×

Habari

TUKIO ZIMA: Wanafunzi Wachomana Visu DAR! – Video

MWANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Msimbazi anadaiwa kuchoma mwanafunzi mwenzake kisu kichwani baada ya kutaka kulipiza kisasi kutokana na ugomvi...

READ MORE

WASHINDI WA DROO YA TISA NA KUMI WAKABIDHIWA ZAWADI ZAO

Washindi wa droo ya tisa na kumi wa Shindano la Tusua Maisha na Global, wamekabidhiwa zawadi zao, tukio ambalo limefanyika...

READ MORE

Kimenuka: Muro Aichana Hadharani Hotuba ya Chama, “Mtakufa” – Video

Mkuu wa Wilaya ya Arumeru Jerry Muro ameichana Hotuba ya Chama Cha Ushirika cha Wilaya ya Arumeru iliyosomwa na kukabidhiwa...

READ MORE

KING MSUKUMA Afunguka Mali Zake Kupigwa Mnada – Video

Baada ya taarifa kusambaa katika mitandao ya Kijamii kuwa Mali za mbunge wa Jimbo la Geita Vijijini (CCM), Joseph Kasheku...

READ MORE

Serikali Yawasilisha Marekebisho Sheria ya TLS, Wabunge ni Marufuku

SERIKALI imewasilisha marekebisho ya Sheria ya Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) sura namba 307 ambapo sasa watumishi wa umma, madiwani,...

READ MORE

SAYONA YAJA NA JUISI YA BOKSI, YAMWAGA AJIRA

  KAMPUNI ya Sayona Fruits Ltd, imekuja na bidhaa mpya ya juisi ya boksi na kumwaga ajira 350 za kiwandani....

READ MORE

OHOOO! MAMA ASAULA UWANJANI

MAMA mmoja ‘jimama’ ambaye inasemekana ni mke wa mtu aliyetajwa kwa jina moja la Latifa, mkazi wa mjini hapa, ametia...

READ MORE

JPM AWALILIA 11 WALIOFARIKI AJALINI MBEYA – VIDEO

Rais Dkt. John Pombe Magufuli ametuma salamu za rambirambi kufuatia ajali iliyotokea leo katika mteremko wa mlima Igawilo jijini Mbeya...

READ MORE

MBEYA: MAGARI MATANO YAGONGANA, 11 WAFARIKI DUNIA – VIDEO

AJALI mbaya imetokea katika mteremko mkali wa Iwaranje maeneno ya Igawilo leo Ijumaa, Septemba 7, 2018 ikihusisha malori matatu ya...

READ MORE

KESI YA AKINA AVEVA, ‘KABURU’ JARADA LAO BADO LIPO KWA DPP

Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  jijini Dar es Salaam, upande wa utetezi umeomba iwafutie mashtaka  aliyekuwa rais wa Klabu ya...

READ MORE

MAGUFULI Ambadilikia JOHN HECHE, “Toa Mkono Mfukoni” – Video

RAIS Dkt. John Magufuli amemmtaka mbunge wa Tarime Vijijini, John Heche kuwa na nidhamu wakati akizungumza na mkuu huyo wa...

READ MORE

Breaking News: Baba Mzazi wa Profesa Jay Afariki Dunia

MBUNGE wa Mikumi kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  Joseph Haule (Profesa Jay), amefiwa na baba yake mzazi, Mzee...

READ MORE

Mgambo Waliopiga Raia Dar Wafikishwa Kortini – Video

WANAODAIWA kuwa Askari Mgambo wawili Kelvin Sawala, Goodluck Tarimo ambao ni Askari Mgambo na ofisa Mtendaji kata ya Bunju, Ibrahim...

READ MORE

Mwanafunzi Amkuna JPM, Achangisha Sh. 24m Papo Hapo – Video

Rais Magufuli, leo ameendesha harambee ndogo katika eneo la Nyamongo ya kuchangia fedha kwa ajili ya kutatua kero katika shule...

READ MORE

Silinde: Kwa Nini BOMBARDIER Kuliko Maji kwa Wananchi? – Video

Mbunge wa Momba, David Silinde (Chadema), amesema badala ya serika kutumia fedha nyingi kununua ndege kwa nini fedha hizo zisielekezwe...

READ MORE

SERIKALI KUPOKEA TRILIONI 1.8 KUTOKA BENKI YA DUNIA – Video

Serikali ya Tanzania imesaini Mkataba wa Makubaliano na Benki ya Dunia kupokea mkopo wa Tsh. Trilioni 1.8 wenye masharti nafuu...

READ MORE

Sukari ya Zanzibar Yaibuka Tena Bungeni, Wabunge Wambana Waziri – VIDEO

BAADHI ya wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamembana Waziri wa Viwanda na Biashara, Dkt. Charles Mwijage...

READ MORE

FILAMU YA BAHASHA KUANZA KUONEKANA SINEMA LEO

Ukisikia neno Rushwa unapata picha gani kwenye fikra zako? Unadhani Rushwa inahusisha pesa kubwa kubwa tu!! Leo hii katika Kumbi...

READ MORE

Rais Magufuli Awasweka Ndani Wenyeviti Hadharani – Video

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Magufuli amewasekwa ndani mwenyekiti wa kijiji cha Natta na Mtendaji wake...

READ MORE

MBELE YA JPM, MBUNGE CHADEMA: “Niko Tayari Kuachia Ubunge” – Video

Mbunge wa Serengeti, Mwita Rioba amemwambia Rais Magufuli kuwa yupo tayari kuachia nafasi yake ya Ubunge kama itawezekana ili kufanikisha...

READ MORE

Makonda Aridhishwa na Ujenzi wa Barabara za jiji Lake

  Mkuu wa Mkoa wa  Dar es Salaam, Paul Makonda, leo ametembelea miradi mbalimbali ya ujenzi wa barabara zinazojengwa katika...

READ MORE

Mbele ya JPM, Mwenyekiti CCM Ataka Kuwachapa Bakora Viongozi – Video

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mara, Samwel Kiboye ameonyeshwa kukerwa kwake na vitendo vya viongozi wazembe ambao...

READ MORE

RC HAPI: MARUFUKU KUWANYANYASA MACHINGA KATIKA MAENEO YAO

  Mkuu wa mkoa wa Iringa amepiga marufuku wafanyabiashara wadogo wadogo kunyanyaswa katika mahali ambazo wanafanyia biashara kwa kuwa wanatoa...

READ MORE

Moshi: Mwanafunzi wa Form 4 Ajinyonga Hadi Kufa

MWANANFUNZI wa kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Rau iliyopo katika manispaa ya Moshi,mkoani Kilimanjaro Emmanuel Tarimo (18),...

READ MORE

JPM Amteua Diwani Athumani Kuwa Mkurugenzi Mkuu TAKUKURU

Rais John Magufuli amemteua Kamishna wa Polisi, Diwani Athumani kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa(TAKUKURU)...

READ MORE

JPM: Waliona Utamu Kula Pesa Zetu, Nao Waone Uchungu wa Kuliwa – Video

Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa...

READ MORE

SERIKALI KUUNDA KIKOSI KAZI KUPAMBANA NA MIMEA VAMIZI

    Katika jitahada za kupambana na mimea vamizi nchini ambayo kwa kiasi kikubwa ina athari  uchumi wa Nchi yetu,...

READ MORE

JPM Atembelea Shule Aliyosoma Nyerere, Atoa Mili. 20 – Video

Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo mbalimbali hapa...

READ MORE

KATIBU MKUU CCM: HAKUNA DAR ES SALAAM YA MAKONDA

Katibu Mkuu wa CCM, Dk. Bashiru Ally Katika mwendelezo wa mahojiano aliyoyafanya na Raia Mwema, amemnyooshea kidole, Mkuu wa Mkoa...

READ MORE

BREAKING: Polisi Wafunguka Kuhusu Waliompiga Raia Dar – Video

Jeshi la polisi kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata bastola moja aina ya Browing yenye namba A 183847...

READ MORE

JPM Ampigia Simu Waziri Lukuvi, Atumbua Hadharani! – Video

Rais Dkt John Magufuli, ameendelea na ziara yake ya kutembelea, kukagua na kuzindua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika maeneo ya Kanda...

READ MORE

HECHE BUNGENI: “Waziri Huoni Aibu, Mungu Anajua” – Video

Mbunge wa Tarime vijijini, John Heche, amehoji Bungeni sababu ya Serikali ya awamu ya tano chini ya Rais John Pombe...

READ MORE

JPM: Kama Mkandarasi ni Mshenzi Mimi ni Zaidi Yake – Video

KATIKA mwendelezo wa Ziara yake Kanda ya Ziwa, Rais John Magufuli leo Septemba 5, 2018 amefanya ziara katika wilaya ya...

READ MORE

Mke wa Azory Amwaga Machozi Tena “Hajarudi Mpaka Leo” – Video

Mke wa Mwandishi wa Habari wa Mwananchi Azory Gwanda, aliyepotea kwa zaidi ya miezi sita sasa, amegusa mioyo ya watu...

READ MORE