×

Habari

SBL Yaendeleza Uwekezaji Kwa Vijana Kupitia Programu Ya Learning For Life Arusha

Arusha, 6 Septemba 2025: Kampuni ya Bia ya Serengeti kwa kushirikiana na Chuo cha Taifa cha Utalii (NCT) wamezindua rasmi...

READ MORE

Magari 15 Yanaswa kwa Kubeba Namba Moja ‘SSH 2530’ – Video

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limekamata jumla ya magari 15 kwa kosa la kubandika namba za...

READ MORE

Nilichekwa Kwa Kutupa Kila Kitu Kwenye Betting, Lakini Siri Niliyopata Imenigeuza Milionea

Jina langu ni Kevin kutoka Nakuru. Wakati mwingi watu walinitazama kama mjinga na mpotevu. Nilipoacha kazi yangu ya kawaida ili...

READ MORE

Mpenzi wangu kila mwezi ananipa milioni 1.5 ya matumizi ila nina wasiwasi

Jina langu ni Aisha, nina umri wa miaka 23. Kwa bahati au majaliwa, nimejikuta kwenye mahusiano na mwanaume Amani, mwenye...

READ MORE

Dkt. Samia Aingia Mbeya Kwa Kishindo, Maelfu Wajitokeza Mbalizi (Picha +Video)

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, leo Septemba...

READ MORE

Ukraine Yapinga Pendekezo la Putin la Mkutano Moscow

KIEV, Ukraine – Ukraine imekataa pendekezo la Rais wa Urusi, Vladimir Putin, la kwamba Rais wa Ukraine, Volodymyr Zelensky, aende...

READ MORE

CHAUMMA Jimbo la Segerea Kwazidi Kuwaka

Chama cha CHAUMMA katika Jimbo la Segerea, kumezidi kuwaka. Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia makundi ya wanachama kuzidi kukihama  chama...

READ MORE

Kuelekea Siku Ya Kuzuia Kujiua Duniani Dkt. Kimambo Azindua Kliniki Mahsusi Ya Afya Ya Akili Kwa Wafanyakazi Muhimbili 

Kuelekea maadhimisho ya Siku ya Kuzuia Kujiua Duniani tarehe 10 Septemba, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt....

READ MORE

Boti ya Kifahari Yazama Dakika 15 Baada ya Uzinduzi

BOTI mpya ya kifahari (yacht) yenye thamani ya Dola za Kimarekani 940,000 (sawa na takribani Shilingi Bilioni 2.3 za Kitanzania)...

READ MORE

Marekani Yaituhumu Urusi, China na Korea Kaskazini Kupanga Njama

Rais wa Marekani, Donald Trump, ameibua shutuma nzito dhidi ya viongozi wa mataifa matatu yenye nguvu duniani, akiwatuhumu kupanga njama...

READ MORE

UAE Yashutumu Mpango wa Israel Kupora Ukingo wa Magharibi

Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) umeionya Israel kwamba mpango wa kutwaa kwa mabavu maeneo ya Ukingo wa Magharibi utavunja...

READ MORE

Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA, Amani Golugwa, Ajibu Hoja Nzito Global Radio – Video

Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Bara, Amani Golugwa, Septemba 3, 2025 amefanya mahojiano maalum na...

READ MORE

Balozi Dkt. Nchimbi Aagana na Simiyu, Asepa Shinyanga Kusaka Kura za Ushindi CCM

Wananchi wa Mji Mdogo wa Lalago,Maswa Mashariki wilayani Maswa wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa Urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi...

READ MORE

Waziri Mkuu Awataka Madereva Wa Serikali Kufanyakazi Kwa Weledi

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa madereva wa Serikali wanawajibu wa kufanya kazi kwa weledi na nidhamu ya hali ya...

READ MORE

Liverpool Yavunja Rekodi EPL, Bayern Yamtua Luis Diaz – Bashiri na Meridianbet

Je unajua kuwa kwenye dirisha hili la usajili timu mbalimbali zimejifua vilivyo kusajili wachezaji kwa pesa nyingi ili waweze kuwasaidia...

READ MORE

Stanbic Bank Yachangia Tsh 100 Mil. Kusaidia Kampeni ya Afya Check

Dar es Salaam, Tanzania – Jumatano, 4Septemba 2025: Stanbic Bank Tanzania imeahidi jumla ya TZS 100 milioni kwenye kampeni ya...

READ MORE

Wananchi Tunduma Wamthibitishia Dkt. Samia Ushindi Mkubwa Oktoba 29 – Video

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea na...

READ MORE

Iceland Yatajwa Tena Kuwa Nchi Yenye Amani Zaidi Duniani

Taifa la Iceland, lililoko katika kanda ya Nordic, limeendelea kushikilia nafasi yake kama nchi yenye amani zaidi duniani kwa mujibu...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Amwomba Mpina Kurejea CCM, Aahidi kumpokea mwenyewe

Mgombea Mwenza wa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa 2025, Dkt. Emmanuel Nchimbi, amemwomba Luhaga Mpina kurejea kwenye chama chake cha...

READ MORE

Burkina Faso yapitisha sheria kali dhidi ya uhusiano wa jinsia moja

Serikali ya kijeshi nchini Burkina Faso imepitisha sheria inayopiga marufuku uhusiano wa kimapenzi wa jinsi moja na kuweka adhabu ya...

READ MORE

Dkt. Samia Kuendelea na Kampeni za CCM Leo Mkoani Songwe

Wananchi na wakereketwa wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wamejitokeza kwa wingi kuonesha imani yao kwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya...

READ MORE

Balozi Nchimbi: Meatu itaendelea kushuhudia maendeleo chini ya Dkt. Samia

Mgombea Mwenza wa CCM, Balozi Emmanuel Nchimbi, amehutubia kwa moyo mkunjufu wananchi wa Meatu, akisisitiza dhamira halisi ya Mgombea Urais...

READ MORE

TAKUKURU Kinondoni Ilivyofuatilia Miradi ya Bilioni Moja

Dar es Salaam, 2 Septemba 2025: Taarifa iliyowasilishwa leo na Mkuu wa TAKUKURU Mkoa wa TAKUKURU Kinondoni, Christian Nyakizee inahusu...

READ MORE

CCM Yazindua Kampeni Nyehunge, Eric Shigongo Apokelewa Kwa Shangwe – Video

Leo, mamia ya wananchi pamoja na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Jimbo la Buchosa wamefuurika kwa shangwe kubwa...

READ MORE

Sakata La Muuguzi Kibondo Mganga Mkuu Wa Serikali Atoa Tamko

Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Grace Magembe amewatoa hofu wananchi juu ya picha mjongeo (video) iliyosambaa mitandaoni ikimuonesha Muuguzi na...

READ MORE

Balozi Nchimbi Ahamasisha Maelfu Kumsapoti Dkt. Samia Itilima

Itilima, Simiyu – Balozi Emmanuel Nchimbi, Mgombea Mwenza wa CCM, amekutana na maelfu ya wakazi wa Itilima katika mkutano wa...

READ MORE

Mtanzania Adaiwa Kuuawa na Polisi Afrika Kusini, Familia Yalia Uchungu – Video

Wiki iliyopita mitandao ya kijamii ilivuma kwa picha zilizomuonesha Mtanzania, Issa Kwisa, ambaye alikuwa akiishi nchini Afrika Kusini, akidaiwa kuuawa...

READ MORE

Majaliwa Kufungua Kongamano La Chama Cha Madereva

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa leo Septemba 02, 2025 anafungua Kongamano la nne la Chama cha Madereva wa Serikali Tanzania, linalofanyika...

READ MORE

Kesi ya Uhaini ya Tundu Lissu Kusikilizwa Mahakama Kuu Septemba 12

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, imepangwa kusikilizwa katika Mahakama...

READ MORE

Uzinduzi Mabasi ya Mwendokasi Mbagala Wasogezwa Mbele

DAR-Huduma ya Mabasi Yaendayo Haraka (Mwendokasi) katika barabara ya Mbagala, ambayo awali ilitarajiwa kuanza Septemba 1, 2025 imesogezwa mbele kutokana...

READ MORE

Meridian Bonanza, Mchezo Mpya wa Kusisimua Unaotikisa Meridianbet

Meridianbet imezindua rasmi mchezo mpya kabisa, Meridian Bonanza, ukiwa wa kisasa na wenye ubunifu wa hali ya juu. Meridian Bonanza...

READ MORE

Pigabet Yawatangaza Washindi wa Promosheni za Shinda Ndinga na Jismatishe

Kampuni ya michezo ya kubashiri PigaBet leo imetangaza kwa shangwe majina ya washindi wa promosheni zake kubwa mbili – SHINDA...

READ MORE

Zombie Apocalypse Yaja Na Ushindi Juu Ya Ushindi.

Kila mchezaji wa kasino mtandaoni anajua kuwa mzunguko mmoja ndani ya mchezo unaweza kubadilisha historia ya kila kitu. Lakini Meridianbet...

READ MORE

Siri ya Mafanikio ya Mfungaji Tajiri Aliyekuwa na Maisha Duni

Samweli alizaliwa na kukulia katika kijiji kidogo kilichopo mkoani Mbeya, familia yake ikiwa ni ya hali ya chini kabisa. Wazazi...

READ MORE

Historia yaandikwa Kibaigwa: Dkt. Samia apokelewa na umati wa zaidi ya watu 200,000

Historia nyingine imeandikwa jana jioni katika mji wa Kibaigwa, Dodoma, baada ya mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na...

READ MORE

CHAUMMA, CUF na AAFP Kuzindua Kampeni leo Sehemu Tofauti Nchini

Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMMA) leo, tarehe 31 Agosti 2025, kinatarajia kuzindua rasmi kampeni za mgombea wake wa urais,...

READ MORE

Magu Yadhihirisha Kuelewa Ilani ya CCM 2025/2030

WANANCHI wa Magu wamemuonesha wazi Mgombea Mwenza wa Urais kupitia CCM, Balozi Dk Emmanuel Nchimbi kuwa wanaifahamu vyema Ilani ya...

READ MORE

Spika wa Zamani wa Bunge la Ukraine Andriy Parubiy Auwawa

Spika wa zamani wa Bunge la Ukraine, Andriy Parubiy, ameuawa kwa kupigwa risasi katika mji wa magharibi wa Lviv siku...

READ MORE

Dkt. Nchimbi Azuru Nyumba na Kaburi la Mwalimu Nyerere Butiama

Mgombea Mwenza wa Kiti cha Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt Emmanuel John Nchimbi ametembelea nyumbani kwa Baba...

READ MORE

Makamu  Wa Rais  Afanya Mazungumzo Na Makamu Wa Rais Wa Jamhuri Ya Zimbabwe 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya mazungumzo na Makamu wa...

READ MORE