×

Habari

Waziri Mkuu Awataka Wana-Lindi Kumchagua Dkt. Samia Oktoba 29

LINDI-Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Wana-Lindi wanakila sababu...

READ MORE

Hii ndiyo dawa ya wezi katika biashara, wengi wamefanikiwa

Kazi yangu ni biashara ya kuuza nafaka mbalimbali hapa mtaa wa Buza. Nimeifanya hii kazi kwa miaka sita, lakini changamoto...

READ MORE

Wafanyabiashara 186 Wahitimu Mpango wa Maendeleo ya Usambazaji Bidhaa

Wajasiriamali wadogo na wakati (SMEs) wa Kitanzania wamehitimu kwenye Mpango wa Maendeleo ya Usambazaji bidhaa kwa kujengewa ujuzi na mitandao...

READ MORE

Nmb Reliance Wakabidhi Fidia ya Milioni 120 Baada ya Moto Soko la Mashine Tatu

‎Wafanyabiashara 40 wa Soko la Mashine Tatu, Halmashauri ya Manispaa ya Iringa, waliopoteza bidhaa na mali zao kufuatia ajali ya...

READ MORE

Serikali Yawataka Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi kuhakikisha Miradi Wanayosimamia Inakidhi Viwango

SERIKALI imewataka Wabunifu Majengo na Wakadiriaji Majenzi nchini kuhakikisha miradi wanayoisimamia inakidhi viwango ili kuwa mfano kwa vizazi vijavyo. Pia...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Aacha Historia Same, Nyomi la Watu Wafurika Kumsikiliza

MGOMBEA Mwenza wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi...

READ MORE

Samia Amvalisha Kofia Kiongozi Mpya Aliyehama ACT-Wazalendo (Picha +Video)

KIGOMA – Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amemvalisha...

READ MORE

Mgombea Urais Mpina Awekewa Mapingamizi Matatu

Chama cha ACT Wazalendo kimethibitisha kuwa Mgombea wake wa Urais, Luhaga Joelson Mpina, amewekewa mapingamizi matatu ya uteuzi wake na...

READ MORE

Watuhumiwa 15 Wakamatwa kwa Mauaji ya kijana Iringa – Video

Jeshi la Polisi Mkoa wa Iringa limetoa taarifa kuhusu video iliyosambaa mitandaoni ikimuonyesha kijana akipigwa na wananchi waliokuwa wakijichukulia sheria...

READ MORE

Eric Shigongo kuzungumzia fursa za Afrika katika jukwaa la kimataifa la ujasiriamali

Mwandishi wa vitabu, mjasiriamali na Mgombea Ubunge Jimbo la Buchosa Eric James Shigongo, ameandika historia mpya kuwa Mtanzania wa kwanza...

READ MORE

Rais Trump Ataka NATO Kusitisha Ununuzi wa Mafuta ya Urusi

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameongeza shinikizo kwa nchi wanachama wa Jumuiya ya Kujihami ya Kijeshi ya NATO kwa kuwataka...

READ MORE

Dkt. Mwinyi Azindua Kampeni za CCM Zanzibar kwa Kishindo

ZANZIBAR-Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar ambaye pia ni Rais wa Zanzibar...

READ MORE

Mchengerwa Azindua Kampeni za CCM Rufiji kwa Kishindo

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Rufiji kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mohamed Mchengerwa, amewasili katika Viwanja vya Ujamaa leo Jumamosi,...

READ MORE

NBC Yakutana na Wateja wake Wakubwa Kanda ya Ziwa

Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imekutana na wateja wake wakubwa kutoka kwenye makampuni na taasisi mbali mbali (Corporates) wa...

READ MORE

Mtambo Wa Gesi Asilia Wasafirishwa Kwenda Mtwara Kuongeza Nguvu Ya Uzalishaji Wa Umeme

Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kuchukua hatua madhubuti kuhakikisha upatikanaji wa huduma ya umeme wa uhakika katika mikoa ya...

READ MORE

Kifuma Hospitali Yapata Msaada wa Dustbins Kutoka Meridianbet

Je unajua afya bora ni mtaji kwako?. Kama ulikuwa hujui basi ndio nimekupa taarifa leo na kwa kuwa wakali wa...

READ MORE

Nepal: Vifo vya Maandamano Vyafikia 51, Jaji Mkuu wa Zamani Aongoza Serikali ya Mpito

Polisi Nepal imesema idadi ya vifo imeongezeka kutokana na maandamano ya wiki hii huku Rais wa nchi hiyo na mkuu...

READ MORE

Mpina Arejesha Fomu za Urais ACT-Wazalendo Baada ya Uamuzi wa Mahakama

Mgombea Urais kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Luhaga Joelson Mpina, leo Jumamosi Septemba 13, 2025, amerejesha rasmi fomu yake ya kugombea...

READ MORE

‎Mkuu Wa Majeshi Ya Ulinzi Tanzania Aweka Jiwe La Msingi Shule Ya Polisi Jeshi Mafinga

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania Jenerali Jacob John Mkunda Septemba 12, 2025  ameweka  jiwe la msingi la ujenzi wa...

READ MORE

Wasichana Zaidi Ya 3370 Wanufaika Na Programu Ya Komputa Code Like A Girl

Mtaalamu wa mafunzo na vijana kutoka Vodacom Tanzania Plc,Bw Samwel Komba akimkabidhi cheti Mwanafunzi Doris Nisetasi, mhitimu wa mafunzo ya...

READ MORE

Majaliwa Azindua  Kampeni Za Ubunge Jimbo  La  Nachingwea

Aomba wananchi kumchagua Rais Dkt. Samia, Mbunge na Madiwani wa CCM Autaja mradi wa barabara kutoka Ruangwa hadi Nachingwea na...

READ MORE

Samia Aahidi Kuendeleza Maendeleo Tabora kwa Miaka Mitano Ijayo -(Picha + Video)

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema Manispaa ya...

READ MORE

Ngome Yazidi Kung’ara BAMMATA

Timu za Ngome zinazomilikiwa na Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania zimezidi kung’ara katika mashindano ya  Michezo mbalimbali ya...

READ MORE

Bosi Wangu Alitaka Kuniangamiza Kwenye Kazi, Lakini Hatua Niliyopiga Ilimfanya Aniombe Msamaha

Nilipata kazi yangu ya ndoto baada ya kungoja kwa muda mrefu. Nilijua itakuwa nafasi ya kubadilisha maisha yangu na kusaidia...

READ MORE

Rais Samia Azungumza na Maaskofu Wakuu wa Jimbo Kuu Katoliki Tabora

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amekutana na kufanya mazungumzo na Askofu Mkuu wa Jimbo...

READ MORE

Benki Ya Stanbic Yawawezesha Wafanyakazi Wa Migodini Geita Kukua Kifedha

Suluhisho maalumu za kifedha kuwawezesha wahandisi, mafundi na wafanyakazi wa mgodi kujenga mali, kumiliki makazi na kulinda mustakabali wa familia...

READ MORE

Tanesco Yapiga Marufuku Wizi na Uharibifu wa Miundombinu ya Umeme

📌 Baadhi ya wateja wabainika kuchezea mita ili isisome matumizi halisi ya umeme. 📌 Watakaobainika kufanya vitendo hivyo kushtakiwa kwa...

READ MORE

Lulu Diva Afunguka Kuhusu Tuhuma za Kutoka na Ex wa Mobetto

Staa wa muziki na filamu Bongo, Lulu Diva @luludivatz amefungukia tuhuma za kutoka kimapenzi na aliyekuwa X wa Hamisa Mobetto, Kelvin...

READ MORE

Makamu wa Rais Riek Machar Ashtakiwa kwa Ugaidi na Uhaini

Juba, Sudan Kusini – Serikali ya Sudan Kusini imetangaza kufunguliwa mashtaka mazito dhidi ya Makamu wa Rais wa Kwanza, Riek...

READ MORE

Dkt. Samia Awaomba Wananchi Kujitokeza kwa Wingi Oktoba 29 – Video

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, amewataka wananchi na...

READ MORE

Majaliwa Afungua Kongamano La Nne La Kitaifa La Ufuatiliaji Na Tathmini

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Septemba 11, 2025 amemuwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi wa kongamano la Nne la...

READ MORE

Dkt. Samia Ahahidi Miradi Mikubwa ya Maendeleo Kaliua, Tabora

Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, amezungumza...

READ MORE

Tanzania Yazidi Kuvutia Watalii wa Marekani

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla leo Alhamisi Septemba 11, 2025 amekutana na kuzungumza na Kaimu...

READ MORE

Video: Mahakama Yaamuru Mpina Arejeshe Fomu Tume Huru ya Uchaguzi

Mahakama Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu Dodoma, imeamuru mwanachama wa ACT-Wazalendo, Luhaga Mpina, aruhusiwe kuendelea na mchakato wa kurejesha fomu...

READ MORE

Jeshi La Nepal Lafanya Majadiliano na Waandamanaji Wadai Jaji Mkuu wa Zamani Aongoze Nchi

Jeshi la Nepal litaanza tena mazungumzo na waandamanaji wa “Gen Z” siku ya leo Alhamisi ili kuamua kiongozi mpya wa...

READ MORE

Hatma ya Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Kujulikana Jumatatu – Video

Hatima ya kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa, Tundu Lissu, inatarajiwa kujulikana Jumatatu,...

READ MORE

Kilombero Sugar Yaadhimisha Miaka 23 ya Kutoa Mafunzo Kwa Viongozi Kupitia Mkutano wa Programu ya MIT 2025

Morogoro, Septemba 11, 2025 – Kampuni ya Sukari Kilombero imefanya Mkutano wa programu ya Managers in Training (MIT) 2025, kusherehekea...

READ MORE

Siku Saba za Champions Clash Na Ushindani Ndani ya Meridianbet

Meridianbet imeizindua rasmi Champions Clash, kampeni ya kasino inayowasha moto kwa mashabiki wa michezo ya kubahatisha nchini Tanzania kwa muda...

READ MORE

Mgombea Mwenza Nchimbi: CCM Imedhamiria Kuboresha Elimu, Maji Na Miundombinu Katavi

Mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amesema kuwa endapo...

READ MORE

Israeli yatishia kuwaua viongozi wa Hamas waliosalia Qatar

Waziri Mkuu wa Israeli, Benjamin Netanyahu, ametishia kuwaua tena viongozi wa Hamas walioko nchini Qatar iwapo Doha haitawafukuza maafisa hao,...

READ MORE