hop Bongo, Godfrey Tumaini ‘Dudu Baya’, ametinga katika Kituo cha Polisi cha Oyster Bay jijini Dar es...

READ MORE

Dodoma: Magari ya Serikali Yagongana, 7 Wafariki, 3 Wajeruhiwa – Pichaz

WATU saba ambao majina yao hayajafahamika mara moja wamefariki dunia na watatu kujeruhiwa katika ajali iliyohusisha magari mawili ya serikali...

READ MORE

INADAIWA TANZANIA IMEMTIMUA BALOZI WA UMOJA WA ULAYA (EU)

BALOZI wa Umoja wa Ulaya (EU), Roeland Van de Geer raia wa Uholanzi, anadaiwa kupewa hadi leo Novemba 3, 2018...

READ MORE

Mwarobaini wa Migogoro ya Mashamba Mvomero Wapatikana – Pichaz

KUFUATIA mapigano ya mara kwa mara ya wakulima na wafugaji sambamba na migogoro ya kugombea mipaka, umepatiwa ufumbuji Kijijini Melela...

READ MORE

Je, una kipaji cha kuchekesha? Global TV imetangaza fursa

KAMA unajijua unacho kipaji cha kuchekesha na kuwavunja watu mbavu, basi hii inaweza kuwa habari njema sana kwako.   Kituo...

READ MORE

KILUWA AWAHAMASISHA WACHINA KUJENGA VIWANDA VITATU MLANDIZI

Mkurugenzi wa Kukuza Uwekezaji kutoka Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Bw. John Mathew Mnali akizungumza jambo.  Mwenyekiti wa Makampuni ya...

READ MORE

ZITTO KABWE: “NCHI Ina Hali Mbaya/ Kila Mtu Kaumia” – VIDEO

Mbunge wa Kigoma Mjini na kiongozi wa Chama Cha ACT – Wazalendo, Zitto Kabwe amedai makosa anayoshtakiwa yanafanana na makosa...

READ MORE

SHIGONGO, MASANJA WAMEKULETEA Password ya Mafanikio Yako – Video

MKURUGENZI wa Makampuni ya Global Group, Eric Shigongo, Mchungaji Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamiazji’ na Bishop Mwakiborwa wamakuleta SIKU TATU ZA...

READ MORE

KISUTU: MKE WA BILIONEA MSUYA ‘ALIVYOKIRI’ KUMUUA WIFI YAKE

IMEELEZWA na upande wa mashtaka katika kesi ya mauaji ya dada wa marehemu bilionea Erasto Msuya, Bi. Aneth Msuya kwenye...

READ MORE

RC MAKONDA: “DUDU BAYA TULIA KWANZA” – VIDEO

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda amemtaka msanii wa Bongo Fleva, Godfrey Tumaini ‘Dudu Baya‘ kutulia badala...

READ MORE

KAPTENI HILDA: MWANAMKE WA KWANZA KUENDESHA NDEGE NCHINI

Hilda Wendy Ringo KUNA kazi ambazo wanawake kamwe hawawezi kuzifikiria kuzifanya maana baadhi ya wengi wao watakuambia nataka kufungua duka...

READ MORE

Zitto Kabwe Asomewa Mashtaka Matatu Kisutu, Aachiwa kwa Dhamana

MBUNGE wa Kigoma Mjini na Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo, Zitto Kabwe amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

READ MORE

Amber Rutty, Mpenzi Wake, James Delicious Wafikishwa Mahakamani – Video

Video queen wa Bongo Fleva, Ruth Abubakar ‘Amber Rutty’ na mpenzi wake Said Bakary Mtopali wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi...

READ MORE

Kampuni Yadai Mdogo wa Rostam Aziz Alivamiwa, Kupekuliwa kwa Saa 20

TAARIFA ya Kampuni ya Kilombero North Safari Ltd. Kuhusu kukamatwa kwa mfanyabiashara Akram Aziz (mdogo wake Rostam Aziz). Akram ameshtakiwa...

READ MORE

BREAKING: MAKONDA Akikabidhi Mabasi kwa Jeshi – Video

MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amekabidhi mabasi kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania JWTZ na vyombo...

READ MORE