×

Habari

Mbeto: Wanaongoja kusikia CCM imepasuka watasubiri kwa miaka mingi

Na Mwandishi Wetu , Dodoma Chama Cha Mapinduzi kimesema makundi ya Waganga njaa , Wanafiki na mamluki wanaosubiri kusikia CCM...

READ MORE

ACT Wapokea Nakala Tepe Daftari La Wapiga Kura

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu akipokea nakala tepe ya daftari la kudumu la wapigakura kutoka kwa Mwenyekiti...

READ MORE

Benki Ya Absa Tanzania Na World Vision Tanzania Wakabidhi Mradi Wa Maji Safi Kwa Kijiji Cha Kwedizinga

Benki ya Absa Tanzania kwa kushirikiana na World Vision Tanzania leo wamekabidhi rasmi mradi wa kisima chenye pampu ya umeme...

READ MORE

Wanachama 11 Chadema Wakamatwa Na Polisi, Kamanda Afunguka – Video

Jeshi la Polisi mkoa wa Rukwa limewakamata wanachama 11 wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kwa tuhuma za kufanya...

READ MORE

Rais Samia Aongoza Kikao cha Kamati Kuu ya CCM Jijini Dodoma

Dodoma, Julai 28, 2025 – Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,...

READ MORE

Mashujaa Wa GGM Kili Challenge 2025 Wapongezwa Kwa Mchango Wao Katika Mapambano Dhidi Ya VVU

MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Mhe. Nurdin Babu, ameisifu na kuipongeza kampeni ya Kili Challenge, ambayo ni ubia kati ya Geita...

READ MORE

Waziri Mkuu Kumwakilisha Rais Dkt. Samia  Katika Mkutano Wa Actif 2025 Nchini  Grenada

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa Julai 27, 2025 amewasili mjini St. George’s, nchini Grenada ambapo atamwakilisha Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan...

READ MORE

Kikao cha Kamati ya Maadili ya CCM Chafanyika Dodoma Usiku Kuchuja Majina ya Wagombea

Kikao cha Kamati ya Maadili ya Chama cha Mapinduzi (CCM) kimefanyika majira ya saa nane usiku chini ya Mwenyekiti wa...

READ MORE

Ajali Mbeya: Magari 5 Yapata Ajali, Mmoja Afariki Dunia, Mashuhuda Wasimulia – Video

Wakati taifa bado linaomboleza vifo vya wanafunzi sita waliopoteza maisha kwenye ajali ya hivi karibuni huko Chunya, mkoa wa Mbeya...

READ MORE

NMB Yamwaga Mamilioni Maonyesho ya Kitaifa NaneNane

  BENKI ya NMB imekabidhi Sh milioni 100 kwa Wizara ya Kilimo ili kusaidia kwenye maandalizi ya maonyesho wakulima, wafugaji...

READ MORE

Mama Mjamzito Apoteza Makazi Magomeni, Afunguka Mazito – Video

Katika hali isiyotarajiwa, nyumba ya familia ya Mzee Kombo Mkabala iliyopo Mtaa wa Idrisa, Magomeni jijini Dar es Salaam, imevunjwa...

READ MORE

Kitabu cha ‘Moyo Wangu Unavuja Damu’ Kimezinduliwa

Kitabu kipya kiitwacho Moyo Wangu Unavuja Damu kimetambulishwa rasmi sokoni katika Makao Makuu ya Global Group, Sinza – Mori, ikiwa...

READ MORE

CCM Yapitisha Marekebisho ya Katiba kwa Kishindo – Video

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiongozwa na Mwenyekiti wake Dkt. Samia Suluhu Hassan, kimepitisha kwa kishindo marekebisho ya Katiba yake ya...

READ MORE

CCM Yapendekeza Marekebisho Madogo ya Katiba Kuboresha Mchakato wa Kura za Maoni – Video

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimependekeza marekebisho madogo ya Katiba yake ya mwaka 1977 (toleo la Mei 2025), ili kutoa mamlaka...

READ MORE

Dkt Biteko Aongoza Mbio za NBC Dodoma Marathon, Mil 700 Zakusanywa Kuokoa Maisha ya Mama na Mtoto

NAIBU Waziri Mkuu, Dk. Dotto Biteko leo ameongoza washiriki zaidi ya 12,000 wa mbio za NBC Dodoma Marathon zilizofanyika kwenye...

READ MORE

Mkutano wa Wajasiriamali wa Afrika-Asia Wasisitiza Maendeleo ya Vijana

Zaidi ya wajumbe wapatao 750 wamekusanyika katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwa ajili ya mkutano wa wajasiriamali vijana...

READ MORE

Tammy Slaton Ashtua Dunia kwa Mwonekano Mpya Baada ya Kupunguza Uzito

Mwigizaji maarufu wa Marekani, Tammy Slaton, ameacha mashabiki wake midomo wazi baada ya kuonesha mabadiliko makubwa ya mwonekano kufuatia safari...

READ MORE

Brigitte Macron Apambana na ‘Uongo wa Mtandaoni’ Katika Mahakama ya Marekani

Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na mkewe Brigitte Macron wamefungua kesi ya madai ya kashfa dhidi ya Mwanaharakati kutoka Marekani,...

READ MORE

JK Kinara Maandalizi Ya Kongamano La TICAD 9 Nchini Japan

Na Mwandishi Maalumu Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete ni miongoni mwa Watu Mashuhuri (Eminent Persons) kutoka bara la Afrika...

READ MORE

CCM Yaitisha Mkutano Mkuu Maalumu Kesho kwa Njia ya Mtandao, Makalla Afafanua – Video

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza rasmi kuitisha Mkutano Mkuu Maalumu utakaofanyika kesho Jumamosi, Julai 26, 2025, kwa njia ya mtandao....

READ MORE

Rais Samia Ashiriki Maadhimisho ya Siku ya Mashujaa Mtumba, Dodoma

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza maadhimisho ya Siku...

READ MORE

Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu Wa TISS, Kanali Mstaafu Dkt. Hassy Kitine Afariki

Aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Idara ya Usalama wa Taifa (TISS), Kanali Mstaafu Dkt. Hassy Kitine, amefariki dunia akiwa na...

READ MORE

RC Chalamila Awaomba Radhi Watumiaji Wa Mwendokasi

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila, amewaomba radhi watumiaji wa magari ya Mwendokasi kwa adha wanazokumbana nazo...

READ MORE

Raila Odinga: Handshake Haikuwa ya Maslahi Binafsi, Sikutegemea Chochote

Kiongozi wa upinzani nchini Kenya Raila Odinga, amesema katika mahojiano na kituo kimoja cha habari nchini humo NATION, kuwa makubaliano...

READ MORE

Mpox Yasambaa Magharibi mwa Kenya, Vifo Viwili Vyaripotiwa Busia

Ugonjwa wa Mpox Wasambaa Kenya Magharibi mwa Kenya sasa ndio kitovu cha mlipuko wa ugonjwa wa Mpox huku kaunti za...

READ MORE

Meridianbet Yaja Na Tsh 10,000,000 Kila Wiki, Ni Loyalty Pays.

Je, wewe ni mpenzi wa michezo ya kasino? Je, unatumia muda wako kwenye michezo ya Slots, Roulette, Blackjackau Poker? Basi...

READ MORE

Vipindi vya Mashindano ya Miss Universe 2025 Kuanza Kuonekana Kwenye Runinga

Dar es Salaam 25 Julai 2025: Vipindi vya mashindano ya Miss Universe Tanzania 2025 vinatarajia kuanza kuonekana kuanzia leo Julai...

READ MORE

Waziri Bashungwa Amwakilisha Rais Samia Mkutano Wa Wakuu Wa Nchi 

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa amemwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia...

READ MORE

Malori Yapigwa Cheni, Varangati Laibuka ‘Maofisa’ Watimua Mbio

Dar es Salaam 24 Julai 2025: Katika hali isiyokuwa ya kawaida watu waliojitambulisha kutoka mamlaka ya serikali walilazimika kukimbia eneo...

READ MORE

Serikali Yavunja Ukimya: Watoa Huduma wa Mwendokasi Kupigwa Chini – Video

Serikali kupitia Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DART), imetangaza kuanza mchakato wa kuwaondoa watoa huduma waliopo sasa kwenye Barabara Kuu...

READ MORE

Waziri Mkuu Ahitimisha Ziara Ya Belarus

Aalika wenye viwanda, makampuni, wafanyabiashara kuwekeza nchini WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amehitimisha ziara yake ya kikazi ya siku mbili nchini...

READ MORE

KCCT na Kilombero Sugar Watoa Mafunzo na Kuwatunuku Vyeti Wakulima 734

Morogoro, Julai 2025 — Taasisi ya Kilombero Community Charitable Trust (KCCT), kwa kushirikiana na Kampuni ya Kilombero Sugar Company Limited...

READ MORE

Rais Samia Mgeni Rasmi Maadhimisho Ya Mashujaa Kesho

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko ametoa wito kwa vyombo vya habari kushirikiana na Serikali katika...

READ MORE

Russia Yatikiswa na Ajali ya Angara Airlines, Watu 49 Wahofiwa Kufariki

Kamchatka, Russia – WATU 49 wanahofiwa kupoteza maisha baada ya ndege ya abiria aina ya Antonov An-26 kuanguka leo asubuhi,...

READ MORE

Stanbic Yaandaa Jukwaa La Kihistoria Kuhusu Uwekezaji Na Uhamasishaji Mitaji Ukanda Wa Afrika Mashariki

Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa CIC Asset Management Limited, Humphrey Gathungu (katikati), akizungumza wakati wa Mkutano wa Taasisi za Uwekezaji Afrika...

READ MORE

Ijumaa Ya Furaha Inarejea Kwa Kishindo Kupitia Meridianbet

Wakati wengi wakihesabu saa kuelekea wikendi ya mapumziko kila ifikapo ijumaa, kwa mashabiki wa michezo ya namba, hii ni fursa...

READ MORE

Rais Wa TLS Awapigia Kelele Vijana “Sheria Zinazotungwa Zinawafunga Mikono”

Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Wakili Boniface Mwabukusi, ameibua hoja nzito juu ya hatma ya vijana nchini, akieleza...

READ MORE

Rais Kagame Amteua Dkt. Justin Nsengiyumva Kuwa Waziri Mkuu Mpya Wa Rwanda

Rais wa Jamhuri ya Rwanda, Paul Kagame, amefanya uteuzi mkubwa kwa kumteua Dkt. Justin Nsengiyumva kuwa Waziri Mkuu mpya wa...

READ MORE

Lukuvi: Wizara Zingine Ziige Mfano Wa Wizara Ya Afya Kuhamia Mtumba

Waziri wa nchi ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu William Lukuvi ameipongeza Wizara ya Afya kwa kuchukua uamuzi...

READ MORE

Jab Yaendelea Kutoa Vitambukisho Kwa Waandishi Wa Habari Waliokidhi Vigezo

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB,  Wakili Patrick Kipangula akimkabidhi Kitambulisho cha Uandishi wa Habari...

READ MORE