×

Habari

Benki ya Azania kusaidia upatikanaji rahisi huduma za kifedha Sabasaba

  BENKI ya Azania (ABL) ambayo ni benki binafsi ya kiasili hapa nchini, imeelezea nia yake ya kuendelea kusaidia sekta...

READ MORE

VIDEO: Baba Halisi wa Patrick Afunguka Mazito, Kifo cha Mwanaye

Global TV Online imefunga safari mpaka maeneo ya Mwananyamala ambapo ndipo ulipo msiba wa mtoto wa Muigizaji Muna Love anayefahamika...

READ MORE

MWANAMKE MBARONI KWA KUIBA MTOTO MCHANGA

MWANAMKE mmoja anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za  kuiba mtoto wa kiume mwenye umri wa wiki tatu. Kamanda...

READ MORE

MAJI MAREFU AAGWA KARIMJEE DAR (PICHA + VIDEO)

WAZIRI Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa  leo amewaongoza viongozi mbalimbali wa serikali, wabunge na waombolezaji wengine kuuaga mwili wa aliyekuwa Mbunge...

READ MORE

Zari Ampa Pole Muna Kufiwa na Mwanaye

ALIYEKUWA mpenzi wa Diamond Platinumz, Zarina Hassan “Zari The Bosslady”,  ametoa pole kupitia akaunti yake ya Instagram kwa msanii wa...

READ MORE

Pweza Aliyetabiri Japan Kufungwa Ageuzwa Kitoweo – Video

WAKATI michuano ya Kombe la Dunia ikiendelea nchini Urusi, pweza aliyekuwa anaaminika katika kubashiri matokeo ya mechi kadhaa zilizopita zikiwemo...

READ MORE

CAF Yawafungulia Mtibwa Michuano ya Kimataifa

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limesema limepokea barua kutoka Shirikisho la Mpira wa Miguu Africa CAF inayoelezea kuwa...

READ MORE

Mastaa Walivyolizwa na Msiba wa Mtoto wa Muna

WASANII mbalimbali baada ya kifo cha mtoto aitwaye Patrick kupitia kurasa zao za Instagram wamepost ujumbe mbalimbali wa pole kwenda...

READ MORE

Msajili Vyama Aliyesimamishwa na Mwigulu Arudishwa Kazini

  MSAJILI wa Taasisi za Kiraia na Vyama vya Hiari wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Merlin Komba, ambaye alisimamishwa...

READ MORE

LIVE: Waziri wa Maji na Umwagiliaji Akabidhiwa Rasmi Ofisi

 Waziri Mpya wa wizara ya Maji na Umwagiliaji, Profesa Makame Mbarawa leo Julai 03, 2018 amekabidhiwa rasmi ofisi yake...

READ MORE

Mwili wa Prof. Maji Marefu Wawasili Karimjee Kuagwa – Pichaz

MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Stephen Ngonyani “Profesa Majimarefu” umewasili katika Viwanja vya Karimjee jijini Dar es...

READ MORE

Mtoto Patrick wa Munalove na Casto Afariki Dunia -Video

MSANII wa Filamu za Bongo na mdau wa Muziki wa Bongo Fleva, Rose Alphonce ‘Muna Love’  na mtangazaji Casto Dickson, ...

READ MORE

Ajali ya Lori, Hiace 3, Mbeya Dakika 20, Vifo 20

HUU ni msiba msiba mzito! Ndivyo uavyoweza kusema kufuatia ajali iliyoababisha vifo vya watu 20 ambavyo vimetokea ndani ya dakika...

READ MORE

Kedi Group Kuuza Viwanja Kwa Bei Nafuu Msimu wa Sabasaba

  KATIKA Kuhakikisha Watanzania wote wanamiliki ardhi na wananufaika katika msimu huu wa maonyesho ya 42 ya kimataifa ya biashara, yanayofanyika kwenye Viwanja vya...

READ MORE

Wateja Halopesa sasa kutuma pesa bure

    KAMPUNI ya mawasiliano ya simu ya Halotel imeondoa gharama za kutuma pesa kwa wateja wanaotumia huduma ya kifedha...

READ MORE

JIKE SHUPA: WALIOTEMBEA NA MIMI WAPIME UKIMWI!

VUTA picha ‘umetembea’ na mwanamke halafu ghafla anakwamba ukapime Ukimwi, utakuwa kwenye hali gani? Ndivyo alivyoibua mshtuko msanii wa filamu...

READ MORE

Shinda Tiketi ya Kwenda Marekani na Kurudi Bure

Baraza la Watanzania Wanaoishi Nchi za Nje (DICOTA) wanakushukuru kwa kukubali kushiriki katika utafiti huu muhimu kuhusu ufahamu wa Watanzania...

READ MORE

Taarifa Kuhusu Ratiba ya Kuaga Mwili wa Prof. Maji Marefu

MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Korogwe Vijijini (CCM), Steven Ngonyani maarufu kama Profesa Maji Marefu, unatarajiwa kuagwa keso Jumatano kuanzia...

READ MORE

TRA Yakanusha Watanzania Kulipia WhatsApp

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuufahamisha umma kuwa taarifa zinazosambazwa katika mitandao ya Kijamii zikidai kwamba, Mtanzania anayetumia mtandao...

READ MORE

MWANAMKE ‘ALIYEKUFA’ AKUTWA AKIPUMUA MOCHWARI

MWANAMKE aliyekuwa ametangazwa na madaktari kuwa amekufa katika ajali ya barabarani karibu na Jiji la Johannesburg, Afrika Kusini, alikutwa na...

READ MORE

IGP Sirro Afanya Mabadiliko Makamanda Polisi

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amefanya mabadiliko ya makamanda wa polisi kwa baadhi ya mikoa.  ...

READ MORE

Aliyedaiwa Kuuawa na Mumewe Aibuka!

KATIKA hali isiyokuwa ya kawaida, wananchi wa Kijiji cha Mwibagi kilichopo Kata ya Kyanyari, Wilaya ya Butiama mkoani Mara, wamepigwa...

READ MORE

Rais Magufuli Anazungumza na Marais Wastaafu – Video

Rais Dkt John Magufuli amewalika baadhi ya viongozi waandamizi wa zamani wakiwemo marais, makamu wa rais, maspika, mawaziri wakuu na...

READ MORE

JPM Awaarika Wastaafu Ikulu, Wamo Mkapa, Lowassa na Sumaye – Video

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John pombe Magufuli amewaalika viongozi wakuu wastaafu wote. Kufanya nao mazungumzo leo Jumanne,...

READ MORE

Washindi Tusua Maisha na Global Wafunguka ya Moyoni

WASHINDI mbalimbali wa wiki iliyopita wa promosheni ya kwanza ya Tusua Maisha na Global inayoendeshwa na Kampuni ya Global Publishers,...

READ MORE

SHABIBY KUKATA TIKETI KUPITIA MTANDAO

Kampuni ya Shabiby Line Bus Services, yenye mabasi ya Shabiby Line imekuja na huduma mpya kwa wateja wake kwa kukata...

READ MORE

Mwigulu Nchemba: Amlilia Profesa Majimarefu

MBUNGE wa Iramba Magharibi (CCM) na aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani, Mwigulu ameeleza masikitiko yake kufuatia kifo cha Mbunge...

READ MORE

Kigogo CCM Kortini kwa Kutoa Taarifa za Uongo Sakata la Zacharia

  MWENYEKITI wa Umoja wa Vijana CCM (UVCCM) Wilaya ya Tarime, Godfrey Francis, jana alipandishwa kizimbani akituhumiwa kusambaza taarifa za uongo mitandaoni...

READ MORE

Gigy Money, Izzo Business Wawa Kivutio Usiku wa TheSwich

  MSANII wa Bongo Fleva ambaye pia ni meneja wa baadhi ya wasanii, Quick Rocka, usiku wa Julai 01, 2018, ...

READ MORE

TANZIA: MBUNGE MAJIMAREFU AFARIKI DUNIA MUHIMBILI

MBUNGE wa Korogwe Vijijini (CCM) mkoani Tanga,  Steven Ngonyani maarufu Profesa Majimarefu amefariki dunia leo Jumatatu Julai 2,  2018 usiku...

READ MORE

Aliyemfundisha Diamond Kuongea Kiingereza Afunguka – Video

GLOBAL TV imemtafuta Mwalimu ambaye alimfundisha staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz lugha ya Kiingereza na paka sasa amekuwa akiitumia...

READ MORE

Nilisema Wabunge 17 wa CCM Mtwara na Lindi Bora Waondoke Tu!- Video

RAIS Dkt. John Magufuli amesema hafurahishwi na vitendo vya baadhiu ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kuigeuka Serikali na...

READ MORE

JPM AMPA LUGOLA MTIHANI WA LUGUMI – VIDEO

RAIS Dkt. John Pombe Magufuli amemtaka Waziri Mpya wa Mambo ya Ndani, Kangi Lugola kusimamia vilivyo wizara hiyo ikiwemo kufuatilia...

READ MORE

JPM: Nimechoka Kutuma Rambirambi, Waziri Hashiriki Hata Kuzika? – Video

Rais Dkt. John Magufuli amesema amechoka kutuma salam za rambirambi kufuatia ajali mbalimbali zinazotokea hapa nchinikwa uzembe wa watu wachache...

READ MORE

Hospitali za Rufaa, Mikoa Sasa Mikononi Mwa Ummy

Waziri Ummy Mwalimu alipokuwa Hospitali ya Mwananyamala, jijini Dar es Salaam leo.   HOSPITALI 28 za rufaa na mikoa  nchini...

READ MORE

Rais Magufuli Awaapisha Mawaziri Wapya, Atoa Kauli Nzito – Video

Rais Dkt John Magufuli leo Julai 02, 2018, anawaapisha Mawaziri wapya aliowateua jana, zoezi hilo linafanyika Ikulu jijini Dar es...

READ MORE

Magufuli Ampa Milioni 10 Binti Mlemavu Anayeandikia Ulimi

Rais Dkt. John Magufuli amempatia msaada wa Tsh. Milioni 10, binti Wakonta Kapunda mwenye ulemavu wa miguu na mikono anayeandika...

READ MORE

Breaking News: Gari Lateketea kwa Moto Daraja la Kigamboni

MOTO umewaka na kuteketeza gari dogo aina ya Toyota Ractics, leo Jumatatu, Julai 2, 2018 katika Daraja la Nyerere (Kigamboni)...

READ MORE

WAKAZI KIGAMBONI WAMWANGUKIA RAIS MAGUFULI

    WAKAZI wa  Kata ya Somangila  wilayani Kigamboni mkoani Dar es Salaam  wamemuomba  Rais  John Magufuli  na Mkuu wa...

READ MORE